Nakiri kwamba naendelea kujifunza siasa za Tanzania

MALCOM LUMUMBA

JF-Expert Member
Jul 26, 2012
20,897
63,784
Poleni na misiba mikubwa ya kitaifa.

Nikiri kwamba kila siku naendelea kujifunza kuhusu siasa za taifa changa la Tanzania. Mambo makubwa ambayo mpaka sasa nikiri nimeshuhudia yakitokea bila chenga ni kwamba APANDACHO MTU NDICHO HUVUNA, na MWANADAMU HAWEZI KULINGANA NA MUNGU. Nitaelezea mtazamo wangu kwa ufupi:

Mosi, dhambi ya ubaguzi ambayo ilipandwa kwenye hili taifa dhidi ya makundi ya watu fulani itaendelea kulitafuna hili taifa endapo hatutakubali kubadilika. Ubaguzi ambao upo hapa nchini umekuwa wa kisera (Systemic Discrimination) na watu wameshakubaliana nao kwamba ndiyo utamaduni wetu wa kisiasa. Jambo hili siyo sawa hata kidogo, The Anti-Chagga, The Anti-Nyakyusa and The Anti-Haya Canards rooted at the founding cores of this nation state are very vile and devilish.

Ukifikiria kwa umakini na kuchambua historia ya nchi hii, utafahamu kwamba yale ambayo yaliogopwa kutokea endapo atapatikana Raisi Mchagga, Mnyakyusa au Mhaya yamefanywa hata alipokuwepo Raisi Mmakonde, Mzanzibar, Mkwele na Msukuma. Upendeleo (Nepotism and Cronyism) umeonekana, kama siyo katika minajili ya kikabila na kikanda, basi katika minajili ya kidini. Mifano iko mingi ya maraisi kuvutia kwao aidha kikabila, kikanda au kidini.

Sasa kwanini minong'ono na chuki za chini-chini ziendelee kuwa dhidi ya haya makabila matatu ilhali imethibitika kwamba kila mtu akikalia kiti cha uraisi, hata atoke kabila dogo, kama nchi haina mifumo imara ya kiutawala rushwa na upendeleo vitakuwepo tu. Halafu katabia kingine cha watanzania weusi kupenda kubagua watanzania wenye asili ya asia nako kametusababishia matatizo makubwa.

Huwa najiuliza maswali machache tu, hivi mtu kama Salim Ahmed Salim angekuwa Raisi mwaka 2005, leo hii Tanzania tungekuwepo hapa kweli ? Au mtu aina ya Prof Mark Mwandosya angekuwa Raisi leo hii Tanzania ingakuwa wapi ? Ila ni kwamba, hawa watu mbali na kufanya vyote kwa nchi, kiti cha Uraisi wasingeweza kuachiwa. Haya angalia leo hii tuko wapi.

Pili, hakuna baya utakalolifanya halafu lisikurudie. Hili ntalithibitisha kwa mifano hai kabisa. Marehemu Mzee Nyerere alifanya mazuri mengi, lakini mwishoni mwake alifanya makosa mengi mno ambayo aliyajutia na yalikuja kumrudi mwenyewe. Kuhusu Zanzibar alijutia sana hadi dakika za mwisho, na Mzee Dr Kitine alipoonana naye uwanja wa ndege wakati anaenda kutibiwa nchini Uingereza walizungumza sana kuhusu Zanzibar.

Naamini, kama mambo yangekuwa ni mazuri kuhusu Zanzibar asingeongelea hata kuhusu wao kuwa huru. Muungano haujarekebishwa, na umegeuka donda-ndugu (gangrene) ambalo linaitesa taifa hadi sasa, na nashukuru kwamba watanganyika kizazi kipya wameanza kuelewa kile ambacho G55, CHADEMA na TUME YA WARIOBA wamekuwa wakikizungumzia kuhusu muundo wa muungano. Tungeyamaliza haya mapema, nadhani leo hii taifa lisingekuwa na nyufa na chuki za chini-chini kama ilivyo leo.

Jingine ni suala la Uraisi mwaka 1995, ndani ya CCM na UPINZANI. Tunasema Mzee Nyerere, Fumbled the Bag. Alitumia nguvu yake kubwa ya kiushawishi kuwaumiza wanasiasa wengi kiasi cha kuwageuza moyo na kuwafundisha kwamba michezo michafu inalipa. PRECEDENT ya Mzee Nyerere kumuweka Raisi Mkapa kwa gharama yoyote ile, ilikuwa sahihi kwa muda mfupi (Tactical) lakini mbaya kwa muda mrefu (A Strategic Failure).

Tanzania ilikuwa ndiyo inajifunza kufanya mfumo wa demokrasia ya vyama vingi, 1990-1995 was an advent of multi-party democracy in Tanzania. It simply was a defining moment that could reverberate generations to come. Ilitakiwa CCM chini ya ushawishi wa Baba wa Taifa ioneshe mfano na kuongoza njia, ili kujenga msingi imara wa utawala hapa nchini. Kama watanzania hasahasa wale waliopo ndani ya CCM wangeona kwamba demokrasia inafanya kazi, na wale wenye vigezo ndiyo wanapita na siyo CLIENTELISM ambayo Mzee Nyerere aliitumia binafsi naamini hata wale waovu wangeona aibu na CCM ingekuwa imejijengea utamaduni imara sana.

Ila wote tunafahamu baadhi ya wanasiasa akiwemo Mzee John Malecela, Horace Kolimba na Jakaya Kikwete walichofanywa. Huwa najiuliza swali hili: Hivi Jakaya angekuwa Raisi wakati Mzee Nyerere yupo hai angeweza kweli kuunda mtandao wa kutafuta madaraka kwa namna yoyote ile, hata kuumiza watu wengi na kuuza roho yake kwa Ibilisi ili mradi awe Raisi ? Bado najiuliza. Huwa tunaulaumu MTANDAO kwa jinsi ulivyoharibu CCM na nchi, lakini huwa hatupendi kuzungumzia nini kilichopelekea mtandao kuundwa.

Siasa za ndani ya CCM za mwaka 1995 zilichangia sana MTANDAO kuundwa. Vijana ambao walinyimwa haki zao kihalali mwaka 1995 waliamua kujipanga kuhakikisha jambo kama lile halitokei tena mwaka 2005. Bahati mbaya sana walivyounda ule MTANDAO ndipo safari yao ya kumkabidhi IBILISI roho zao ilianza. Nachelea kusema, siyo vizuri kuwasema marehemu, lakini mpaka leo hii wanamtandao wote hawapo hai na maisha yao yalijaa mno uchungu na maumivu. Wamebakia Mzee Jakaya Kikwete na Rostam Aziz.

Wazungu husema, THERE'S NO HONOUR AMONG THIEVES. Punde tu baada ya kutimiza adhma yao ya kuupata Uraisi kwa gharama zozote zile, MTANDAO ulikumbwa na vita kubwa ya wenyewe kwa wenyewe (A Civil War) ambayo ililitesa taifa hili na kutufikisha hapa tulipo leo. Matatizo yote yale ambayo tunakumbwa nayo leo hii ya UFISADI, UKOSEKANAJI WA UMEME, UONGOZI DUNI, MAKUNDI NDANI YA CHAMA, SIASA ZA VISASI, MFUMUKO WA BEI na MATATIZO MENGINE YA KIUCHUMI yalichochewa sana na VITA YA WANA-MTANDAO ambayo ilianza mwaka 2006, ikachukua sura mpya mwaka 2008, na kuleta matokeo mabaya kwenye uchaguzi wa 2010 na mwishowe kufikia mwisho mbaya mwaka 2015 ambapo Tanzania Citizenry was a living collateral damage.

Namalizia hoja hii kwa kusema, Mzee Nyerere alimuweka Mkapa kwa hila, lakini akaanza kujuta na kutaka Mkapa asigombee mwaka 2000. Bahati mbaya wakapishana pakubwa na kuanza kufanyiana siasa za CLOAK & DAGGER ambazo hazikuisha vizuri. Raisi Mkapa alipishana na Mzee Nyerere, na hakuweza kuwa na uvumilivu mkubwa ambao Mzee Mwinyi alikuwa nao, akaonesha wazi-wazi kabisa kukerwa na Mzee Nyerere. Wasomi wengi ambao walikuwa wanamshauri Mzee Nyerere kuhusu kupinga sera za Ubinafsishaji walikiona cha MTEMA KUNI. Mzee Nyerere alilalamika wazi-wazi kwamba kwanini Mkapa anamfedhehesha huku akiwa hai.

Haikuishia hapo, mwaka 2015 kama ilivyokuwa mwaka 1995, Raisi Jakaya akafanya kilekile ambacho yeye mwenyewe alifanyiwa mwaka 1995. Alikata majina ya watu bila hata kuwasikiliza. Kulikuwa na wagombea wazuri mno mbali ya Mzee Lowassa (RIP), kina Prof Mwandosya, Dr Mahiga, Dr Mwele, Jaji Ramadhani, Dr Kitine nk. ambao hawakupewa nafasi. Raisi Mkapa akaamua kutumia karata yake ya ushawishi kuhakikisha kwamba Raisi Magufuli anapenya na Mzee Kikwete akaridhia baada ya kuona mtumbwi unazama na wana-MTANDAO wenzake wanaelekea kumshinda.

Mambo ni mengi mno, aliyewekwa na Raisi Mkapa na Raisi Kikwete akawageuka na kuanza kuwanyoosha, kama ambavyo Mkapa aligeuka kumnyoosha Nyerere aliyemuweka. Mengine tunamwachia Mungu. Ila naomba ujiulize hili swali:

Hivi wangetenda mema mwaka 1995 tungefika huku leo ? Amini, Amini nawaambia. Kama ilivyokuwa mwaka 1995 vijana kuunda MTANDAO, vivyo hivyo mwaka 2015 vijana wameunda MTANDAO mwingine, tofauti ni kwamba sasa hivi iko MITANDAO MINGI na MIZITO.

Tatu, na mwisho kabisa. Mwanadamu usijifanye MUNGU (Never Play GOD), kwasababu mbali na kuwa na uwezo wa kubadilisha mambo, hakuna mwanadamu dunia hii anayeweza kuzuia mabadiliko (No Man Can Ever Stop Changes). Kama tu mwanadamu hawezi kuzuia ukuaji wake binafsi, sembuse taasisi kubwa kama dola. Hivyo basi, hatuwezi kuzuia mabadiliko ila tunaweza kuyamudu (We Can't Stop Changes, But We Can Manage Them). And how do we manage changes? Through thorough preparations. Sisi kama kizazi kipya inabidi tujifunze na kuangalia ni wapi wazee walijikwaa.

Kama tukiendelea kuamini hizi falsafa ovu ambazo tulizikuta, basi hili taifa halitakuwa na amani kwa muda mrefu. Mbinu ambazo zilitumika kuwashughulikia watanzania milion 10-20 kipindi cha TANU/CHAMA KIMOJA haziwezi kuendelea kutumia kudhibiti taifa la kiutandawazi lenye watu zaidi ya milioni 60, ambao wanaingia na kutoka nje ya nchi kila uchwao.

Zile falsafa za kuamini kwamba watu wa UKANDA FULANI, KABILA FULANI, ASILI FULANI, JINSIA FULANI au DINI FULANI ndiyo wanaotakiwa sana kupewa nafasi nyeti kitaifa huku wengine wa kundi jingine wakibaguliwa wazi-wazi utadhani siyo WATANZANIA, kwamba ni wenye hulka ya wizi na kupendeleana ilhali tunasahau kwamba wako wengi na walitangulia kusoma tokea ukoloni. Ukweli mchungu ni kwamba matatizo yanayotokea hapa nchini hayajaletwa na CHAGGAS, NYAKYUSA AU HAYAS. Ni sawa na ule upumbavu wa kuamini kwamba WASUKUMU wa Raisi Magufuli ndiyo wameleta matatizo, jambo ambalo ukiliangalia kimapana halina ukweli wowote zaidi ya STIGMA and STEREOTYPE.

AU kuamini kwamba WAHINDI na WAARABU ndiyo chanzo cha umasikini wa mtu mweusi, ilhali tunasahau ukweli mchungu kwamba hao WAHINDI waliokimbia Tanzania miaka ya 60's na 70's kuelekea Uingereza na America Kaskazini bado wamefika huko na kuendelea kuwashinda hata hao wazungu na jehuri zao. Jiji la London lina wahindi wengi matajiri wa kutupwa ambao walitokea Tanganyika, Kenya na Uganda. Hili ni jambo linalofikirisha.

Ukienda Marekani, ukakutana na Diaspora wa Tanzania, wengi wao ni Wazenji, Wachagga, Wanyakyusa na Wahaya. Sasa unabaki kujiuliza, hii chuki ilitokea wapi, mbona hata huku kwa wazungu bado hawa watu wanafanikiwa mno. Mwisho unakuja kufahamu kwamba, kuna kitu hawa wenzetu walikifahamu muda mrefu, ambacho hata wengi wakikifahamu watafanikiwa tu.

MUHIMU KUKUMBUKA: Mwaka 2024 kutakuwa na uchaguzi mdogo, Mwaka 2025 uchaguzi mkuu. Mambo yatakayofanyika kipindi hiki yawe mema au mabaya, fahamu kwamba tutaishi nayo miaka mingi sana ijayo, kama ambayo tunaishi na yale ya mwaka 1995, 2005 na 2015. Niseme tu, The Domino Effects of 2015 will be profound and long-lasting. Kazi kwetu watanzania.....

APANDACHO MTU NDICHO ATAVUNA, huwezi panda Magugu ukavuna Mtama.

Niwatakie Usiku mwema....​
 
Hakuna wema ndani ya ccm. Shetani hawezi kutubu na sidhani hata kama Mungu anaweza kuikubali hiyo toba. CCM haiaminiki hata kwa mtoto mdogo, Cham- msingi, ili nchi hii ijiokoe ni lazima CCM waondoke, Wakiondoka tutaipata Tanganyika, na Zanzibar watakuwa huru.

Muungano utakufa, na pengine hatutaungana milele.
Kuanzia hapo tutaanza upya, tutakuwa tumeupata uhuru wetu upya na tutaanza mambo yetu upya kabisa.

Ila kwa hali hii iliyopo, usitegemee chochote kutoka ccm.
 
Hakuna wema ndani ya ccm. Shetani hawezi kutubu na sidhani hata kama Mungu naweza kuikubali hiyo toba. CCM haiaminiki hata kwa mtoto mdogo, Cham- msingi, ili nchi hii ijiokoe ni lazima CCM waondoke, Wakiondoka tutaipata Tanganyika, na Zanzibar watakuwa watakuwa huru. Muungano utakufa, na pengine hatutaungana milele.
Kuanzia hapo tutaanza upya, tutakuwa tumeupata uhuru wetu upya na tutaanza mambo yetu upya kabisa.
Ila kwa hali hii iliyopo, usitegemee chochote kutoka ccm.
Nakusoma mkuu, ila unadhani kutakuwa na nchi ya aina gani baada ya 2025?​
 
Poleni na misiba mikubwa ya kitaifa.

Nikiri kwamba kila siku naendelea kujifunza kuhusu siasa za taifa changa la Tanzania. Mambo makubwa ambayo mpaka sasa nikiri nimeshuhudia yakitokea bila chenga ni kwamba APANDACHO MTU NDICHO HUVUNA, na MWANADAMU HAWEZI KULINGANA NA MUNGU. Nitaelezea mtazamo wangu kwa ufupi:

Mosi, dhambi ya ubaguzi ambayo ilipandwa kwenye hili taifa dhidi ya makundi ya watu fulani itaendelea kulitafuna hili taifa endapo hatutakubali kubadilika. Ubaguzi ambao upo hapa nchini umekuwa wa kisera (Systemic Discrimination) na watu wameshakubaliana nao kwamba ndiyo utamaduni wetu wa kisiasa. Jambo hili siyo sawa hata kidogo, The Anti-Chagga, The Anti-Nyakyusa and The Anti-Haya Canards rooted at the founding cores of this nation state are very vile and devilish.

Ukifikiria kwa umakini na kuchambua historia ya nchi hii, utafahamu kwamba yale ambayo yaliogopwa kutokea endapo atapatikana Raisi Mchagga, Mnyakyusa au Mhaya yamefanywa hata alipokuwepo Raisi Mmakonde, Mzanzibar, Mkwele na Msukuma. Upendeleo (Nepotism and Cronyism) umeonekana, kama siyo katika minajili ya kikabila na kikanda, basi katika minajili ya kidini. Mifano iko mingi ya maraisi kuvutia kwao aidha kikabila, kikanda au kidini.

Sasa kwanini minong'ono na chuki za chini-chini ziendelee kuwa dhidi ya haya makabila matatu ilhali imethibitika kwamba kila mtu akikalia kiti cha uraisi, hata atoke kabila dogo, kama nchi haina mifumo imara ya kiutawala rushwa na upendeleo vitakuwepo tu. Halafu katabia kingine cha watanzania weusi kupenda kubagua watanzania wenye asili ya asia nako kametusababishia matatizo makubwa.

