Asubuhi ya Tarehe 4Th October 2015 zilisambaa taarifa za ajali na Kwamba ajali hio ilichukua uhai wa Mchungaji Christopher Mtikila.
Angekuepo Leo hii tungekua tunaongea mengine kuhusu DP WORLD...
Kama Hayati Magufuli alimrubuni kirahisi hivyo na kuwasaliti Chadema na wapenda mageuzi kisa Ubalozi, basi wala msimuamini.
Fikiri kwa kina, Kama Rais Samia angelimbakiza Sweden Ubalozini...
NUKUU ZA ASKOFU MWINGIRA:
1. "Nimenusurika kuuawa mara tatu na watu wa Serikali."
2. "Mali zangu zenye thamani ya 10 bilioni yakiwemo Matrekta yaliteketezwa Shambani kwangu."
3. "Dereva wangu...
Ile mirindimo ya makombora mazito mazito kama ya Tora Bora sasa imetulia. DRC wanasema angalau sasa kunaonekana "ukimya."
"Ukimya" si amani. Bali kila mmoja atakuwa kwenye kuhesabu wafu wake na...
Na Padre Richard A. Mjigwa, C.PP.S. – Vatican.
Katika maadhimisho ya Sherehe ya Bikira Maria Kupalizwa Mbinguni, mwili na roho, tarehe 15 Agosti 2019, Baba Mtakatifu Francisko ameridhia ombi la...
Nilipigwa na Butwaa tangu awali pale nilipo ona Slaa anakuwa Msemaji Mkubwa kwenye Suala la Bandari Kwa Jukwaa la Chadema kama kwamba , Chadema ina Mapungufu ya Wasemaji Vile.
Mbowe ninae MFAHAMU...
Wiki ya giza na laana ambayo shetani alijiweka wazi inaisha. Wiki hii ilikuwa ni ya giza nene kwa sababu mteule wa Rais, bwana Chalamila (hastahili kuitwa mheshimiwa kwa sababu ameshindwa...
Swali ambalo limeulizwa sana mkataba huu ni wa muda gani? Wapi palipoandikwa miaka 100? Au wapi palipoandikwa miezi 12 ambayo TPA wamesema? Jibu lipo kwenye kufungu cha 23(4) cha mkataba.
Kifungu...
Ninachokijua ni kwamba kwenye historia ya maisha ya viongozi wanapotunga vitabu hawawezi kutoa siri za nchi.
Hisia zangu ni kwamba Dr Salim Ahmed Salim kama mwanadamu kuna eneo alikwazwa sana...
Mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe amesema kwa sasa Chama chake kina vipaumbele vitatu muhimu
1. Uchaguzi wa ndani ya Chama
2. Uchaguzi wa Serikal za mitaa na Uchaguzi mkuu
3. +255 Operesheni...
Kimsingi CCM haiviogopi kabisa hivi vyama vya Upinzani vilivyopo akina Chadema, ACT wazalendo, NCCR Mageuzi, CUF nk
Ila CCM hupatwa na mchecheto pale inaposikia akina Mdude Wanataka kuanzisha...
Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ya Taifa, iliyokutana katika kikao chake maalum, leo tarehe 1 Oktoba, 2023, jijini Dar es Salaam, imefanya uteuzi wa makatibu wakuu wa...
Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba kituo kinachofuata kwa ile Oparesheni kabambe ya 255 KATIBA MPYA , OKOA BANDARI ZETU ni Kanda ya Nyasa .
Bado haikupangwa ratiba ya Oparesheni hiyo kwenye kanda...
Rais Samia ameteua na kufanya mabadiliko ya Wakuu wa Wilaya, Wakurugenzi wa Halmashauri, Makatibu Tawala na Kaimu Kamishna (TANAPA).
Rais wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amemhamisha kituo...
Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba , Makamu mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu amewasili Ngorongoro ambako anatarajiwa kuwasha moto wa Ukombozi na kukata minyororo ya Utumwa waliyofungwa Wamasai...
Kwakweli ninajaribu kujilazimisha kutazama TBC mapokezi ya ndege "yao". Siasa tupu hasa kutoka Kwa chawa mtembea peku. Analazimisha pongezi Kwa niaba ya watanzania wote. Are you serious?.
Wengi...
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Mohamed O. Mchengerwa (Mb) amewaelekeza Wakurugenzi wote wa Mamlaka za Serikali za Mitaa kuhakikisha wanalipa fedha za...
Ukiachana na ile mikataba iliosainiwa kule kwa wajomba ya kuuza bandari kwa upande wa Marekani wazungu walikabidhiwa Mapori ya akiba na Mbuga za wanyama.
Wakati wa uzinduzi wa royal tour Marekani...
Ndugu zangu Watanzania,
Katibu mkuu wa CCM Ndugu Daniel Chongolo Ametua kwa kishindo na Kuutetemesha mkoa wa katavi kwa maagizo yake mazito kwa Naibu waziri Mkuu na waziri wa Nishati Mh Dotto...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.