johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,004
- 142,036
Tofauti na Wenyeviti wa vyama vingine vya siasa hawa niliowataja yaani Mbowe, Mbatia na Mrema hawajaonyesha tamaa ya kuutaka urais.
Kwa mfano Prof Lipumba mzee Cheyo, Hashimu Ringer nk ni kama Madilkteta wasiotaka kupisha wanachama wengine ndani ya vyama vyao kugombea kila Uchaguzi ni wao tu.
Matumaini hata Tundu Lisu akifanikiwa kuwa Mwenyekiti wa Chadema mwakani baada ya Mbowe kustaafu hatakuwa na tamaa ya uRais.
Mungu wa mbinguni awabariki hawa wanademokrasia Mbowe, Mbatia na Mrema.
Kwa mfano Prof Lipumba mzee Cheyo, Hashimu Ringer nk ni kama Madilkteta wasiotaka kupisha wanachama wengine ndani ya vyama vyao kugombea kila Uchaguzi ni wao tu.
Matumaini hata Tundu Lisu akifanikiwa kuwa Mwenyekiti wa Chadema mwakani baada ya Mbowe kustaafu hatakuwa na tamaa ya uRais.
Mungu wa mbinguni awabariki hawa wanademokrasia Mbowe, Mbatia na Mrema.