Huwa najiuliza maswali machache tu, hivi mtu kama Salim Ahmed Salim angekuwa Raisi mwaka 2005, leo hii Tanzania tungekuwepo hapa kweli ? Au mtu aina ya Prof Mark Mwandosya angekuwa Raisi leo hii Tanzania ingakuwa wapi ? Ila ni kwamba, hawa watu mbali na kufanya vyote kwa nchi, kiti cha Uraisi wasingeweza kuachiwa. Haya angalia leo hii tuko wapi.

Pili, hakuna baya utakalolifanya halafu lisikurudie. Hili ntalithibitisha kwa mifano hai kabisa. Marehemu Mzee Nyerere alifanya mazuri mengi, lakini mwishoni mwake alifanya makosa mengi mno ambayo aliyajutia na yalikuja kumrudi mwenyewe. Kuhusu Zanzibar alijutia sana hadi dakika za mwisho, na Mzee Dr Kitine alipoonana naye uwanja wa ndege wakati anaenda kutibiwa nchini Uingereza walizungumza sana kuhusu Zanzibar.

Naamini, kama mambo yangekuwa ni mazuri kuhusu Zanzibar asingeongelea hata kuhusu wao kuwa huru. Muungano haujarekebishwa, na umegeuka donda-ndugu (gangrene) ambalo linaitesa taifa hadi sasa, na nashukuru kwamba watanganyika kizazi kipya wameanza kuelewa kile ambacho G55, CHADEMA na TUME YA WARIOBA wamekuwa wakikizungumzia kuhusu muundo wa muungano. Tungeyamaliza haya mapema, nadhani leo hii taifa lisingekuwa na nyufa na chuki za chini-chini kama ilivyo leo.

Jingine ni suala la Uraisi mwaka 1995, ndani ya CCM na UPINZANI. Tunasema Mzee Nyerere, Fumbled the Bag. Alitumia nguvu yake kubwa ya kiushawishi kuwaumiza wanasiasa wengi kiasi cha kuwageuza moyo na kuwafundisha kwamba michezo michafu inalipa. PRECEDENT ya Mzee Nyerere kumuweka Raisi Mkapa kwa gharama yoyote ile, ilikuwa sahihi kwa muda mfupi (Tactical) lakini mbaya kwa muda mrefu (A Strategic Failure).

Tanzania ilikuwa ndiyo inajifunza kufanya mfumo wa demokrasia ya vyama vingi, 1990-1995 was an advent of multi-party democracy in Tanzania. It simply was a defining moment that could reverberate generations to come. Ilitakiwa CCM chini ya ushawishi wa Baba wa Taifa ioneshe mfano na kuongoza njia, ili kujenga msingi imara wa utawala hapa nchini. Kama watanzania hasahasa wale waliopo ndani ya CCM wangeona kwamba demokrasia inafanya kazi, na wale wenye vigezo ndiyo wanapita na siyo CLIENTISM ambayo Mzee Nyerere aliitumia binafsi naamini hata wale waovu wangeona iabu na CCM ingekuwa imejijengea utamaduni imara sana.

Ila wote tunafahamu baadhi ya wanasiasa akiwemo Mzee John Malecela, Horace Kolimba na Jakaya Kikwete walichofanywa. Huwa najiuliza swali hili: Hivi Jakaya angekuwa Raisi wakati Mzee Nyerere yupo hai angeweza kweli kuunda mtandao ambao wa kutafuta madaraka kwa namna yoyote ile, hata kuumiza watu wengi na kuuza roho yake kwa Ibilisi ili mradi awe Raisi ? Bado najiuliza. Huwa tunaulaumu MTANDAO kwa jinsi ulivyoharibu CCM na nchi, lakini huwa hatupendi kuzungumzia nini kilichopelekea mtandao kuundwa.

Siasa za ndani ya CCM za mwaka 1995 zilichangia sana MTANDAO kuundwa. Vijana ambao walinyimwa haki zao kihalali mwaka 1995 waliamua kujipanga kuhakikisha jambo kama lile halitokei tena mwaka 2005. Bahati mbaya sana walivyounda ule MTANDAO ndipo safari yao ya kumkabidhi IBILISI roho zao ilianza. Nachelea kusema, siyo vizuri kuwasema marehemu, lakini mpaka leo hii wanamtandao wote hawapo hai na maisha yao yalijaa mno uchungu na maumivu. Wamebakia Mzee Jakaya Kikwete na Rostam Aziz.

Wazungu husema, THERE'S NO HONOUR AMONG THIEVES. Punde tu baada ya kutimiza adhma yao ya kuupata Uraisi kwa gharama zozote zile, MTANDAO ulikumbwa na vita kubwa ya wenyewe kwa wenyewe (A Civil War) ambayo ililitesa taifa hili na kutufikisha hapa tulipo leo. Matatizo yote yale ambayo tunakumbwa nayo leo hii ya UFISADI, UKOSEKANAJI WA UMEME, UONGOZI DUNI, MAKUNDI NDANI YA CHAMA, SIASA ZA VISASI, MFUMUKO WA BEI na MATATIZO MENGINE YA KIUCHUMI yalichochewa sana na VITA YA WANA-MTANDAO ambayo ilianza mwaka 2006, ikachukua sura mpya mwaka 2008, na kuleta matokeo mabaya kwenye uchaguzi wa 2010 na mwishowe kufikia mwisho mbaya mwaka 2015 ambapo Tanzania Citizenry was a living collateral damage.

Namalizia hoja hii kwa kusema, Mzee Nyerere alimuweka Mkapa kwa hila, lakini akaanza kujuta na kutaka Mkapa asigombee mwaka 2000. Bahati mbaya wakapishana pakubwa na kuanza kufanyiana siasa za CLOAK & DAGGER ambazo hazikuisha vizuri. Raisi Mkapa alipishana na Mzee Nyerere, na hakuweza kuwa na uvumilivu mkubwa ambao Mzee Mwinyi alikuwa nao, akaonesha wazi-wazi kabisa kukerwa na Mzee Nyerere. Wasomi wengi ambao walikuwa wanamshauri Mzee Nyerere kuhusu kupinga sera za Ubinafsishaji walikiona cha MTEMA KUNI. Mzee Nyerere alilalamika wazi-wazi kwamba kwanini Mkapa anamfedhehesha huku akiwa hai.

Haikuishia hapo, mwaka 2015 kama ilivyokuwa mwaka 1995, Raisi Jakaya akafanya kilekile ambacho yeye mwenyewe alifanyiwa mwaka 1995. Alikata majina ya watu bila hata kuwasikiliza. Kulikuwa na wagombea wazuri mno mbali ya Mzee Lowassa (RIP), kina Prof Mwandosya, Dr Mahiga, Dr Mwele, Jaji Ramadhani, Dr Kitine nk. ambao hawakupewa nafasi. Raisi Mkapa akaamua kutumia karata yake ya ushawishi kuhakikisha kwamba Raisi Magufuli anapenya na Mzee Kikwete akaridhia baada ya kuona mtumbwi unazama na wana-MTANDAO wenzake wanaelekea kumshinda.

Mambo ni mengi mno, aliyewekwa na Raisi Mkapa na Raisi Kikwete akawageuka na kuanza kuwanyoosha, kama ambavyo Mkapa aligeuka kumnyoosha Nyerere aliyemuweka. Mengine tunamwachia Mungu. Ila naomba ujiulize hili swali:

Hivi wangetenda mema mwaka 1995 tungefika huku leo ? Amini, Amini nawaambia. Kama ilivyokuwa mwaka 1995 vijana kuunda MTANDAO, vivyo hivyo mwaka 2015 vijana wameunda MTANDAO mwingine, tofauti ni kwamba sasa hivi iko MITANDAO MINGI na MIZITO.

Tatu, na mwisho kabisa. Mwanadamu usijifanye MUNGU (Never Play GOD), kwasababu mbali na kuwa na uwezo wa kubadilisha mambo, hakuna mwanadamu dunia hii anayeweza kuzuia mabadiliko (No Man Can Ever Stop Changes). Kama tu mwanadamu hawezi kuzuia ukuaji wake binafsi, sembuse taasisi kubwa kama dola. Hivyo basi, hatuwezi kuzuia mabadiliko ila tunaweza kuyamudu (We Can't Stop Changes, But We Can Manage Them). Sisi kama kizazi kipya inabidi tujifunze na kuangalia ni wapi wazee walijikwaa.

Kama tukiendelea kuamini hizi falsafa ovu ambazo tulizikuta, basi hili taifa halitakuwa na amani kwa muda mrefu. Mbinu ambazo zilitumika kuwashughulikia watanzania milion 10-20 kipindi cha TANU/CHAMA KIMOJA haziwezi kuendelea kutumia kudhibiti taifa la kiutandawazi lenye watu zaidi ya milioni 60, ambao wanaingia na kutoka nje ya nchi kila uchwao.

Zile falsafa za kuamini kwamba watu wa UKANDA FULANI, KABILA FULANI, ASILI FULANI, JINSIA FULANI au DINI FULANI ndiyo wanaotakiwa sana kupewa nafasi nyeti kitaifa huku wengine wa kundi jingine wakibaguliwa wazi-wazi utadhani siyo WATANZANIA, kwamba ni wenye hulka ya wizi na kupendeleana ilhali tunasahau kwamba wako wengi na walitangulia kusoma tokea ukoloni. Ukweli mchungu ni kwamba matatizo yanayotokea hapa nchini hayajaletwa na CHAGGAS, NYAKYUSA AU HAYAS. Ni sawa na ule upumbavu wa kuamini kwamba WASUKUMU wa Raisi Magufuli ndiyo wameleta matatizo, jambo ambalo ukiliangalia kimapana halina ukweli wowote zaidi ya STIGMA and STEREOTYPE.

AU kuamini kwamba WAHINDI na WAARABU ndiyo chanzo cha umasikini wa mtu mweusi, ilhali tunasahau ukweli mchungu kwamba hao WAHINDI waliokimbia Tanzania miaka ya 60's na 70's kuelekea Uingereza na America Kaskazini bado wamefika huko na kuendelea kuwashinda hata hao wazungu na jehuri zao. Jiji la London lina wahindi wengi matajiri wa kutupwa ambao walitokea Tanganyika, Kenya na Uganda. Hili ni jambo linalofikirisha.

Ukienda Marekani, ukakutana na Diaspora wa Tanzania, wengi wao ni Wazenji, Wachagga, Wanyakyusa na Wahaya. Sasa unabaki kujiuliza, hii chuki ilitokea wapi, mbona hata huku kwa wazungu bado hawa watu wanafanikiwa mno. Mwisho unakuja kufahamu kwamba, kuna kitu hawa wenzetu walikifahamu muda mrefu, ambacho hata wengi wakikifahamu watafanikiwa tu.

MUHIMU KUKUMBUKA: Mwaka 2024 kutakuwa na uchaguzi mdogo, Mwaka 2025 uchaguzi mkuu. Mambo yatakayofanyika kipindi hiki yawe mema au mabaya, fahamu kwamba tutaishi nayo miaka mingi sana ijayo, kama ambayo tunaishi na yale ya mwaka 1995, 2005 na 2015. Niseme tu, The Domino Effects of 2015 will be profound and long-lasting. Kazi kwetu watanzania.....

APANDACHO MTU NDICHO ATAVUNA, huwezi panda Magugu ukavuna Mtama.

Niwatakie Usiku mwema....​
Shetani ukimfuata ana mifumo mingi na hayuko wazi lolote ni matarajio
 
Nakusoma mkuu, ila unadhani kutakuwa na nchi ya aina gani baada ya 2025?​
Ni nchi hii hii ya CCM ambayo inalazimisha kila kitu kwa manufaa yao. Unadhani wao wehu, wanfahamu yote hayo na wanajua wakiteleza tu kikaingia kikundi wasichokitaka iwe kutoka ccm au nje ya ccm, nacho kitaunda system yake, na kitawashughulikia watangulizi kweli. Hivyo ili kujilinda wao na familia zao lazima watupeleke ki-PUTIN PUTIN hakuna namna.

Zanzibar waliunda SUK wakati wa CUF lakini CCM walitawala kila kitu CUF walikuwemo kama wapuuzi tu ndani ya serikali, hawakutoa maamuzi yoyote mpaka Maalim alipoona ujinga huo akaachana nao.

Leo Unamsikia Zito akililia SUK hawatoi na haipo na haitatolewa.
Unasikia Maridhiano ya Chadema na ccm yamekufa hata kabla ya kuanza, CCM hataki commitment yoyote kwenye maridhiano, siyo kwa maandishi hata kwa maneno. wanafahamu Wakiiruhusu Chadema, itawagalagaza na wakigalagazwa hawawezi kuridi labda kwa Jeshi.

CCM iliisha shindwa na options zote waliisha ziangalia wakaona athari iliyopo, hawawezi kukubali maridhiano na chadema, hawawezi kukubali kuandika katiba mpya, na hawawezi kuipa tume ya uchaguzi uhuru tunao utaka.
Hivyo 2025 itakuwa vile vile kama tulivyozoea kuona.

Nchi hii ina makovu na kila kovu bado bichi ndani, ccm ikiruhusu fair play nchi hii sijui hata nikwambie nini.
 
Poleni na misiba mikubwa ya kitaifa.

Nikiri kwamba kila siku naendelea kujifunza kuhusu siasa za taifa changa la Tanzania. Mambo makubwa ambayo mpaka sasa nikiri nimeshuhudia yakitokea bila chenga ni kwamba APANDACHO MTU NDICHO HUVUNA, na MWANADAMU HAWEZI KULINGANA NA MUNGU. Nitaelezea mtazamo wangu kwa ufupi:

Mosi, dhambi ya ubaguzi ambayo ilipandwa kwenye hili taifa dhidi ya makundi ya watu fulani itaendelea kulitafuna hili taifa endapo hatutakubali kubadilika. Ubaguzi ambao upo hapa nchini umekuwa wa kisera (Systemic Discrimination) na watu wameshakubaliana nao kwamba ndiyo utamaduni wetu wa kisiasa. Jambo hili siyo sawa hata kidogo, The Anti-Chagga, The Anti-Nyakyusa and The Anti-Haya Canards rooted at the founding cores of this nation state are very vile and devilish.

Ukifikiria kwa umakini na kuchambua historia ya nchi hii, utafahamu kwamba yale ambayo yaliogopwa kutokea endapo atapatikana Raisi Mchagga, Mnyakyusa au Mhaya yamefanywa hata alipokuwepo Raisi Mmakonde, Mzanzibar, Mkwele na Msukuma. Upendeleo (Nepotism and Cronyism) umeonekana, kama siyo katika minajili ya kikabila na kikanda, basi katika minajili ya kidini. Mifano iko mingi ya maraisi kuvutia kwao aidha kikabila, kikanda au kidini.

Sasa kwanini minong'ono na chuki za chini-chini ziendelee kuwa dhidi ya haya makabila matatu ilhali imethibitika kwamba kila mtu akikalia kiti cha uraisi, hata atoke kabila dogo, kama nchi haina mifumo imara ya kiutawala rushwa na upendeleo vitakuwepo tu. Halafu katabia kingine cha watanzania weusi kupenda kubagua watanzania wenye asili ya asia nako kametusababishia matatizo makubwa.

Huwa najiuliza maswali machache tu, hivi mtu kama Salim Ahmed Salim angekuwa Raisi mwaka 2005, leo hii Tanzania tungekuwepo hapa kweli ? Au mtu aina ya Prof Mark Mwandosya angekuwa Raisi leo hii Tanzania ingakuwa wapi ? Ila ni kwamba, hawa watu mbali na kufanya vyote kwa nchi, kiti cha Uraisi wasingeweza kuachiwa. Haya angalia leo hii tuko wapi.

Pili, hakuna baya utakalolifanya halafu lisikurudie. Hili ntalithibitisha kwa mifano hai kabisa. Marehemu Mzee Nyerere alifanya mazuri mengi, lakini mwishoni mwake alifanya makosa mengi mno ambayo aliyajutia na yalikuja kumrudi mwenyewe. Kuhusu Zanzibar alijutia sana hadi dakika za mwisho, na Mzee Dr Kitine alipoonana naye uwanja wa ndege wakati anaenda kutibiwa nchini Uingereza walizungumza sana kuhusu Zanzibar.

Naamini, kama mambo yangekuwa ni mazuri kuhusu Zanzibar asingeongelea hata kuhusu wao kuwa huru. Muungano haujarekebishwa, na umegeuka donda-ndugu (gangrene) ambalo linaitesa taifa hadi sasa, na nashukuru kwamba watanganyika kizazi kipya wameanza kuelewa kile ambacho G55, CHADEMA na TUME YA WARIOBA wamekuwa wakikizungumzia kuhusu muundo wa muungano. Tungeyamaliza haya mapema, nadhani leo hii taifa lisingekuwa na nyufa na chuki za chini-chini kama ilivyo leo.

