Gavana wa Benki Kuu Tanzania, Florens Luoga abadilishwe haraka

Kamundu

Platinum Member
Nov 22, 2006
6,542
8,630
Nasikitika sana kwa kushidwa kazi aliyopewa gavana wetu wa bank kuu Florens Luoga. Huyu gavana ni chaguo baya sana ambalo limewahi kutokea. Tujue tu kwamba huyu professor ni mwanasheria na sio mwana uchumi au mhasibu. Nashauri apewe Prof Mussa Assad kwa muda wa mpito.

Sababu moja ni kwamba bank kuu imepunguza riba za t-bills mpaka 7% kwa lengo la kupunguza mikopo ya bank za biashara ili ziwe 10%. Mara nyingi bank zina weka 2%-3% zaidi ya rate za bank kuu. Cha ajabu bank karibu zote zinatangaza riba za mikopo kuanzia 16% na utoaji wa mikopo ni riba za 21% kwa wenye hati za nyumba na mikopo mingine inaenda hadi 24%. Tusishangae banks zinaonyesha zinapata faida za ajabu wakati wakopaji wamepungua kutoka 24% mpaka chini ya 10%. Je hii ina maana gani

1. Ameshidwa kuongoza hizi bank au hajui kuziongoza. Hizi bank zime hakikisha zina marafiki serikalini na wakurugenzi wamekuwa na nguvu kuliko gavana wa bank kuu. Raisi alienda uingereza na mkurugenzi wa CRDB na sio gavana wa bank kuu. Hivyo imekuwa kama vile Professor hawezi hata kusimamia hizi bank .
2. Kuna miradi ya serikali wanachukuwa mikopo bank na ni wizi wa ajabu kama mradi wa serikali unachukuwa mkopo wa zaidi ya 10% kwa mwaka

Nitoe tu mfano nchi nyingine bank wanafanyaje US mfano bank kuu yao ina riba ya 2% na bank za biashara zinatoa mikopo kwa sasa ya 3%-5% yaani wanaongeza si zaidi ya 3% lakini tanzania bank ya biashara inaongeza kutoka 7% mpaka 21% ambayo ni ongezeko la 14%!!!. Hii maana yake ni kwamba biashara zisikotumia mikopo pesa nyingi ambazo zingetumia kuajiri wafanyakazi wapya, ununuzi na upanuaji wa biashara unasimama au unachukuwa muda mrefu. Hii inapunguza pesa kwenye mzunguko, inapunguza ajira na inakuwa vigumu kampuni zetu kushindana bila kuwa na pesa za mitaji.

Nchi zinazoendelea zina vitu vitatu vikubwa (1) Watu wanaojua kufanya kazi (2) Teknologia inayowezesha uzalishaji wa viwango na ufanisi (3) Upatikanaji wa mikopo nafuu. USA wasingekuwa na uchumi mkubwa kama mikopo ingekuwa 16%, 21% na 24%. Uchumi wa nchi hizi ungekuwa matatani sana sana. Sasa cha ajabu bank zinatoa mikopo ya 16%, 21% na 24% wa gavana kanyamaza tu!, waziri naye kanyamaza, Raisi naye kanyamaza!. Lakini vilevile Makamu wa Raisi Mpango anajua hili naye kanyamaza. Kwenye vitu muhimu kama hizi Rais, waziri na gavana waweke siasa na urafiki pembeni. Ni wafanya biashara wachache sana wanaweza kwenda kukopa nchi nyingine. Mo mfano ilibidi aende mpaka south Africa kukopa lakini wafanyabiashara wadogowadogo hawataweza kukuza biashara zao kwa riba hizi.

Lakini hata tukiacha yote hayo kwa kitendo cha Gavana wa bank kuu kushidwa kupunguza mikopo mpaka 10% kwa wafanyabiashara inatosha sana kumfukuza kazi. Waziri naye akishidwa kuongelea hili inabidi naye apishe wengine. Mwigulu ni mwana Ilboru mwenzangu lakini kama hili swala la riba halitapata ufumbuzi mapema inabidi aondolewe.

