Msaada wa kuunganishwa ajira. Nina shahada ya ualimu (Hesabu & IT)

Nov 14, 2021
7
2
Wakuu, nina degree ya ualimu (kwa masomo ya MATHS & IT).

Nimehangaika sana angalau kupata sehemu napoweza kupiga kibarua nipate chochote kitu ila wapi!

Naomba kama kuna mtu anaweza kuniunganisha au kunisaidia kupata job afanye hivyo tafadhali.

Natanguliza shukrani.
 
Wakuu, nina degree ya ualimu (kwa masomo ya MATHS & IT).

Nimehangaika sana angalau kupata sehemu napoweza kupiga kibarua nipate chochote kitu ila wapi!

Naomba kama kuna mtu anaweza kuniunganisha au kunisaidia kupata job afanye hivyo tafadhali.

Natanguliza shukrani.
Upo mkoa gani kaka
 
Back
Top Bottom