Desprospero
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 887
- 2,201
Nimeambiwa Mgombea Urais wa Chadema 2025 ni aliyelemazwa Tundu Lissu. Jamani nafasi ya Urais ni nyeti na ya juu mno. Ni nafasi inayohitaji utulivu, akili na usawaziko wa akili.
Lissu achana na hizi siasa za kulumbana na Paul Makonda kuhusu GSM ukidhani "umempiga". Kumbuka ukiwa Rais Makonda naye atakuwa mwananchi wako.
Hebu focus kwenye makubwa yanayolingana na hadhi ya Ikulu (Ufalme). Siasa za kina Makonda waachie kina Godbless Lema na wengine. Ishi siasa za kiuongozi wa nchi tofauti na hapo tutajua ni mpitaji tu wa kawaida. Fanya siasa za kikubwa. Ukinielewa sawa usiponielewa basi poleni Chadema.
Lissu achana na hizi siasa za kulumbana na Paul Makonda kuhusu GSM ukidhani "umempiga". Kumbuka ukiwa Rais Makonda naye atakuwa mwananchi wako.
Hebu focus kwenye makubwa yanayolingana na hadhi ya Ikulu (Ufalme). Siasa za kina Makonda waachie kina Godbless Lema na wengine. Ishi siasa za kiuongozi wa nchi tofauti na hapo tutajua ni mpitaji tu wa kawaida. Fanya siasa za kikubwa. Ukinielewa sawa usiponielewa basi poleni Chadema.