Nani anatoa 'kitita' cha kuwahamisha Wamasai kutoka Ngorongoro? Tunapata faida gani kama Taifa?

VUTA-NKUVUTE

JF-Expert Member
Nov 25, 2010
6,135
17,802
Nipo hapa Arusha. Jana nami niliyashuhudia (lakini sikushiriki) maandamano ya amani ya CHADEMA katika viunga vya jiji la Arusha. Sikwami wala kuogopa kusema kuwa yalikuwa ni maandamano makubwa; washiriki walikuwa wamejipanga kila anga na yalipeperusha hoja za haja.

Kabla ya jana, nilioneshwa (na wahusika hasa) nyaraka za operesheni ya kuwaondoa/kuwahamisha Wamasai kutoka kwenye hifadhi ya Ngorongoro kuwapeleka wilayani Handeni mkoani Tanga. Nimeona kuwa hadi sasa, zaidi ya kaya/familia elfu moja zimeshahamishiwa Handeni.

Kwa mujibu wa nyaraka husika, kila kaya inayohamishiwa Handeni inapewa nyumba, shamba na pesa taslimu shilingi milioni kumi. Kimahesabu, hadi sasa kumeshatumika zaidi ya shilingi bilioni kumi ya pesa taslimu-achilia mbali zile za ujenzi wa nyumba na mashamba.

Nani anagharimia zoezi hili linalotumia mabilioni ya shilingi? Kama ni Serikali, bajeti ya zoezi hili imepangwa/imetengwa kwenye wizara gani na ni kwa bajeti ya mwaka upi wa fedha? Faida gani itakayopatikana, ikilinganishwa na hasara, kutokana na zoezi hili?

Sukari imekuwa hatari!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Sombetini, Arusha)
 
Hilo eneo lilishauzwa kwa waarabu kipindi cha mwinyi ambapo mkapa aliwanyang'anya eneo hilo na kuwatimua. Alipoingia mama Samia alitembelewa na rais mwinyi kuambiwa hilo suala ambapo alienda UAE na ndege ya rais ilishikiliwa kutokana na wao kunyang'anywa eneo lao licha ya kuwa na documents za hati ya mauziano. Baada ya kuzungumza nao ikabidi wawarudishie eneo na kupelekea kuwatoa wamasai waliokuwepo kwenye hilo eneo.
 
Nipo hapa Arusha. Jana nami niliyashuhudia (lakini sikushiriki) maandamano ya amani ya CHADEMA katika viunga vya jiji la Arusha. Sikwami wala kuogopa kusema kuwa yalikuwa ni maandamano makubwa; washiriki walikuwa wamejipanga kila anga na yalipeperusha hoja za haja.

Kabla ya jana, nilioneshwa (na wahusika hasa) nyaraka za operesheni ya kuwaondoa/kuwahamisha Wamasai kutoka kwenye hifadhi ya Ngorongoro kuwapeleka wilayani Handeni mkoani Tanga. Nimeona kuwa hadi sasa, zaidi ya kaya/familia elfu moja zimeshamishiwa Handeni.

Kwa mujibu wa nyaraka husika, kila kaya inayohamishiwa Handeni inapewa nyumba, shamba na pesa taslimu shilingi milioni kumi. Kimahesabu, hadi sasa kumeshatumika zaidi ya shilingi bilioni moja ya pesa taslimu-achilia mbali zile za ujenzi wa nyumba na mashamba.

Nani anagharimia zoezi hili linalotumia mabilioni ya shilingi? Kama ni Serikali, bajeti ya zoezi hili imepangwa/imetengwa kwenye wizara gani na ni kwa bajeti ya mwaka upi wa fedha? Faida gani itakayopatikana, ikilinganishwa na hasara, kutokana na zoezi hili?