Zitto , Mwigulu Nchemba
 
Nakuunga mkono kwa 100%

Ujue Prof. Luoga kafeli sana ku manage BOT.. BOT inatoa directives riba zishuke, wakati BOT ishatoa tamko kuwa itatoa mikopo kwa mabenki kwa 7% ili wananchi wapewe kwa 9% - 10% yeye Gavana yuko tu, as if nothing is going on.

Yaani serikali ingesimamia hili wananchi wapewe mikopo kwa riba nafuu ya 9% or 10% uchumi wa wananchi ungechochewa haraka na maisha ya wananchi wetu wengi kubadilika haraka, within few years. Serikali ingeweka mkazo kwa hili, ajira nyingi binafsi zingetengenezwa, kwani riba sasa hivi ziko juuuuuu sanaa, na wananchi wengi hawawezi kukopa, kila mwaka mabenki yanatangaza billions of tshs kama profits ila maisha ya wananchi yazidi kuwa duni.

Kwa hili pekee, ameonyesha udhaifu mkubwa sana Prof. Luoga.

Nashauri apigwe chini kabisa.
 
Nasikitika sana kwa kushidwa kazi aliyopewa gavana wetu wa bank kuu Florens Luoga. Huyu gavana ni chaguo baya sana ambalo limewahi kutokea. Tujue tu kwamba huyu professor ni mwanasheria na sio mwana uchumi au mhasibu. Nashauri apewe Prof Mussa Assad kwa muda wa mpito.

Sababu moja ni kwamba bank kuu imepunguza riba za t-bills mpaka 7% kwa lengo la kupunguza mikopo ya bank za biashara ili ziwe 10%. Mara nyingi bank zina weka 2%-3% zaidi ya rate za bank kuu. Cha ajabu bank karibu zote zinatangaza riba za mikopo kuanzia 16% na utoaji wa mikopo ni riba za 21% kwa wenye hati za nyumba na mikopo mingine inaenda hadi 24%. Tusishangae banks zinaonyesha zinapata faida za ajabu wakati wakopaji wamepungua kutoka 24% mpaka chini ya 10%. Je hii ina maana gani

1. Ameshidwa kuongoza hizi bank au hajui kuziongoza. Hizi bank zime hakikisha zina marafiki serikalini na wakurugenzi wamekuwa na nguvu kuliko gavana wa bank kuu. Raisi alienda uingereza na mkurugenzi wa CRDB na sio gavana wa bank kuu. Hivyo imekuwa kama vile Professor hawezi hata kusimamia hizi bank .
2. Kuna miradi ya serikali wanachukuwa mikopo bank na ni wizi wa ajabu kama mradi wa serikali unachukuwa mkopo wa zaidi ya 10% kwa mwaka

Nitoe tu mfano nchi nyingine bank wanafanyaje US mfano bank kuu yao ina riba ya 2% na bank za biashara zinatoa mikopo kwa sasa ya 3%-5% yaani wanaongeza si zaidi ya 3% lakini tanzania bank ya biashara inaongeza kutoka 7% mpaka 21% ambayo ni ongezeko la 14%!!!. Hii maana yake ni kwamba biashara zisikotumia mikopo pesa nyingi ambazo zingetumia kuajiri wafanyakazi wapya, ununuzi na upanuaji wa biashara unasimama au unachukuwa muda mrefu. Hii inapunguza pesa kwenye mzunguko, inapunguza ajira na inakuwa vigumu kampuni zetu kushindana bila kuwa na pesa za mitaji.

Nchi zinazoendelea zina vitu vitatu vikubwa (1) Watu wanaojua kufanya kazi (2) Teknologia inayowezesha uzalishaji wa viwango na ufanisi (3) Upatikanaji wa mikopo nafuu. USA wasingekuwa na uchumi mkubwa kama mikopo ingekuwa 16%, 21% na 24%. Uchumi wa nchi hizi ungekuwa matatani sana sana. Sasa cha ajabu bank zinatoa mikopo ya 16%, 21% na 24% wa gavana kanyamaza tu!, waziri naye kanyamaza, Raisi naye kanyamaza!. Lakini vilevile Makamu wa Raisi Mpango anajua hili naye kanyamaza. Kwenye vitu muhimu kama hizi Rais, waziri na gavana waweke siasa na urafiki pembeni. Ni wafanya biashara wachache sana wanaweza kwenda kukopa nchi nyingine. Mo mfano ilibidi aende mpaka south Africa kukopa lakini wafanyabiashara wadogowadogo hawataweza kukuza biashara zao kwa riba hizi.

