Habari za mchana ndugu zangu,
Nina Samsung S9 Plus imeharibika kioo sasa ninataka aidha kurudishia kioo au kupata fundi wa kurecover contact zangu zilizopo kwenye hiyo simu. Niliisajili online na nilikuwa nafanya backup online ila sijui kama kuna jinsi ya kurestore hiyo backup bila kutyumia...
Rais wa Marekani Donald Trump amefungiwa kabisa akaunti yake ya Twitter kwasababu ya hatari ya kuchochea vurugu zaidi", kampuni hiyo imesema.
Kampuni ya Twitter imesema uamuzi huo umefikiwa baada ya kufuatiliwa kwa karibu kwa ujumbe wa Twitter wa akaunti ya @realDonaldTrump account".
Baadhi ya...
Mathayo 11:2-26
Yohana Mbatizaji akiwa gerezani alipata kusikia habari juu ya matendo ya Yesu Kristo. Basi, Yohana akawatuma wanafunzi wake, wamwulize Yesu hivi: “Je, wewe ndie yule Masiah anayekuja, au tumngoje mwingine?” Yesu akawajibu, “Nendeni mkamwambie Yohane mambo mnayoyasikia na kuyaona...
Liverpool ambayo imebakiza pointi 12 tu kubeba ubingwa wa Ligi ya Uingereza inaweza ikaukosa endapo Coronavirus au Virusi vya Corona vitaingia Uingereza na kulazimisha ligi kufupishwa.
Hakuna sheria inayoruhusu bingwa kutawazwa kabla hajamaliza mechi zote 38. Kwa mukadha huu, mashabiki wa...
Kwa Wasomaji wa Kiswahili
DSTV Tanzania Kushusha Bei ya Vifurushi Kuanzia Tarehe 1 Septemba 2019
Bei mpya za vifurushi vya DTSV vitakuwa ni:
Jina la Kifurushi
Idadi ya Chaneli
Bei ya Zamani
Bei Mpya
Bomba
45+
19,000
19,000
Family
57+
39,000
29,000
Compact
90+
69,000
44,000
Compact...
Tumeshuhudia Lionel Messi kwa muda mrefu akisota na timu yake ya Taifa kuipa mafanikio tangu kombe la Dunia 2006 hadi mwaka jana 2018 tofauti na mafanikio makubwa aliyoiletea klabu yake ya Barcelona
Pamoja na kuwa na mastaa wengi, Argentina bado imeendelea kuwa kichwa cha mwenda wazimu kwa...
Sadio Mane (Liverpool star) said that his parents have been telling him pursuit football career was a waste of time, right up until he signed his first contract in 2011 with Metz, before moving to Red Bull Salzburg and Southampton prior to his Liverpool switch.
Mane, 26yrs old, has developed...
The following is the FIFA shortlist for 2018 Ballon d'Or Award
Mohamed Salah
Luka Modric
Cristiano Ronaldo.
1. Mohamed Salah
Netted 44 goals in all competitions for Liverpool last season,
Helped Jurgen Klopp's side reach the Champions League final.
2. Lucas Modric
Modric helped Real Madrid to...
Kama una neno au maneno yenye kubeba hekima, ya kwako binafsi, ya Wanafalsafa (Philosophers), Watu mashuhuri (Celebrities), Wahenga (ancestors), Viongozi (Leaders) tupia hapa ili iwajenge na wengine
-If a woman have sex with a man, his DNA lives in her forever.
A research by university of Seattle USA has proven that.
There is now a greater understanding of why God asks us not to have sex before we get married.
This research proves that any man, that a woman has sex with leaves a part of...
Nimekutana na baadhi ya wadau wa hotel kubwa kubwa hapa Arusha pamoja na Tour operators wanasema utalii umeongezeka kwa kasi katika msimu huu ulioanza mwezi wa sita 2018. Na sababu kubwa ni Serikali ya Magufuli imeitangaza nchi sana.
Agents wengi wa kimataifa sasa wameongeza kasi ya kutafuta...
Tuusome na kama na wewe ulishatumiwa au kama bado jiandae na ujifunze, usikurupuke kutuma pesa
_______________________________________________________________________
Habari ya kazi,
ile hela inabidi uitume kwenye namba hii 0753515775 jina litatoka HADIJA MELIMELI,usitume kwenye namba yangu...
Dear JF
As we all are aware that the Government of United Republic of Tanzania through The Ministry of Information, Culture, Arts and Sports in March 2018 signed a regulation know as
THE ELECTRONIC AND POSTAL COMMUNICATIONS (ONLINE CONTENT) REGULATIONS, 2018 which abbreviated as EPOCA to...
#1. Manchester United
Social Media: 75 million followers (68m facebook, 7m twitter)
Tv Viewership: 52 per cent of the Premier League’s entire global TV audiance (premier league averages 3.5 to 4 billion global views a season)
Shirt sales: averaged 1.2 t0 1.6 million a year (last 5 years)...
Dunia ina wastani ya washabiki wa mpira wa miguu 1.6 Bilioni kwa takwimu za mwaka 2013. Timu hizi za EPL zimegawana hao mashabiki kama iifuatavyo:
EPL Footbal Club Team Fan-base Percentage Source
Manchester United 685M 43% Telegraph (2012)...
Utangulizi
Fuatilia maelezo ya kila mfumo ukitilia maanani faida na hasara za kila mfumo. Unaweza pia kumtumia mshauri wa masuala ya biashara kukushauri kulingana na mazingira yako utakayofanyia biashara.
Hasa unatakiwa kujua zaidi mambo ya kisheria katika mfumo utakaoamua kuutumia kuendesha...
Josep "Pep" Guardiola Sala (#Pep)- #ManchesterCity
José Mário dos Santos Mourinho Félix,(#JoseMourinho) - #Manu
Carlo Ancelotti OSI - only manager to have won the UEFA Champions League three times and reached four finals
Arsène Wenger, OBE (#Wenger)- #Arsenal
Zinedine Yazid Zidane "Zizou" -...
Wadau wa mpira hasa wa Laliga ebu mnisaidie, hii mechi ambayo ilikuwa na mastaa wote wa #Barcelona ya 2017 je ilikuwa mazoezi tu au #Laliga? sikupataga bahati ya kuiona ila nimeikuta tu kwenye mitandao nikadhani #RealMadrid wanacheza na #Espanyol maana waliwahi kuwafunga 16:0.
#Barcelona...
Kuna taarifa kuwa Yona F. Maro ambaye ni mwanaJF na muasisi wa Wanabidii, Google Group amefariki dunia jana tarehe 12 January 2018.
Mazishi yatafanyika Jumatatu tarehe 15 Januari Kijijini kwao Mowo, Old Moshi - Kilimanjaro.
Bwana ametoa, Bwana ametwaa Jina Lake lihimidiwe.
Natoa pole kwa...
Leo ni siku ya nne tangu maandamano ya kuipinga serikali ya Iran inayoongozwa na Hassan Rouhani ianze. Mitandao ya kijamii maarufu kule kama Instagram na Telegram zimefungwa ili kuzima upashanaji wa habari za maandamano.
Kweli wahenga hawakukosea waliposema
“Mwenzako akinyolewa wewe tia maji”...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.