Mungu alianza uumbaji wake katika siku ya kwanza.
Akaamua kuweka ardhi, lakini hii ardhi akaamua kuitofautisha, kwa nini? Kwa sababu alitaka dunia ipendeze. Akaiwekea miti na kwingine akaamua kupawekea mchanga mwingi na kupaita jangwa.
Kwingine akaamua kupawekea tu mchanga wa kawaida, ndipo...
What's up, fellow footballers!
Today, I want to talk about something that's been bugging me for a while: time-wasting in our Tanzanian league. We all know it happens – players faking injuries, slow substitutions, endless ball retrievals – and it's killing the flow of the game.
Here's my...
Na Nukuu "I am very happy and proud of (Yanga style of play). If you remember at the beginning I said for me football is a show game, we play for the fans, not only Wananchi but for all the people who love football. Yanga is a team to watch even if you are not a Yanga fan"..~GAMONDI
Kwa...
Ukiwa mtu wa Mpira na umecheza mpira na unaelewa mpira na unaenjoy mpira ni raha sana, leo nimefurahi, nimeshangilia, nimechambua, na raha nimeipata.
Hongera Yanga SC hongera wana Yanga SC football ni raha sana.
Mungu ibariki Tanzania
Ni hayo tu 🙏🙏🙏
Wadiz
Kwann kama taifa hatuna mikakati?? Nakasirika sana kuona serikali inadandia treni ya mafanikio ya mpira kwa mbele.
Nchi za Senegal, Mali, na Burkina Faso serikali za nchi hizi zimefanya uwekezaji mkubwa ktk soka. Na ndiyo tunayaona mafanikio yao.
Badala ya kuwategemea vijana waliokulia chai na...
Mheshimiwa Rais, mama yetu Samia Suluhu Hassan una mapenzi ya dhati ya mpira wa miguu.
Hata hivyo, tunakuomba mheshimiwa Rais hakikisha kabla ya kumaliza muda wako 2030 uhakikishe ya kwamba umeacha misingi ya uhakika ili taifa letu liweze kufikia kiwango cha mataifa yaliofanukiwa kwenye...
I have been reporting corruption cases nyingi sana za football direct to fifa.
Nimenotice I can't keep it up. kuna too much information naona na miss. watu tuongezeke kureport rushwa hizi direct to fifa. Huu mpira wetu utakufa. Wamejaa watu wa ovyo sana in these organisation. na amna mtu ana...
THe FOOTBaLL
Kuanzia mwaka 1960 hadi Leo hii, Marais wote wa Marekani wamekuwa wakiambatana na mlinzi ('boardguard') maalum ambaye huwa anabeba mkoba, yaani ('briefcase')
Briefcase hii ni shurti iwe karibu na rais popote pale anapokuwa, hivyo ni wajibu wa mlinzi huyu kuwa sambamba na Rais...
Wakuu
Nimekaa nautafakari mwaka 2023 hapa Tanzania na matukio yake,
1. Tukio la ufunguzi wa African Football league
Hili ndilo tukio lilitikisa nchi, Simba wababe wa soka la Africa waliwakaribisha wababe wenzao kufungua michuano hii na dunia yote ilikuwepo Tanzania
2. DP world na issue zake...
Habari za wakati huu ndugu zangu katika jukwaa hili?
Hivi ni sahihi hii timu kuitwa Kilimanjaro stars ilhali jina kilimanjaro linawakilisha mlima na mkoa? Inaleta contradiction.
Kwanini kama lengo ni kuutangaza mlima isiwe specific timu ikaitwa Mount Kilimanjaro Stars kuliko hivi sasa ambapo...
Watanzania tuna hulka ya kupuuzia mambo ya msingi na kuna katabia kalijengwa na kameota mizizi ambapo ukihoji ukagusa maslahi ya watu fulani wanajaribu kukunyamazisha unaambiwa "acha ujuaji". Matokeo yake watu wanaogopa kuuliza maswali ya msingi na makosa yanajirudia kama siyo matatizo kuwa...
Leo kunapigwa mchezo wa Fainali ya African Football League mkondo wa pili.
Ni Mamelodi Sundowns Vs Wydad Athletic Club saa 10:00 jioni katika dimba la Loftus Versfeld jijini Pretoria.
Katika mkondo wa kwanza Wydad alishinda 2-1.
Leo kazi ni moja tu kwa Mamelodi kuibuka na ushindi na kutwaa...
Haijakamilika Mpaka ikamilike.
Leo 24.10.2023 Muda wa saa 11 jioni kwa saa za Africa Mashariki.
Itapigwa Match ya marudiano kati ya hawa mabingwa wa Africa.
Ni Al Ahly ya Misri dhidi ya Simba ya Tanzania.
Ikumbukwe kwenye 1st Leg Iliyopigwa Dar es Salaam 20.10.2023. Timu hizi zilitoka sare...
22 October 2023
Enyimba Vs Wydad AC in Aftican Football League
ENYIMBA 0 - 1 WAC
Dakika 3' mchezo unaendelea magharib ya leo
Dakika 7' Kona kuelekea Enyimba
Dakika 10' hizi za mwanzo Wydad inaonesha uchu wa ushindi
Dakika ya 11' Mbouma namba 15 mgongoni wa Enyimba anapata nafasi lakini apiga...
Haya mashindano aina ya African Football League ni rahisi kuona kwa nini huwa yanakwama sehemu nyingine na uwezekano wa kukwama hapa Africa tayari unaonekana.
Kutokana na mzozo wa kisiasa unaoendelea huko Mashariki ya Kati, mechi ya ufunguzi iligubikwa na viashiria vya kusapoti Palestina...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.