Mtu Alie Nyikani
JF-Expert Member
- Nov 9, 2022
- 714
- 1,527
Habari wakuu.
Natumai hali zenu zote ni nzuri. Kwa wale wenye changamoto, Mungu awajalie.
Nina swali kuhusu kusoma elimu ya sekondari kwa miaka miwili. Mfumo huu wa Elimu ya Secondary upo hivi yani katka mwaka Mmoja unasoma Madarasa mawili (form 1&2) and next year form 3&4 jumla miaka miwili.
Ningependa kuuliza vigezo vya kuipta hii Elimu vipoje, je pale ambapo mtu kama alifulu darasa la 7 lakini hakuendelea na Elimu ya Secondary anaruhusiwa kusoma hiyo Elimu ya miaka miwili?
Au kamaliza La 7 ila akahitaji kusoma hiyo Elimu ya Miaka miwili inaruhisiwa?
Na taratibu zake zipoje za Kuipata hiii Elimu.
Naombeni mnisaidie juu ya hili Wakuu.
Mbarikiwe kwa wale watakao toa maoni.
Natumai hali zenu zote ni nzuri. Kwa wale wenye changamoto, Mungu awajalie.
Nina swali kuhusu kusoma elimu ya sekondari kwa miaka miwili. Mfumo huu wa Elimu ya Secondary upo hivi yani katka mwaka Mmoja unasoma Madarasa mawili (form 1&2) and next year form 3&4 jumla miaka miwili.
Ningependa kuuliza vigezo vya kuipta hii Elimu vipoje, je pale ambapo mtu kama alifulu darasa la 7 lakini hakuendelea na Elimu ya Secondary anaruhusiwa kusoma hiyo Elimu ya miaka miwili?
Au kamaliza La 7 ila akahitaji kusoma hiyo Elimu ya Miaka miwili inaruhisiwa?
Na taratibu zake zipoje za Kuipata hiii Elimu.
Naombeni mnisaidie juu ya hili Wakuu.
Mbarikiwe kwa wale watakao toa maoni.