ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,114
- 49,840
Ukiacha kwamba hii ni fursa naichukia ila ni aibu Kwa Nchi kama Tanzania ambayo Ina mifugo wengi namba 2 Afrika wakiwemo Ng'ombe tukiwa tumezidiwa na Ethiopia tuu ila tunazalisha maziwa Lita kati ya 3.6-4 Bilioni huku tukiagiza Lita Bilioni 10 kufidia upungufu.
Waziri wa Mifugo ni vyema ukahakikisha tunaacha kabisa Kuagiza Maziwa yaani kiufupi walau ukate nusu ya imports by 2025.
Imebainishwa kuwa Tanzania inatumia Sh20 Bilioni kuagiza lita za maziwa 10 milioni ili kukabiliana na upungufu, ambapo huzalishaji wa maziwa kwa sasa ni lita 3.6 bilioni ambayo ni pungufu ya lita 9 bilioni zinazohitajika.
Hayo yamebainishwa na Msajili wa Bodi ya Maziwa Nchini, Dk George Msalya alipozungumza na Mwananchi Digital kwenye mahojiano maalumu ofisini kwake jijini Dodoma.
Kusoma makala kamili tembelea tovuti ya Mwananchi na Youtube
My Take
Tanzania tunatia aibu sana yaani hakuna Cha manaa tunafanya vizuri Kimataifa.
Badala ya kulaumu Serikali ngoja tukamatie fursa ya maziwa na nyama ya Ng'ombe.
Waziri wa Mifugo ni vyema ukahakikisha tunaacha kabisa Kuagiza Maziwa yaani kiufupi walau ukate nusu ya imports by 2025.
Imebainishwa kuwa Tanzania inatumia Sh20 Bilioni kuagiza lita za maziwa 10 milioni ili kukabiliana na upungufu, ambapo huzalishaji wa maziwa kwa sasa ni lita 3.6 bilioni ambayo ni pungufu ya lita 9 bilioni zinazohitajika.
Hayo yamebainishwa na Msajili wa Bodi ya Maziwa Nchini, Dk George Msalya alipozungumza na Mwananchi Digital kwenye mahojiano maalumu ofisini kwake jijini Dodoma.
Kusoma makala kamili tembelea tovuti ya Mwananchi na Youtube
My Take
Tanzania tunatia aibu sana yaani hakuna Cha manaa tunafanya vizuri Kimataifa.
Badala ya kulaumu Serikali ngoja tukamatie fursa ya maziwa na nyama ya Ng'ombe.