Mtangoo
JF-Expert Member
- Oct 25, 2012
- 6,167
- 5,602
Habari na Heri ya Mwaka Mpya 2021!
Nimeamua kila nipatapo wasaa kujaribu kusaidia kuelimisha na kushirikisha mawazo wadau mbalimbali juu ya Teknolojia na Biashara, hasa Teknolojia ya Habari na Mawasialiano. Mara ya kwanza na ilikuwa ya mwisho kwa mwaka 2020 ilikuwa ni mwezi Septembe. Tafadhali pitia huko uone kama swali lako halijajibiwa kule kabla ya kuuliza tean!
Mambo muhimu ya kuzingatia kwenye mfululizo huu wa Ask Me Anything Technology and Business (AMATB). ni kama ifuatavyo:
1. Maswali yasiyo na lengo la kujifunza sitayajibu. Sababu ni kuwa lengo ni kushirikishana ufahamu niliopata neema ya Mungu kuwa nao na si vinginevyo.
2. Maswali yasiyohusiana na biashara na teknolojia sitayajibu. Hii ni kutunza focus kwenye mada husika.
3. Maswali yenye mrengo wa kisiasa sitayajibu. Kwa sababu ni nje ya lengo.
4. Maswali kuhusu maisha binafsi sitayajibu. Kwa sababu hii sio Biography. Unless yawe yanahusiana na mada na yatakuwa msaada kwa wasomaji, then nitaangalia namna bora ya kujibu.
5. Sipo hapa 24/7 na wala sina msaidizi wa kusoma hapa. So ukiweka swali lako uwe na uvumilivu.
Best rule: Kama usingependa uulizwe swali hilo ni vyema usiulize...!
Sept 2020 AMATB: September AMATB - Niulize Chochote Kuhusu Tehama na Biashara
Karibu!
Nimeamua kila nipatapo wasaa kujaribu kusaidia kuelimisha na kushirikisha mawazo wadau mbalimbali juu ya Teknolojia na Biashara, hasa Teknolojia ya Habari na Mawasialiano. Mara ya kwanza na ilikuwa ya mwisho kwa mwaka 2020 ilikuwa ni mwezi Septembe. Tafadhali pitia huko uone kama swali lako halijajibiwa kule kabla ya kuuliza tean!
Mambo muhimu ya kuzingatia kwenye mfululizo huu wa Ask Me Anything Technology and Business (AMATB). ni kama ifuatavyo:
1. Maswali yasiyo na lengo la kujifunza sitayajibu. Sababu ni kuwa lengo ni kushirikishana ufahamu niliopata neema ya Mungu kuwa nao na si vinginevyo.
2. Maswali yasiyohusiana na biashara na teknolojia sitayajibu. Hii ni kutunza focus kwenye mada husika.
3. Maswali yenye mrengo wa kisiasa sitayajibu. Kwa sababu ni nje ya lengo.
4. Maswali kuhusu maisha binafsi sitayajibu. Kwa sababu hii sio Biography. Unless yawe yanahusiana na mada na yatakuwa msaada kwa wasomaji, then nitaangalia namna bora ya kujibu.
5. Sipo hapa 24/7 na wala sina msaidizi wa kusoma hapa. So ukiweka swali lako uwe na uvumilivu.
Best rule: Kama usingependa uulizwe swali hilo ni vyema usiulize...!
Sept 2020 AMATB: September AMATB - Niulize Chochote Kuhusu Tehama na Biashara
Karibu!