Kwa miezi hii kadhaa niliyokaa nchini baada ya kuishi miaka ya ujana wangu takribani yote nje ya bara la Afrika, nimegundua kuwa waafrika ni watu wavumilivu sana. Hali hii sikuiona mahali pengine...
Heshima sana wanajamvi,
Nimefuatilia mienendo ya msiba wa Mzee Lowassa kwa kiasi fulani na kubaini yafuatayo.
Mosi, watawala baada ya kugundua wameshindwa kuwapatia wananchi umeme wa uhakika...
Kwa hali irivyo kwa sasa naona tuje na maandamano ya umeme na maji kwa hapa Daslam
Tuna miezi miwili hatuna huduma ya maji umeme hatuuoni masaa mengi
Mpaka unajiuriza kwani karemani arifanya...
Ili kunusuru Fedha za Wananchi kwa ajili ya Uchaguzi wa Madiwani wa Kata 23 ambao TUME ya UCHAGUZI imeutangaza naiomba TUME ya UCHAGUZI ifanye UTEUZI tu Kama Ilivyowateua Wabunge wa VITI MAALUM 19...
Kwa mujibu wa mtangazaji wa Star TV Aloyce Nyanda wiki iliyopita, usiku huu saa tatu na nusu kwenye kipindi anachokiendesha kiitwacho Agenda, atafanya mahojiono na Tundu Lissu.
Iwapo hakutakuwa...
Najaribu kutafakari mabadiliko ya sheria ya uchaguzi, kisiasa na tume ya uchaguzi dhidi ya uchaguzi huru na haki, Najaribu kuoanisha na nguvu kubwa ya umma iliyo nyuma ya CHADEMA, Nazingatia pia...
Niseme kiukweli tupo kwenye majonzi mazito, misiba mbalimbali imetokea. lakini licha ya hayo bado kero ya umeme imezidi kushamiri na mfano mzuri nitukio la kukatika umeme pale karemjee wakati...
Mtoto wa Nyerere aunga mkono maandamano nchi nzima
Andrew Nyerere mwanachama wa CCM akizungumza katika mkutano wa ndani wa CHADEMA , amkosoa makamu mwenyekiti wa CCM- Bara komredi Abdulrahman...
January 2024
TATHMINI YA ZIGO ZITO ALILOTWISHWA MUENEZI PAUL MAKONDA KURUDISHA IMANI KWA RAIA
Ziara ndefu ya Paul Makonda ambaye ni katibu uenezi, itikadi na mafunzo wa CCM imeibua na kuweka...
Nisiwe mnafiki, huyu kijana nilimchukia sana enzi za Magufuli. Baada ya Magufuli kutangulia na uongozi dhaifu wa Samia asee Makonda ni bonge la kiongozi.
Nimegundua hilo kupitia ziara zake...
Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan leo September 26,2023 amewaapisha Viongozi mbalimbali Wateule Ikulu jijini Dar es salaam ambapo pamoja na mambo mengine amempa miezi sita ya matazamio...
Ukisikia usanii ndio huu sasa. Umeme ni wa mgao kwasababu inasemekana watu washafungulia maji huko mtera japo Mama na Tanesco yake wanadai ni service ya mitambo.
Mama kawapa Tanesco miezi 6, kwa...
MJADALA mkali umeibuka bungeni kuhusu upasuaji kurekebisha maumbile, ikiwamo kupunguza au kuongeza ukubwa wa makalio katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH).
Luhaga Mpina, Mbunge wa Kisesa...
Wizara ya nishati tangu naijua na kuisikia sijawahi kuona ikipewa waziri mtaalamu wa umeme, watu wa electrical engineering au power systems engineering.
Tofauti na Profesa Muhongo ambaye angalau...
Baada ya JPM kuharibu uchumi wa nchi, hotel nyingi ziligeuzwa hosteli za kulala watoto wa shule, badala ya kuingiza mamia ya madola.
Ngurdoto imerudi.
JPM alihakikisha anaziua hotel nyingine...
Tundu Lissu amefika kwenye Msiba wa Lowassa kuhani na kuwapa pole Wafiwa , ambapo amemmwagia sifa Lowassa na kuzungumza kwamba baada ya Nyerere Lowassa ndiye Mwanasiasa aliyefuatia kwa...
Edward Lowassa ameibua mjadala muhimu sana kwa taifa letu, hasa ikizingatiwa kwamba taifa linakabiliwa na uhaba mkubwa wa rasilimali kazi, hivyo ni muhimu tukafanya maamuzi juu ya wapi tuweke...
Uuzaji na ubinafsishaji wa mali za wananchi watua huko Kilimanjaro. Kuna kila dalili hali ikawa mbaya kwa wananchi waliojenga mahotel ya Kitalii arusha mjini kwani:
1. Watalii watashuka uwanjani...
Nimeona mjadala wa “Kusoma magazeti”. Nimeelekeza TCRA kuruhusu UBUNIFU kwenye tasnia ya Habari. Staili ya usomaji we magazeti imeongeza MVUTO kwenye usomaji huo, ni jambo linapaswa KUTIWA MOYO...
Mapambano ya kuufuta umasikini uliokithiri katika nchi zilizo kusini mwa jangwa la Sahara yanaendelea siku hadi siku yakiwa na mipango na mbinu mbali mbali, nchini Tanzania almaarufu nchi ilioko...