Salaam, Shalom!!
DINI kubwa mbili duniani, zimejikuta zikiwa katika mfungo Kwa pamoja, waislamu na wakatoliki,
Mtwara katika uchaguzi wa madiwani, limetokea tukio la kukamatwa kura fake,
Swali LANGU, Hawa wanaoiba kura kipindi hiki wanazo dini?
Au wana dini ila Hawajafunga?
Nauliza tena, waliofanya haya, ni ATHEIST kina Kiranga ?
Ombi: Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi jitafakari.
Karibuni🙏
DINI kubwa mbili duniani, zimejikuta zikiwa katika mfungo Kwa pamoja, waislamu na wakatoliki,
Mtwara katika uchaguzi wa madiwani, limetokea tukio la kukamatwa kura fake,
Swali LANGU, Hawa wanaoiba kura kipindi hiki wanazo dini?
Au wana dini ila Hawajafunga?
Nauliza tena, waliofanya haya, ni ATHEIST kina Kiranga ?
Ombi: Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi jitafakari.
Karibuni🙏