Jingine ni suala la Uraisi mwaka 1995, ndani ya CCM na UPINZANI. Tunasema Mzee Nyerere, Fumbled the Bag. Alitumia nguvu yake kubwa ya kiushawishi kuwaumiza wanasiasa wengi kiasi cha kuwageuza moyo na kuwafundisha kwamba michezo michafu inalipa. PRECEDENT ya Mzee Nyerere kumuweka Raisi Mkapa kwa gharama yoyote ile, ilikuwa sahihi kwa muda mfupi (Tactical) lakini mbaya kwa muda mrefu (A Strategic Failure).

Tanzania ilikuwa ndiyo inajifunza kufanya mfumo wa demokrasia ya vyama vingi, 1990-1995 was an advent of multi-party democracy in Tanzania. It simply was a defining moment that could reverberate generations to come. Ilitakiwa CCM chini ya ushawishi wa Baba wa Taifa ioneshe mfano na kuongoza njia, ili kujenga msingi imara wa utawala hapa nchini. Kama watanzania hasahasa wale waliopo ndani ya CCM wangeona kwamba demokrasia inafanya kazi, na wale wenye vigezo ndiyo wanapita na siyo CLIENTISM ambayo Mzee Nyerere aliitumia binafsi naamini hata wale waovu wangeona iabu na CCM ingekuwa imejijengea utamaduni imara sana.

Ila wote tunafahamu baadhi ya wanasiasa akiwemo Mzee John Malecela, Horace Kolimba na Jakaya Kikwete walichofanywa. Huwa najiuliza swali hili: Hivi Jakaya angekuwa Raisi wakati Mzee Nyerere yupo hai angeweza kweli kuunda mtandao ambao wa kutafuta madaraka kwa namna yoyote ile, hata kuumiza watu wengi na kuuza roho yake kwa Ibilisi ili mradi awe Raisi ? Bado najiuliza. Huwa tunaulaumu MTANDAO kwa jinsi ulivyoharibu CCM na nchi, lakini huwa hatupendi kuzungumzia nini kilichopelekea mtandao kuundwa.

Siasa za ndani ya CCM za mwaka 1995 zilichangia sana MTANDAO kuundwa. Vijana ambao walinyimwa haki zao kihalali mwaka 1995 waliamua kujipanga kuhakikisha jambo kama lile halitokei tena mwaka 2005. Bahati mbaya sana walivyounda ule MTANDAO ndipo safari yao ya kumkabidhi IBILISI roho zao ilianza. Nachelea kusema, siyo vizuri kuwasema marehemu, lakini mpaka leo hii wanamtandao wote hawapo hai na maisha yao yalijaa mno uchungu na maumivu. Wamebakia Mzee Jakaya Kikwete na Rostam Aziz.

Wazungu husema, THERE'S NO HONOUR AMONG THIEVES. Punde tu baada ya kutimiza adhma yao ya kuupata Uraisi kwa gharama zozote zile, MTANDAO ulikumbwa na vita kubwa ya wenyewe kwa wenyewe (A Civil War) ambayo ililitesa taifa hili na kutufikisha hapa tulipo leo. Matatizo yote yale ambayo tunakumbwa nayo leo hii ya UFISADI, UKOSEKANAJI WA UMEME, UONGOZI DUNI, MAKUNDI NDANI YA CHAMA, SIASA ZA VISASI, MFUMUKO WA BEI na MATATIZO MENGINE YA KIUCHUMI yalichochewa sana na VITA YA WANA-MTANDAO ambayo ilianza mwaka 2006, ikachukua sura mpya mwaka 2008, na kuleta matokeo mabaya kwenye uchaguzi wa 2010 na mwishowe kufikia mwisho mbaya mwaka 2015 ambapo Tanzania Citizenry was a living collateral damage.

Namalizia hoja hii kwa kusema, Mzee Nyerere alimuweka Mkapa kwa hila, lakini akaanza kujuta na kutaka Mkapa asigombee mwaka 2000. Bahati mbaya wakapishana pakubwa na kuanza kufanyiana siasa za CLOAK & DAGGER ambazo hazikuisha vizuri. Raisi Mkapa alipishana na Mzee Nyerere, na hakuweza kuwa na uvumilivu mkubwa ambao Mzee Mwinyi alikuwa nao, akaonesha wazi-wazi kabisa kukerwa na Mzee Nyerere. Wasomi wengi ambao walikuwa wanamshauri Mzee Nyerere kuhusu kupinga sera za Ubinafsishaji walikiona cha MTEMA KUNI. Mzee Nyerere alilalamika wazi-wazi kwamba kwanini Mkapa anamfedhehesha huku akiwa hai.

Haikuishia hapo, mwaka 2015 kama ilivyokuwa mwaka 1995, Raisi Jakaya akafanya kilekile ambacho yeye mwenyewe alifanyiwa mwaka 1995. Alikata majina ya watu bila hata kuwasikiliza. Kulikuwa na wagombea wazuri mno mbali ya Mzee Lowassa (RIP), kina Prof Mwandosya, Dr Mahiga, Dr Mwele, Jaji Ramadhani, Dr Kitine nk. ambao hawakupewa nafasi. Raisi Mkapa akaamua kutumia karata yake ya ushawishi kuhakikisha kwamba Raisi Magufuli anapenya na Mzee Kikwete akaridhia baada ya kuona mtumbwi unazama na wana-MTANDAO wenzake wanaelekea kumshinda.

Mambo ni mengi mno, aliyewekwa na Raisi Mkapa na Raisi Kikwete akawageuka na kuanza kuwanyoosha, kama ambavyo Mkapa aligeuka kumnyoosha Nyerere aliyemuweka. Mengine tunamwachia Mungu. Ila naomba ujiulize hili swali:

Hivi wangetenda mema mwaka 1995 tungefika huku leo ? Amini, Amini nawaambia. Kama ilivyokuwa mwaka 1995 vijana kuunda MTANDAO, vivyo hivyo mwaka 2015 vijana wameunda MTANDAO mwingine, tofauti ni kwamba sasa hivi iko MITANDAO MINGI na MIZITO.

Tatu, na mwisho kabisa. Mwanadamu usijifanye MUNGU (Never Play GOD), kwasababu mbali na kuwa na uwezo wa kubadilisha mambo, hakuna mwanadamu dunia hii anayeweza kuzuia mabadiliko (No Man Can Ever Stop Changes). Kama tu mwanadamu hawezi kuzuia ukuaji wake binafsi, sembuse taasisi kubwa kama dola. Hivyo basi, hatuwezi kuzuia mabadiliko ila tunaweza kuyamudu (We Can't Stop Changes, But We Can Manage Them). Sisi kama kizazi kipya inabidi tujifunze na kuangalia ni wapi wazee walijikwaa.

Kama tukiendelea kuamini hizi falsafa ovu ambazo tulizikuta, basi hili taifa halitakuwa na amani kwa muda mrefu. Mbinu ambazo zilitumika kuwashughulikia watanzania milion 10-20 kipindi cha TANU/CHAMA KIMOJA haziwezi kuendelea kutumia kudhibiti taifa la kiutandawazi lenye watu zaidi ya milioni 60, ambao wanaingia na kutoka nje ya nchi kila uchwao.

Zile falsafa za kuamini kwamba watu wa UKANDA FULANI, KABILA FULANI, ASILI FULANI, JINSIA FULANI au DINI FULANI ndiyo wanaotakiwa sana kupewa nafasi nyeti kitaifa huku wengine wa kundi jingine wakibaguliwa wazi-wazi utadhani siyo WATANZANIA, kwamba ni wenye hulka ya wizi na kupendeleana ilhali tunasahau kwamba wako wengi na walitangulia kusoma tokea ukoloni. Ukweli mchungu ni kwamba matatizo yanayotokea hapa nchini hayajaletwa na CHAGGAS, NYAKYUSA AU HAYAS. Ni sawa na ule upumbavu wa kuamini kwamba WASUKUMU wa Raisi Magufuli ndiyo wameleta matatizo, jambo ambalo ukiliangalia kimapana halina ukweli wowote zaidi ya STIGMA and STEREOTYPE.

AU kuamini kwamba WAHINDI na WAARABU ndiyo chanzo cha umasikini wa mtu mweusi, ilhali tunasahau ukweli mchungu kwamba hao WAHINDI waliokimbia Tanzania miaka ya 60's na 70's kuelekea Uingereza na America Kaskazini bado wamefika huko na kuendelea kuwashinda hata hao wazungu na jehuri zao. Jiji la London lina wahindi wengi matajiri wa kutupwa ambao walitokea Tanganyika, Kenya na Uganda. Hili ni jambo linalofikirisha.

Ukienda Marekani, ukakutana na Diaspora wa Tanzania, wengi wao ni Wazenji, Wachagga, Wanyakyusa na Wahaya. Sasa unabaki kujiuliza, hii chuki ilitokea wapi, mbona hata huku kwa wazungu bado hawa watu wanafanikiwa mno. Mwisho unakuja kufahamu kwamba, kuna kitu hawa wenzetu walikifahamu muda mrefu, ambacho hata wengi wakikifahamu watafanikiwa tu.

MUHIMU KUKUMBUKA: Mwaka 2024 kutakuwa na uchaguzi mdogo, Mwaka 2025 uchaguzi mkuu. Mambo yatakayofanyika kipindi hiki yawe mema au mabaya, fahamu kwamba tutaishi nayo miaka mingi sana ijayo, kama ambayo tunaishi na yale ya mwaka 1995, 2005 na 2015. Niseme tu, The Domino Effects of 2015 will be profound and long-lasting. Kazi kwetu watanzania.....

APANDACHO MTU NDICHO ATAVUNA, huwezi panda Magugu ukavuna Mtama.

Niwatakie Usiku mwema....​
Ulichoongea ni kweli kiasi Fulani. Mfano, Maalimu Seifu aliongoza kwa kura, mwaka 1995 na kuonekana kuwa atashinda uchaguz. Nakumbuka, TV moja siikumbuki ilitangaza matokeo hayo, na ikawa inafikiriwa kuwa ni sawa kufanya hivyo. Lakin, TV hiyo ilifungiwa kwa muda na kutozwa faini ya shs 800,000.Na mpaka leo, matokeo ya upinzani kushinda hayatangazwi. Lakin pia, mitandao ya kishetani inaonekana ilianza, siku nyingi kwa kuwa, kifo cha Edward Sokoine pia kilikuwa cha utata na ilidhaniwa kusababishwa na mtandao wa watu fulani wakati huo. Aidha natofautiana na ww kuhusu makabila matatu, Chagga,Haya na Nyakwisa kunyimwa utawala kama uraisi hapa kwetu Tanzania,kwa hoja kuu zifuatazo: Moja, bado hajatokea mtu wa, kabila hizo mchapa kazi na mshindani na aliyepangwa na mwenyez Mungu.Kama akitokea na hasa kwenye CCM ni dhahiri atapata nafasi. Nasema hivyo kwa kuwa katika hiyo orodha uliyotoa,pia wasukuma walikuwepo. Lakin baada ya kutokea Magufuli akiwa, mchapa kazi na ukiwa mpango wa Mungu, akawa Rais na pia wasukuma wakatolewa kwenye orodha hiyo. Pili, Kama hoja hiyo ni kweli, mbona kuna makabila hayajapata, nafasi na haukuyataja kuwa yananyimwa nafasi ya urais.Mfano:Watu wa Kigoma, Wahehe,Wagogo, na nk.Je, hayo makabila matatu yana nini mpaka ukashawishika kuyataja kuwa yananyimwa nafasi.? Mwisho:Ni mefurahishwa, sana na hoja zako nzito na za kweli kasoro ya kwanza tu. Asante.
 
Poleni na misiba mikubwa ya kitaifa.

Nikiri kwamba kila siku naendelea kujifunza kuhusu siasa za taifa changa la Tanzania. Mambo makubwa ambayo mpaka sasa nikiri nimeshuhudia yakitokea bila chenga ni kwamba APANDACHO MTU NDICHO HUVUNA, na MWANADAMU HAWEZI KULINGANA NA MUNGU. Nitaelezea mtazamo wangu kwa ufupi:

Mosi, dhambi ya ubaguzi ambayo ilipandwa kwenye hili taifa dhidi ya makundi ya watu fulani itaendelea kulitafuna hili taifa endapo hatutakubali kubadilika. Ubaguzi ambao upo hapa nchini umekuwa wa kisera (Systemic Discrimination) na watu wameshakubaliana nao kwamba ndiyo utamaduni wetu wa kisiasa. Jambo hili siyo sawa hata kidogo, The Anti-Chagga, The Anti-Nyakyusa and The Anti-Haya Canards rooted at the founding cores of this nation state are very vile and devilish.

Ukifikiria kwa umakini na kuchambua historia ya nchi hii, utafahamu kwamba yale ambayo yaliogopwa kutokea endapo atapatikana Raisi Mchagga, Mnyakyusa au Mhaya yamefanywa hata alipokuwepo Raisi Mmakonde, Mzanzibar, Mkwele na Msukuma. Upendeleo (Nepotism and Cronyism) umeonekana, kama siyo katika minajili ya kikabila na kikanda, basi katika minajili ya kidini. Mifano iko mingi ya maraisi kuvutia kwao aidha kikabila, kikanda au kidini.

Sasa kwanini minong'ono na chuki za chini-chini ziendelee kuwa dhidi ya haya makabila matatu ilhali imethibitika kwamba kila mtu akikalia kiti cha uraisi, hata atoke kabila dogo, kama nchi haina mifumo imara ya kiutawala rushwa na upendeleo vitakuwepo tu. Halafu katabia kingine cha watanzania weusi kupenda kubagua watanzania wenye asili ya asia nako kametusababishia matatizo makubwa.

Huwa najiuliza maswali machache tu, hivi mtu kama Salim Ahmed Salim angekuwa Raisi mwaka 2005, leo hii Tanzania tungekuwepo hapa kweli ? Au mtu aina ya Prof Mark Mwandosya angekuwa Raisi leo hii Tanzania ingakuwa wapi ? Ila ni kwamba, hawa watu mbali na kufanya vyote kwa nchi, kiti cha Uraisi wasingeweza kuachiwa. Haya angalia leo hii tuko wapi.

Pili, hakuna baya utakalolifanya halafu lisikurudie. Hili ntalithibitisha kwa mifano hai kabisa. Marehemu Mzee Nyerere alifanya mazuri mengi, lakini mwishoni mwake alifanya makosa mengi mno ambayo aliyajutia na yalikuja kumrudi mwenyewe. Kuhusu Zanzibar alijutia sana hadi dakika za mwisho, na Mzee Dr Kitine alipoonana naye uwanja wa ndege wakati anaenda kutibiwa nchini Uingereza walizungumza sana kuhusu Zanzibar.

Naamini, kama mambo yangekuwa ni mazuri kuhusu Zanzibar asingeongelea hata kuhusu wao kuwa huru. Muungano haujarekebishwa, na umegeuka donda-ndugu (gangrene) ambalo linaitesa taifa hadi sasa, na nashukuru kwamba watanganyika kizazi kipya wameanza kuelewa kile ambacho G55, CHADEMA na TUME YA WARIOBA wamekuwa wakikizungumzia kuhusu muundo wa muungano. Tungeyamaliza haya mapema, nadhani leo hii taifa lisingekuwa na nyufa na chuki za chini-chini kama ilivyo leo.

Jingine ni suala la Uraisi mwaka 1995, ndani ya CCM na UPINZANI. Tunasema Mzee Nyerere, Fumbled the Bag. Alitumia nguvu yake kubwa ya kiushawishi kuwaumiza wanasiasa wengi kiasi cha kuwageuza moyo na kuwafundisha kwamba michezo michafu inalipa. PRECEDENT ya Mzee Nyerere kumuweka Raisi Mkapa kwa gharama yoyote ile, ilikuwa sahihi kwa muda mfupi (Tactical) lakini mbaya kwa muda mrefu (A Strategic Failure).

Tanzania ilikuwa ndiyo inajifunza kufanya mfumo wa demokrasia ya vyama vingi, 1990-1995 was an advent of multi-party democracy in Tanzania. It simply was a defining moment that could reverberate generations to come. Ilitakiwa CCM chini ya ushawishi wa Baba wa Taifa ioneshe mfano na kuongoza njia, ili kujenga msingi imara wa utawala hapa nchini. Kama watanzania hasahasa wale waliopo ndani ya CCM wangeona kwamba demokrasia inafanya kazi, na wale wenye vigezo ndiyo wanapita na siyo CLIENTISM ambayo Mzee Nyerere aliitumia binafsi naamini hata wale waovu wangeona iabu na CCM ingekuwa imejijengea utamaduni imara sana.

