Wataalam wa umeme wa solar nisaidieni hapa

Zekoddo

JF-Expert Member
Jul 28, 2022
1,831
4,498
Wakuu naomba mawazo yenu.

Nipo Huku Kijijini na umeme wetu hasa ni solar power.

Kwenye vifaa vyangu Nina Inverter Ila tatizo la hii inverter ni kwba inatumia sana hali inayopelekea umeme kuishe na taa kushindwa kuwaka.

Je, kwa hali ya kawaida ninaweza kuondoa feni ya inverter, ili kupunguza matumizi ya umeme wa betri.

Kwanza hii inverter inanipigia sana kelele usiku nikiwa nachaji kimeo changu
 
panel yako wat ngapi na betr zako watt ngapi kisha angalia hiyo invetor yako je ni sawa

kikawaida hapo ulipaswa kuwa na invetor ya kawaida tu zile

na muhimu kuwa na chaj control ili uweze kulinda betr zako
 
Ikiwa una charger controller hususani katika kipindi Cha masika ni Bora uiondoe katika system.

Controller nyingine zinafanya kazi kinyume na matarajio...

Kisha angalia huenda unakifaa ama vifaa vinavyotumia umeme sana mchana na kusababisha umeme wa akiba kuwa mchache.

Pia ni muhimu kuwa na Kobe ambayo utaitumia kama mbadala maana hiyo ni DC na DC inakula moto mchache...
 
Lakini pia zama hizi kuwasha taa kwa invetor mbona ni kuingia gharama isiyo ya lazima. Wakati siku hizi zipo taa za DC ambazo zina mwanga mzuri tu. Na huwaka kwa muda mrefu sana. Kuhusu kuchaj simu hapo waweza kuwa na charger zile za DC au Kobe za DC kama dharura pia.

Soler kwa maisha ya sasa hiyo invetor ni option tu siyo ya lazima.
 
Even if hutaweka load, as long as inverter iko ON battery inatumika.

Kama walivosema wengine juu.

Inverter sio necessary sana kwa matumizi ya simu na taa.

Kuna charge controller zenye option ya USB au charger za pweza zenye miguu mingi.

Battery, panel, inverter size gani?
 
Even if hutaweka load, as long as inverter iko ON battery inatumika.

Kama walivosema wengine juu.

Inverter sio necessary sana kwa matumizi ya simu na taa.

Kuna charge controller zenye option ya USB au charger za pweza zenye miguu mingi.

Battery, panel, inverter size gani?
Shida Iko hivi mkuu, DC naona inachelewa sana kupeleka moto kwenye Simu.. Sasa sijajua kwamba inatakiwa nipate DC yenye uwezo gani... Just imagine naweza kuweka Simu kwenye DC lisaa limoja then nakuta imeingia 3% only
 
Ungejubu swali la mdau hapo juu uwezo wa vifaa vyako. Betri, sola na hiyo invetor
 
Matumizi ya kawaida soar Watts 100 ,betri Rita au prosola n100 ,invator ya kusuka/kuchonga Watts 300 hapo utafurahia maisha ya sola
 
Shida Iko hivi mkuu, DC naona inachelewa sana kupeleka moto kwenye Simu.. Sasa sijajua kwamba inatakiwa nipate DC yenye uwezo gani... Just imagine naweza kuweka Simu kwenye DC lisaa limoja then nakuta imeingia 3% only

Mkuu binafsi naona kama inverter ni michosho tu kwa zama hizi

Weka specifications za vifaa vyako vya solar wadau watajua namna ya ushauri bora
 
Shida Iko hivi mkuu, DC naona inachelewa sana kupeleka moto kwenye Simu.. Sasa sijajua kwamba inatakiwa nipate DC yenye uwezo gani... Just imagine naweza kuweka Simu kwenye DC lisaa limoja then nakuta imeingia 3% only
unachokisema mimi nimeshakiexperience hapo shida ni kuwa hiyo DC haina current ya kutosha

Binafsi niliamua kufunga charger controller yenye option ya USB na ina supply 5VDC 2A ambayo inajaza smart phone bila shida na hapa lazima uwe na USB Cable nzuri.

kuhusu kuwasha taa tafuta taa za DC japo usizifunge direct kwenye battery, tafuta hiyo charger controller yenye option ya USB lakini pia ina DC outlet kwaajili ya taa ambayo unaweza set kuiwasha manual, ama ikawasha taa jua likizama ama ikawa always on endapo mfumo wa taa zako una switch za kujitegemea.

