football

  1. Bujibuji Simba Nyamaume

    JamiiForums Tanzania Unafahamu nini kuhusu Football Gangsters?

    Football Gangster
  2. Bujibuji Simba Nyamaume

    JamiiForums Tanzania Unafahamu nini kuhusu Football Gangsters?

    Neno hili linatafsiriwa katika makundi makuu matatu: 1. Mashabiki Wenye Fujo na Magenge ya Soka (Football Hooligans) Huu ndio muktadha mkuu unaotumika duniani kote, hasa nchini Uingereza na Ulaya. Kuna makundi ya mashabiki wa soka yaliyojipanga kama magenge ya kihalifu (yanayoitwa Hooligan...
  3. papag

    JamiiForums Tanzania App ipi ya kuangalia live football?

    Habari wakuu? Nauliza ni App ipi ya free ninayo weza kuangalia mpira kwenye smart tv? natanguliza shukrani.
  4. Da Dona

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Rickman marks football comeback with debut goal in Kampala Derby

    Singer and footballer Derrick Ddungu, popularly known as Rickman, marked his return to competitive football in style, scoring on his Express FC debut as the Red Eagles defeated KCCA FC 2-0 in the Uganda Premier League Kampala Derby at Nakivubo on Thursday night. Rickman, who continues to pursue...
  5. Archival Sense

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Yaobai Cement Signs Shs450m Sponsorship Deal with Police FC

    Yaobai Cement Karamoja has signed a sponsorship agreement with Uganda Police Football Club, providing the club with Shs450 million for the first year. The agreement was signed at Uganda Police Headquarters in Naguru, Kampala, in the presence of Police FC chairman SCP Timothy Halango and...
  6. Dennis Robert Shughuru

    JamiiForums Tanzania Kama sio Football Video Support (FVS) basi wachezaji wawili wa Simba wasingepewa redcard

    Huu ni ukweli ambao ni wachache wanauona kama sio Football Video Support (FVS) basi leo hii watu wangeishia tu kulalamika kwamba jabar na duchu walistahili redcard sana sana watu wangesubiria kamati ya masaa 72 itoe hukumu Viongozi wa simba miaka nenda rudi wamekuwa wakilalamika kwamba...
  7. O

    JamiiForums Kenya "Age Is Just a Number!" Kenyan Grandmothers Inspire Many Through Football

    Wakati wengi huamini kwamba football ni mchezo wa vijana pekee, kundi la bibi nchini Kenya limevunja hiyo perception kwa kuingia uwanjani na kuonyesha talent, determination na teamwork ya hali ya juu. Katika video inayosambaa mtandaoni, grandmothers hao wanaonekana wakifanya warm-up, wakikimbia...
  8. C

    JamiiForums Tanzania Football hooliganism in Paris

    Hooliganism refers to rowdy, disruptive, and often violent behavior in public spaces. It typically involves vandalism, rioting, or fighting and is strongly associated with unruly crowds, most notably among rival sports fans or youth subcultures. Core Elements of Hooliganism Public Disorder...
  9. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Football Kenya Federation Yatikiswa! FIFA Wafuatilia Sakata ya Kusimamishwa kwa Hussein Mohammed

    Sakata ndani ya soka la Kenya imechukua turn kali baada ya Rais wa FKF, Hussein Mohammed, kusimamishwa kazi kufuatia allegations za financial misconduct zinazohusiana na CHAN 2025. Hii issue sasa imevuka mipaka baada ya FIFA kuingia kati kufuatilia kama due process ilifuatwa. Kwa mujibu wa...
  10. Planet Data bundles

    JamiiForums Tanzania Wakuu hii Tigana football academy ni ya kuaminika (Dar es salaam)

    Nina kijana wangu anapenda mambo ya mpira sasa nimeunganishwa na hii football academy ya Tigana Kawe Dar.Ila sikuwai kuisikia hapo mwanzo. Kwa wazoefu Je n ya kuaminika?
  11. K

    JamiiForums Tanzania FOOTBALL STREAMS EVERY GAMEDAY LINK UPDATE (1080P-4K)

    For the love of football kila siku ntakuwa natoa link za game za mpira wa miguu stream ni 4K tu kwa wenye Bandwith kubwa au Fiber March 18 Uefa champions league Liver Vs Galatasaray live atalanta vs Bayern live atletico vs spurs live Lets Gooo NB wenye bandwith ndogo chimbo ni CAMEL TV...
  12. Orketeemi