Ila wote tunafahamu baadhi ya wanasiasa akiwemo Mzee John Malecela, Horace Kolimba na Jakaya Kikwete walichofanywa. Huwa najiuliza swali hili: Hivi Jakaya angekuwa Raisi wakati Mzee Nyerere yupo hai angeweza kweli kuunda mtandao ambao wa kutafuta madaraka kwa namna yoyote ile, hata kuumiza watu wengi na kuuza roho yake kwa Ibilisi ili mradi awe Raisi ? Bado najiuliza. Huwa tunaulaumu MTANDAO kwa jinsi ulivyoharibu CCM na nchi, lakini huwa hatupendi kuzungumzia nini kilichopelekea mtandao kuundwa.

Siasa za ndani ya CCM za mwaka 1995 zilichangia sana MTANDAO kuundwa. Vijana ambao walinyimwa haki zao kihalali mwaka 1995 waliamua kujipanga kuhakikisha jambo kama lile halitokei tena mwaka 2005. Bahati mbaya sana walivyounda ule MTANDAO ndipo safari yao ya kumkabidhi IBILISI roho zao ilianza. Nachelea kusema, siyo vizuri kuwasema marehemu, lakini mpaka leo hii wanamtandao wote hawapo hai na maisha yao yalijaa mno uchungu na maumivu. Wamebakia Mzee Jakaya Kikwete na Rostam Aziz.

Wazungu husema, THERE'S NO HONOUR AMONG THIEVES. Punde tu baada ya kutimiza adhma yao ya kuupata Uraisi kwa gharama zozote zile, MTANDAO ulikumbwa na vita kubwa ya wenyewe kwa wenyewe (A Civil War) ambayo ililitesa taifa hili na kutufikisha hapa tulipo leo. Matatizo yote yale ambayo tunakumbwa nayo leo hii ya UFISADI, UKOSEKANAJI WA UMEME, UONGOZI DUNI, MAKUNDI NDANI YA CHAMA, SIASA ZA VISASI, MFUMUKO WA BEI na MATATIZO MENGINE YA KIUCHUMI yalichochewa sana na VITA YA WANA-MTANDAO ambayo ilianza mwaka 2006, ikachukua sura mpya mwaka 2008, na kuleta matokeo mabaya kwenye uchaguzi wa 2010 na mwishowe kufikia mwisho mbaya mwaka 2015 ambapo Tanzania Citizenry was a living collateral damage.

Namalizia hoja hii kwa kusema, Mzee Nyerere alimuweka Mkapa kwa hila, lakini akaanza kujuta na kutaka Mkapa asigombee mwaka 2000. Bahati mbaya wakapishana pakubwa na kuanza kufanyiana siasa za CLOAK & DAGGER ambazo hazikuisha vizuri. Raisi Mkapa alipishana na Mzee Nyerere, na hakuweza kuwa na uvumilivu mkubwa ambao Mzee Mwinyi alikuwa nao, akaonesha wazi-wazi kabisa kukerwa na Mzee Nyerere. Wasomi wengi ambao walikuwa wanamshauri Mzee Nyerere kuhusu kupinga sera za Ubinafsishaji walikiona cha MTEMA KUNI. Mzee Nyerere alilalamika wazi-wazi kwamba kwanini Mkapa anamfedhehesha huku akiwa hai.

Haikuishia hapo, mwaka 2015 kama ilivyokuwa mwaka 1995, Raisi Jakaya akafanya kilekile ambacho yeye mwenyewe alifanyiwa mwaka 1995. Alikata majina ya watu bila hata kuwasikiliza. Kulikuwa na wagombea wazuri mno mbali ya Mzee Lowassa (RIP), kina Prof Mwandosya, Dr Mahiga, Dr Mwele, Jaji Ramadhani, Dr Kitine nk. ambao hawakupewa nafasi. Raisi Mkapa akaamua kutumia karata yake ya ushawishi kuhakikisha kwamba Raisi Magufuli anapenya na Mzee Kikwete akaridhia baada ya kuona mtumbwi unazama na wana-MTANDAO wenzake wanaelekea kumshinda.

Mambo ni mengi mno, aliyewekwa na Raisi Mkapa na Raisi Kikwete akawageuka na kuanza kuwanyoosha, kama ambavyo Mkapa aligeuka kumnyoosha Nyerere aliyemuweka. Mengine tunamwachia Mungu. Ila naomba ujiulize hili swali:

Hivi wangetenda mema mwaka 1995 tungefika huku leo ? Amini, Amini nawaambia. Kama ilivyokuwa mwaka 1995 vijana kuunda MTANDAO, vivyo hivyo mwaka 2015 vijana wameunda MTANDAO mwingine, tofauti ni kwamba sasa hivi iko MITANDAO MINGI na MIZITO.

Tatu, na mwisho kabisa. Mwanadamu usijifanye MUNGU (Never Play GOD), kwasababu mbali na kuwa na uwezo wa kubadilisha mambo, hakuna mwanadamu dunia hii anayeweza kuzuia mabadiliko (No Man Can Ever Stop Changes). Kama tu mwanadamu hawezi kuzuia ukuaji wake binafsi, sembuse taasisi kubwa kama dola. Hivyo basi, hatuwezi kuzuia mabadiliko ila tunaweza kuyamudu (We Can't Stop Changes, But We Can Manage Them). Sisi kama kizazi kipya inabidi tujifunze na kuangalia ni wapi wazee walijikwaa.

Kama tukiendelea kuamini hizi falsafa ovu ambazo tulizikuta, basi hili taifa halitakuwa na amani kwa muda mrefu. Mbinu ambazo zilitumika kuwashughulikia watanzania milion 10-20 kipindi cha TANU/CHAMA KIMOJA haziwezi kuendelea kutumia kudhibiti taifa la kiutandawazi lenye watu zaidi ya milioni 60, ambao wanaingia na kutoka nje ya nchi kila uchwao.

Zile falsafa za kuamini kwamba watu wa UKANDA FULANI, KABILA FULANI, ASILI FULANI, JINSIA FULANI au DINI FULANI ndiyo wanaotakiwa sana kupewa nafasi nyeti kitaifa huku wengine wa kundi jingine wakibaguliwa wazi-wazi utadhani siyo WATANZANIA, kwamba ni wenye hulka ya wizi na kupendeleana ilhali tunasahau kwamba wako wengi na walitangulia kusoma tokea ukoloni. Ukweli mchungu ni kwamba matatizo yanayotokea hapa nchini hayajaletwa na CHAGGAS, NYAKYUSA AU HAYAS. Ni sawa na ule upumbavu wa kuamini kwamba WASUKUMU wa Raisi Magufuli ndiyo wameleta matatizo, jambo ambalo ukiliangalia kimapana halina ukweli wowote zaidi ya STIGMA and STEREOTYPE.

AU kuamini kwamba WAHINDI na WAARABU ndiyo chanzo cha umasikini wa mtu mweusi, ilhali tunasahau ukweli mchungu kwamba hao WAHINDI waliokimbia Tanzania miaka ya 60's na 70's kuelekea Uingereza na America Kaskazini bado wamefika huko na kuendelea kuwashinda hata hao wazungu na jehuri zao. Jiji la London lina wahindi wengi matajiri wa kutupwa ambao walitokea Tanganyika, Kenya na Uganda. Hili ni jambo linalofikirisha.

Ukienda Marekani, ukakutana na Diaspora wa Tanzania, wengi wao ni Wazenji, Wachagga, Wanyakyusa na Wahaya. Sasa unabaki kujiuliza, hii chuki ilitokea wapi, mbona hata huku kwa wazungu bado hawa watu wanafanikiwa mno. Mwisho unakuja kufahamu kwamba, kuna kitu hawa wenzetu walikifahamu muda mrefu, ambacho hata wengi wakikifahamu watafanikiwa tu.

MUHIMU KUKUMBUKA: Mwaka 2024 kutakuwa na uchaguzi mdogo, Mwaka 2025 uchaguzi mkuu. Mambo yatakayofanyika kipindi hiki yawe mema au mabaya, fahamu kwamba tutaishi nayo miaka mingi sana ijayo, kama ambayo tunaishi na yale ya mwaka 1995, 2005 na 2015. Niseme tu, The Domino Effects of 2015 will be profound and long-lasting. Kazi kwetu watanzania.....

APANDACHO MTU NDICHO ATAVUNA, huwezi panda Magugu ukavuna Mtama.

Niwatakie Usiku mwema....​
Moja ambalo umekosea, 1995 kama Sio Nyerere ilikuwa Malecela, .
Pili hakuna Muhaya, au Nyakyusa au Chagga aliyekataliwa Kwa Uchaga wake wala Muhindi. salim Ahmed Salimu hakuwa Muhindi.
Nyerere Mpango wake WA awali ulikuwa ni Sokoinne achukue nchi baada yake.
Tatu Nyerere baada ya Sokoinne Kufa, alitegemea Yeye na Jumbe wangejiuzulu pamoja.
Hivyo kusingekuwepo na Nafasi ya Ali Kuwa Kiongozi WA Juu aliye Baki kipindi hicho. Hivyo Raisi wa Jamuhuri angebaki WA kutokea Bara na makamu angekuwa ametokea Visiwani.
Kitu cha kujifunza hapa ni kukubali kuwepo Kwa matukio yalio nje ya nguvu zetu Sisi binadamu, hivyo hayo mambo ya natakiwa kuthibitiwa na Katiba.ambayo haita mruhusu Kiongozi yoyote kuendesha nchi anavyotaka yeye Bali wanavyotaka watanzania.
 
Poleni na misiba mikubwa ya kitaifa.

Nikiri kwamba kila siku naendelea kujifunza kuhusu siasa za taifa changa la Tanzania. Mambo makubwa ambayo mpaka sasa nikiri nimeshuhudia yakitokea bila chenga ni kwamba APANDACHO MTU NDICHO HUVUNA, na MWANADAMU HAWEZI KULINGANA NA MUNGU. Nitaelezea mtazamo wangu kwa ufupi:

Mosi, dhambi ya ubaguzi ambayo ilipandwa kwenye hili taifa dhidi ya makundi ya watu fulani itaendelea kulitafuna hili taifa endapo hatutakubali kubadilika. Ubaguzi ambao upo hapa nchini umekuwa wa kisera (Systemic Discrimination) na watu wameshakubaliana nao kwamba ndiyo utamaduni wetu wa kisiasa. Jambo hili siyo sawa hata kidogo, The Anti-Chagga, The Anti-Nyakyusa and The Anti-Haya Canards rooted at the founding cores of this nation state are very vile and devilish.

Ukifikiria kwa umakini na kuchambua historia ya nchi hii, utafahamu kwamba yale ambayo yaliogopwa kutokea endapo atapatikana Raisi Mchagga, Mnyakyusa au Mhaya yamefanywa hata alipokuwepo Raisi Mmakonde, Mzanzibar, Mkwele na Msukuma. Upendeleo (Nepotism and Cronyism) umeonekana, kama siyo katika minajili ya kikabila na kikanda, basi katika minajili ya kidini. Mifano iko mingi ya maraisi kuvutia kwao aidha kikabila, kikanda au kidini.

Sasa kwanini minong'ono na chuki za chini-chini ziendelee kuwa dhidi ya haya makabila matatu ilhali imethibitika kwamba kila mtu akikalia kiti cha uraisi, hata atoke kabila dogo, kama nchi haina mifumo imara ya kiutawala rushwa na upendeleo vitakuwepo tu. Halafu katabia kingine cha watanzania weusi kupenda kubagua watanzania wenye asili ya asia nako kametusababishia matatizo makubwa.

Huwa najiuliza maswali machache tu, hivi mtu kama Salim Ahmed Salim angekuwa Raisi mwaka 2005, leo hii Tanzania tungekuwepo hapa kweli ? Au mtu aina ya Prof Mark Mwandosya angekuwa Raisi leo hii Tanzania ingakuwa wapi ? Ila ni kwamba, hawa watu mbali na kufanya vyote kwa nchi, kiti cha Uraisi wasingeweza kuachiwa. Haya angalia leo hii tuko wapi.

Pili, hakuna baya utakalolifanya halafu lisikurudie. Hili ntalithibitisha kwa mifano hai kabisa. Marehemu Mzee Nyerere alifanya mazuri mengi, lakini mwishoni mwake alifanya makosa mengi mno ambayo aliyajutia na yalikuja kumrudi mwenyewe. Kuhusu Zanzibar alijutia sana hadi dakika za mwisho, na Mzee Dr Kitine alipoonana naye uwanja wa ndege wakati anaenda kutibiwa nchini Uingereza walizungumza sana kuhusu Zanzibar.

Naamini, kama mambo yangekuwa ni mazuri kuhusu Zanzibar asingeongelea hata kuhusu wao kuwa huru. Muungano haujarekebishwa, na umegeuka donda-ndugu (gangrene) ambalo linaitesa taifa hadi sasa, na nashukuru kwamba watanganyika kizazi kipya wameanza kuelewa kile ambacho G55, CHADEMA na TUME YA WARIOBA wamekuwa wakikizungumzia kuhusu muundo wa muungano. Tungeyamaliza haya mapema, nadhani leo hii taifa lisingekuwa na nyufa na chuki za chini-chini kama ilivyo leo.

Jingine ni suala la Uraisi mwaka 1995, ndani ya CCM na UPINZANI. Tunasema Mzee Nyerere, Fumbled the Bag. Alitumia nguvu yake kubwa ya kiushawishi kuwaumiza wanasiasa wengi kiasi cha kuwageuza moyo na kuwafundisha kwamba michezo michafu inalipa. PRECEDENT ya Mzee Nyerere kumuweka Raisi Mkapa kwa gharama yoyote ile, ilikuwa sahihi kwa muda mfupi (Tactical) lakini mbaya kwa muda mrefu (A Strategic Failure).

Tanzania ilikuwa ndiyo inajifunza kufanya mfumo wa demokrasia ya vyama vingi, 1990-1995 was an advent of multi-party democracy in Tanzania. It simply was a defining moment that could reverberate generations to come. Ilitakiwa CCM chini ya ushawishi wa Baba wa Taifa ioneshe mfano na kuongoza njia, ili kujenga msingi imara wa utawala hapa nchini. Kama watanzania hasahasa wale waliopo ndani ya CCM wangeona kwamba demokrasia inafanya kazi, na wale wenye vigezo ndiyo wanapita na siyo CLIENTISM ambayo Mzee Nyerere aliitumia binafsi naamini hata wale waovu wangeona iabu na CCM ingekuwa imejijengea utamaduni imara sana.

Ila wote tunafahamu baadhi ya wanasiasa akiwemo Mzee John Malecela, Horace Kolimba na Jakaya Kikwete walichofanywa. Huwa najiuliza swali hili: Hivi Jakaya angekuwa Raisi wakati Mzee Nyerere yupo hai angeweza kweli kuunda mtandao ambao wa kutafuta madaraka kwa namna yoyote ile, hata kuumiza watu wengi na kuuza roho yake kwa Ibilisi ili mradi awe Raisi ? Bado najiuliza. Huwa tunaulaumu MTANDAO kwa jinsi ulivyoharibu CCM na nchi, lakini huwa hatupendi kuzungumzia nini kilichopelekea mtandao kuundwa.

Siasa za ndani ya CCM za mwaka 1995 zilichangia sana MTANDAO kuundwa. Vijana ambao walinyimwa haki zao kihalali mwaka 1995 waliamua kujipanga kuhakikisha jambo kama lile halitokei tena mwaka 2005. Bahati mbaya sana walivyounda ule MTANDAO ndipo safari yao ya kumkabidhi IBILISI roho zao ilianza. Nachelea kusema, siyo vizuri kuwasema marehemu, lakini mpaka leo hii wanamtandao wote hawapo hai na maisha yao yalijaa mno uchungu na maumivu. Wamebakia Mzee Jakaya Kikwete na Rostam Aziz.

Wazungu husema, THERE'S NO HONOUR AMONG THIEVES. Punde tu baada ya kutimiza adhma yao ya kuupata Uraisi kwa gharama zozote zile, MTANDAO ulikumbwa na vita kubwa ya wenyewe kwa wenyewe (A Civil War) ambayo ililitesa taifa hili na kutufikisha hapa tulipo leo. Matatizo yote yale ambayo tunakumbwa nayo leo hii ya UFISADI, UKOSEKANAJI WA UMEME, UONGOZI DUNI, MAKUNDI NDANI YA CHAMA, SIASA ZA VISASI, MFUMUKO WA BEI na MATATIZO MENGINE YA KIUCHUMI yalichochewa sana na VITA YA WANA-MTANDAO ambayo ilianza mwaka 2006, ikachukua sura mpya mwaka 2008, na kuleta matokeo mabaya kwenye uchaguzi wa 2010 na mwishowe kufikia mwisho mbaya mwaka 2015 ambapo Tanzania Citizenry was a living collateral damage.

