professional ethics
Senior Member
- Dec 24, 2023
- 108
- 352
Wakuu mdogo wenu nipo njia panda, naomba ushauri wenu. Mimi ni wanafunzi wa mwaka wa tatu hapa Duce nachukua bachelor of science with education biology na geography. (Umri wangu ni miaka 23)
Wakuu nimetunza boom toka nipo mwaka wa kwanza hadi sasa na milioni nne na laki Saba kama reserve yangu ( nimeishi kwa kujibana na Kwa shida sana).
Lakini wakuu hapa natamani sana pindi nitakapomaliza shahada hii mwezi wa Saba, naendelea kuendelea na Master of education hapa hapa UDSM kwa kutumia hii pesa niliyoitunza.
Lakini, pia Wakati nitakapokuwa naendelea na master nime plan niwe nafanya shughuli mbalimbali hasa za ujasiriamali ili niweze ku-mudu maisha hapa jijini.
Wakuu wangu, naomba ushauri mimi mdogo wenu je nipo sahihi kwa mawazo haya niliyo nayo.
Goals za elimu kwangu, natamani sana kuwa mkufunzi, Pia katika maamuzi hasa katika eneo la elimu.
Status ya uchumi wa familia yangu ni duni sana, lakini naamini katika elimu, licha ya kuwa wengi wanaona elimu ni scam.
Wakuu nimetunza boom toka nipo mwaka wa kwanza hadi sasa na milioni nne na laki Saba kama reserve yangu ( nimeishi kwa kujibana na Kwa shida sana).
Lakini wakuu hapa natamani sana pindi nitakapomaliza shahada hii mwezi wa Saba, naendelea kuendelea na Master of education hapa hapa UDSM kwa kutumia hii pesa niliyoitunza.
Lakini, pia Wakati nitakapokuwa naendelea na master nime plan niwe nafanya shughuli mbalimbali hasa za ujasiriamali ili niweze ku-mudu maisha hapa jijini.
Wakuu wangu, naomba ushauri mimi mdogo wenu je nipo sahihi kwa mawazo haya niliyo nayo.
Goals za elimu kwangu, natamani sana kuwa mkufunzi, Pia katika maamuzi hasa katika eneo la elimu.
Status ya uchumi wa familia yangu ni duni sana, lakini naamini katika elimu, licha ya kuwa wengi wanaona elimu ni scam.