Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Asubuhi ya Tarehe 4Th October 2015 zilisambaa taarifa za ajali na Kwamba ajali hio ilichukua uhai wa Mchungaji Christopher Mtikila. Angekuepo Leo hii tungekua tunaongea mengine kuhusu DP WORLD...
7 Reactions
38 Replies
3K Views
Karibuni wanajamvi tupeane updates Kulingana na IGA hawa waarabu WA DP si walipaswa kuanza Oktoba?😁😁😁
7 Reactions
50 Replies
4K Views
Kama Hayati Magufuli alimrubuni kirahisi hivyo na kuwasaliti Chadema na wapenda mageuzi kisa Ubalozi, basi wala msimuamini. Fikiri kwa kina, Kama Rais Samia angelimbakiza Sweden Ubalozini...
28 Reactions
167 Replies
6K Views
NUKUU ZA ASKOFU MWINGIRA: 1. "Nimenusurika kuuawa mara tatu na watu wa Serikali." 2. "Mali zangu zenye thamani ya 10 bilioni yakiwemo Matrekta yaliteketezwa Shambani kwangu." 3. "Dereva wangu...
43 Reactions
524 Replies
46K Views
Ile mirindimo ya makombora mazito mazito kama ya Tora Bora sasa imetulia. DRC wanasema angalau sasa kunaonekana "ukimya." "Ukimya" si amani. Bali kila mmoja atakuwa kwenye kuhesabu wafu wake na...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Na Padre Richard A. Mjigwa, C.PP.S. – Vatican. Katika maadhimisho ya Sherehe ya Bikira Maria Kupalizwa Mbinguni, mwili na roho, tarehe 15 Agosti 2019, Baba Mtakatifu Francisko ameridhia ombi la...
30 Reactions
385 Replies
58K Views
Nilipigwa na Butwaa tangu awali pale nilipo ona Slaa anakuwa Msemaji Mkubwa kwenye Suala la Bandari Kwa Jukwaa la Chadema kama kwamba , Chadema ina Mapungufu ya Wasemaji Vile. Mbowe ninae MFAHAMU...
1 Reactions
2 Replies
993 Views
Wiki ya giza na laana ambayo shetani alijiweka wazi inaisha. Wiki hii ilikuwa ni ya giza nene kwa sababu mteule wa Rais, bwana Chalamila (hastahili kuitwa mheshimiwa kwa sababu ameshindwa...
63 Reactions
180 Replies
12K Views
Swali ambalo limeulizwa sana mkataba huu ni wa muda gani? Wapi palipoandikwa miaka 100? Au wapi palipoandikwa miezi 12 ambayo TPA wamesema? Jibu lipo kwenye kufungu cha 23(4) cha mkataba. Kifungu...
14 Reactions
60 Replies
8K Views
Ninachokijua ni kwamba kwenye historia ya maisha ya viongozi wanapotunga vitabu hawawezi kutoa siri za nchi. Hisia zangu ni kwamba Dr Salim Ahmed Salim kama mwanadamu kuna eneo alikwazwa sana...
21 Reactions
188 Replies
24K Views
Mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe amesema kwa sasa Chama chake kina vipaumbele vitatu muhimu 1. Uchaguzi wa ndani ya Chama 2. Uchaguzi wa Serikal za mitaa na Uchaguzi mkuu 3. +255 Operesheni...
1 Reactions
5 Replies
879 Views
Kimsingi CCM haiviogopi kabisa hivi vyama vya Upinzani vilivyopo akina Chadema, ACT wazalendo, NCCR Mageuzi, CUF nk Ila CCM hupatwa na mchecheto pale inaposikia akina Mdude Wanataka kuanzisha...
0 Reactions
1 Replies
410 Views
Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ya Taifa, iliyokutana katika kikao chake maalum, leo tarehe 1 Oktoba, 2023, jijini Dar es Salaam, imefanya uteuzi wa makatibu wakuu wa...
13 Reactions
118 Replies
20K Views
Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba kituo kinachofuata kwa ile Oparesheni kabambe ya 255 KATIBA MPYA , OKOA BANDARI ZETU ni Kanda ya Nyasa . Bado haikupangwa ratiba ya Oparesheni hiyo kwenye kanda...
6 Reactions
53 Replies
3K Views
Rais Samia ameteua na kufanya mabadiliko ya Wakuu wa Wilaya, Wakurugenzi wa Halmashauri, Makatibu Tawala na Kaimu Kamishna (TANAPA). Rais wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amemhamisha kituo...
6 Reactions
84 Replies
13K Views
Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba , Makamu mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu amewasili Ngorongoro ambako anatarajiwa kuwasha moto wa Ukombozi na kukata minyororo ya Utumwa waliyofungwa Wamasai...
69 Reactions
338 Replies
33K Views
Kwakweli ninajaribu kujilazimisha kutazama TBC mapokezi ya ndege "yao". Siasa tupu hasa kutoka Kwa chawa mtembea peku. Analazimisha pongezi Kwa niaba ya watanzania wote. Are you serious?. Wengi...
54 Reactions
127 Replies
10K Views
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Mohamed O. Mchengerwa (Mb) amewaelekeza Wakurugenzi wote wa Mamlaka za Serikali za Mitaa kuhakikisha wanalipa fedha za...
3 Reactions
28 Replies
5K Views
Ukiachana na ile mikataba iliosainiwa kule kwa wajomba ya kuuza bandari kwa upande wa Marekani wazungu walikabidhiwa Mapori ya akiba na Mbuga za wanyama. Wakati wa uzinduzi wa royal tour Marekani...
4 Reactions
18 Replies
2K Views
Ndugu zangu Watanzania, Katibu mkuu wa CCM Ndugu Daniel Chongolo Ametua kwa kishindo na Kuutetemesha mkoa wa katavi kwa maagizo yake mazito kwa Naibu waziri Mkuu na waziri wa Nishati Mh Dotto...
2 Reactions
44 Replies
2K Views
Back
Top Bottom