jmratino
Member
- Jul 20, 2017
- 15
- 5
Kama kichwa cha habari kinavyoonyesha baba yangu anasumbuliwa na huo uvimbe, umekua ukimdhoofisha afya yake, tumejaribu mara kadhaa kumpeleka hospital lakini matibabu anayopewa yameshindwa kumponyesha, kwa maelezo yake anasema linavuta kwa ndani kama mtu aliyekulenga na mshale wa sindano.
Nimejaribu kuongea na dokta kuona uwezekano wa kufanya operation wanasema limekaa sehemu mbaya kwa sababu wanadai shina la huo uvimbe limekaa karibu sana na mishipa ya moyo, kuhusu kansa tumepima mara kadhaa na majibu yanasema sio kansa.
Historia yake palianza kama kipele kidogo mwanzoni mwa mwaka 2000 na matibabu alianza 2006 pale Muhimbili lakini hata hivyo matibabu waliyompa yalimpa nafuu ya muda tu.
Nawasilisha.
Nimejaribu kuongea na dokta kuona uwezekano wa kufanya operation wanasema limekaa sehemu mbaya kwa sababu wanadai shina la huo uvimbe limekaa karibu sana na mishipa ya moyo, kuhusu kansa tumepima mara kadhaa na majibu yanasema sio kansa.
Historia yake palianza kama kipele kidogo mwanzoni mwa mwaka 2000 na matibabu alianza 2006 pale Muhimbili lakini hata hivyo matibabu waliyompa yalimpa nafuu ya muda tu.
Nawasilisha.