Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Ni kuhusu umoja wa kitaifa katika Matukio kama haya ya kitaifa. Niliona limetokea kwa Lowassa nature ikalirekebisha ila nashangaa tena kwa Mwinyi limejitokeza tena. Naona Mama anapambana sana...
11 Reactions
49 Replies
4K Views
Bongo : Ukichagua upinzani hatuleti maendeleo. Ila kodi kila Mtanzania anakatwa bila kuulizwa chama chake. Nje Kiongozi akifanya kosa dogo tu huomba msamaha na ikiwezekana kuachia nafasi haraka.
1 Reactions
2 Replies
278 Views
Katika karne hii Huwa nasikia wanasiasa na viongozi wa serikali wakizungumzia ujenzi wa "matundu" ya vyoo katika shule kama mojawapo ya mafanikio yao nashangaa sana! Matundu ya vyoo mara nyingi...
2 Reactions
4 Replies
595 Views
Mwenyekiti wa Vijana CCM (UVCCM), Kata ya Bwilingu (Chalinze-round about) Ndugu Abdul Nasa ameendelea kukitumia vibaya cheo cha baba yake (Diwani Kata ya Bwilingu Jimbo la Chalinze). Inadaiwa...
2 Reactions
9 Replies
1K Views
Tarehe 25 November 2023 Niliandika barua kwenda kwa wafadhili wa serikali ya Tanzania wakiwemo USA, bunge la Ulaya na wengine nikilalamikia ufadhili wao kuuwa demokrasia na mfumo wa utoaji haki...
19 Reactions
83 Replies
5K Views
Baada ya kuzindua kitabu chake Jioni ya leo Rais Samia amesema anamshukuru Mungu kwa kumpa Mwinyi miaka 96 na sasa anamwombea afike 100 Pia amesema anaona Mzee Mwinyi akipata shida ya kupanda...
31 Reactions
447 Replies
130K Views
Baadhi ya hospital binafsi zimeshaweka matangazo kama yanavyosomeka hapo juu Nini sulihisho la hili?tiririka ili serikali ipate madini na kuyafanyia kazi inawezekana kabisa hawajui nini cha...
9 Reactions
84 Replies
8K Views
Kutokana na utendaji kazi mzuri wa Lengai Ole Sabaya wakati akiwa Mkuu wa Wilaya Hai mkoani Kilimanjaro kuna haja ya mheshimiwa rais kumteua kuwa mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam ili akapige kazi...
1 Reactions
69 Replies
5K Views
Rais wa Awamu ya Pili, Mzee Ali Hassan Mwinyi leo amemtembelea mbunge wa Singida Mashariki (CHADEMA), Ndg. Tundu Lissu katika Hospitali ya Nairobi. More to follow
39 Reactions
318 Replies
66K Views
Kwako Waziri wa Ardhi, Mh. Jerry Silaa. Pole sana na majukumu ya utatuzi wa migogoro ya ardhi. Bila kupepesa macho, chanzo kikubwa cha migogoro ya ardhi ni watendaji. Watendaji wanapokuwa wamekaa...
1 Reactions
5 Replies
611 Views
Nilimsika Padre mmoja jumapili tatu zilizopita akihubiri juu ya suala zima la wito, yalikuwa ni mahubiri ya kina ambapo aliamua kufundisha kuhusu wito na michakato yake maishani. Padre yule...
3 Reactions
10 Replies
836 Views
Katika jambo ambalo Mungu ameutendea haki ulimwengu huu ni lile la kila mtu kulipwa kulingana na matendo yake mwenyewe , yaani Mungu ameweza kuhakikisha kwamba kila mwanadamu aliyeumbwa kwa udongo...
34 Reactions
121 Replies
17K Views
Wakuu heri ya sikukuu ya pasaka na poleni sana kwa mauaji ya askari wetu yaliyotokea huko Rufiji (Namuomba Mwenyezi Mungu aziweke roho za askari wetu mahali pema peponi, Amina) Baada ya salamu...
6 Reactions
147 Replies
43K Views
Jana Rais Samia kwenye uzinduzi wa kitabu cha Rais mstaafu Mwinyi, alitangaza kuwa katika pia kusherehekea siku ya kuzaliwa kwa Rais wetu huyo wa zamani aliyetimiza miaka 96, serikali imempatia...
108 Reactions
263 Replies
25K Views
Alikuwepo diwani maarufu kwa jina la Kanyanyila aliyeingia madarakani mwaka 2015 kuongoza kata yake ya Lusungo. Ilikuwa ni jambo la kushangaza kwa mwanamke kushikilia madaraka makubwa ya kisiasa...
8 Reactions
19 Replies
2K Views
Niko hapa uwanja wa Amaan Zanzibar kwenye shughuli ya kumuaga mpendwa wetu mzee Ali Hassan Mwinyi …inaacha Maswali kwanini majukwaaa ni Matupu hakuna watu kabisa labda kama huko nje kuna watu...
7 Reactions
89 Replies
6K Views
Rais mstaafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi maarufu kwa jina la ‘Mzee Ruksa’ leo anatimiza miaka 90. Bado ana nguvu, mchangamfu, mcheshi na anapopata fursa, anawafundisha Watanzania matumizi ya...
2 Reactions
128 Replies
30K Views
Mashirika yasiyokuwa na hospital zao walitibiwa kwa Dr Mvungi, Dr Mtawali,Burhani, Ibrahim Haji nk Nakumbuka pale Samora avenue kwa Dr Mtawali mapokezi yake tu unaanza kupona Siku Hizi ukiwa na...
2 Reactions
6 Replies
681 Views
Nimekuwa najiuliza sana kuna nn Moshi hadi maandamano na vurugu za chadema zinafanyikiaga arusha, watu wa arusha mjiangalie sana. This is cheap politics.
5 Reactions
37 Replies
2K Views
Taarifa yao hii hapa
8 Reactions
35 Replies
3K Views
Back
Top Bottom