ndrugu zango kazi ya uwakilishi wa wananchi ni ngumu sana ila inawezekana kufanyika π1: Hadhi ya nafasi ya ubunge ?
2: Ugumu wa kazi Ya ubunge?
3: Ndani ya mshahara huo ina inlude na transport na accomodatuon costs za kwenda jimboni na kurudi mjengoni?
4:????
Karibuni.
Nikifungulia nakuja kukutukanandrugu zango kazi ya uwakilishi wa wananchi ni ngumu sana ila inawezekana kufanyika
kujadili mambo makubwa, muhimu na mazito sana ya mustakabali mpana wa Mama Tanzania na waTanzania wote sio lele mama.
Inahitaji kuwezeshwa vema, kutulizwa vizuri kifikra na kiakili, kwa hali na mali ili kupata nguvu zaidi na uwezo wa kufikiri viwe imara zaidi na bila kuchoka haraka
kuwafikia wanainchi zaid ya kata pungufu kidogo ya 30 sio kazi ndogo ndugu zangu. wananchi binafsi wana matatizo makubwa Lazima wasaidiwe kibinafsi, achila mbali yale ya jumla ambayo hutoi pesa moja kwa moja mfukoni
kuhudhuria vikao vya kamati, kuhudhuria semina, warsha, makongamano mbalimbali, mikutano ya hadhara, kukagua miradi ya maendeleo, kuhudhuria na kuchangia Harambe, mambo ya Furaha na huzuni, kuitegemeza familia, kusomesha watoto na wanainchi n.k
walau kikifika m35 au 40 ndipo angalau kinaweza kutosheleza mahitaji,sio yote, kwa kiasi fulani tu. Bado tupo chini sana
unakuja kuyaporomosha right? na hapo mko vizuri sana nakubali πNikifungulia nakuja kukutukana
π€π€π€π€π€ndrugu zango kazi ya uwakilishi wa wananchi ni ngumu sana ila inawezekana kufanyika π
kujadili mambo makubwa, muhimu na mazito sana ya mustakabali mpana wa Mama Tanzania na waTanzania wote sio lele mama.
Inahitaji kuwezeshwa vema, kutulizwa vizuri kifikra na kiakili, kwa hali na mali ili kupata nguvu zaidi na uwezo wa kufikiri viwe imara zaidi na bila kuchoka haraka π
kuwafikia wanainchi zaid ya kata pungufu kidogo ya 30 sio kazi ndogo ndugu zangu. wananchi binafsi wana matatizo makubwa Lazima wasaidiwe kibinafsi, achila mbali yale ya jumla ambayo hutoi pesa moja kwa moja mfukoni π
kuhudhuria vikao vya kamati, kuhudhuria semina, warsha, makongamano mbalimbali, mikutano ya hadhara, kukagua miradi ya maendeleo, kuhudhuria na kuchangia Harambe, mambo ya Furaha na huzuni, kuitegemeza familia, kusomesha watoto na wanainchi n.kπ
walau kikifika m35 au 40 ndipo angalau kinaweza kutosheleza mahitaji,sio yote, kwa kiasi fulani tu. Bado tupo chini sana π
una utani mwingi sana jamaa kwa keyboard πKuna mambo ujue unapozidi kuyakalia kimya ndivyo tatizo linvyo zidi kuwa kubwa.
Watanzania nitoe rai, tumekaa kimya mnoo na sasa inatosha
Linganisha na kazi wanazofanya walimu,madaktari, mainjinia nkndrugu zango kazi ya uwakilishi wa wananchi ni ngumu sana ila inawezekana kufanyika π
kujadili mambo makubwa, muhimu na mazito sana ya mustakabali mpana wa Mama Tanzania na waTanzania wote sio lele mama.
Inahitaji kuwezeshwa vema, kutulizwa vizuri kifikra na kiakili, kwa hali na mali ili kupata nguvu zaidi na uwezo wa kufikiri viwe imara zaidi na bila kuchoka haraka π
kuwafikia wanainchi zaid ya kata pungufu kidogo ya 30 sio kazi ndogo ndugu zangu. wananchi binafsi wana matatizo makubwa Lazima wasaidiwe kibinafsi, achila mbali yale ya jumla ambayo hutoi pesa moja kwa moja mfukoni π
kuhudhuria vikao vya kamati, kuhudhuria semina, warsha, makongamano mbalimbali, mikutano ya hadhara, kukagua miradi ya maendeleo, kuhudhuria na kuchangia Harambe, mambo ya Furaha na huzuni, kuitegemeza familia, kusomesha watoto na wanainchi n.kπ
walau kikifika m35 au 40 ndipo angalau kinaweza kutosheleza mahitaji,sio yote, kwa kiasi fulani tu. Bado tupo chini sana π
Kwa nini huwa unazubaa hadi akili zinakutoroka?una utani mwingi sana jamaa kwa keyboard π
Katka yote uliyo taja ni ipi hasa kazi ya mbunge ambayo imeanishwa kikatiba?ndrugu zango kazi ya uwakilishi wa wananchi ni ngumu sana ila inawezekana kufanyika π
kujadili mambo makubwa, muhimu na mazito sana ya mustakabali mpana wa Mama Tanzania na waTanzania wote sio lele mama.
Inahitaji kuwezeshwa vema, kutulizwa vizuri kifikra na kiakili, kwa hali na mali ili kupata nguvu zaidi na uwezo wa kufikiri viwe imara zaidi na bila kuchoka haraka π
kuwafikia wanainchi zaid ya kata pungufu kidogo ya 30 sio kazi ndogo ndugu zangu. wananchi binafsi wana matatizo makubwa Lazima wasaidiwe kibinafsi, achila mbali yale ya jumla ambayo hutoi pesa moja kwa moja mfukoni π
kuhudhuria vikao vya kamati, kuhudhuria semina, warsha, makongamano mbalimbali, mikutano ya hadhara, kukagua miradi ya maendeleo, kuhudhuria na kuchangia Harambe, mambo ya Furaha na huzuni, kuitegemeza familia, kusomesha watoto na wanainchi n.kπ
walau kikifika m35 au 40 ndipo angalau kinaweza kutosheleza mahitaji,sio yote, kwa kiasi fulani tu. Bado tupo chini sana π
kazi ya uwakilishi mjengoni huwezi linganisha na kazi nyingine yoyote hata kidogo πLinganisha na kazi wanazofanya walimu,madaktari, mainjinia nk
niko chonjo, niko rada mbaya sana aise πKwa nini huwa unazubaa hadi akili zinakutoroka?
Jitahidi kuwa serious/makini.Mbunge mmoja alipwe hayo marundo ya mahela kwa ajili ya kukaa tu na kuzikomesha meza kwa vibao?niko chonjo, niko rada mbaya sana aise π
ni mtazamo tu masela msijenge chuki π
1: Hadhi ya nafasi ya ubunge ?
2: Ugumu wa kazi Ya ubunge?
3: Ndani ya mshahara huo ina inlude na transport na accomodatuon costs za kwenda jimboni na kurudi mjengoni?
4:????
Karibuni.
sasa wewe unahitaji darasa na shule pana, juu ya majukumu na kazi za wawakilishi wa wanainchi pale mjengoni kikatiba, and that ni lesson for other day ingawa ni vitu ambavyo viko wazi na bayana sana πKatka yote uliyo taja ni ipi hasa kazi ya mbunge ambayo imeanishwa kikatiba?