Wengi tumezoea kuwachukulia hawa Jamaa wa Silcon valley kila wanachokisema ndio Uhalisia. Kumbe kuna mengi hatuyajui.
Unakuta mtu anaimba tu "I wanna be the next Zuck" lakini je tunajua ya nyuma ya pazia. Artice hii ndefu inaelezea mengi ambayo wengi yawezekana hatuyajui kuhusu Zuckerberg na...
Commentary: Pamoja na kuwa na potential kubwa, Dar es Salaam haipo. Kuna mahali tunatakiwa kukaa na kurekebisha kama wajasi na kama nchi. Ukiangalia miji iliyopo kuna kitu kwa Bongoland yetu hakijakaa sawa
==============•
Africa is an often underestimated and overlooked region when it comes to...
Mwaka ndio unaelekea mwisho, na ni wakati wa kufanya majumuisho. Kuna mengi ya kuangalia, lakini kwa leo tuangalie mifumo.
KWA WATUMIAJI WA MIFUMO
1. Umetumia mfumo gani 2021?
2. Experience yako imekuwaje mwaka huu 2021?
3. Unadhani mfumo husika umekidhi mahitaji yako na unataka kuendelea nao...
Hosanna Higher Technologies creates Software Solutions for our corporate clients, Training IT/Software development departments for corporate and vendor variety of SaaS solutions to solve variety of business problems.
The Role
As Web Developer, you will build and ship our mobile products to our...
Hosanna Higher Technologies creates Software Solutions for our corporate clients, Traiing IT/Software development departments for corporate and vendor variety of SaaS solutions to solve variety of business problems.
The Role
As Mobile Engineer, you will build and ship our mobile products to our...
Hosanna Higher Technologies creates Software Solutions for our corporate clients, Training IT/Software development departments for corporate and vendor variety of SaaS solutions to solve variety of business problems.
It's going to take a big effort to enlighten and introduce business leaders...
Unaweza kupata kwa kuwa na "koneksheni" toka kwa anko
Unaweza kupata kwa kumpa "chochote" au kuwa "chochote"
Unaweze kupata kwa kupambana
Kama unataka kupata based on merits, hakuna shortcut! Jifunze, fanya na onyesha!
Kwenye kuonyesha tengeneza Project iwe Github au Gitlab na uwaonyeshe uwezo...
Leo nimesikia mahali kuwa serikali imekwisha zifuta hizi kanuni. Nimejaribu kujua ukweli wake sijaupata.
Nimejaribu kutafuta Soft copy ya gazeti la serikali angalau nione kama kuna tangazo la kuzifuta/ kuzibadili kanuni hizi sijaweza kulipata zaidi ya yale ya 2012.
Naomba kama kuna mwenye...
Nimeona wengi wakiwa desperate wakitaka kazi, lakini mabandiko mengi yamekaa kihuni sana. Ni vigumu kupata kazi kama tu first impression itakuwa ni mhuni fulani hivi. Kwa sababu kizazi cha xoxo kimekuwa na mtindo wa kudharau vitu vya msingi kwa pretext ya "Usi complicate maisha", nimeona...
Maelezo Kwa Kiswahili
Habari njema kwa wafanyabiashara mliokuwa mnapata changamoto juu ya namna bora ya kusimamia biashara zenu.
Adiuta Business Assistant ni Mfumo unaokusaidia kusimamia fedha za biashara yako kwa kukuwezesha kujua mapato, matumizi, mali na madeni ya biashara yako.
Iwe ni...
Leo nimepokea Ujumbe wa hii challenge. Binafsi sitapata nafasi ya kushiriki, nikaona ni vyema niwashirikishe wengine watakaokuwa na muda na wangependa kushiri.
Naona kuna zawadi ya mpaka 3.5mil TZS. Sio kubwa lakini kwa mwenye muda na Passion fedha hii inatosha hata kununua vitu vichache...
Habari wana JF,
Sio mwandishi sana wa mada jukwaa hili ila nimoeona ni jambo la msingi sana na linahitaji mjadala mpana wa kitaifa. Ni matarajio yangu post hii ifungue mijadala Bungeni na Serikalini na matokeo yake mtaani. Mada yenyewe ni kama ilivyoandikwa, tumejipanga vipi kukorofishana na...
Uzi huu ni kwa ajili ya wale wenye biashara zenye Wateja 100 au zaidi. Ni kwa ajili ya kujifunza tu wala si vinginevyo. Ulitumia mbinu gani kupata wateja 100 wa kwanza?
Changamoto gani ulikutana nazo?
Kama hutajali unaweza kutuambia ni biashara gani ulifanya au unafanya.
Mimi kwa sasa nabaki...
Habari na Heri ya Mwaka Mpya 2021!
Nimeamua kila nipatapo wasaa kujaribu kusaidia kuelimisha na kushirikisha mawazo wadau mbalimbali juu ya Teknolojia na Biashara, hasa Teknolojia ya Habari na Mawasialiano. Mara ya kwanza na ilikuwa ya mwisho kwa mwaka 2020 ilikuwa ni mwezi Septembe. Tafadhali...
Nimeamua kila nipatapo wasaa kujaribu kusaidia kuelimisha na kushirikisha mawazo wadau mbalimbali juu ya Teknolojia na Biashara, hasa Teknolojia ya Habari na Mawasialiano. So haya na maswali ya Mwezi wa tisa kwenye Ask Me Anything Technology and Business (AMATB). Mambo ya kuzingatia katika...
So It have been atheists' mantra that there is no evidence for God. They will try to press for evidence and then make rabbit trails that goes no where when presented with evidence. So ultimate question is: is evidence the real problem atheists have to believe in God? I have found the answer to...
Nilishawahi kuleta hili huko nyuma likapotezewa, so I will try for the last time.
Hili jukwaa halitufai tena. Na maadam limeonekana kuwafaa wanaotafuta msaada wa gadgets (Jukwaa lao actually), ni muda wa kuanzisha Jukwaa jipya la Wahandisi Wasimba.
I hope this last call haitakuwa kilio cha samaki.
After fixing a few more bugs since the release candidate, we've just released the final version of wxWidgets 3.1.1. I won't repeat the announcement email or the release announcement on the web site, but would just like to say a few words about the focus of this release and the future plans...
Saalam kwa Wana JF wote.
Kama tunavyofahamu Serikali ya awamu ya tano imekuja na mpango wa kuwa serikali ya viwanda. Ni jambo zuri kuwa na nchi ya viwanda ila kuna mambo ambayo yaspoangaliwa tunaweza kushindwa kufikia lengo. Moja ya makwazo ya mpango huu, kwa maoni yangu, ni Wizara kubwa ya...
Tunapenda kuwatangazia wale wanaopenda Kujifunza Kuandika Code kwa Java na Kuweza kutengeneza mobile application kuwa Tutakuwa na Kozi Mbili moja ikianzia October 25 na nyingine Itaanza Disemba Mosi.
Taarifa zote za msingi zipo katika kiambatanisho cha PDF. Kwa maswali yote niulize nami...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.