Kuhusu Invertor kumaliza sana umeme sio kweli, ikiwa imeungwa na haina mzigo inatumia umeme kidogooo sana sanaa....hata feni pia haili umeme hapo naona hata battery lako litakuwa na uwezo mdogo kulingana na mzigo uliolipa, kwahiyo usije ukaiondoa maana hiyo ina kazi ya kupoza humo, Invertor unaweza kuitumia kwa matumizi fulani fulani tu
 
Shida Iko hivi mkuu, DC naona inachelewa sana kupeleka moto kwenye Simu.. Sasa sijajua kwamba inatakiwa nipate DC yenye uwezo gani... Just imagine naweza kuweka Simu kwenye DC lisaa limoja then nakuta imeingia 3% only
Uko sahihi unacho experience, obviously expected.

Problem is USB port ya charge controller, kobe na pweza charger aren’t actually phone chargers bali ni 5V DC source.

1. Technically ni DC source ambayo hairegulate voltage required by the phone BMS.
2. Lower level engineering used


Follow me as i dig a little deeper into electronics. I’ll try to lean in a layman way.

Mobile phones battery ni Lithium ion battery.

Charging cycles za li-ion battery zinakua dictated na BMS firmware iliyopo kwenye simu. Ili Battery ichaji, 5V DC source inatakiwa iwe enginered clean, close to zero voltage fluctuations.
Otherwise BMS itakua ina ruhusu power system relay ON-OFF based on cleanliness ya voltage. The number of times it disconnects power, the longer the battery % stumbles.

Overcharge ina rise temperature leading to fire explosion of Li-ion, eventually.

AC adapters ziko precisely engineered, undoubtedly.

Electrochemistry ya hii battery inaruhusu battery ichajiwe to full charge kwa variable time with some other variables kept constant under CCCV algorithm.


Kwa maana hiyo sasa battery ya simu ya 4000mAh (4 Ampere hour) inamaanisha hii battery inaweza kujaa roughly kwa lisaa kama inapata 4 Ampere kutoka kwenye charger, inaweza kujaa kwa masaa 2 kama ikipata 2A kutoka kwenye charger, inaweza kujaa masaa 3 kama ikipata 1.3A kutoka kwenye chaja, etc.

There’s time limit. Taking too long kills a battery.

While producing these amps, voltage should not surge.

Solutions.
1. While 5V source is not clean, tumia original USB cable (thicker) ku reduce voltage drops.
2. Kama simu ya gharama, Tafuta 50W micro inverter specifically for phone charging, hapo utatumia AC adapter ya kawaida. Everything will be fine.
 
unachokisema mimi nimeshakiexperience hapo shida ni kuwa hiyo DC haina current ya kutosha

Binafsi niliamua kufunga charger controller yenye option ya USB na ina supply 5VDC 2A ambayo inajaza smart phone bila shida na hapa lazima uwe na USB Cable nzuri.

kuhusu kuwasha taa tafuta taa za DC japo usizifunge direct kwenye battery, tafuta hiyo charger controller yenye option ya USB lakini pia ina DC outlet kwaajili ya taa ambayo unaweza set kuiwasha manual, ama ikawasha taa jua likizama ama ikawa always on endapo mfumo wa taa zako una switch za kujitegemea.

Kuhusu Invertor kumaliza sana umeme sio kweli, ikiwa imeungwa na haina mzigo inatumia umeme kidogooo sana sanaa....hata feni pia haili umeme hapo naona hata battery lako litakuwa na uwezo mdogo kulingana na mzigo uliolipa, kwahiyo usije ukaiondoa maana hiyo ina kazi ya kupoza humo, Invertor unaweza kuitumia kwa matumizi fulani fulani tu
At no-load, DC system is more efficient than AC system.

DC system:
Battery N100
At no-load
Ebergy out = 0 kWh

Theoretical state of Charge % =100%-0=100%

AC system:
Battery N100
At no-load
Inverter (ON but no load connected)

Inverter voltage output 220AC
Battery voltage 12V
Battery current which produced 220AC = 12 x N100/220= 5.45A

Battery is 100Ah if it deliver 5.45A current to produce 220AC even at no-load the battery would last 100 Ah/5.45A = 18.33 hrs until completely drained out.