Lakini hata tukiacha yote hayo kwa kitendo cha Gavana wa bank kuu kushidwa kupunguza mikopo mpaka 10% kwa wafanyabiashara inatosha sana kumfukuza kazi. Waziri naye akishidwa kuongelea hili inabidi naye apishe wengine. Mwigulu ni mwana Ilboru mwenzangu lakini kama hili swala la riba halitapata ufumbuzi mapema inabidi aondolewe.

Zitto , Mwigulu Nchemba





 
Nasikitika sana kwa kushidwa kazi aliyopewa gavana wetu wa bank kuu Florens Luoga. Huyu gavana ni chaguo baya sana ambalo limewahi kutokea. Tujue tu kwamba huyu professor ni mwanasheria na sio mwana uchumi au mhasibu. Nashauri apewe Prof Mussa Assad kwa muda wa mpito.

Sababu moja ni kwamba bank kuu imepunguza riba za t-bills mpaka 7% kwa lengo la kupunguza mikopo ya bank za biashara ili ziwe 10%. Mara nyingi bank zina weka 2%-3% zaidi ya rate za bank kuu. Cha ajabu bank karibu zote zinatangaza riba za mikopo kuanzia 16% na utoaji wa mikopo ni riba za 21% kwa wenye hati za nyumba na mikopo mingine inaenda hadi 24%. Tusishangae banks zinaonyesha zinapata faida za ajabu wakati wakopaji wamepungua kutoka 24% mpaka chini ya 10%. Je hii ina maana gani

1. Ameshidwa kuongoza hizi bank au hajui kuziongoza. Hizi bank zime hakikisha zina marafiki serikalini na wakurugenzi wamekuwa na nguvu kuliko gavana wa bank kuu. Raisi alienda uingereza na mkurugenzi wa CRDB na sio gavana wa bank kuu. Hivyo imekuwa kama vile Professor hawezi hata kusimamia hizi bank .
2. Kuna miradi ya serikali wanachukuwa mikopo bank na ni wizi wa ajabu kama mradi wa serikali unachukuwa mkopo wa zaidi ya 10% kwa mwaka

Nitoe tu mfano nchi nyingine bank wanafanyaje US mfano bank kuu yao ina riba ya 2% na bank za biashara zinatoa mikopo kwa sasa ya 3%-5% yaani wanaongeza si zaidi ya 3% lakini tanzania bank ya biashara inaongeza kutoka 7% mpaka 21% ambayo ni ongezeko la 14%!!!. Hii maana yake ni kwamba biashara zisikotumia mikopo pesa nyingi ambazo zingetumia kuajiri wafanyakazi wapya, ununuzi na upanuaji wa biashara unasimama au unachukuwa muda mrefu. Hii inapunguza pesa kwenye mzunguko, inapunguza ajira na inakuwa vigumu kampuni zetu kushindana bila kuwa na pesa za mitaji.

Nchi zinazoendelea zina vitu vitatu vikubwa (1) Watu wanaojua kufanya kazi (2) Teknologia inayowezesha uzalishaji wa viwango na ufanisi (3) Upatikanaji wa mikopo nafuu. USA wasingekuwa na uchumi mkubwa kama mikopo ingekuwa 16%, 21% na 24%. Uchumi wa nchi hizi ungekuwa matatani sana sana. Sasa cha ajabu bank zinatoa mikopo ya 16%, 21% na 24% wa gavana kanyamaza tu!, waziri naye kanyamaza, Raisi naye kanyamaza!. Lakini vilevile Makamu wa Raisi Mpango anajua hili naye kanyamaza. Kwenye vitu muhimu kama hizi Rais, waziri na gavana waweke siasa na urafiki pembeni. Ni wafanya biashara wachache sana wanaweza kwenda kukopa nchi nyingine. Mo mfano ilibidi aende mpaka south Africa kukopa lakini wafanyabiashara wadogowadogo hawataweza kukuza biashara zao kwa riba hizi.