Namalizia hoja hii kwa kusema, Mzee Nyerere alimuweka Mkapa kwa hila, lakini akaanza kujuta na kutaka Mkapa asigombee mwaka 2000. Bahati mbaya wakapishana pakubwa na kuanza kufanyiana siasa za CLOAK & DAGGER ambazo hazikuisha vizuri. Raisi Mkapa alipishana na Mzee Nyerere, na hakuweza kuwa na uvumilivu mkubwa ambao Mzee Mwinyi alikuwa nao, akaonesha wazi-wazi kabisa kukerwa na Mzee Nyerere. Wasomi wengi ambao walikuwa wanamshauri Mzee Nyerere kuhusu kupinga sera za Ubinafsishaji walikiona cha MTEMA KUNI. Mzee Nyerere alilalamika wazi-wazi kwamba kwanini Mkapa anamfedhehesha huku akiwa hai.

Haikuishia hapo, mwaka 2015 kama ilivyokuwa mwaka 1995, Raisi Jakaya akafanya kilekile ambacho yeye mwenyewe alifanyiwa mwaka 1995. Alikata majina ya watu bila hata kuwasikiliza. Kulikuwa na wagombea wazuri mno mbali ya Mzee Lowassa (RIP), kina Prof Mwandosya, Dr Mahiga, Dr Mwele, Jaji Ramadhani, Dr Kitine nk. ambao hawakupewa nafasi. Raisi Mkapa akaamua kutumia karata yake ya ushawishi kuhakikisha kwamba Raisi Magufuli anapenya na Mzee Kikwete akaridhia baada ya kuona mtumbwi unazama na wana-MTANDAO wenzake wanaelekea kumshinda.

Mambo ni mengi mno, aliyewekwa na Raisi Mkapa na Raisi Kikwete akawageuka na kuanza kuwanyoosha, kama ambavyo Mkapa aligeuka kumnyoosha Nyerere aliyemuweka. Mengine tunamwachia Mungu. Ila naomba ujiulize hili swali:

Hivi wangetenda mema mwaka 1995 tungefika huku leo ? Amini, Amini nawaambia. Kama ilivyokuwa mwaka 1995 vijana kuunda MTANDAO, vivyo hivyo mwaka 2015 vijana wameunda MTANDAO mwingine, tofauti ni kwamba sasa hivi iko MITANDAO MINGI na MIZITO.

Tatu, na mwisho kabisa. Mwanadamu usijifanye MUNGU (Never Play GOD), kwasababu mbali na kuwa na uwezo wa kubadilisha mambo, hakuna mwanadamu dunia hii anayeweza kuzuia mabadiliko (No Man Can Ever Stop Changes). Kama tu mwanadamu hawezi kuzuia ukuaji wake binafsi, sembuse taasisi kubwa kama dola. Hivyo basi, hatuwezi kuzuia mabadiliko ila tunaweza kuyamudu (We Can't Stop Changes, But We Can Manage Them). Sisi kama kizazi kipya inabidi tujifunze na kuangalia ni wapi wazee walijikwaa.

Kama tukiendelea kuamini hizi falsafa ovu ambazo tulizikuta, basi hili taifa halitakuwa na amani kwa muda mrefu. Mbinu ambazo zilitumika kuwashughulikia watanzania milion 10-20 kipindi cha TANU/CHAMA KIMOJA haziwezi kuendelea kutumia kudhibiti taifa la kiutandawazi lenye watu zaidi ya milioni 60, ambao wanaingia na kutoka nje ya nchi kila uchwao.

Zile falsafa za kuamini kwamba watu wa UKANDA FULANI, KABILA FULANI, ASILI FULANI, JINSIA FULANI au DINI FULANI ndiyo wanaotakiwa sana kupewa nafasi nyeti kitaifa huku wengine wa kundi jingine wakibaguliwa wazi-wazi utadhani siyo WATANZANIA, kwamba ni wenye hulka ya wizi na kupendeleana ilhali tunasahau kwamba wako wengi na walitangulia kusoma tokea ukoloni. Ukweli mchungu ni kwamba matatizo yanayotokea hapa nchini hayajaletwa na CHAGGAS, NYAKYUSA AU HAYAS. Ni sawa na ule upumbavu wa kuamini kwamba WASUKUMU wa Raisi Magufuli ndiyo wameleta matatizo, jambo ambalo ukiliangalia kimapana halina ukweli wowote zaidi ya STIGMA and STEREOTYPE.

AU kuamini kwamba WAHINDI na WAARABU ndiyo chanzo cha umasikini wa mtu mweusi, ilhali tunasahau ukweli mchungu kwamba hao WAHINDI waliokimbia Tanzania miaka ya 60's na 70's kuelekea Uingereza na America Kaskazini bado wamefika huko na kuendelea kuwashinda hata hao wazungu na jehuri zao. Jiji la London lina wahindi wengi matajiri wa kutupwa ambao walitokea Tanganyika, Kenya na Uganda. Hili ni jambo linalofikirisha.

Ukienda Marekani, ukakutana na Diaspora wa Tanzania, wengi wao ni Wazenji, Wachagga, Wanyakyusa na Wahaya. Sasa unabaki kujiuliza, hii chuki ilitokea wapi, mbona hata huku kwa wazungu bado hawa watu wanafanikiwa mno. Mwisho unakuja kufahamu kwamba, kuna kitu hawa wenzetu walikifahamu muda mrefu, ambacho hata wengi wakikifahamu watafanikiwa tu.

MUHIMU KUKUMBUKA: Mwaka 2024 kutakuwa na uchaguzi mdogo, Mwaka 2025 uchaguzi mkuu. Mambo yatakayofanyika kipindi hiki yawe mema au mabaya, fahamu kwamba tutaishi nayo miaka mingi sana ijayo, kama ambayo tunaishi na yale ya mwaka 1995, 2005 na 2015. Niseme tu, The Domino Effects of 2015 will be profound and long-lasting. Kazi kwetu watanzania.....

APANDACHO MTU NDICHO ATAVUNA, huwezi panda Magugu ukavuna Mtama.

Niwatakie Usiku mwema....​
Zuia siti kwanza nitarejea
 
Ni nchi hii hii ya CCM ambayo inalazimisha kila kitu kwa manufaa yao. Unadhani wao wehu, wanfahamu yote hayo na wanajua wakiteleza tu kikaingia kikundi wasichokitaka iwe kutoka ccm au nje ya ccm, nacho kitaunda system yake, na kitawashughulikia watangulizi kweli. Hivyo ili kujilinda wao na familia zao lazima watupeleke ki-PUTIN PUTIN hakuna namna.

Zanzibar waliunda SUK wakatiwa CUF lakini CCM walitawala kila kitu CUF walikuwemo kama wapuuzi tu ndani ya serikali, hawakutoa maamuzi yoyote mpaka Maalim alipoona ujinga huo akaachana nao.

Leo Unamsikia Zito akililia SUK hawatoi na haipo na haitatolewa.
Unasikia Maridhiano ya Chadema na ccm yamekufa hata kabla ya kuanza, CCM ahataki commitment yoyote kwenye maridhiano, siyo kwa maandishi hata kwa maneno. wanafahamu Wakiiruhusu Chadema, itawagalagaza na wakigalagazwa hawawezi kuridi labda kwa Jeshi.

CCM iliisha shindwa na options zote waliisha ziangalia wakaona athari iliyopo, hawawezi kukubali maridhiano na chadema, hawawezi kukubali kuandika katiba mpya, na hawawezi kuipa tume ya uchaguzi uhuru tunao utaka.
Hivyo 2025 itakuwa vile vile kama tulivyozoea kuona.

Nchi hii ina makovu na kila kovu bado bichi ndani, ccm ikiruhusu fair play nchi hii sijui hata nikwambie nini.
Na aliyesababisha haya makovu hataki hata tupate fursa ya kwenda kuyatibu, Matokeo yake anaongeza majeraha mengine!
 
Moja ambalo umekosea, 1995 kama Sio Nyerere ilikuwa Malecela, .
Pili hakuna Muhaya, au Nyakyusa au Chagga aliyekataliwa Kwa Uchaga wake wala Muhindi. salim Ahmed Salimu hakuwa Muhindi.
Nyerere Mpango wake WA awali ulikuwa ni Sokoinne achukue nchi baada yake.
Tatu Nyerere baada ya Sokoinne Kufa, alitegemea Yeye na Jumbe wangejiuzulu pamoja.
Hivyo kusingekuwepo na Nafasi ya Ali Kuwa Kiongozi WA Juu aliye Baki kipindi hicho. Hivyo Raisi wa Jamuhuri angebaki WA kutokea Bara na makamu angekuwa ametokea Visiwani.
Kitu cha kujifunza hapa ni kukubali kuwepo Kwa matukio yalio nje ya nguvu zetu Sisi binadamu, hivyo hayo mambo ya natakiwa kuthibitiwa na Katiba.ambayo haita mruhusu Kiongozi yoyote kuendesha nchi anavyotaka yeye Bali wanavyotaka watanzania.
.. Roho la kubagua na linatutafuna... Hailelezeki eti Leo hii mama ni Rais ?
 
Nyerere na Kikwete ni laana kwa taifa hili. Mkapa atakuwa shahidi huko baadaye. Mwinyi ameteseka sana. Magufuli ni tatizo kubwa zaidi kuwahi kuletwa na laana nyenyere na kikwete. Huyu bibi akithubutu kurudi ikulu tuna msiba kabla ya miaka 2 tena. MAMBO NI MENGI SANA.
 
Poleni na misiba mikubwa ya kitaifa.

Nikiri kwamba kila siku naendelea kujifunza kuhusu siasa za taifa changa la Tanzania. Mambo makubwa ambayo mpaka sasa nikiri nimeshuhudia yakitokea bila chenga ni kwamba APANDACHO MTU NDICHO HUVUNA, na MWANADAMU HAWEZI KULINGANA NA MUNGU. Nitaelezea mtazamo wangu kwa ufupi:

Mosi, dhambi ya ubaguzi ambayo ilipandwa kwenye hili taifa dhidi ya makundi ya watu fulani itaendelea kulitafuna hili taifa endapo hatutakubali kubadilika. Ubaguzi ambao upo hapa nchini umekuwa wa kisera (Systemic Discrimination) na watu wameshakubaliana nao kwamba ndiyo utamaduni wetu wa kisiasa. Jambo hili siyo sawa hata kidogo, The Anti-Chagga, The Anti-Nyakyusa and The Anti-Haya Canards rooted at the founding cores of this nation state are very vile and devilish.

Ukifikiria kwa umakini na kuchambua historia ya nchi hii, utafahamu kwamba yale ambayo yaliogopwa kutokea endapo atapatikana Raisi Mchagga, Mnyakyusa au Mhaya yamefanywa hata alipokuwepo Raisi Mmakonde, Mzanzibar, Mkwele na Msukuma. Upendeleo (Nepotism and Cronyism) umeonekana, kama siyo katika minajili ya kikabila na kikanda, basi katika minajili ya kidini. Mifano iko mingi ya maraisi kuvutia kwao aidha kikabila, kikanda au kidini.

Sasa kwanini minong'ono na chuki za chini-chini ziendelee kuwa dhidi ya haya makabila matatu ilhali imethibitika kwamba kila mtu akikalia kiti cha uraisi, hata atoke kabila dogo, kama nchi haina mifumo imara ya kiutawala rushwa na upendeleo vitakuwepo tu. Halafu katabia kingine cha watanzania weusi kupenda kubagua watanzania wenye asili ya asia nako kametusababishia matatizo makubwa.

Huwa najiuliza maswali machache tu, hivi mtu kama Salim Ahmed Salim angekuwa Raisi mwaka 2005, leo hii Tanzania tungekuwepo hapa kweli ? Au mtu aina ya Prof Mark Mwandosya angekuwa Raisi leo hii Tanzania ingakuwa wapi ? Ila ni kwamba, hawa watu mbali na kufanya vyote kwa nchi, kiti cha Uraisi wasingeweza kuachiwa. Haya angalia leo hii tuko wapi.

Pili, hakuna baya utakalolifanya halafu lisikurudie. Hili ntalithibitisha kwa mifano hai kabisa. Marehemu Mzee Nyerere alifanya mazuri mengi, lakini mwishoni mwake alifanya makosa mengi mno ambayo aliyajutia na yalikuja kumrudi mwenyewe. Kuhusu Zanzibar alijutia sana hadi dakika za mwisho, na Mzee Dr Kitine alipoonana naye uwanja wa ndege wakati anaenda kutibiwa nchini Uingereza walizungumza sana kuhusu Zanzibar.

Naamini, kama mambo yangekuwa ni mazuri kuhusu Zanzibar asingeongelea hata kuhusu wao kuwa huru. Muungano haujarekebishwa, na umegeuka donda-ndugu (gangrene) ambalo linaitesa taifa hadi sasa, na nashukuru kwamba watanganyika kizazi kipya wameanza kuelewa kile ambacho G55, CHADEMA na TUME YA WARIOBA wamekuwa wakikizungumzia kuhusu muundo wa muungano. Tungeyamaliza haya mapema, nadhani leo hii taifa lisingekuwa na nyufa na chuki za chini-chini kama ilivyo leo.

Jingine ni suala la Uraisi mwaka 1995, ndani ya CCM na UPINZANI. Tunasema Mzee Nyerere, Fumbled the Bag. Alitumia nguvu yake kubwa ya kiushawishi kuwaumiza wanasiasa wengi kiasi cha kuwageuza moyo na kuwafundisha kwamba michezo michafu inalipa. PRECEDENT ya Mzee Nyerere kumuweka Raisi Mkapa kwa gharama yoyote ile, ilikuwa sahihi kwa muda mfupi (Tactical) lakini mbaya kwa muda mrefu (A Strategic Failure).

Tanzania ilikuwa ndiyo inajifunza kufanya mfumo wa demokrasia ya vyama vingi, 1990-1995 was an advent of multi-party democracy in Tanzania. It simply was a defining moment that could reverberate generations to come. Ilitakiwa CCM chini ya ushawishi wa Baba wa Taifa ioneshe mfano na kuongoza njia, ili kujenga msingi imara wa utawala hapa nchini. Kama watanzania hasahasa wale waliopo ndani ya CCM wangeona kwamba demokrasia inafanya kazi, na wale wenye vigezo ndiyo wanapita na siyo CLIENTISM ambayo Mzee Nyerere aliitumia binafsi naamini hata wale waovu wangeona iabu na CCM ingekuwa imejijengea utamaduni imara sana.

Ila wote tunafahamu baadhi ya wanasiasa akiwemo Mzee John Malecela, Horace Kolimba na Jakaya Kikwete walichofanywa. Huwa najiuliza swali hili: Hivi Jakaya angekuwa Raisi wakati Mzee Nyerere yupo hai angeweza kweli kuunda mtandao ambao wa kutafuta madaraka kwa namna yoyote ile, hata kuumiza watu wengi na kuuza roho yake kwa Ibilisi ili mradi awe Raisi ? Bado najiuliza. Huwa tunaulaumu MTANDAO kwa jinsi ulivyoharibu CCM na nchi, lakini huwa hatupendi kuzungumzia nini kilichopelekea mtandao kuundwa.

Siasa za ndani ya CCM za mwaka 1995 zilichangia sana MTANDAO kuundwa. Vijana ambao walinyimwa haki zao kihalali mwaka 1995 waliamua kujipanga kuhakikisha jambo kama lile halitokei tena mwaka 2005. Bahati mbaya sana walivyounda ule MTANDAO ndipo safari yao ya kumkabidhi IBILISI roho zao ilianza. Nachelea kusema, siyo vizuri kuwasema marehemu, lakini mpaka leo hii wanamtandao wote hawapo hai na maisha yao yalijaa mno uchungu na maumivu. Wamebakia Mzee Jakaya Kikwete na Rostam Aziz.

Wazungu husema, THERE'S NO HONOUR AMONG THIEVES. Punde tu baada ya kutimiza adhma yao ya kuupata Uraisi kwa gharama zozote zile, MTANDAO ulikumbwa na vita kubwa ya wenyewe kwa wenyewe (A Civil War) ambayo ililitesa taifa hili na kutufikisha hapa tulipo leo. Matatizo yote yale ambayo tunakumbwa nayo leo hii ya UFISADI, UKOSEKANAJI WA UMEME, UONGOZI DUNI, MAKUNDI NDANI YA CHAMA, SIASA ZA VISASI, MFUMUKO WA BEI na MATATIZO MENGINE YA KIUCHUMI yalichochewa sana na VITA YA WANA-MTANDAO ambayo ilianza mwaka 2006, ikachukua sura mpya mwaka 2008, na kuleta matokeo mabaya kwenye uchaguzi wa 2010 na mwishowe kufikia mwisho mbaya mwaka 2015 ambapo Tanzania Citizenry was a living collateral damage.

Namalizia hoja hii kwa kusema, Mzee Nyerere alimuweka Mkapa kwa hila, lakini akaanza kujuta na kutaka Mkapa asigombee mwaka 2000. Bahati mbaya wakapishana pakubwa na kuanza kufanyiana siasa za CLOAK & DAGGER ambazo hazikuisha vizuri. Raisi Mkapa alipishana na Mzee Nyerere, na hakuweza kuwa na uvumilivu mkubwa ambao Mzee Mwinyi alikuwa nao, akaonesha wazi-wazi kabisa kukerwa na Mzee Nyerere. Wasomi wengi ambao walikuwa wanamshauri Mzee Nyerere kuhusu kupinga sera za Ubinafsishaji walikiona cha MTEMA KUNI. Mzee Nyerere alilalamika wazi-wazi kwamba kwanini Mkapa anamfedhehesha huku akiwa hai.