Sukari imekuwa hatari!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Sombetini, Arusha)
Waaranu waliouziwa hilo eneo wanagharamia kwa kushirikiana na JWTZ na SUMA JKT
 
Hilo eneo lilishauzwa kwa waarabu kipindi cha mwinyi ambapo mkapa aliwanyang'anya eneo hilo na kuwatimua. Alipoingia mama Samia alitembelewa na rais mwinyi kuambiwa hilo suala ambapo alienda UAE na ndege ya rais ilishikiliwa kutokana na wao kunyang'anywa eneo lao licha ya kuwa na documents za hati ya mauziano. Baada ya kuzungumza nao ikabidi wawarudishie eneo na kupelekea kuwatoa wamasai waliokuwepo kwenye hilo eneo.
Kwa io walishindwa kushika ndege kipindi Cha jakaya na magufuli? Mnaletaga argument za kijinga sana muda mwingine
 
Nipo hapa Arusha. Jana nami niliyashuhudia (lakini sikushiriki) maandamano ya amani ya CHADEMA katika viunga vya jiji la Arusha. Sikwami wala kuogopa kusema kuwa yalikuwa ni maandamano makubwa; washiriki walikuwa wamejipanga kila anga na yalipeperusha hoja za haja.

Kabla ya jana, nilioneshwa (na wahusika hasa) nyaraka za operesheni ya kuwaondoa/kuwahamisha Wamasai kutoka kwenye hifadhi ya Ngorongoro kuwapeleka wilayani Handeni mkoani Tanga. Nimeona kuwa hadi sasa, zaidi ya kaya/familia elfu moja zimeshamishiwa Handeni.

Kwa mujibu wa nyaraka husika, kila kaya inayohamishiwa Handeni inapewa nyumba, shamba na pesa taslimu shilingi milioni kumi. Kimahesabu, hadi sasa kumeshatumika zaidi ya shilingi bilioni moja ya pesa taslimu-achilia mbali zile za ujenzi wa nyumba na mashamba.

Nani anagharimia zoezi hili linalotumia mabilioni ya shilingi? Kama ni Serikali, bajeti ya zoezi hili imepangwa/imetengwa kwenye wizara gani na ni kwa bajeti ya mwaka upi wa fedha? Faida gani itakayopatikana, ikilinganishwa na hasara, kutokana na zoezi hili?

Sukari imekuwa hatari!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Sombetini, Arusha)
Naogopa hawa dubai wana mpango wa kutwaa loliondo na ngorongoro kama wamarekani walivyotwaa kile kisiwa cha guantanamo bay kule cuba.
Tangu enzi wa mzee ruksa loliondo iko china ya mfalme wa dubai. Jiulize ni miaka mingapi sasa?
 
Nipo hapa Arusha. Jana nami niliyashuhudia (lakini sikushiriki) maandamano ya amani ya CHADEMA katika viunga vya jiji la Arusha. Sikwami wala kuogopa kusema kuwa yalikuwa ni maandamano makubwa; washiriki walikuwa wamejipanga kila anga na yalipeperusha hoja za haja.

Kabla ya jana, nilioneshwa (na wahusika hasa) nyaraka za operesheni ya kuwaondoa/kuwahamisha Wamasai kutoka kwenye hifadhi ya Ngorongoro kuwapeleka wilayani Handeni mkoani Tanga. Nimeona kuwa hadi sasa, zaidi ya kaya/familia elfu moja zimeshamishiwa Handeni.

Kwa mujibu wa nyaraka husika, kila kaya inayohamishiwa Handeni inapewa nyumba, shamba na pesa taslimu shilingi milioni kumi. Kimahesabu, hadi sasa kumeshatumika zaidi ya shilingi bilioni moja ya pesa taslimu-achilia mbali zile za ujenzi wa nyumba na mashamba.

Nani anagharimia zoezi hili linalotumia mabilioni ya shilingi? Kama ni Serikali, bajeti ya zoezi hili imepangwa/imetengwa kwenye wizara gani na ni kwa bajeti ya mwaka upi wa fedha? Faida gani itakayopatikana, ikilinganishwa na hasara, kutokana na zoezi hili?

Sukari imekuwa hatari!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Sombetini, Arusha)
KITITA KINATOLEWA NA ATAKAYEKABIDHIWA NGORONGORO
 
Nipo hapa Arusha. Jana nami niliyashuhudia (lakini sikushiriki) maandamano ya amani ya CHADEMA katika viunga vya jiji la Arusha. Sikwami wala kuogopa kusema kuwa yalikuwa ni maandamano makubwa; washiriki walikuwa wamejipanga kila anga na yalipeperusha hoja za haja.