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa football betting

    Wazee wa mikeka habari. Nimekaa nimewaza kinachofanya mikeka ichanike sana mara nyingi ni tamaa za Karia (Odds 10+) Naomba kujua kwa wazoefu. Nina plann ya kuwa na mtaji wangu wa milioni mbili. Lengo niwe nafukuzia faida ya elfu 50 kwa siku hasa kwa live game isiyozidi odd 1.03 au live game...
  13. Hujaza Kibaba

    JamiiForums Tanzania Modern taste of Football Analysis | Uchambuzi wa soka wenye ladha ya kisasa Burudani iliyoje

    Familia ya mpira⚽️ karibuni kwenye channel yetu ya whatsapp kwa maudhui ya kipekee kwa lugha ya kiswahili Taarifa za mechi lini anacheza nani matokeo yamekuaje unaweza kupata popote ila taarifa zenye ladha na shule nyingi ndani yake ndugu zangu wa football ni hapa🙇 Kipindi hiki cha...
  14. PLOII

    JamiiForums Tanzania AFRIKA MASHARIKI WE LACK FOOTBALL CIVILIZATION, COURTESY & COMMON PRINCIPLES; goli la tatu na la ushindi kwa Morocco ni tafsiri ya perfect brain.

    Happy Sunday Wana JF, Sina maneno mengi nadhani Wana sports fainali tulitazama wote iliyofanyikia pale Kenya. Nilishawahi kusema Morocco ni football brain na Jana wameonyesha hicho kitu, nawaza tu kwa wachezaji wetu nani angewaza ku- shoot vile ( out of sarcasm). Tuna Cha kujifunza kutoka kwa...
  15. PLOII

    JamiiForums Tanzania Morocco Deserved , the Football Brain na Ndio Bingwa Mpya CHAN2024

    Habari wadau, Nimeangalia game ya Senegal Vs Morocco kiukweli Hawa jamaa wanajua ball , Wana utulivu wa kutosha. Nimeamini Kuna uhusiano wa njaa/umasikini na Wenge, wachezaji wetu Wana Wenge sana sababu ni malezi ya njaa Kali mfano mzuri Kibu D, Clement Mzize Hawa jamaa Wana Wenge...
  16. PLOII

    JamiiForums Tanzania Stars imemaliza mwendo taifa limepoteza; Morocco ni Football Brain tugange yajayo, Asanteni Watanzania kwa Sapoti kwa timu yenu

    Kwenye Mada moja kwa moja, Tukubali kuwa kilichotokea leo ni matumizi ya Brain, tukubali tukutae matumizi ya Brain kwa wachezaji wetu ni KIDOGO sana mfano Coach unamtoa Kagoma anaingia SAADUNI (hana anachoweza) badala yake katikati panapwaya ~ Morocco wanasogea kirahisi bila pressure. Clement...
  17. MkuuXyz

    JamiiForums Tanzania Jamani kuna Wakenya hapa tujadili football kidogo

    Sijukama niandike kwa English au Kiswahili anyways, nadhani niende Kikongoman , Hivi Majirani wa Kenya Mpo hapa nataka tuzungumze masuala na Mupira kidogo, Maana sisi wa Tanzania Hatujuagi Mpira tunataka nyie wataalam wa Mupira mtufunze kidogo, ili tukikutana kwenye fainali Tuweze Kukudinyeni...
  18. DAGAA WA BUKU

    JamiiForums Tanzania Football unites in

    Kwa kutokea msiba wa Diogo jota aliyekuwa ni mchezaji wa Liverpool nimeamini kwamba huu mchezo unaunganisha watu wengi sana huu mchezo unachukua nafasi kubwa kwenye maish
  19. DAGAA WA BUKU

    JamiiForums Tanzania Football unites people

    Jota kafanya niamini kuwa football au aina yeyote wa mchezo inaunganisha watu michezo inachukua nafasi kubwa sana katika maisha yetu
  20. Frank Wanjiru

    JamiiForums Tanzania Anaandika Micky Jnr African football Journalist

    🔥 27 wins out of 30 games! 🤩 Unreal numbers in a competitive league like the NBC Premier League. 👏 You have to give credit where it’s due — Yanga SC delivered an incredible season. From the top down, massive respect to President Eng. Hersi Said, the technical team, and the entire squad for...
Back
Top Bottom