In primary education terms, if an inverter is ON for 1hr, then battery is 94%. For every hour, charge drops 5%

Now it become out clear that in AC system, for a battery to stay 100% full inverter should be OFF even at no load. Otherwise the state of charge becomes a function of inverter ON-time+ load
 
Je, kwa hali ya kawaida ninaweza kuondoa feni ya inverter, ili kupunguza matumizi ya umeme wa betri
ukiondoa fan, inverter itakuwa na maisha mafupi
cha kufanya ondoa inverter yote, inverter yenyewe kwanza inakula umeme(Quiescent Current) as long as ina operate au ikiwa haina mzigo

kama ni kuchaji simu agizia ichi kifaa
unachomeka kwenye battery moja kwa moja, na inakupa fast charger ya 5V5A, sawa na 25W (Quick Charge inayokaribia daraja la 4)
 
Achana na inverter siku hizi wamejitahidi kila kifaa (ukiondoa vile vikubwa vikubwa) wanatengeneza na cha dc, labda kompyuta na pasi tu ndo sijaona...
 
Wakuu naomba mawazo yenu.

Nipo Huku Kijijini na umeme wetu hasa ni solar power.

Kwenye vifaa vyangu Nina Inverter Ila tatizo la hii inverter ni kwba inatumia sana hali inayopelekea umeme kuishe na taa kushindwa kuwaka.

Je, kwa hali ya kawaida ninaweza kuondoa feni ya inverter, ili kupunguza matumizi ya umeme wa betri.

Kwanza hii inverter inanipigia sana kelele usiku nikiwa nachaji kimeo changu
😂😂Utoe feni tena?? Mosfet zinavyochemka hiyo invetor Masaa 2 hayafiki bila feni unazikaanga Mosfet zote na hapo unakosa ata hayo masaa machache unayopata umeme.
Je Invetor yako ni Watts Ngapi??pannel zako? Jumla una taa ngapi? Za watts ngapi??mbali na Taa , unawasha nini na nini??
 
Uko sahihi unacho experience, obviously expected.

Problem is USB port ya charge controller, kobe na pweza charger aren’t actually phone chargers bali ni 5V DC source.

1. Technically ni DC source ambayo hairegulate voltage required by the phone BMS.
2. Lower level engineering used


Follow me as i dig a little deeper into electronics. I’ll try to lean in a layman way.

Mobile phones battery ni Lithium ion battery.

Charging cycles za li-ion battery zinakua dictated na BMS firmware iliyopo kwenye simu. Ili Battery ichaji, 5V DC source inatakiwa iwe enginered clean, close to zero voltage fluctuations.
Otherwise BMS itakua ina ruhusu power system relay ON-OFF based on cleanliness ya voltage. The number of times it disconnects power, the longer the battery % stumbles.

Overcharge ina rise temperature leading to fire explosion of Li-ion, eventually.

AC adapters ziko precisely engineered, undoubtedly.

Electrochemistry ya hii battery inaruhusu battery ichajiwe to full charge kwa variable time with some other variables kept constant under CCCV algorithm.


Kwa maana hiyo sasa battery ya simu ya 4000mAh (4 Ampere hour) inamaanisha hii battery inaweza kujaa roughly kwa lisaa kama inapata 4 Ampere kutoka kwenye charger, inaweza kujaa kwa masaa 2 kama ikipata 2A kutoka kwenye charger, inaweza kujaa masaa 3 kama ikipata 1.3A kutoka kwenye chaja, etc.

There’s time limit. Taking too long kills a battery.

While producing these amps, voltage should not surge.

Solutions.
1. While 5V source is not clean, tumia original USB cable (thicker) ku reduce voltage drops.
2. Kama simu ya gharama, Tafuta 50W micro inverter specifically for phone charging, hapo utatumia AC adapter ya kawaida. Everything will be fine.
Hapo kwenye voltage drop reducing, ni thicker au shorter original cable?
 
Hapo kwenye voltage drop reducing, ni thicker au shorter original cable?
Resistance reduction strategies
1. The thicker the better
2. The shorter the better


There are more thickness-based USB varieties than length-based ones.
 
Back
Top Bottom