Haikuishia hapo, mwaka 2015 kama ilivyokuwa mwaka 1995, Raisi Jakaya akafanya kilekile ambacho yeye mwenyewe alifanyiwa mwaka 1995. Alikata majina ya watu bila hata kuwasikiliza. Kulikuwa na wagombea wazuri mno mbali ya Mzee Lowassa (RIP), kina Prof Mwandosya, Dr Mahiga, Dr Mwele, Jaji Ramadhani, Dr Kitine nk. ambao hawakupewa nafasi. Raisi Mkapa akaamua kutumia karata yake ya ushawishi kuhakikisha kwamba Raisi Magufuli anapenya na Mzee Kikwete akaridhia baada ya kuona mtumbwi unazama na wana-MTANDAO wenzake wanaelekea kumshinda.

Mambo ni mengi mno, aliyewekwa na Raisi Mkapa na Raisi Kikwete akawageuka na kuanza kuwanyoosha, kama ambavyo Mkapa aligeuka kumnyoosha Nyerere aliyemuweka. Mengine tunamwachia Mungu. Ila naomba ujiulize hili swali:

Hivi wangetenda mema mwaka 1995 tungefika huku leo ? Amini, Amini nawaambia. Kama ilivyokuwa mwaka 1995 vijana kuunda MTANDAO, vivyo hivyo mwaka 2015 vijana wameunda MTANDAO mwingine, tofauti ni kwamba sasa hivi iko MITANDAO MINGI na MIZITO.

Tatu, na mwisho kabisa. Mwanadamu usijifanye MUNGU (Never Play GOD), kwasababu mbali na kuwa na uwezo wa kubadilisha mambo, hakuna mwanadamu dunia hii anayeweza kuzuia mabadiliko (No Man Can Ever Stop Changes). Kama tu mwanadamu hawezi kuzuia ukuaji wake binafsi, sembuse taasisi kubwa kama dola. Hivyo basi, hatuwezi kuzuia mabadiliko ila tunaweza kuyamudu (We Can't Stop Changes, But We Can Manage Them). Sisi kama kizazi kipya inabidi tujifunze na kuangalia ni wapi wazee walijikwaa.

Kama tukiendelea kuamini hizi falsafa ovu ambazo tulizikuta, basi hili taifa halitakuwa na amani kwa muda mrefu. Mbinu ambazo zilitumika kuwashughulikia watanzania milion 10-20 kipindi cha TANU/CHAMA KIMOJA haziwezi kuendelea kutumia kudhibiti taifa la kiutandawazi lenye watu zaidi ya milioni 60, ambao wanaingia na kutoka nje ya nchi kila uchwao.

Zile falsafa za kuamini kwamba watu wa UKANDA FULANI, KABILA FULANI, ASILI FULANI, JINSIA FULANI au DINI FULANI ndiyo wanaotakiwa sana kupewa nafasi nyeti kitaifa huku wengine wa kundi jingine wakibaguliwa wazi-wazi utadhani siyo WATANZANIA, kwamba ni wenye hulka ya wizi na kupendeleana ilhali tunasahau kwamba wako wengi na walitangulia kusoma tokea ukoloni. Ukweli mchungu ni kwamba matatizo yanayotokea hapa nchini hayajaletwa na CHAGGAS, NYAKYUSA AU HAYAS. Ni sawa na ule upumbavu wa kuamini kwamba WASUKUMU wa Raisi Magufuli ndiyo wameleta matatizo, jambo ambalo ukiliangalia kimapana halina ukweli wowote zaidi ya STIGMA and STEREOTYPE.

AU kuamini kwamba WAHINDI na WAARABU ndiyo chanzo cha umasikini wa mtu mweusi, ilhali tunasahau ukweli mchungu kwamba hao WAHINDI waliokimbia Tanzania miaka ya 60's na 70's kuelekea Uingereza na America Kaskazini bado wamefika huko na kuendelea kuwashinda hata hao wazungu na jehuri zao. Jiji la London lina wahindi wengi matajiri wa kutupwa ambao walitokea Tanganyika, Kenya na Uganda. Hili ni jambo linalofikirisha.

Ukienda Marekani, ukakutana na Diaspora wa Tanzania, wengi wao ni Wazenji, Wachagga, Wanyakyusa na Wahaya. Sasa unabaki kujiuliza, hii chuki ilitokea wapi, mbona hata huku kwa wazungu bado hawa watu wanafanikiwa mno. Mwisho unakuja kufahamu kwamba, kuna kitu hawa wenzetu walikifahamu muda mrefu, ambacho hata wengi wakikifahamu watafanikiwa tu.

MUHIMU KUKUMBUKA: Mwaka 2024 kutakuwa na uchaguzi mdogo, Mwaka 2025 uchaguzi mkuu. Mambo yatakayofanyika kipindi hiki yawe mema au mabaya, fahamu kwamba tutaishi nayo miaka mingi sana ijayo, kama ambayo tunaishi na yale ya mwaka 1995, 2005 na 2015. Niseme tu, The Domino Effects of 2015 will be profound and long-lasting. Kazi kwetu watanzania.....

APANDACHO MTU NDICHO ATAVUNA, huwezi panda Magugu ukavuna Mtama.

Niwatakie Usiku mwema....​
Ccm ni chanzo cha matatizo
 
MUHIMU KUKUMBUKA: Mwaka 2024 kutakuwa na uchaguzi mdogo, Mwaka 2025 uchaguzi mkuu. Mambo yatakayofanyika kipindi hiki yawe mema au mabaya, fahamu kwamba tutaishi nayo miaka mingi sana ijayo, kama ambayo tunaishi na yale ya mwaka 1995, 2005 na 2015. Niseme tu, The Domino Effects of 2015 will be profound and long-lasting. Kazi kwetu watanzania.....

APANDACHO MTU NDICHO ATAVUNA, huwezi panda Magugu ukavuna Mtama.

Niwatakie Usiku mwema....
Asante sana kwa bandiko safi linalojieleza. Dots zimeungwa vizuri. Hata hivyo, siku hizi tunahitaji maelezo mepesi kuelewe na yakiwa wazi.

Hitimisho la bandiko lako hili ni zuri lakini limekaa kifilisofia mno. Nilitegemea, utamke wazi kuwa Fulani kwa nafasi uliyonayo, maana unashawishi mkubwa, usifanye hivi kwenye uchaguzi mdogo (2024) na mkubwa (2025) kwa sababu ukifanya hivyo utaturudisha 1995, 2005 na 2015 na safari hii hatutasubiri madhara ya Sasa yatutafune huko mbele. Tutakachokifanya ni "kukugawana" mara moja kwa sababu hatutaki Tena kuwekeana viporo.
 
wanavyotaka watanzania
Hii nayo inachangamoto zake. Kuna baadhi ya watanzania na wanaushawishi mkubwa walisema hawataki maendeleo vitu(barabara, reli, Umeme nakadhalika) wanasema wanataka maendeleo ya watu (watu wale Bata tu bila kufanya kazi). Ona Sasa kinachotutokea...!!! Bata wanakula wa chache wengi nitia Maji !!!

Lakini, vitu(miundombinu) tungetumia wote bila kuminyana!!!
 
Kuna vitu nimejifunza.
Ila kuhusu ubaguzi wa makabila makubwa. Makabila uliyoyataja huku mtaani na maofisini tunawaoana ni mabingwa wa kujipendelea na kuvutana. Hauni kama hekima ya nchi kuaacha pembeni kwanza inasaidia. Ukizingatia Kikatiba ukiwa Rais wewe ndio kila kitu.

Pia JPM alijitambulisha kama Msukuma, kabila kubwa kuliko yote nchini, na halina utamaduni wa kubebana. Hatuoni kwamba huo mfumo wa kuogopa makabila makubwa unekufa automatic.

Mwisho mkuu, ukicomment kuhusu M23 Rwanda na Congo unitag. Kila nikiamka huwa natafuta bandiko lako kuhusu huo mzozo sikuoni, nikajua labda ulitutoka maana siku nyingi huonekani.​
 
Poleni na misiba mikubwa ya kitaifa.

Nikiri kwamba kila siku naendelea kujifunza kuhusu siasa za taifa changa la Tanzania. Mambo makubwa ambayo mpaka sasa nikiri nimeshuhudia yakitokea bila chenga ni kwamba APANDACHO MTU NDICHO HUVUNA, na MWANADAMU HAWEZI KULINGANA NA MUNGU. Nitaelezea mtazamo wangu kwa ufupi:

Mosi, dhambi ya ubaguzi ambayo ilipandwa kwenye hili taifa dhidi ya makundi ya watu fulani itaendelea kulitafuna hili taifa endapo hatutakubali kubadilika. Ubaguzi ambao upo hapa nchini umekuwa wa kisera (Systemic Discrimination) na watu wameshakubaliana nao kwamba ndiyo utamaduni wetu wa kisiasa. Jambo hili siyo sawa hata kidogo, The Anti-Chagga, The Anti-Nyakyusa and The Anti-Haya Canards rooted at the founding cores of this nation state are very vile and devilish.

Ukifikiria kwa umakini na kuchambua historia ya nchi hii, utafahamu kwamba yale ambayo yaliogopwa kutokea endapo atapatikana Raisi Mchagga, Mnyakyusa au Mhaya yamefanywa hata alipokuwepo Raisi Mmakonde, Mzanzibar, Mkwele na Msukuma. Upendeleo (Nepotism and Cronyism) umeonekana, kama siyo katika minajili ya kikabila na kikanda, basi katika minajili ya kidini. Mifano iko mingi ya maraisi kuvutia kwao aidha kikabila, kikanda au kidini.

Sasa kwanini minong'ono na chuki za chini-chini ziendelee kuwa dhidi ya haya makabila matatu ilhali imethibitika kwamba kila mtu akikalia kiti cha uraisi, hata atoke kabila dogo, kama nchi haina mifumo imara ya kiutawala rushwa na upendeleo vitakuwepo tu. Halafu katabia kingine cha watanzania weusi kupenda kubagua watanzania wenye asili ya asia nako kametusababishia matatizo makubwa.

Huwa najiuliza maswali machache tu, hivi mtu kama Salim Ahmed Salim angekuwa Raisi mwaka 2005, leo hii Tanzania tungekuwepo hapa kweli ? Au mtu aina ya Prof Mark Mwandosya angekuwa Raisi leo hii Tanzania ingakuwa wapi ? Ila ni kwamba, hawa watu mbali na kufanya vyote kwa nchi, kiti cha Uraisi wasingeweza kuachiwa. Haya angalia leo hii tuko wapi.

Pili, hakuna baya utakalolifanya halafu lisikurudie. Hili ntalithibitisha kwa mifano hai kabisa. Marehemu Mzee Nyerere alifanya mazuri mengi, lakini mwishoni mwake alifanya makosa mengi mno ambayo aliyajutia na yalikuja kumrudi mwenyewe. Kuhusu Zanzibar alijutia sana hadi dakika za mwisho, na Mzee Dr Kitine alipoonana naye uwanja wa ndege wakati anaenda kutibiwa nchini Uingereza walizungumza sana kuhusu Zanzibar.

Naamini, kama mambo yangekuwa ni mazuri kuhusu Zanzibar asingeongelea hata kuhusu wao kuwa huru. Muungano haujarekebishwa, na umegeuka donda-ndugu (gangrene) ambalo linaitesa taifa hadi sasa, na nashukuru kwamba watanganyika kizazi kipya wameanza kuelewa kile ambacho G55, CHADEMA na TUME YA WARIOBA wamekuwa wakikizungumzia kuhusu muundo wa muungano. Tungeyamaliza haya mapema, nadhani leo hii taifa lisingekuwa na nyufa na chuki za chini-chini kama ilivyo leo.

Jingine ni suala la Uraisi mwaka 1995, ndani ya CCM na UPINZANI. Tunasema Mzee Nyerere, Fumbled the Bag. Alitumia nguvu yake kubwa ya kiushawishi kuwaumiza wanasiasa wengi kiasi cha kuwageuza moyo na kuwafundisha kwamba michezo michafu inalipa. PRECEDENT ya Mzee Nyerere kumuweka Raisi Mkapa kwa gharama yoyote ile, ilikuwa sahihi kwa muda mfupi (Tactical) lakini mbaya kwa muda mrefu (A Strategic Failure).

Tanzania ilikuwa ndiyo inajifunza kufanya mfumo wa demokrasia ya vyama vingi, 1990-1995 was an advent of multi-party democracy in Tanzania. It simply was a defining moment that could reverberate generations to come. Ilitakiwa CCM chini ya ushawishi wa Baba wa Taifa ioneshe mfano na kuongoza njia, ili kujenga msingi imara wa utawala hapa nchini. Kama watanzania hasahasa wale waliopo ndani ya CCM wangeona kwamba demokrasia inafanya kazi, na wale wenye vigezo ndiyo wanapita na siyo CLIENTISM ambayo Mzee Nyerere aliitumia binafsi naamini hata wale waovu wangeona iabu na CCM ingekuwa imejijengea utamaduni imara sana.

Ila wote tunafahamu baadhi ya wanasiasa akiwemo Mzee John Malecela, Horace Kolimba na Jakaya Kikwete walichofanywa. Huwa najiuliza swali hili: Hivi Jakaya angekuwa Raisi wakati Mzee Nyerere yupo hai angeweza kweli kuunda mtandao ambao wa kutafuta madaraka kwa namna yoyote ile, hata kuumiza watu wengi na kuuza roho yake kwa Ibilisi ili mradi awe Raisi ? Bado najiuliza. Huwa tunaulaumu MTANDAO kwa jinsi ulivyoharibu CCM na nchi, lakini huwa hatupendi kuzungumzia nini kilichopelekea mtandao kuundwa.

Siasa za ndani ya CCM za mwaka 1995 zilichangia sana MTANDAO kuundwa. Vijana ambao walinyimwa haki zao kihalali mwaka 1995 waliamua kujipanga kuhakikisha jambo kama lile halitokei tena mwaka 2005. Bahati mbaya sana walivyounda ule MTANDAO ndipo safari yao ya kumkabidhi IBILISI roho zao ilianza. Nachelea kusema, siyo vizuri kuwasema marehemu, lakini mpaka leo hii wanamtandao wote hawapo hai na maisha yao yalijaa mno uchungu na maumivu. Wamebakia Mzee Jakaya Kikwete na Rostam Aziz.

Wazungu husema, THERE'S NO HONOUR AMONG THIEVES. Punde tu baada ya kutimiza adhma yao ya kuupata Uraisi kwa gharama zozote zile, MTANDAO ulikumbwa na vita kubwa ya wenyewe kwa wenyewe (A Civil War) ambayo ililitesa taifa hili na kutufikisha hapa tulipo leo. Matatizo yote yale ambayo tunakumbwa nayo leo hii ya UFISADI, UKOSEKANAJI WA UMEME, UONGOZI DUNI, MAKUNDI NDANI YA CHAMA, SIASA ZA VISASI, MFUMUKO WA BEI na MATATIZO MENGINE YA KIUCHUMI yalichochewa sana na VITA YA WANA-MTANDAO ambayo ilianza mwaka 2006, ikachukua sura mpya mwaka 2008, na kuleta matokeo mabaya kwenye uchaguzi wa 2010 na mwishowe kufikia mwisho mbaya mwaka 2015 ambapo Tanzania Citizenry was a living collateral damage.

Namalizia hoja hii kwa kusema, Mzee Nyerere alimuweka Mkapa kwa hila, lakini akaanza kujuta na kutaka Mkapa asigombee mwaka 2000. Bahati mbaya wakapishana pakubwa na kuanza kufanyiana siasa za CLOAK & DAGGER ambazo hazikuisha vizuri. Raisi Mkapa alipishana na Mzee Nyerere, na hakuweza kuwa na uvumilivu mkubwa ambao Mzee Mwinyi alikuwa nao, akaonesha wazi-wazi kabisa kukerwa na Mzee Nyerere. Wasomi wengi ambao walikuwa wanamshauri Mzee Nyerere kuhusu kupinga sera za Ubinafsishaji walikiona cha MTEMA KUNI. Mzee Nyerere alilalamika wazi-wazi kwamba kwanini Mkapa anamfedhehesha huku akiwa hai.

Haikuishia hapo, mwaka 2015 kama ilivyokuwa mwaka 1995, Raisi Jakaya akafanya kilekile ambacho yeye mwenyewe alifanyiwa mwaka 1995. Alikata majina ya watu bila hata kuwasikiliza. Kulikuwa na wagombea wazuri mno mbali ya Mzee Lowassa (RIP), kina Prof Mwandosya, Dr Mahiga, Dr Mwele, Jaji Ramadhani, Dr Kitine nk. ambao hawakupewa nafasi. Raisi Mkapa akaamua kutumia karata yake ya ushawishi kuhakikisha kwamba Raisi Magufuli anapenya na Mzee Kikwete akaridhia baada ya kuona mtumbwi unazama na wana-MTANDAO wenzake wanaelekea kumshinda.