Lakini hata tukiacha yote hayo kwa kitendo cha Gavana wa bank kuu kushidwa kupunguza mikopo mpaka 10% kwa wafanyabiashara inatosha sana kumfukuza kazi. Waziri naye akishidwa kuongelea hili inabidi naye apishe wengine. Mwigulu ni mwana Ilboru mwenzangu lakini kama hili swala la riba halitapata ufumbuzi mapema inabidi aondolewe.

Zitto , Mwigulu Nchemba
Board of Directors

The Board of Directors is the supreme policy decision making hierarchical structure in the Bank of Tanzania. In terms of the Bank of Tanzania Act, 2006, the Board of Directors is responsible for determining policies of the Bank, approving its budget and allocation of profits arising from its operations.

The Board consists of ten persons, four of whom are executive directors appointed by the President. In addition, there are two ex-officio members, and, four non-executive Directors appointed by the Minister of Finance of the United Republic. Secretary to the Board is also an ex-officio member, responsible for provision of secretariat services

The current composition of the Board is as follows:
  • Governor (the Chairman)
  • Three Deputy Governors, Deputy Chairman in the order determined by the Governor;
  • The Representative of the Ministry of Finance of the Government of the United Republic and Principal Secretary to the Treasury of the Revolutionary Government of Zanzibar; and
  • Four non-executive Directors; and
  • Secretary to the Board
The Board consists of persons knowledgeable or experienced in economics, business and finance, banking, corporate law, accountancy or other disciplines relevant to the functions of the Bank. Members of the National Assembly, House of Representatives, Local Government Authorities, public servants (other than Representative of the Ministry of Finance of the United Republic and the Principal Secretary Treasury of the Revolutionary Government of Zanzibar), office bearers of any political party, and directors, employees, consultants or shareholders of banks and financial institutions in respect of which the Bank may exercise regulatory powers are disqualified from being Directors of the Bank.

Governor and Deputy Governors are appointed for a period of five years. Their tenure of office is statutorily limited to two-five year terms. Non-executive Directors are appointed for a period of three years, and are eligible for a reappointment.

Source

Kwa kuwa gavana anatumikia tenure ya miaka 5 na ni bingwa wa sheria maana yake mamalaka ya uteuzi ilimwona ana sifa.

Suala la gavana kutoa maelekezo ili mabenki yashushe riba, kuna mechanism baada ta gavana kutoa maelekezo kesho yake mabenki yashushe riba ili tumhukumu kwa hukumu ya haki.

Isije ikawa ni mchakato kama ambavyo mambo mengi nchi hii huwa maamuzi yanatolewa ila utekelezaji huwa ni "mchakato"

Ngoja tuone tenure yake ya miaka 5 ikiisha ataongezewa muda na mamlaka za uteuzi au atapewa mwingine alisongeshe.

So far, nchi hii yahitaji mkazo mkubwa sana kwenye kurekebisha mifumo ya kupata fedha za kuwekeza hasa kwenye miradi ya uzalishaji (investment project financing) ili tupunguze imports za consumables na kuongeza exports kwa mazao ya kilimo.

Ni aibu kusikia balozi wa Tanzania China anashadadia kuwa China anakuja kununua soybeans zikiwa ghafi. Kwanini tusiuze processed products za soybeans say soy milk or soy oil ikiwamo kupata animal feed kama byproduct.

Ni aibu eti mchina anakuja kununua mihogo ghafi, kwanini tusiueze mihogo kama packaged starch?

Ila waswahili wanasema kupanga ni kuchagua. Huenda akili zetu hazijaamua kuwaza zaidi ya hapo, ila ikiwaza lazima BoT iwe na role ya udhamini kwenye kupata mikopo nje ya nchi hii ili kusisimua ukuaji wa sekta binafsi ambayo serikali inavuta 18% kwenye sales za products na 30% ya corporate tax.
 
