lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 16,468
- 21,903
Habari za mchana ndugu zangu,
Nina Samsung S9 Plus imeharibika kioo sasa ninataka aidha kurudishia kioo au kupata fundi wa kurecover contact zangu zilizopo kwenye hiyo simu. Niliisajili online na nilikuwa nafanya backup online ila sijui kama kuna jinsi ya kurestore hiyo backup bila kutyumia simu husika. kama haiwezekani basi nipate fundi wa kunirudishia kioo original kwa bei poa
Nina Samsung S9 Plus imeharibika kioo sasa ninataka aidha kurudishia kioo au kupata fundi wa kurecover contact zangu zilizopo kwenye hiyo simu. Niliisajili online na nilikuwa nafanya backup online ila sijui kama kuna jinsi ya kurestore hiyo backup bila kutyumia simu husika. kama haiwezekani basi nipate fundi wa kunirudishia kioo original kwa bei poa