lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 16,444
- 21,893
Wadau wa mpira hasa wa Laliga ebu mnisaidie, hii mechi ambayo ilikuwa na mastaa wote wa [HASHTAG]#Barcelona[/HASHTAG] ya 2017 je ilikuwa mazoezi tu au [HASHTAG]#Laliga[/HASHTAG]? sikupataga bahati ya kuiona ila nimeikuta tu kwenye mitandao nikadhani [HASHTAG]#RealMadrid[/HASHTAG] wanacheza na [HASHTAG]#Espanyol[/HASHTAG] maana waliwahi kuwafunga 16:0.
[HASHTAG]#Barcelona[/HASHTAG] wamenyanyazwa kama watoto wa mtaani
Hii inanikumbusha ile mechi ya 2003
Angalia pia Real Madrid vs Espanyol
[HASHTAG]#Barcelona[/HASHTAG] wamenyanyazwa kama watoto wa mtaani
Hii inanikumbusha ile mechi ya 2003
Angalia pia Real Madrid vs Espanyol