Mambo ni mengi mno, aliyewekwa na Raisi Mkapa na Raisi Kikwete akawageuka na kuanza kuwanyoosha, kama ambavyo Mkapa aligeuka kumnyoosha Nyerere aliyemuweka. Mengine tunamwachia Mungu. Ila naomba ujiulize hili swali:

Hivi wangetenda mema mwaka 1995 tungefika huku leo ? Amini, Amini nawaambia. Kama ilivyokuwa mwaka 1995 vijana kuunda MTANDAO, vivyo hivyo mwaka 2015 vijana wameunda MTANDAO mwingine, tofauti ni kwamba sasa hivi iko MITANDAO MINGI na MIZITO.

Tatu, na mwisho kabisa. Mwanadamu usijifanye MUNGU (Never Play GOD), kwasababu mbali na kuwa na uwezo wa kubadilisha mambo, hakuna mwanadamu dunia hii anayeweza kuzuia mabadiliko (No Man Can Ever Stop Changes). Kama tu mwanadamu hawezi kuzuia ukuaji wake binafsi, sembuse taasisi kubwa kama dola. Hivyo basi, hatuwezi kuzuia mabadiliko ila tunaweza kuyamudu (We Can't Stop Changes, But We Can Manage Them). Sisi kama kizazi kipya inabidi tujifunze na kuangalia ni wapi wazee walijikwaa.

Kama tukiendelea kuamini hizi falsafa ovu ambazo tulizikuta, basi hili taifa halitakuwa na amani kwa muda mrefu. Mbinu ambazo zilitumika kuwashughulikia watanzania milion 10-20 kipindi cha TANU/CHAMA KIMOJA haziwezi kuendelea kutumia kudhibiti taifa la kiutandawazi lenye watu zaidi ya milioni 60, ambao wanaingia na kutoka nje ya nchi kila uchwao.

Zile falsafa za kuamini kwamba watu wa UKANDA FULANI, KABILA FULANI, ASILI FULANI, JINSIA FULANI au DINI FULANI ndiyo wanaotakiwa sana kupewa nafasi nyeti kitaifa huku wengine wa kundi jingine wakibaguliwa wazi-wazi utadhani siyo WATANZANIA, kwamba ni wenye hulka ya wizi na kupendeleana ilhali tunasahau kwamba wako wengi na walitangulia kusoma tokea ukoloni. Ukweli mchungu ni kwamba matatizo yanayotokea hapa nchini hayajaletwa na CHAGGAS, NYAKYUSA AU HAYAS. Ni sawa na ule upumbavu wa kuamini kwamba WASUKUMU wa Raisi Magufuli ndiyo wameleta matatizo, jambo ambalo ukiliangalia kimapana halina ukweli wowote zaidi ya STIGMA and STEREOTYPE.

AU kuamini kwamba WAHINDI na WAARABU ndiyo chanzo cha umasikini wa mtu mweusi, ilhali tunasahau ukweli mchungu kwamba hao WAHINDI waliokimbia Tanzania miaka ya 60's na 70's kuelekea Uingereza na America Kaskazini bado wamefika huko na kuendelea kuwashinda hata hao wazungu na jehuri zao. Jiji la London lina wahindi wengi matajiri wa kutupwa ambao walitokea Tanganyika, Kenya na Uganda. Hili ni jambo linalofikirisha.

Ukienda Marekani, ukakutana na Diaspora wa Tanzania, wengi wao ni Wazenji, Wachagga, Wanyakyusa na Wahaya. Sasa unabaki kujiuliza, hii chuki ilitokea wapi, mbona hata huku kwa wazungu bado hawa watu wanafanikiwa mno. Mwisho unakuja kufahamu kwamba, kuna kitu hawa wenzetu walikifahamu muda mrefu, ambacho hata wengi wakikifahamu watafanikiwa tu.

MUHIMU KUKUMBUKA: Mwaka 2024 kutakuwa na uchaguzi mdogo, Mwaka 2025 uchaguzi mkuu. Mambo yatakayofanyika kipindi hiki yawe mema au mabaya, fahamu kwamba tutaishi nayo miaka mingi sana ijayo, kama ambayo tunaishi na yale ya mwaka 1995, 2005 na 2015. Niseme tu, The Domino Effects of 2015 will be profound and long-lasting. Kazi kwetu watanzania.....

APANDACHO MTU NDICHO ATAVUNA, huwezi panda Magugu ukavuna Mtama.

Niwatakie Usiku mwema....​
Hawa wazee wa NWO inabidi waondoke kwanza
 
Poleni na misiba mikubwa ya kitaifa.

Nikiri kwamba kila siku naendelea kujifunza kuhusu siasa za taifa changa la Tanzania. Mambo makubwa ambayo mpaka sasa nikiri nimeshuhudia yakitokea bila chenga ni kwamba APANDACHO MTU NDICHO HUVUNA, na MWANADAMU HAWEZI KULINGANA NA MUNGU. Nitaelezea mtazamo wangu kwa ufupi:

Mosi, dhambi ya ubaguzi ambayo ilipandwa kwenye hili taifa dhidi ya makundi ya watu fulani itaendelea kulitafuna hili taifa endapo hatutakubali kubadilika. Ubaguzi ambao upo hapa nchini umekuwa wa kisera (Systemic Discrimination) na watu wameshakubaliana nao kwamba ndiyo utamaduni wetu wa kisiasa. Jambo hili siyo sawa hata kidogo, The Anti-Chagga, The Anti-Nyakyusa and The Anti-Haya Canards rooted at the founding cores of this nation state are very vile and devilish.

Ukifikiria kwa umakini na kuchambua historia ya nchi hii, utafahamu kwamba yale ambayo yaliogopwa kutokea endapo atapatikana Raisi Mchagga, Mnyakyusa au Mhaya yamefanywa hata alipokuwepo Raisi Mmakonde, Mzanzibar, Mkwele na Msukuma. Upendeleo (Nepotism and Cronyism) umeonekana, kama siyo katika minajili ya kikabila na kikanda, basi katika minajili ya kidini. Mifano iko mingi ya maraisi kuvutia kwao aidha kikabila, kikanda au kidini.

Sasa kwanini minong'ono na chuki za chini-chini ziendelee kuwa dhidi ya haya makabila matatu ilhali imethibitika kwamba kila mtu akikalia kiti cha uraisi, hata atoke kabila dogo, kama nchi haina mifumo imara ya kiutawala rushwa na upendeleo vitakuwepo tu. Halafu katabia kingine cha watanzania weusi kupenda kubagua watanzania wenye asili ya asia nako kametusababishia matatizo makubwa.

Huwa najiuliza maswali machache tu, hivi mtu kama Salim Ahmed Salim angekuwa Raisi mwaka 2005, leo hii Tanzania tungekuwepo hapa kweli ? Au mtu aina ya Prof Mark Mwandosya angekuwa Raisi leo hii Tanzania ingakuwa wapi ? Ila ni kwamba, hawa watu mbali na kufanya vyote kwa nchi, kiti cha Uraisi wasingeweza kuachiwa. Haya angalia leo hii tuko wapi.

Pili, hakuna baya utakalolifanya halafu lisikurudie. Hili ntalithibitisha kwa mifano hai kabisa. Marehemu Mzee Nyerere alifanya mazuri mengi, lakini mwishoni mwake alifanya makosa mengi mno ambayo aliyajutia na yalikuja kumrudi mwenyewe. Kuhusu Zanzibar alijutia sana hadi dakika za mwisho, na Mzee Dr Kitine alipoonana naye uwanja wa ndege wakati anaenda kutibiwa nchini Uingereza walizungumza sana kuhusu Zanzibar.

Naamini, kama mambo yangekuwa ni mazuri kuhusu Zanzibar asingeongelea hata kuhusu wao kuwa huru. Muungano haujarekebishwa, na umegeuka donda-ndugu (gangrene) ambalo linaitesa taifa hadi sasa, na nashukuru kwamba watanganyika kizazi kipya wameanza kuelewa kile ambacho G55, CHADEMA na TUME YA WARIOBA wamekuwa wakikizungumzia kuhusu muundo wa muungano. Tungeyamaliza haya mapema, nadhani leo hii taifa lisingekuwa na nyufa na chuki za chini-chini kama ilivyo leo.

Jingine ni suala la Uraisi mwaka 1995, ndani ya CCM na UPINZANI. Tunasema Mzee Nyerere, Fumbled the Bag. Alitumia nguvu yake kubwa ya kiushawishi kuwaumiza wanasiasa wengi kiasi cha kuwageuza moyo na kuwafundisha kwamba michezo michafu inalipa. PRECEDENT ya Mzee Nyerere kumuweka Raisi Mkapa kwa gharama yoyote ile, ilikuwa sahihi kwa muda mfupi (Tactical) lakini mbaya kwa muda mrefu (A Strategic Failure).

Tanzania ilikuwa ndiyo inajifunza kufanya mfumo wa demokrasia ya vyama vingi, 1990-1995 was an advent of multi-party democracy in Tanzania. It simply was a defining moment that could reverberate generations to come. Ilitakiwa CCM chini ya ushawishi wa Baba wa Taifa ioneshe mfano na kuongoza njia, ili kujenga msingi imara wa utawala hapa nchini. Kama watanzania hasahasa wale waliopo ndani ya CCM wangeona kwamba demokrasia inafanya kazi, na wale wenye vigezo ndiyo wanapita na siyo CLIENTISM ambayo Mzee Nyerere aliitumia binafsi naamini hata wale waovu wangeona iabu na CCM ingekuwa imejijengea utamaduni imara sana.

Ila wote tunafahamu baadhi ya wanasiasa akiwemo Mzee John Malecela, Horace Kolimba na Jakaya Kikwete walichofanywa. Huwa najiuliza swali hili: Hivi Jakaya angekuwa Raisi wakati Mzee Nyerere yupo hai angeweza kweli kuunda mtandao ambao wa kutafuta madaraka kwa namna yoyote ile, hata kuumiza watu wengi na kuuza roho yake kwa Ibilisi ili mradi awe Raisi ? Bado najiuliza. Huwa tunaulaumu MTANDAO kwa jinsi ulivyoharibu CCM na nchi, lakini huwa hatupendi kuzungumzia nini kilichopelekea mtandao kuundwa.

Siasa za ndani ya CCM za mwaka 1995 zilichangia sana MTANDAO kuundwa. Vijana ambao walinyimwa haki zao kihalali mwaka 1995 waliamua kujipanga kuhakikisha jambo kama lile halitokei tena mwaka 2005. Bahati mbaya sana walivyounda ule MTANDAO ndipo safari yao ya kumkabidhi IBILISI roho zao ilianza. Nachelea kusema, siyo vizuri kuwasema marehemu, lakini mpaka leo hii wanamtandao wote hawapo hai na maisha yao yalijaa mno uchungu na maumivu. Wamebakia Mzee Jakaya Kikwete na Rostam Aziz.

Wazungu husema, THERE'S NO HONOUR AMONG THIEVES. Punde tu baada ya kutimiza adhma yao ya kuupata Uraisi kwa gharama zozote zile, MTANDAO ulikumbwa na vita kubwa ya wenyewe kwa wenyewe (A Civil War) ambayo ililitesa taifa hili na kutufikisha hapa tulipo leo. Matatizo yote yale ambayo tunakumbwa nayo leo hii ya UFISADI, UKOSEKANAJI WA UMEME, UONGOZI DUNI, MAKUNDI NDANI YA CHAMA, SIASA ZA VISASI, MFUMUKO WA BEI na MATATIZO MENGINE YA KIUCHUMI yalichochewa sana na VITA YA WANA-MTANDAO ambayo ilianza mwaka 2006, ikachukua sura mpya mwaka 2008, na kuleta matokeo mabaya kwenye uchaguzi wa 2010 na mwishowe kufikia mwisho mbaya mwaka 2015 ambapo Tanzania Citizenry was a living collateral damage.

Namalizia hoja hii kwa kusema, Mzee Nyerere alimuweka Mkapa kwa hila, lakini akaanza kujuta na kutaka Mkapa asigombee mwaka 2000. Bahati mbaya wakapishana pakubwa na kuanza kufanyiana siasa za CLOAK & DAGGER ambazo hazikuisha vizuri. Raisi Mkapa alipishana na Mzee Nyerere, na hakuweza kuwa na uvumilivu mkubwa ambao Mzee Mwinyi alikuwa nao, akaonesha wazi-wazi kabisa kukerwa na Mzee Nyerere. Wasomi wengi ambao walikuwa wanamshauri Mzee Nyerere kuhusu kupinga sera za Ubinafsishaji walikiona cha MTEMA KUNI. Mzee Nyerere alilalamika wazi-wazi kwamba kwanini Mkapa anamfedhehesha huku akiwa hai.

Haikuishia hapo, mwaka 2015 kama ilivyokuwa mwaka 1995, Raisi Jakaya akafanya kilekile ambacho yeye mwenyewe alifanyiwa mwaka 1995. Alikata majina ya watu bila hata kuwasikiliza. Kulikuwa na wagombea wazuri mno mbali ya Mzee Lowassa (RIP), kina Prof Mwandosya, Dr Mahiga, Dr Mwele, Jaji Ramadhani, Dr Kitine nk. ambao hawakupewa nafasi. Raisi Mkapa akaamua kutumia karata yake ya ushawishi kuhakikisha kwamba Raisi Magufuli anapenya na Mzee Kikwete akaridhia baada ya kuona mtumbwi unazama na wana-MTANDAO wenzake wanaelekea kumshinda.

Mambo ni mengi mno, aliyewekwa na Raisi Mkapa na Raisi Kikwete akawageuka na kuanza kuwanyoosha, kama ambavyo Mkapa aligeuka kumnyoosha Nyerere aliyemuweka. Mengine tunamwachia Mungu. Ila naomba ujiulize hili swali:

Hivi wangetenda mema mwaka 1995 tungefika huku leo ? Amini, Amini nawaambia. Kama ilivyokuwa mwaka 1995 vijana kuunda MTANDAO, vivyo hivyo mwaka 2015 vijana wameunda MTANDAO mwingine, tofauti ni kwamba sasa hivi iko MITANDAO MINGI na MIZITO.

Tatu, na mwisho kabisa. Mwanadamu usijifanye MUNGU (Never Play GOD), kwasababu mbali na kuwa na uwezo wa kubadilisha mambo, hakuna mwanadamu dunia hii anayeweza kuzuia mabadiliko (No Man Can Ever Stop Changes). Kama tu mwanadamu hawezi kuzuia ukuaji wake binafsi, sembuse taasisi kubwa kama dola. Hivyo basi, hatuwezi kuzuia mabadiliko ila tunaweza kuyamudu (We Can't Stop Changes, But We Can Manage Them). Sisi kama kizazi kipya inabidi tujifunze na kuangalia ni wapi wazee walijikwaa.

Kama tukiendelea kuamini hizi falsafa ovu ambazo tulizikuta, basi hili taifa halitakuwa na amani kwa muda mrefu. Mbinu ambazo zilitumika kuwashughulikia watanzania milion 10-20 kipindi cha TANU/CHAMA KIMOJA haziwezi kuendelea kutumia kudhibiti taifa la kiutandawazi lenye watu zaidi ya milioni 60, ambao wanaingia na kutoka nje ya nchi kila uchwao.

Zile falsafa za kuamini kwamba watu wa UKANDA FULANI, KABILA FULANI, ASILI FULANI, JINSIA FULANI au DINI FULANI ndiyo wanaotakiwa sana kupewa nafasi nyeti kitaifa huku wengine wa kundi jingine wakibaguliwa wazi-wazi utadhani siyo WATANZANIA, kwamba ni wenye hulka ya wizi na kupendeleana ilhali tunasahau kwamba wako wengi na walitangulia kusoma tokea ukoloni. Ukweli mchungu ni kwamba matatizo yanayotokea hapa nchini hayajaletwa na CHAGGAS, NYAKYUSA AU HAYAS. Ni sawa na ule upumbavu wa kuamini kwamba WASUKUMU wa Raisi Magufuli ndiyo wameleta matatizo, jambo ambalo ukiliangalia kimapana halina ukweli wowote zaidi ya STIGMA and STEREOTYPE.

AU kuamini kwamba WAHINDI na WAARABU ndiyo chanzo cha umasikini wa mtu mweusi, ilhali tunasahau ukweli mchungu kwamba hao WAHINDI waliokimbia Tanzania miaka ya 60's na 70's kuelekea Uingereza na America Kaskazini bado wamefika huko na kuendelea kuwashinda hata hao wazungu na jehuri zao. Jiji la London lina wahindi wengi matajiri wa kutupwa ambao walitokea Tanganyika, Kenya na Uganda. Hili ni jambo linalofikirisha.

