Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 6,273
- 6,637
Nimedokezwa kuwa aliyepata tenda ya kuiuzia serikali vishikwambi vya sensa na walimu amepiga kama bil 10 faida ya pesa chafu.
Ripogi ya CAG imetupatia jibu sahihi kuwa kumbe pesa za umma zinapotea sababu tu rais hayupo serious kuzilinda.
Zinakwapuliwa na wahuni kama njugu.
Lakini taifa hili lingekuwa na maafisa usalama walio na uchunngu wa taifa lao kama Lyatonga Mrema (Rip) ukweli wa matapeli na mafisadi wanotuibia ungejulikana.
Lyatonga Mrema (Rip ) aliweza kupambana kwa taifa hili kwa kila namna hadi kulala vichakani ili kupinga wizi na utapeli. Leo hii tunaibiwa kama.
Taifa halina wazalendo.
Ripogi ya CAG imetupatia jibu sahihi kuwa kumbe pesa za umma zinapotea sababu tu rais hayupo serious kuzilinda.
Zinakwapuliwa na wahuni kama njugu.
Lakini taifa hili lingekuwa na maafisa usalama walio na uchunngu wa taifa lao kama Lyatonga Mrema (Rip) ukweli wa matapeli na mafisadi wanotuibia ungejulikana.
Lyatonga Mrema (Rip ) aliweza kupambana kwa taifa hili kwa kila namna hadi kulala vichakani ili kupinga wizi na utapeli. Leo hii tunaibiwa kama.
Taifa halina wazalendo.