Board of Directors

The Board of Directors is the supreme policy decision making hierarchical structure in the Bank of Tanzania. In terms of the Bank of Tanzania Act, 2006, the Board of Directors is responsible for determining policies of the Bank, approving its budget and allocation of profits arising from its operations.

The Board consists of ten persons, four of whom are executive directors appointed by the President. In addition, there are two ex-officio members, and, four non-executive Directors appointed by the Minister of Finance of the United Republic. Secretary to the Board is also an ex-officio member, responsible for provision of secretariat services

The current composition of the Board is as follows:
  • Governor (the Chairman)
  • Three Deputy Governors, Deputy Chairman in the order determined by the Governor;
  • The Representative of the Ministry of Finance of the Government of the United Republic and Principal Secretary to the Treasury of the Revolutionary Government of Zanzibar; and
  • Four non-executive Directors; and
  • Secretary to the Board
The Board consists of persons knowledgeable or experienced in economics, business and finance, banking, corporate law, accountancy or other disciplines relevant to the functions of the Bank. Members of the National Assembly, House of Representatives, Local Government Authorities, public servants (other than Representative of the Ministry of Finance of the United Republic and the Principal Secretary Treasury of the Revolutionary Government of Zanzibar), office bearers of any political party, and directors, employees, consultants or shareholders of banks and financial institutions in respect of which the Bank may exercise regulatory powers are disqualified from being Directors of the Bank.

Governor and Deputy Governors are appointed for a period of five years. Their tenure of office is statutorily limited to two-five year terms. Non-executive Directors are appointed for a period of three years, and are eligible for a reappointment.

Source

Kwa kuwa gavana anatumikia tenure ya miaka 5 na ni bingwa wa sheria maana yake mamalaka ya uteuzi ilimwona ana sifa.

Suala la gavana kutoa maelekezo ili mabenki yashushe riba, kuna mechanism baada ta gavana kutoa maelekezo kesho yake mabenki yashushe riba ili tumhukumu kwa hukumu ya haki.

Isije ikawa ni mchakato kama ambavyo mambo mengi nchi hii huwa maamuzi yanatolewa ila utekelezaji huwa ni "mchakato"

Ngoja tuone tenure yake ya miaka 5 ikiisha ataongezewa muda na mamlaka za uteuzi au atapewa mwingine alisongeshe.

So far, nchi hii yahitaji mkazo mkubwa sana kwenye kurekebisha mifumo ya kupata fedha za kuwekeza hasa kwenye miradi ya uzalishaji (investment project financing) ili tupunguze imports za consumables na kuongeza exports kwa mazao ya kilimo.

Ni aibu kusikia balozi wa Tanzania China anashadadia kuwa China anakuja kununua soybeans zikiwa ghafi. Kwanini tusiuze processed products za soybeans say soy milk or soy oil ikiwamo kupata animal feed kama byproduct.

Ni aibu eti mchina anakuja kununua mihogo ghafi, kwanini tusiueze mihogo kama packaged starch?

Ila waswahili wanasema kupanga ni kuchagua. Huenda akili zetu hazijaamua kuwaza zaidi ya hapo, ila ikiwaza lazima BoT iwe na role ya udhamini kwenye kupata mikopo nje ya nchi hii ili kusisimua ukuaji wa sekta binafsi ambayo serikali inavuta 18% kwenye sales za products na 30% ya corporate tax.


Hili swala ni muhimu sana sana ni emergency ! hailiwezi kusubiri. Bank kuu tayari imepunguza rate !. Kama Gavana ana term basi wateule wengine wabadilishwe na waletwe watu wakali na wanajua kusimamia mambo. Hili koti ni kubwa sana kwa huyu professor wa sheria
 
Nasikitika sana kwa kushidwa kazi aliyopewa gavana wetu wa bank kuu Florens Luoga. Huyu gavana ni chaguo baya sana ambalo limewahi kutokea. Tujue tu kwamba huyu professor ni mwanasheria na sio mwana uchumi au mhasibu. Nashauri apewe Prof Mussa Assad kwa muda wa mpito.

