Augustino Lyatonga Mrema (born 31 December 1944) is a Tanzanian politician and former minister for home affairs in Tanzania. After switching party affiliation in February 1995 he joined NCCR-Mageuzi before moving on to Tanzania Labour Party (TLP) where he was made the Party Chairman. He also served as the Member of Parliament for Vunjo constituency on multiple occasions until 2015 when he was defeated in the National election by James Mbatia of NCCR MAGEUZI. In early 2016 Mrema was appointed by President John Joseph Pombe Magufuli as the chairperson of Tanzania Parole Board.Mrema is a member of the Chaga tribe from Kiraracha Village near Mount Kilimanjaro. He is the second of five siblings.
Ushahidi wa kimazingira. Circumstantial evidence ni kuwa huu mkataba mbovu kuna watu wamekula rushwa.
Taifa letu linahitaji mashushushu kama hayati Lyatonda Mrema.
Leo hii tungejua kila mtu namna alivyohongwa na kuisaliti Tanganyika.
Nimedokezwa kuwa aliyepata tenda ya kuiuzia serikali vishikwambi vya sensa na walimu amepiga kama bil 10 faida ya pesa chafu.
Ripogi ya CAG imetupatia jibu sahihi kuwa kumbe pesa za umma zinapotea sababu tu rais hayupo serious kuzilinda.
Zinakwapuliwa na wahuni kama njugu.
Lakini taifa hili...
1. Profesa Alex Lyatonga Mrema wa CoET, UDSM ametutoka.
2. Tuliosoma Civil Engineering, FoE (baadae CoET, UDSM tutamkumbuka daima).
3. Poleni familia na Doreen.
4. Naambatanisha Ratiba ya Mazishi na picha yake.
Alipokuwa waziri wa mambo ya ndani alitumia mbinu za kishushu kupambana na uhalifu wa kila namna.
Alikuwa akitoa siku saba majambazi kusalimisha silaha na walisalimisha.
Kura za siri zilitumika kufichua uhalifu wa wahalifu wa kila namna.
Nashangaa huyu waziri wa sasa anaongea kama vile...
Kwa namna ya pekee Jeshi la polisi nchini linapaswa kumuenzi aliyekuwa Naibu Waziri mkuu na waziri wa mambo ya ndani the late Augustino Lyatonga Mrema kwa kuja na mpango au kutekeleza mpango wa ugatuzi wa huduma za polisi nchini kwa kuanzisha ujenzi wa vituo vidogo vya polisi nchini.
RiP Mzee...
TAAZIA: AUGUSTINO MREMA (1944 - 2022)
Mohamed Mlamali Adam alimwandikia taazia Thabit Kombo alipofariki.
Kalamu ya Mlamali akiandika kwa lugha yeyote iwe Kiswahili au Kiingereza inastarehesha lakini pia inaumiza kwani inakata kama upanga wa Sayyidna Ali.
Naisoma taazi na kuirejea mara mbili...
USIKU MWEMA NDUGU AUGUSTINO LYATONGA MREMA.
Leo 13:15hrs 21/08/2022
Usiku mwingine tena,mwamba umelala,daima tutaikumbuka mikutano yako na wananchi, mabomu ya machozi yaliyokuwa yakipigwa, khanga zilizokuwa zikitandikwa na akina mama ili utembee juu yake wakati ukipita mitaani na mambo...
Mwenyekiti wa chama cha TLP, Augustino Lyatonga Mrema (77) amefariki duninia leo Jumapili 21 August 2022, saa 12.15 asubuhi, katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) jijini Dar es Salaam. Mrema aliyewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani, alizaliwa Desemba 31, 1944, Vunjo mkoani Kilimanjaro...
Tofauti na Wenyeviti wa vyama vingine vya siasa hawa niliowataja yaani Mbowe, Mbatia na Mrema hawajaonyesha tamaa ya kuutaka urais.
Kwa mfano Prof Lipumba mzee Cheyo, Hashimu Ringer nk ni kama Madilkteta wasiotaka kupisha wanachama wengine ndani ya vyama vyao kugombea kila Uchaguzi ni wao tu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.