Habari za leo wana JF,
Kama kichwa Cha habari kinavosema ngoja nianalyse mtazamo wangu Kwa kuangalia connection iliopo ktk past event baada ya uhuru wa nchi za Africa, current events tulipo na mtazamo wangu tunapoelekea. Nikiwachambua iconic hero's Kwame Nkuruma na Julius Nyerere Je! nani ni winer? Kwanini sera zao ziliishia njiani ilihali walikua ni best good governance generation ever Africa? Na Je! Tulipo Sasa kunasomo gani tulipotoka na tunapoelekea? Kama ni Ujamaa ndio sababu tulikwama je? Ubepari umetupa utajiri?
Sehemu ya 1:
Nianzie hapa, Marcus Garvey na diaspora wenzake negros walikuja na ndoto yakuungana nakuunda umoja wa negros waliotoka kuwa oppressed. Wazo Hilo likapokelewa na wanaharakati wapigania uhuru wa Africa pia ambapo waliungana na ndugu zao, ikiwemo namwita Brilliant Kwame Nkuruma. Aliifungua Africa kwakuongoza ukombozi ulopelekea nchi nyingi baadae kuunga trela ikiwemo Tanganyika ya J.Nyerere. Baada ya hapo juhudi ziliwndelea za kuunganisha negros walikua nje ya Africa kuungana.
Katikati ya juhudi hizo Kwa assumption zangu kulingana na results ambayo hata tunaiona leo, alitokea nabii feki alikuja kubomoa ndoto hio, kuziba riziki negro wasiungane anaitwa Haile Selassie wa hapo Ethiopia. Naamini alikuja kujiatach na Nkuruma history ikisema walikua marafiki, nakuplay part kubwa kuunda AU umoja wa Africa. Binafsi naona kama ulikua mpango wakuvuriga negro unit, kwani Selassie alionekana kuwa na kibali uarabuni northern kwa status yao yakutotawaliwa, nakuonekana among superior group. Aliweza kuwashawishi Northern Africa Arabs kuungana na other Africa group kuunda AU. Ilipelekea Nkuruma Hadi kuoa mke wa Misri huko, nadhani hii ili kuongeza ushawishi wa muungano AU.
Selassie alifanikiwa kusambaratisha ndoto za negro unit na kukaa kati kama dalali kati ya black na Arabs ikatokea AU. Kina Negros Diaspora walivoona hivo ndugu yao kawasaliti nakujiunga na jamaa wenye asili ya waliotufanya watumwa wakajitoa, ukawa mwisho wa negro unit. Baada ya mafanikio hayo Selassie aliendelea kutukuzwa na unabii wake feki kuwa kaja kuunganisha blacks kumbe alikua ni agent aliesambaratisha. Nahii inareflect hata Sasa kizazi hiki ambapo tunaumoja wa jamii inayofanana eg. EAC itakayo tusaidia kubebana kibiashara na usalama kama tutakuwa waangalifu....doa linataka kujirudia who knows kuna influence external inayotaka umoja huo katu usidumu kwakua utasaidia sana tusiishie njiani kiuchumi kama Nkuruma au Nyerere. Naimani ishu sio Ujamaa walipigwa Pini wakajikuta wapo kati peke yao, uchumi ukayumba nakupelekea sera zao kufa. Ndio maana walihibiri umoja wa Africa, kwamba tukiungana sirahisi kuanguka, hata mmoja akipigwa pini anahemea Kwa jirani.
Mkakati wakumuingiza Kushi mwingine kuchangia kusambaratisha umoja mpya wa Negro EAC in my assumptions nakuona, ambapo Kuna promotion inaongeza Kasi kuwaingiza Kushi mfano hai Somali sasa, labda wengine wataongezeka. Swali ni je! Hawa jamaa kama wao Kwa wao ndugu wa nyumba Moja wameshindwana je sisi tunawapokea tuwawezeje? Au Kuna nia Gani...naona external kuvunja EAC tuendelee kutawaliwa. Internal kikundi binafsi within EAC zaidi Tanzania kinapromote kuwaingiza, kwakua wanampango wakuforce kuingia madarakani na watawatumia kuwanyamazisha wabaya wao. Nidhahiri kutoka historia ya nyuma tugundue jamii zenye status moja zinafiti zaidi nyumba Moja, kuliko mchanganyo lazima tuishie njiani. Na hii ni kwakua hizo jamii zinatuona inferior group kuliko wao, eti hawakutawaliwa wapo strong na tupo week somehow, nidhahiri kuwaingiza ndani watakuja taka kuwa juu, kitu kitachoua umoja huo ambao naamini ni muhimu sana kwetu kiuchumi natunauhitaji.
