augustino lyatonga mrema

Augustino Lyatonga Mrema (31 December 1944 - 21 August 2022) was a Tanzanian politician and former minister for home affairs in Tanzania. After switching party affiliation in February 1995 he joined NCCR-Mageuzi before moving on to Tanzania Labour Party (TLP) where he was made the Party Chairman. He also served as the Member of Parliament for Vunjo constituency on multiple occasions until 2015 when he was defeated in the National election by James Mbatia of NCCR MAGEUZI. In early 2016 Mrema was appointed by President John Joseph Pombe Magufuli as the chairperson of Tanzania Parole Board.Mrema is a member of the Chaga tribe from Kiraracha Village near Mount Kilimanjaro. He is the second of five siblings.

View More On Wikipedia.org
  1. Jackbauer

    Utatuzi wa huduma za polisi - Alama ya legend Augustino Lyatonga Mrema

    Kwa namna ya pekee Jeshi la polisi nchini linapaswa kumuenzi aliyekuwa Naibu Waziri mkuu na waziri wa mambo ya ndani the late Augustino Lyatonga Mrema kwa kuja na mpango au kutekeleza mpango wa ugatuzi wa huduma za polisi nchini kwa kuanzisha ujenzi wa vituo vidogo vya polisi nchini. RiP Mzee...
  2. M

    Mrema alikuwa anapeleka wapi pesa zake?

    Marehemu hasemwi ila ni vizuri tujue ili tulio hai tujifunze Alianza kazi mwaka 1966 kwenyeile idara akizuga ni mwalimu. Mwaka 1987 akawa mbunge,1990 mbunge tena. Akawa waziri wa mambo ya ndani na waziri wa kazi,akawa naibu waziri mkuu(cheo cha mchongo kisichokuwepo kwenye katiba) Akawa tena...
  3. Mohamed Said

    Taazia: Augustino Lyatonga Mrema (1944 - 2022)

    TAAZIA: AUGUSTINO MREMA (1944 - 2022) Mohamed Mlamali Adam alimwandikia taazia Thabit Kombo alipofariki. Kalamu ya Mlamali akiandika kwa lugha yeyote iwe Kiswahili au Kiingereza inastarehesha lakini pia inaumiza kwani inakata kama upanga wa Sayyidna Ali. Naisoma taazi na kuirejea mara mbili...
  4. Mwande na Mndewa

    Usiku mwema ndugu Augustino Lyatonga Mrema

    USIKU MWEMA NDUGU AUGUSTINO LYATONGA MREMA. Leo 13:15hrs 21/08/2022 Usiku mwingine tena,mwamba umelala,daima tutaikumbuka mikutano yako na wananchi, mabomu ya machozi yaliyokuwa yakipigwa, khanga zilizokuwa zikitandikwa na akina mama ili utembee juu yake wakati ukipita mitaani na mambo...
  5. Idimi

    Augustino Mrema: Behind the Scene

    Mnyonge Mnyongeni, lakini haki yake mpeni. Katika kikao cha saba cha bunge lilohitimishwa jana, kamati yake ya Hesabu za serikali a mitaa ilitoa ripoti moja nzuri sana juu ya ubadhirifu mkubwa ulioonekana katika serikali za mitaa. Kamati yake, tofauti na kamati nyingine za bunge, ilithubutu...
Back
Top Bottom