Julius Nyerere: Katika Uchaguzi wa mwaka 1995, Kamati Kuu ya NEC-CCM ilikata jina la Lowassa kwa hoja

DR Mambo Jambo

JF-Expert Member
May 10, 2012
8,582
17,686
Maneno hayo aliyasema Hayati baba wa Taifa mwalimu Julius Kambarage Nyerere, alipoulizwa kwanini Kamati kuu wamekata jina la Lowasa licha ya kuwepo kwa Ushawishi mkubwa na kupendeka sana kwenye Chama hicho na Hasa kuwa na ushawishi mwingi kwa wananchi..

Kama tutakumbuka mwaka huo huo waliochukua Form walikuwa 17 na walikatwa na wakabaki 15 bora mpaka 5 bora kwa Style ya 17 -15-10-5-3-2-1..

Kama Tutakumbuka tatu Bora ya mwaka huo ilikuwa Msuya,Kikwete na Mkapa..

Na baada ya Lowassa kukatwa Jina Lake Kambi ya EL ilihamiaa kwa JK..
kwahyo kukawa na kambi tatu kambi ya JK ,Kambi ya Msuya na Kambi ya Mkapa..

Ambapo baadae mshindi alitangazwa Mkapa bila kutaja Kura walizopata Wagombea..
 
Kumbe hii kasumba ya mwenye pesa kuonekana mwizi imeanza kututafuna miaka mingi sana, kama unaamini mtu ameiba, na ushahidi unao, mpeleke mahakamani, shida iko wapi?!

Lakini kumnyima haki zake kwa madai ya kihisia, kwasababu tu anaonekana ana pesa ni kumuonea. Lowassa amevumilia mengi toka kwenye jamii ya kishamba iliyokuwa nyuma ya fikra zake za mitikasi ya kujitafuta maishani.

- Jamii inayoona umaskini ni sifa, ndio maana utaskia fulani akijiita mimi mtoto wa maskini. Usipokuwa jasiri mtanzania unaweza kuacha kupambania maisha yako kwa kuogopa kuitwa mwizi!.

Ajabu kuanzia miaka hiyo mpaka miaka ya karibuni bado akawa anaitwa fisadi, kumbe tumerithi tabia ya kuhukumu kwa hisia bila udhahidi toka enzi za Nyerere, tukawa bado tunaishi nayo mpaka sasa, hili ni tatizo la jamii ya kitanzania - awe mpinzani au chama tawala.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Maneno hayo aliyasema Hayati baba wa Taifa mwalimu Julius Kambarage Nyerere, alipoulizwa kwanini Kamati kuu wamekata jina la Lowasa licha ya kuwepo kwa Ushawishi mkubwa na kupendeka sana kwenye Chama hicho na Hasa kuwa na ushawishi mwingi kwa wananchi..

Kama tutakumbuka mwaka huo huo waliochukua Form walikuwa 17 na walikatwa na wakabaki 15 bora mpaka 5 bora kwa Style ya 17 -15-10-5-3-2-1..

Kama Tutakumbuka tatu Bora ya mwaka huo ilikuwa Msuya,Kikwete na Mkapa..

Na baada ya Lowassa kukatwa Jina Lake Kambi ya EL ilihamiaa kwa JK..
kwahyo kukawa na kambi tatu kambi ya JK ,Kambi ya Msuya na Kambi ya Mkapa..

Ambapo baadae mshindi alitangazwa Mkapa bila kutaja Kura walizopata Wagombea..
View attachment 2903529
Ni central committee na siyo Nyerere alikata jina lake. Usionee watu.
 
Kwahiyo ndio akamkata Lowassa? 😂😂
We unahisi kwanini Kipind hicho lawama zilienda kwa Nyerere zote watu wakawa wanamsema katumia Vigezo gani kumkataa Lowasa..

Na baadae Team.ya ENL ikahamia kwa JK..
Akashtuka Pia na ndo maaana Inasemekana hata JK alishinda Mwaka 1995 ila Matokeo akapewa Ben na hata Kama unakumbuka Kura hazikutangazwa ila alitangazwa mshindi wa kwnza mpaka wa tatu bila kura zao
 
We unahisi kwanini Kipind hicho lawama zilienda kwa Nyerere zote watu wakawa wanamsema katumia Vigezo gani kumkataa Lowasa..

Na baadae Team.ya ENL ikahamia kwa JK..
Akashtuka Pia na ndo maaana Inasemekana hata JK alishinda Mwaka 1995 ila Matokeo akapewa Ben na hata Kama unakumbuka Kura hazikutangazwa ila alitangazwa mshindi wa kwnza mpaka wa tatu bila kura zao
Ninachojua hapa Iringa Nyerere alimleta kijana wake Kachero mbobezi Dr Hassy Kitine agombee ubunge tukamkataa mbele yake na hakufanya lolote

Tukamchagua Mkemia Mwakibasa wa NCCR mageuzi
 
Kumbe hii kasumba ya mwenye pesa kuonekana mwizi imeanza kututafuna miaka mingi sana, kama unaamini mtu ameiba, na ushahidi unao, mpeleke mahakamani, shida iko wapi?!

Lakini kumnyima haki zake kwa madai ya kihisia, kwasababu tu anaonekana ana pesa ni kumuonea. Lowassa amevumilia mengi toka kwenye jamii ya kishamba iliyokuwa nyuma ya fikra zake za mitikasi ya kujitafuta maishani.

- Jamii inayoona umaskini ni sifa, ndio maana utaskia fulani akijiita mimi mtoto wa maskini. Usipokuwa jasiri mtanzania unaweza kuacha kupambania maisha yako kwa kuogopa kuitwa mwizi!.

Ajabu kuanzia miaka hiyo mpaka miaka ya karibuni bado akawa anaitwa fisadi, kumbe tumerithi tabia ya kuhukumu kwa hisia bila udhahidi toka enzi za Nyerere, tukawa bado tunaishi nayo mpaka sasa, hili ni tatizo la jamii ya kitanzania - awe mpinzani au chama tawala.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Lowasa alikuwa mwizi. Alipokuwa Tanu Youth League alifukuzwa kazi wakati huo akiwa kijana mdogo kabisa. Alirudishwa kijiweni makao makuu ya Chama Dar. Baadaye kina Sokoine walimtetea Lowasa kwa Mwalimu Nyerere na aliposamehewa akarudishwa kundini. Lowasa alikuwa mwizi na fisadi toka enzi
 
Lowasa alikuwa mwizi. Alipokuwa Tanu Youth League alifukuzwa kazi wakati huo akiwa kijana mdogo kabisa. Alirudishwa kijiweni makao makuu ya Chama Dar. Baadaye kina Sokoine walimtetea Lowasa kwa Mwalimu Nyerere na aliposamehewa akarudishwa kundini. Lowasa alikuwa mwizi na fisadi toka enzi
Alikuwa mwizi au Tajiri kuna vitu huwa hamvielewi..
Kulikuwa na pesa gani Huko CCM kipind cha TANU za kuibiwa
 
Back
Top Bottom