Sababu moja ni kwamba bank kuu imepunguza riba za t-bills mpaka 7% kwa lengo la kupunguza mikopo ya bank za biashara ili ziwe 10%. Mara nyingi bank zina weka 2%-3% zaidi ya rate za bank kuu. Cha ajabu bank karibu zote zinatangaza riba za mikopo kuanzia 16% na utoaji wa mikopo ni riba za 21% kwa wenye hati za nyumba na mikopo mingine inaenda hadi 24%. Tusishangae banks zinaonyesha zinapata faida za ajabu wakati wakopaji wamepungua kutoka 24% mpaka chini ya 10%. Je hii ina maana gani

1. Ameshidwa kuongoza hizi bank au hajui kuziongoza. Hizi bank zime hakikisha zina marafiki serikalini na wakurugenzi wamekuwa na nguvu kuliko gavana wa bank kuu. Raisi alienda uingereza na mkurugenzi wa CRDB na sio gavana wa bank kuu. Hivyo imekuwa kama vile Professor hawezi hata kusimamia hizi bank .
2. Kuna miradi ya serikali wanachukuwa mikopo bank na ni wizi wa ajabu kama mradi wa serikali unachukuwa mkopo wa zaidi ya 10% kwa mwaka

Nitoe tu mfano nchi nyingine bank wanafanyaje US mfano bank kuu yao ina riba ya 2% na bank za biashara zinatoa mikopo kwa sasa ya 3%-5% yaani wanaongeza si zaidi ya 3% lakini tanzania bank ya biashara inaongeza kutoka 7% mpaka 21% ambayo ni ongezeko la 14%!!!. Hii maana yake ni kwamba biashara zisikotumia mikopo pesa nyingi ambazo zingetumia kuajiri wafanyakazi wapya, ununuzi na upanuaji wa biashara unasimama au unachukuwa muda mrefu. Hii inapunguza pesa kwenye mzunguko, inapunguza ajira na inakuwa vigumu kampuni zetu kushindana bila kuwa na pesa za mitaji.

Nchi zinazoendelea zina vitu vitatu vikubwa (1) Watu wanaojua kufanya kazi (2) Teknologia inayowezesha uzalishaji wa viwango na ufanisi (3) Upatikanaji wa mikopo nafuu. USA wasingekuwa na uchumi mkubwa kama mikopo ingekuwa 16%, 21% na 24%. Uchumi wa nchi hizi ungekuwa matatani sana sana. Sasa cha ajabu bank zinatoa mikopo ya 16%, 21% na 24% wa gavana kanyamaza tu!, waziri naye kanyamaza, Raisi naye kanyamaza!. Lakini vilevile Makamu wa Raisi Mpango anajua hili naye kanyamaza. Kwenye vitu muhimu kama hizi Rais, waziri na gavana waweke siasa na urafiki pembeni. Ni wafanya biashara wachache sana wanaweza kwenda kukopa nchi nyingine. Mo mfano ilibidi aende mpaka south Africa kukopa lakini wafanyabiashara wadogowadogo hawataweza kukuza biashara zao kwa riba hizi.

Lakini hata tukiacha yote hayo kwa kitendo cha Gavana wa bank kuu kushidwa kupunguza mikopo mpaka 10% kwa wafanyabiashara inatosha sana kumfukuza kazi. Waziri naye akishidwa kuongelea hili inabidi naye apishe wengine. Mwigulu ni mwana Ilboru mwenzangu lakini kama hili swala la riba halitapata ufumbuzi mapema inabidi aondolewe.

Zitto , Mwigulu Nchemba
Hatuwezemkabidhi Assad hyo benk, ile ndo roho ya nchi kumkabidhi radical iko siku nchi itasimama.
Wako wachumi na wahasibu wengi tu nchini na wengine wako world bank na IMF na wana uzoefu mkubwa
 
Nasikitika sana kwa kushidwa kazi aliyopewa gavana wetu wa bank kuu Florens Luoga. Huyu gavana ni chaguo baya sana ambalo limewahi kutokea. Tujue tu kwamba huyu professor ni mwanasheria na sio mwana uchumi au mhasibu. Nashauri apewe Prof Mussa Assad kwa muda wa mpito.