Kabla ya jana, nilioneshwa (na wahusika hasa) nyaraka za operesheni ya kuwaondoa/kuwahamisha Wamasai kutoka kwenye hifadhi ya Ngorongoro kuwapeleka wilayani Handeni mkoani Tanga. Nimeona kuwa hadi sasa, zaidi ya kaya/familia elfu moja zimeshamishiwa Handeni.

Kwa mujibu wa nyaraka husika, kila kaya inayohamishiwa Handeni inapewa nyumba, shamba na pesa taslimu shilingi milioni kumi. Kimahesabu, hadi sasa kumeshatumika zaidi ya shilingi bilioni moja ya pesa taslimu-achilia mbali zile za ujenzi wa nyumba na mashamba.

Nani anagharimia zoezi hili linalotumia mabilioni ya shilingi? Kama ni Serikali, bajeti ya zoezi hili imepangwa/imetengwa kwenye wizara gani na ni kwa bajeti ya mwaka upi wa fedha? Faida gani itakayopatikana, ikilinganishwa na hasara, kutokana na zoezi hili?

Sukari imekuwa hatari!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Sombetini, Arusha)
Muarabu
 
Hilo eneo lilishauzwa kwa waarabu kipindi cha mwinyi ambapo mkapa aliwanyang'anya eneo hilo na kuwatimua. Alipoingia mama Samia alitembelewa na rais mwinyi kuambiwa hilo suala ambapo alienda UAE na ndege ya rais ilishikiliwa kutokana na wao kunyang'anywa eneo lao licha ya kuwa na documents za hati ya mauziano. Baada ya kuzungumza nao ikabidi wawarudishie eneo na kupelekea kuwatoa wamasai waliokuwepo kwenye hilo eneo.
Waisiharamu hawafai kuongoza tanzania ni wapumbavu haswa ni kama mwanamke kahaba
 
Nipo hapa Arusha. Jana nami niliyashuhudia (lakini sikushiriki) maandamano ya amani ya CHADEMA katika viunga vya jiji la Arusha. Sikwami wala kuogopa kusema kuwa yalikuwa ni maandamano makubwa; washiriki walikuwa wamejipanga kila anga na yalipeperusha hoja za haja.

Kabla ya jana, nilioneshwa (na wahusika hasa) nyaraka za operesheni ya kuwaondoa/kuwahamisha Wamasai kutoka kwenye hifadhi ya Ngorongoro kuwapeleka wilayani Handeni mkoani Tanga. Nimeona kuwa hadi sasa, zaidi ya kaya/familia elfu moja zimeshamishiwa Handeni.

Kwa mujibu wa nyaraka husika, kila kaya inayohamishiwa Handeni inapewa nyumba, shamba na pesa taslimu shilingi milioni kumi. Kimahesabu, hadi sasa kumeshatumika zaidi ya shilingi bilioni moja ya pesa taslimu-achilia mbali zile za ujenzi wa nyumba na mashamba.

Nani anagharimia zoezi hili linalotumia mabilioni ya shilingi? Kama ni Serikali, bajeti ya zoezi hili imepangwa/imetengwa kwenye wizara gani na ni kwa bajeti ya mwaka upi wa fedha? Faida gani itakayopatikana, ikilinganishwa na hasara, kutokana na zoezi hili?

Sukari imekuwa hatari!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Sombetini, Arusha)
Hiyo yote ni nguvu ya waarabu
 
Rudisheni maeneo yote ya makabila hata barabara zifutwe sababu zinapita katika maeneo ya makabila - turudi kuishi misituni sote.
Wamasai wenyewe wanafaidika na rasilimali zinazo toka maeneo ya makabila au mikoa mingine.
Acheni ujinga dunia inasonga mbele hakuna tena eneo la kabila fulani lisiguswe ikiwa kuna maslahi ya taifa
 
Back
Top Bottom