lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 16,468
- 21,904
Kuna taarifa kuwa Yona F. Maro ambaye ni mwanaJF na muasisi wa Wanabidii, Google Group amefariki dunia jana tarehe 12 January 2018.
Mazishi yatafanyika Jumatatu tarehe 15 Januari Kijijini kwao Mowo, Old Moshi - Kilimanjaro.
Bwana ametoa, Bwana ametwaa Jina Lake lihimidiwe.
Natoa pole kwa familia, ndugu na jamaa wa karibu wa marehemu
Chanzo ni ukurasa wa Facebook wa dada yake na Yona: Janet Fares Maro
Mazishi yatafanyika Jumatatu tarehe 15 Januari Kijijini kwao Mowo, Old Moshi - Kilimanjaro.
Bwana ametoa, Bwana ametwaa Jina Lake lihimidiwe.
Natoa pole kwa familia, ndugu na jamaa wa karibu wa marehemu
Chanzo ni ukurasa wa Facebook wa dada yake na Yona: Janet Fares Maro