Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

KAMATI YA SIASA MKOA WA SIMIYU IMEENDELEA KUKAGUA UTEKELEZAJI WA ILANI YA UCHAGUZI WILAYA YA BARIADI, HALMASHAURI YA BARIADI TC Kamati ya Siasa ya Halmashauri Kuu ya CCM Mkoa wa Simiyu chini ya...
0 Reactions
0 Replies
547 Views
● Tarehe ya maadhimisho ya Siku ya Mwalimu duniani ni tarehe 05 Oktoba, ambapo duniani kote iliadhimishwa na Chama cha Walimu Tanzania ikiwa ni sehemu ya Wataalam na wasomi kufanya maadhimisho...
4 Reactions
14 Replies
2K Views
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (WN-OR TAMISEMI) Mheshimiwa Mohamed Mchengerwa (MB) 'Mtu Kazi' atakuwa mgeni rasmi katika uwasilishaji wa taarifa ya utekelezaji...
0 Reactions
0 Replies
443 Views
Kwasababu gani nimesema inatuona kuku wa mgeni kuku wa mgeni yani inatufananisha akili zetu na kuku wa mgeni mfano kuku kama sio wa mgeni ukianika mpunga au mahindi akija kula unamfukuza kama sio...
1 Reactions
0 Replies
389 Views
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimekuwa chama cha kwanza cha siasa Nchini Tanzania kutuma rambirambi zilizoambatana na salamu za pole kufuatia mafuriko makubwa yaliyotokea huko Hanang...
6 Reactions
50 Replies
3K Views
Tuliona danadana mahakamani siku siyo nyingi mara tukaambiwa ameshinda kesi. Wakati tunatafakari mara paap mzazi wa mtuhumiwa ni Mwenyekiti wa chama mkoa. Funzo kubwa tunalopata hapa nikuwatesa...
9 Reactions
49 Replies
3K Views
Nimejaribu kuwaza gharama za uzalishaji Marekani na Ulaya ziko juu kutokana na vyama vya wafanyakazi kusimamia kisawasawa maslahi ya wafanyakazi na gharama za maisha za nchi hizo. Makampuni mengi...
2 Reactions
4 Replies
543 Views
Naomba Kujuzwa yafuatayo Rais anapofungwa Bunge, je Bunge ndio linakuwa limevunjwa rasmi kwa maana ya Ubunge wa Mbunge unakoma? ( kwa maana ninavyofahamu pamoja na mtu kushinda/kuteuliwa kuwa...
2 Reactions
26 Replies
6K Views
Mungu ni mwema, kesi ya haki ya kuandamana imesikilizwa leo mahakama kuu Mbeya. Mawakili wa serikali waliweka mapingamizi ya awali matatu; 1. Wanadai tumefika mahakamani bila kusubiri rufaa yetu...
5 Reactions
13 Replies
1K Views
Wanabodi, Huu ni muswada wa makala ya gazeti. Nimepata fursa kuendeleza zile makala zangu za "Kwa Maslahi Ya Taifa", ambazo ni makala elimishi katika nyanja za kisiasa, kiuchumi na kijamii kwa...
15 Reactions
61 Replies
8K Views
Paul Biya, Rais wa Cameroon tangu mwaka 1982 Jina lake kamili ni Paul Barthélemy Biya’a bi Mvondo. Alizaliwa Februari 13, 1933 katika kijiji cha cha Mvomeka Nchini Cameroon, kwa sasa ana umri wa...
9 Reactions
21 Replies
3K Views
Thomas Ole Sabaya leo Jumatatu Desemba 4, 2023 ameibuka mshindi katika nafasi ya uenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Arusha baada ya kupata kura 463 na kuwazidi wapinzani wake watatu...
10 Reactions
23 Replies
4K Views
Salaam, Shalom!! Nchi yetu imeng'ara tena katika bara la Afrika baada ya kijana Mahiri, ndugu Yeriko Nyerere kutuletea Tuzo Bora kabisa ya uandishi Bora wa vitabu kwa Afrika nzima. Tuzo hiyo...
20 Reactions
87 Replies
6K Views
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais - Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo amesema Ripoti ya Hali ya Uchumi Nchini imeonesha Pato la Mtanzania mmojammoja (GDP Per Capital Income) limeongezeka...
2 Reactions
23 Replies
2K Views
nikiwa kiraia zaidi, nimejumuika na wananzengo vijiwe vya kahawa, kashata, kachori na pweza. Stori na hadithi nyingi zimetekwa na jina la Rais, Dr Samia Suluhu Hassan. Kwamba huyu mama ni hodari...
10 Reactions
108 Replies
6K Views
Wanabodi, Usipuuze maneno ya mlevi apitaye njia. Msikilize na kufuatilia ayasemayo baadaye. Kuna mtu nchi hii anatumia mwamvuli ya uanahabari (cover paper) akiitwa Bollen Ngetti. Nimemfuatilia...
19 Reactions
123 Replies
12K Views
Mnyonge mnyongeni ila sifa yake muachieni. Sisi waswahilli tunatumia msemo huu kumsemea asiyependa kujikweza. Kabla ya kuingia katika madaraka ya Urais mhe.Samia Suluhu Hassan amekuwa ni muumini...
1 Reactions
25 Replies
1K Views
Watanzania, SALAAM! Hivi sasa kwa tathmini ya haraka ufuatiliaji wa mijadala ya Bunge kwa wananchi wa kawaida umepungua kwa takriban asilimia 30. Kwamba kwa kila watu wazima 10 ni watu 7 tu...
0 Reactions
2 Replies
460 Views
Makamu Mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Antipas Lisu leo amekutana na Wananchi Katika Vijiwe Vya Tabata Mwananchi, Kimanga, Umoja na Buguruni kwa Mnyamani Baada ya Kubadilishana Mawazo na Wananchi...
11 Reactions
35 Replies
5K Views
Huko Hanang sioni vifaa vya kisasa vya kuokolea kama helkopta zenye crane zaidi ya kuona mawaziri wakiwa na fimbo za magongo. Chama tawala kinanunua mashangingi na kuyatawanya kwa Makatibu wake...
6 Reactions
36 Replies
2K Views
Back
Top Bottom