KAMATI YA SIASA MKOA WA SIMIYU IMEENDELEA KUKAGUA UTEKELEZAJI WA ILANI YA UCHAGUZI WILAYA YA BARIADI, HALMASHAURI YA BARIADI TC
Kamati ya Siasa ya Halmashauri Kuu ya CCM Mkoa wa Simiyu chini ya...
● Tarehe ya maadhimisho ya Siku ya Mwalimu duniani ni tarehe 05 Oktoba, ambapo duniani kote iliadhimishwa na Chama cha Walimu Tanzania ikiwa ni sehemu ya Wataalam na wasomi kufanya maadhimisho...
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (WN-OR TAMISEMI) Mheshimiwa Mohamed Mchengerwa (MB) 'Mtu Kazi' atakuwa mgeni rasmi katika uwasilishaji wa taarifa ya utekelezaji...
Kwasababu gani nimesema inatuona kuku wa mgeni kuku wa mgeni yani inatufananisha akili zetu na kuku wa mgeni mfano kuku kama sio wa mgeni ukianika mpunga au mahindi akija kula unamfukuza kama sio...
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimekuwa chama cha kwanza cha siasa Nchini Tanzania kutuma rambirambi zilizoambatana na salamu za pole kufuatia mafuriko makubwa yaliyotokea huko Hanang...
Tuliona danadana mahakamani siku siyo nyingi mara tukaambiwa ameshinda kesi. Wakati tunatafakari mara paap mzazi wa mtuhumiwa ni Mwenyekiti wa chama mkoa.
Funzo kubwa tunalopata hapa nikuwatesa...
Nimejaribu kuwaza gharama za uzalishaji Marekani na Ulaya ziko juu kutokana na vyama vya wafanyakazi kusimamia kisawasawa maslahi ya wafanyakazi na gharama za maisha za nchi hizo.
Makampuni mengi...
Naomba Kujuzwa yafuatayo
Rais anapofungwa Bunge, je Bunge ndio linakuwa limevunjwa rasmi kwa maana ya Ubunge wa Mbunge unakoma? ( kwa maana ninavyofahamu pamoja na mtu kushinda/kuteuliwa kuwa...
Mungu ni mwema, kesi ya haki ya kuandamana imesikilizwa leo mahakama kuu Mbeya. Mawakili wa serikali waliweka mapingamizi ya awali matatu;
1. Wanadai tumefika mahakamani bila kusubiri rufaa yetu...
Wanabodi,
Huu ni muswada wa makala ya gazeti.
Nimepata fursa kuendeleza zile makala zangu za "Kwa Maslahi Ya Taifa", ambazo ni makala elimishi katika nyanja za kisiasa, kiuchumi na kijamii kwa...
Paul Biya, Rais wa Cameroon tangu mwaka 1982
Jina lake kamili ni Paul Barthélemy Biya’a bi Mvondo.
Alizaliwa Februari 13, 1933 katika kijiji cha cha Mvomeka Nchini Cameroon, kwa sasa ana umri wa...
Thomas Ole Sabaya leo Jumatatu Desemba 4, 2023 ameibuka mshindi katika nafasi ya uenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Arusha baada ya kupata kura 463 na kuwazidi wapinzani wake watatu...
Salaam, Shalom!!
Nchi yetu imeng'ara tena katika bara la Afrika baada ya kijana Mahiri, ndugu Yeriko Nyerere kutuletea Tuzo Bora kabisa ya uandishi Bora wa vitabu kwa Afrika nzima.
Tuzo hiyo...
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais - Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo amesema Ripoti ya Hali ya Uchumi Nchini imeonesha Pato la Mtanzania mmojammoja (GDP Per Capital Income) limeongezeka...
nikiwa kiraia zaidi, nimejumuika na wananzengo vijiwe vya kahawa, kashata, kachori na pweza. Stori na hadithi nyingi zimetekwa na jina la Rais, Dr Samia Suluhu Hassan.
Kwamba huyu mama ni hodari...
Wanabodi,
Usipuuze maneno ya mlevi apitaye njia. Msikilize na kufuatilia ayasemayo baadaye. Kuna mtu nchi hii anatumia mwamvuli ya uanahabari (cover paper) akiitwa Bollen Ngetti.
Nimemfuatilia...
Mnyonge mnyongeni ila sifa yake muachieni.
Sisi waswahilli tunatumia msemo huu kumsemea asiyependa kujikweza.
Kabla ya kuingia katika madaraka ya Urais mhe.Samia Suluhu Hassan amekuwa ni muumini...
Watanzania,
SALAAM!
Hivi sasa kwa tathmini ya haraka ufuatiliaji wa mijadala ya Bunge kwa wananchi wa kawaida umepungua kwa takriban asilimia 30.
Kwamba kwa kila watu wazima 10 ni watu 7 tu...
Makamu Mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Antipas Lisu leo amekutana na Wananchi Katika Vijiwe Vya Tabata Mwananchi, Kimanga, Umoja na Buguruni kwa Mnyamani
Baada ya Kubadilishana Mawazo na Wananchi...
Huko Hanang sioni vifaa vya kisasa vya kuokolea kama helkopta zenye crane zaidi ya kuona mawaziri wakiwa na fimbo za magongo.
Chama tawala kinanunua mashangingi na kuyatawanya kwa Makatibu wake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.