Ukienda Marekani, ukakutana na Diaspora wa Tanzania, wengi wao ni Wazenji, Wachagga, Wanyakyusa na Wahaya. Sasa unabaki kujiuliza, hii chuki ilitokea wapi, mbona hata huku kwa wazungu bado hawa watu wanafanikiwa mno. Mwisho unakuja kufahamu kwamba, kuna kitu hawa wenzetu walikifahamu muda mrefu, ambacho hata wengi wakikifahamu watafanikiwa tu.

MUHIMU KUKUMBUKA: Mwaka 2024 kutakuwa na uchaguzi mdogo, Mwaka 2025 uchaguzi mkuu. Mambo yatakayofanyika kipindi hiki yawe mema au mabaya, fahamu kwamba tutaishi nayo miaka mingi sana ijayo, kama ambayo tunaishi na yale ya mwaka 1995, 2005 na 2015. Niseme tu, The Domino Effects of 2015 will be profound and long-lasting. Kazi kwetu watanzania.....

APANDACHO MTU NDICHO ATAVUNA, huwezi panda Magugu ukavuna Mtama.

Niwatakie Usiku mwema....​
Umeongea vizuri sana mkongwe. Ila umesahau jambo moja. Shida kwenye nchi yetu ilianza pale Nyerere alipokataa mawazo ya watu waliokuwa wanaona mbele kuliko yeye hasa Kambona.

Kwa jinsi Nyerere alivyomfanyia Kambona ndo laana ya hii nchi ilipoanzia. Kama hatujatubu ile dhambi, maendeleo ya kweli tuyasahau milele.

Kambona alipinga sana siasa za kukieneza zaidi Chama cha Mapindizi kuliko Serikali na huduma zake. Wakamuona mzandiki hafai, Kambona alipinga nchi kujiingiza kwenye siasa za ujamaa wakamuona chizi wakamfanya hadi akimbie nchi.

Ukitizama kwa makini mambo aliyopinga Kambona hadi kukorofishana na Nyerere ndo msingi na chanzo kikuu cha matatizo yanayotukabili hii leo.
 
Poleni na misiba mikubwa ya kitaifa.

Nikiri kwamba kila siku naendelea kujifunza kuhusu siasa za taifa changa la Tanzania. Mambo makubwa ambayo mpaka sasa nikiri nimeshuhudia yakitokea bila chenga ni kwamba APANDACHO MTU NDICHO HUVUNA, na MWANADAMU HAWEZI KULINGANA NA MUNGU. Nitaelezea mtazamo wangu kwa ufupi:

Mosi, dhambi ya ubaguzi ambayo ilipandwa kwenye hili taifa dhidi ya makundi ya watu fulani itaendelea kulitafuna hili taifa endapo hatutakubali kubadilika. Ubaguzi ambao upo hapa nchini umekuwa wa kisera (Systemic Discrimination) na watu wameshakubaliana nao kwamba ndiyo utamaduni wetu wa kisiasa. Jambo hili siyo sawa hata kidogo, The Anti-Chagga, The Anti-Nyakyusa and The Anti-Haya Canards rooted at the founding cores of this nation state are very vile and devilish.

Ukifikiria kwa umakini na kuchambua historia ya nchi hii, utafahamu kwamba yale ambayo yaliogopwa kutokea endapo atapatikana Raisi Mchagga, Mnyakyusa au Mhaya yamefanywa hata alipokuwepo Raisi Mmakonde, Mzanzibar, Mkwele na Msukuma. Upendeleo (Nepotism and Cronyism) umeonekana, kama siyo katika minajili ya kikabila na kikanda, basi katika minajili ya kidini. Mifano iko mingi ya maraisi kuvutia kwao aidha kikabila, kikanda au kidini.

Sasa kwanini minong'ono na chuki za chini-chini ziendelee kuwa dhidi ya haya makabila matatu ilhali imethibitika kwamba kila mtu akikalia kiti cha uraisi, hata atoke kabila dogo, kama nchi haina mifumo imara ya kiutawala rushwa na upendeleo vitakuwepo tu. Halafu katabia kingine cha watanzania weusi kupenda kubagua watanzania wenye asili ya asia nako kametusababishia matatizo makubwa.

Huwa najiuliza maswali machache tu, hivi mtu kama Salim Ahmed Salim angekuwa Raisi mwaka 2005, leo hii Tanzania tungekuwepo hapa kweli ? Au mtu aina ya Prof Mark Mwandosya angekuwa Raisi leo hii Tanzania ingakuwa wapi ? Ila ni kwamba, hawa watu mbali na kufanya vyote kwa nchi, kiti cha Uraisi wasingeweza kuachiwa. Haya angalia leo hii tuko wapi.

Pili, hakuna baya utakalolifanya halafu lisikurudie. Hili ntalithibitisha kwa mifano hai kabisa. Marehemu Mzee Nyerere alifanya mazuri mengi, lakini mwishoni mwake alifanya makosa mengi mno ambayo aliyajutia na yalikuja kumrudi mwenyewe. Kuhusu Zanzibar alijutia sana hadi dakika za mwisho, na Mzee Dr Kitine alipoonana naye uwanja wa ndege wakati anaenda kutibiwa nchini Uingereza walizungumza sana kuhusu Zanzibar.

Naamini, kama mambo yangekuwa ni mazuri kuhusu Zanzibar asingeongelea hata kuhusu wao kuwa huru. Muungano haujarekebishwa, na umegeuka donda-ndugu (gangrene) ambalo linaitesa taifa hadi sasa, na nashukuru kwamba watanganyika kizazi kipya wameanza kuelewa kile ambacho G55, CHADEMA na TUME YA WARIOBA wamekuwa wakikizungumzia kuhusu muundo wa muungano. Tungeyamaliza haya mapema, nadhani leo hii taifa lisingekuwa na nyufa na chuki za chini-chini kama ilivyo leo.

Jingine ni suala la Uraisi mwaka 1995, ndani ya CCM na UPINZANI. Tunasema Mzee Nyerere, Fumbled the Bag. Alitumia nguvu yake kubwa ya kiushawishi kuwaumiza wanasiasa wengi kiasi cha kuwageuza moyo na kuwafundisha kwamba michezo michafu inalipa. PRECEDENT ya Mzee Nyerere kumuweka Raisi Mkapa kwa gharama yoyote ile, ilikuwa sahihi kwa muda mfupi (Tactical) lakini mbaya kwa muda mrefu (A Strategic Failure).

Tanzania ilikuwa ndiyo inajifunza kufanya mfumo wa demokrasia ya vyama vingi, 1990-1995 was an advent of multi-party democracy in Tanzania. It simply was a defining moment that could reverberate generations to come. Ilitakiwa CCM chini ya ushawishi wa Baba wa Taifa ioneshe mfano na kuongoza njia, ili kujenga msingi imara wa utawala hapa nchini. Kama watanzania hasahasa wale waliopo ndani ya CCM wangeona kwamba demokrasia inafanya kazi, na wale wenye vigezo ndiyo wanapita na siyo CLIENTISM ambayo Mzee Nyerere aliitumia binafsi naamini hata wale waovu wangeona iabu na CCM ingekuwa imejijengea utamaduni imara sana.

Ila wote tunafahamu baadhi ya wanasiasa akiwemo Mzee John Malecela, Horace Kolimba na Jakaya Kikwete walichofanywa. Huwa najiuliza swali hili: Hivi Jakaya angekuwa Raisi wakati Mzee Nyerere yupo hai angeweza kweli kuunda mtandao ambao wa kutafuta madaraka kwa namna yoyote ile, hata kuumiza watu wengi na kuuza roho yake kwa Ibilisi ili mradi awe Raisi ? Bado najiuliza. Huwa tunaulaumu MTANDAO kwa jinsi ulivyoharibu CCM na nchi, lakini huwa hatupendi kuzungumzia nini kilichopelekea mtandao kuundwa.

Siasa za ndani ya CCM za mwaka 1995 zilichangia sana MTANDAO kuundwa. Vijana ambao walinyimwa haki zao kihalali mwaka 1995 waliamua kujipanga kuhakikisha jambo kama lile halitokei tena mwaka 2005. Bahati mbaya sana walivyounda ule MTANDAO ndipo safari yao ya kumkabidhi IBILISI roho zao ilianza. Nachelea kusema, siyo vizuri kuwasema marehemu, lakini mpaka leo hii wanamtandao wote hawapo hai na maisha yao yalijaa mno uchungu na maumivu. Wamebakia Mzee Jakaya Kikwete na Rostam Aziz.

Wazungu husema, THERE'S NO HONOUR AMONG THIEVES. Punde tu baada ya kutimiza adhma yao ya kuupata Uraisi kwa gharama zozote zile, MTANDAO ulikumbwa na vita kubwa ya wenyewe kwa wenyewe (A Civil War) ambayo ililitesa taifa hili na kutufikisha hapa tulipo leo. Matatizo yote yale ambayo tunakumbwa nayo leo hii ya UFISADI, UKOSEKANAJI WA UMEME, UONGOZI DUNI, MAKUNDI NDANI YA CHAMA, SIASA ZA VISASI, MFUMUKO WA BEI na MATATIZO MENGINE YA KIUCHUMI yalichochewa sana na VITA YA WANA-MTANDAO ambayo ilianza mwaka 2006, ikachukua sura mpya mwaka 2008, na kuleta matokeo mabaya kwenye uchaguzi wa 2010 na mwishowe kufikia mwisho mbaya mwaka 2015 ambapo Tanzania Citizenry was a living collateral damage.

Namalizia hoja hii kwa kusema, Mzee Nyerere alimuweka Mkapa kwa hila, lakini akaanza kujuta na kutaka Mkapa asigombee mwaka 2000. Bahati mbaya wakapishana pakubwa na kuanza kufanyiana siasa za CLOAK & DAGGER ambazo hazikuisha vizuri. Raisi Mkapa alipishana na Mzee Nyerere, na hakuweza kuwa na uvumilivu mkubwa ambao Mzee Mwinyi alikuwa nao, akaonesha wazi-wazi kabisa kukerwa na Mzee Nyerere. Wasomi wengi ambao walikuwa wanamshauri Mzee Nyerere kuhusu kupinga sera za Ubinafsishaji walikiona cha MTEMA KUNI. Mzee Nyerere alilalamika wazi-wazi kwamba kwanini Mkapa anamfedhehesha huku akiwa hai.

Haikuishia hapo, mwaka 2015 kama ilivyokuwa mwaka 1995, Raisi Jakaya akafanya kilekile ambacho yeye mwenyewe alifanyiwa mwaka 1995. Alikata majina ya watu bila hata kuwasikiliza. Kulikuwa na wagombea wazuri mno mbali ya Mzee Lowassa (RIP), kina Prof Mwandosya, Dr Mahiga, Dr Mwele, Jaji Ramadhani, Dr Kitine nk. ambao hawakupewa nafasi. Raisi Mkapa akaamua kutumia karata yake ya ushawishi kuhakikisha kwamba Raisi Magufuli anapenya na Mzee Kikwete akaridhia baada ya kuona mtumbwi unazama na wana-MTANDAO wenzake wanaelekea kumshinda.

Mambo ni mengi mno, aliyewekwa na Raisi Mkapa na Raisi Kikwete akawageuka na kuanza kuwanyoosha, kama ambavyo Mkapa aligeuka kumnyoosha Nyerere aliyemuweka. Mengine tunamwachia Mungu. Ila naomba ujiulize hili swali:

Hivi wangetenda mema mwaka 1995 tungefika huku leo ? Amini, Amini nawaambia. Kama ilivyokuwa mwaka 1995 vijana kuunda MTANDAO, vivyo hivyo mwaka 2015 vijana wameunda MTANDAO mwingine, tofauti ni kwamba sasa hivi iko MITANDAO MINGI na MIZITO.

Tatu, na mwisho kabisa. Mwanadamu usijifanye MUNGU (Never Play GOD), kwasababu mbali na kuwa na uwezo wa kubadilisha mambo, hakuna mwanadamu dunia hii anayeweza kuzuia mabadiliko (No Man Can Ever Stop Changes). Kama tu mwanadamu hawezi kuzuia ukuaji wake binafsi, sembuse taasisi kubwa kama dola. Hivyo basi, hatuwezi kuzuia mabadiliko ila tunaweza kuyamudu (We Can't Stop Changes, But We Can Manage Them). Sisi kama kizazi kipya inabidi tujifunze na kuangalia ni wapi wazee walijikwaa.

Kama tukiendelea kuamini hizi falsafa ovu ambazo tulizikuta, basi hili taifa halitakuwa na amani kwa muda mrefu. Mbinu ambazo zilitumika kuwashughulikia watanzania milion 10-20 kipindi cha TANU/CHAMA KIMOJA haziwezi kuendelea kutumia kudhibiti taifa la kiutandawazi lenye watu zaidi ya milioni 60, ambao wanaingia na kutoka nje ya nchi kila uchwao.

Zile falsafa za kuamini kwamba watu wa UKANDA FULANI, KABILA FULANI, ASILI FULANI, JINSIA FULANI au DINI FULANI ndiyo wanaotakiwa sana kupewa nafasi nyeti kitaifa huku wengine wa kundi jingine wakibaguliwa wazi-wazi utadhani siyo WATANZANIA, kwamba ni wenye hulka ya wizi na kupendeleana ilhali tunasahau kwamba wako wengi na walitangulia kusoma tokea ukoloni. Ukweli mchungu ni kwamba matatizo yanayotokea hapa nchini hayajaletwa na CHAGGAS, NYAKYUSA AU HAYAS. Ni sawa na ule upumbavu wa kuamini kwamba WASUKUMU wa Raisi Magufuli ndiyo wameleta matatizo, jambo ambalo ukiliangalia kimapana halina ukweli wowote zaidi ya STIGMA and STEREOTYPE.

AU kuamini kwamba WAHINDI na WAARABU ndiyo chanzo cha umasikini wa mtu mweusi, ilhali tunasahau ukweli mchungu kwamba hao WAHINDI waliokimbia Tanzania miaka ya 60's na 70's kuelekea Uingereza na America Kaskazini bado wamefika huko na kuendelea kuwashinda hata hao wazungu na jehuri zao. Jiji la London lina wahindi wengi matajiri wa kutupwa ambao walitokea Tanganyika, Kenya na Uganda. Hili ni jambo linalofikirisha.

Ukienda Marekani, ukakutana na Diaspora wa Tanzania, wengi wao ni Wazenji, Wachagga, Wanyakyusa na Wahaya. Sasa unabaki kujiuliza, hii chuki ilitokea wapi, mbona hata huku kwa wazungu bado hawa watu wanafanikiwa mno. Mwisho unakuja kufahamu kwamba, kuna kitu hawa wenzetu walikifahamu muda mrefu, ambacho hata wengi wakikifahamu watafanikiwa tu.

MUHIMU KUKUMBUKA: Mwaka 2024 kutakuwa na uchaguzi mdogo, Mwaka 2025 uchaguzi mkuu. Mambo yatakayofanyika kipindi hiki yawe mema au mabaya, fahamu kwamba tutaishi nayo miaka mingi sana ijayo, kama ambayo tunaishi na yale ya mwaka 1995, 2005 na 2015. Niseme tu, The Domino Effects of 2015 will be profound and long-lasting. Kazi kwetu watanzania.....

APANDACHO MTU NDICHO ATAVUNA, huwezi panda Magugu ukavuna Mtama.

Niwatakie Usiku mwema....​

Ndugu yangu umefafanua kwa kina, kitaalam na umefanya analysis nzuri sana.

Na hakika, baya likiingizwa kwenye mfumo wa utawala, kuliondoa ni mpaka kwa sululu, na hasa kama baya hilo lina watu linaowanufaisha.

Leo msingi mkubwa wa CCM ni uovu. CCM inajitambulidha kwa watu kimatendo kuwa ni chama kinachosimamia na kujivunia ushetani/uovu. Leo CCM, mtu akiwa mwovu kupindukia, kama alivyo Makonda, anaonekana ndiye shujaa wa chama. Yaani kwa sasa shujaa wa CCM ni yule anayeweza kudhulumu watu, vyama na makundi ya baadhi ya watu ili CCM au watu fulani ndani ya CCM wafanye uovu wao bila kubughudhiwa.

Yaani yale mambo ambayo yalitakiwa kuonewa aibu, ndiyo CCM kwayo inajivunia na kuyaonea fahari.

Kwa tunavyoenda, hata kama siyo leo au kesho, kusipokuwa na mabadiliko ya kweli na ya haraka, lazima nchi hii itumbukie kwenye njia ile ile ambayo mataifa mengi ya Afrika yamepitia. Na tkiingia tu kwenye njia hiyo, nayo itajenga mfumo na fikra mpya, ambayo nayo nchi itaishi nayo kwa miaka mingi. Na hilo kutokea wala haitachukua muda mrefu.
 
Back
Top Bottom