Mitaala mipya ya Elimu imelenga kukuza ujinga

Tabutupu

JF-Expert Member
Nov 26, 2010
13,111
18,327
Ndio maana tulishauri kuwe na authority inayo simamia mitaala ya elimu kama ilivyo nchi nyingine zinazo endelea.

Jambo hili linahitaji watu wasomi, wenye uelewa mkubwa wa dunia, walifanya vizuri kwenye elimu na watu wasio na njaa.

Hizi taasusi ni kama zimetengenezwa na baraza la madiwani.

Tutakuja kuwa na kizazi kisicho na uelewa wa mambo.

Mtoto anaanza kuspecilize akiwa form 3 na form v anasoma fasihi na kingereza.

Kuna nchi moja kubwa duniani tulienda kusoma huko, form 5 unasoma masomo kama 7 hivi ila core subject ni kama 3.. mfano kama umechukua science basi utasoma Biology, chemistry, physics, mathematics, languages, economics, uraia ambayo inasoma kuhusu nchi husika.pamoja na IT.

Kwenye science kuna science 1 and science 2

Wale wanao chukua science 1 ambayo ni kama PCB, masomo hayo matatu yanakua na coefiecient (weight) ya 5 na mengine yote inclusing chemistry yanakua na coeficient (weight) ya 2.

Wale walio soma chuo nadhani mnanielewa.

Kwa hiyo mwanafunzi akimaliza a level anakuwa na maarifa ya kutosha.


Tutakuja kuwa na watanzania ambao hawata kuwa na qualificatiom za kwenda vyuo vya nje kwa sababu kuna taasusi ziwekwa kqa kusikiliza wana siasa.

Kuna mambo ambayo yanatakiwa kufundishwa kwa mtanzania kama kilimo kwa kila mwanafunzi, madini, utalii etc.

1688680301587.jpg
 
Watoto wao wanasoma mitaala ya nje wakiwa ndani, wanasoma mitaala ya nje wakifikia kwenda nje...

Na wengine wanajifanya hawayaoni hayo, watoto wao wamezaliwa huko ng'ambo, wakishapata elimu ya huko, wanaanza kuwaombea uraia pacha ili waje wawanyase kina Mwanne wa mitaala ya kizimkazi...si ubora unatofautiana!

Mwajiri ndo sema PUMA, Broklyn kaweka gamba la sijui Michigan au Oxford na Mwanne kaweka la Udsm au Mzumbe, unadhani nini kitatokea?

Hizo intaneshino oganaizesheni, zitaanza na kizimkazi university wamwache MIT?

Punguani waliosoma nje nadhani ni wachache sana, Zuhura mmojawapo
 
Watoto wao wanasoma mitaala ya nje wakiwa ndani, wanasoma mitaala ya nje wakifikia kwenda nje...

Na wengine wanajifanya hawayaoni hayo, watoto wao wamezaliwa huko ng'ambo, wakishapata elimu ya huko, wanaanza kuwaombea uraia pacha ili waje wawanyase kina Mwanne wa mitaala ya kizimkazi...si ubora unatofautiana!

Mwajiri ndo sema PUMA, Broklyn kaweka gamba la sijui Michigan au Oxford na Mwanne kaweka la Udsm au Mzumbe, unadhani nini kitatokea?

Hizo intaneshino oganaizesheni, zitaanza na kizimkazi university wamwache MIT?

Punguani waliosoma nje nadhani ni wachache sana, Zuhura mmojawapo
Lengo lao kuwe na barmed wa kutosha na security guard wakati wa kwao wanapiga pesa
 
1. Mitaala mipya.
2. Drama na vitita vipya vya NHIF.
3. Mfumko wa bei.

Watanzania tungekuwa serious tungeipindua serikali kwa mambo haya 3
Wanajeshi wenyewe tunaowategemea wanalalamika wanasema jeshi linawaaambia hawakuwa wafanyakazi Bali vibarua hivyo hawastahili mafao
 
𝗘𝗹𝗶𝗺𝘂 𝘆𝗮 𝗧𝗮𝗻𝘇𝗮𝗻𝗶𝗮 𝗻𝗶 𝘂𝗷𝗶𝗻𝗴𝗮 𝗺𝘁𝘂𝗽𝘂
 
Back
Top Bottom