Kama kichwa Cha habari kinavosema ngoja nianalyse mtazamo wangu Kwa kuangalia connection iliopo ktk past event baada ya uhuru wa nchi za Africa, current events tulipo na mtazamo wangu tunapoelekea. Nikiwachambua iconic hero's Kwame Nkuruma na Julius Nyerere Je! nani ni winer? Kwanini sera zao ziliishia njiani ilihali walikua ni best good governance generation ever Africa? Na Je! Tulipo Sasa kunasomo gani tulipotoka na tunapoelekea? Kama ni Ujamaa ndio sababu tulikwama je? Ubepari umetupa utajiri?
Sehemu ya 1:
Nianzie hapa, Marcus Garvey na diaspora wenzake negros walikuja na ndoto yakuungana nakuunda umoja wa negros waliotoka kuwa oppressed. Wazo Hilo likapokelewa na wanaharakati wapigania uhuru wa Africa pia ambapo waliungana na ndugu zao, ikiwemo namwita Brilliant Kwame Nkuruma. Aliifungua Africa kwakuongoza ukombozi ulopelekea nchi nyingi baadae kuunga trela ikiwemo Tanganyika ya J.Nyerere. Baada ya hapo juhudi ziliwndelea za kuunganisha negros walikua nje ya Africa kuungana.
Katikati ya juhudi hizo Kwa assumption zangu kulingana na results ambayo hata tunaiona leo, alitokea nabii feki alikuja kubomoa ndoto hio, kuziba riziki negro wasiungane anaitwa Haile Selassie wa hapo Ethiopia. Naamini alikuja kujiatach na Nkuruma history ikisema walikua marafiki, nakuplay part kubwa kuunda AU umoja wa Africa. Binafsi naona kama ulikua mpango wakuvuriga negro unit, kwani Selassie alionekana kuwa na kibali uarabuni northern kwa status yao yakutotawaliwa, nakuonekana among superior group. Aliweza kuwashawishi Northern Africa Arabs kuungana na other Africa group kuunda AU. Ilipelekea Nkuruma Hadi kuoa mke wa Misri huko, nadhani hii ili kuongeza ushawishi wa muungano AU.
Selassie alifanikiwa kusambaratisha ndoto za negro unit na kukaa kati kama dalali kati ya black na Arabs ikatokea AU. Kina Negros Diaspora walivoona hivo ndugu yao kawasaliti nakujiunga na jamaa wenye asili ya waliotufanya watumwa wakajitoa, ukawa mwisho wa negro unit. Baada ya mafanikio hayo Selassie aliendelea kutukuzwa na unabii wake feki kuwa kaja kuunganisha blacks kumbe alikua ni agent aliesambaratisha. Nahii inareflect hata Sasa kizazi hiki ambapo tunaumoja wa jamii inayofanana eg. EAC itakayo tusaidia kubebana kibiashara na usalama kama tutakuwa waangalifu....doa linataka kujirudia who knows kuna influence external inayotaka umoja huo katu usidumu kwakua utasaidia sana tusiishie njiani kiuchumi kama Nkuruma au Nyerere. Naimani ishu sio Ujamaa walipigwa Pini wakajikuta wapo kati peke yao, uchumi ukayumba nakupelekea sera zao kufa. Ndio maana walihibiri umoja wa Africa, kwamba tukiungana sirahisi kuanguka, hata mmoja akipigwa pini anahemea Kwa jirani.
Mkakati wakumuingiza Kushi mwingine kuchangia kusambaratisha umoja mpya wa Negro EAC in my assumptions nakuona, ambapo Kuna promotion inaongeza Kasi kuwaingiza Kushi mfano hai Somali sasa, labda wengine wataongezeka. Swali ni je! Hawa jamaa kama wao Kwa wao ndugu wa nyumba Moja wameshindwana je sisi tunawapokea tuwawezeje? Au Kuna nia Gani...naona external kuvunja EAC tuendelee kutawaliwa. Internal kikundi binafsi within EAC zaidi Tanzania kinapromote kuwaingiza, kwakua wanampango wakuforce kuingia madarakani na watawatumia kuwanyamazisha wabaya wao. Nidhahiri kutoka historia ya nyuma tugundue jamii zenye status moja zinafiti zaidi nyumba Moja, kuliko mchanganyo lazima tuishie njiani. Na hii ni kwakua hizo jamii zinatuona inferior group kuliko wao, eti hawakutawaliwa wapo strong na tupo week somehow, nidhahiri kuwaingiza ndani watakuja taka kuwa juu, kitu kitachoua umoja huo ambao naamini ni muhimu sana kwetu kiuchumi natunauhitaji.