Sababu moja ni kwamba bank kuu imepunguza riba za t-bills mpaka 7% kwa lengo la kupunguza mikopo ya bank za biashara ili ziwe 10%. Mara nyingi bank zina weka 2%-3% zaidi ya rate za bank kuu. Cha ajabu bank karibu zote zinatangaza riba za mikopo kuanzia 16% na utoaji wa mikopo ni riba za 21% kwa wenye hati za nyumba na mikopo mingine inaenda hadi 24%. Tusishangae banks zinaonyesha zinapata faida za ajabu wakati wakopaji wamepungua kutoka 24% mpaka chini ya 10%. Je hii ina maana gani

1. Ameshidwa kuongoza hizi bank au hajui kuziongoza. Hizi bank zime hakikisha zina marafiki serikalini na wakurugenzi wamekuwa na nguvu kuliko gavana wa bank kuu. Raisi alienda uingereza na mkurugenzi wa CRDB na sio gavana wa bank kuu. Hivyo imekuwa kama vile Professor hawezi hata kusimamia hizi bank .
2. Kuna miradi ya serikali wanachukuwa mikopo bank na ni wizi wa ajabu kama mradi wa serikali unachukuwa mkopo wa zaidi ya 10% kwa mwaka

Nitoe tu mfano nchi nyingine bank wanafanyaje US mfano bank kuu yao ina riba ya 2% na bank za biashara zinatoa mikopo kwa sasa ya 3%-5% yaani wanaongeza si zaidi ya 3% lakini tanzania bank ya biashara inaongeza kutoka 7% mpaka 21% ambayo ni ongezeko la 14%!!!. Hii maana yake ni kwamba biashara zisikotumia mikopo pesa nyingi ambazo zingetumia kuajiri wafanyakazi wapya, ununuzi na upanuaji wa biashara unasimama au unachukuwa muda mrefu. Hii inapunguza pesa kwenye mzunguko, inapunguza ajira na inakuwa vigumu kampuni zetu kushindana bila kuwa na pesa za mitaji.

Nchi zinazoendelea zina vitu vitatu vikubwa (1) Watu wanaojua kufanya kazi (2) Teknologia inayowezesha uzalishaji wa viwango na ufanisi (3) Upatikanaji wa mikopo nafuu. USA wasingekuwa na uchumi mkubwa kama mikopo ingekuwa 16%, 21% na 24%. Uchumi wa nchi hizi ungekuwa matatani sana sana. Sasa cha ajabu bank zinatoa mikopo ya 16%, 21% na 24% wa gavana kanyamaza tu!, waziri naye kanyamaza, Raisi naye kanyamaza!. Lakini vilevile Makamu wa Raisi Mpango anajua hili naye kanyamaza. Kwenye vitu muhimu kama hizi Rais, waziri na gavana waweke siasa na urafiki pembeni. Ni wafanya biashara wachache sana wanaweza kwenda kukopa nchi nyingine. Mo mfano ilibidi aende mpaka south Africa kukopa lakini wafanyabiashara wadogowadogo hawataweza kukuza biashara zao kwa riba hizi.

Lakini hata tukiacha yote hayo kwa kitendo cha Gavana wa bank kuu kushidwa kupunguza mikopo mpaka 10% kwa wafanyabiashara inatosha sana kumfukuza kazi. Waziri naye akishidwa kuongelea hili inabidi naye apishe wengine. Mwigulu ni mwana Ilboru mwenzangu lakini kama hili swala la riba halitapata ufumbuzi mapema inabidi aondolewe.

Zitto , Mwigulu Nchemba
Unajua mikopo chechefu inagharimu kias gan banks??? Tueleze in figures hasara wanayopata banks kutokana na mikopo chechefu ndipo turud kwenye riba sasa
 
Hatuwezemkabidhi Assad hyo benk, ile ndo roho ya nchi kumkabidhi radical iko siku nchi itasimama.
Wako wachumi na wahasibu wengi tu nchini na wengine wako world bank na IMF na wana uzoefu mkubwa
Yaaana sijui assad ndio nani Taifa hili nae ni mpiga dili na mchumi tumbo tu
 
50 Reactions
Reply
Back
Top Bottom