Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Wanaoangaika na maskini wa nchi ni watoto wa maskini walioajiriwa serikalini. Viongozi wa TANAPA wameliwa vichwa kwa sababu tu wamegusa maslahi ya royal family. Viongozi wa TANAPA wameona namna...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Ali Mwinyi amefanya uteuzi wa viongozi wafuatao.
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Katika nafasi ambazo zimepoteza mvuto Serikalini ni Nafasi ya Ukuu wa Wilaya na Ukurugenzi wa Halmashauri, ni Nafasi ambazo Sasa zimeonekana kana kwamba si za kudumu na muda wowote unatolewa, mtu...
7 Reactions
14 Replies
1K Views
Hii ni baada ya kuteuliwa na Waziri Damas Ndumbaro kuwa Mjumbe wa Basata. --- Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo , Dkt. Damas Daniel Ndumbaro amefanya uteuzi wa Wajumbe wa Baraza la Sanaa la...
1 Reactions
13 Replies
3K Views
MAMLAKA ya Mapato Tanzania imekusanya kiasi cha Sh trilioni 24.11 katika kipindi cha Julai 2022 na Juni 2023 ikiwa ni sawa na asilimia 97.4 ya lengo la kukusanya Sh trilioni 24.76. Hata hivyo...
4 Reactions
67 Replies
3K Views
Naunga mkono hoja, vinakuaje Nchi ndogo kama Rwanda au Kenya zikaruhusu watu binafsi kumiliki Ardhi wakati Tanzania yenye maelfu ya ekari inawanyima watu kumiliki Ardhi. Hii Nchi ujamaa...
11 Reactions
517 Replies
26K Views
Rais wa JMT mh Dr Samia amemtumia Salamu za Pongezi Mwadhama Protace Kardinali Rugambwa kwa kusimikwa Rasmi na Baba Mtakatifu Francisco kuwa Kardinali Kauli mbiu ya Utume wako ni " Enendeni...
12 Reactions
68 Replies
6K Views
Ibara ya 47 ya Katiba inasema, kutakuwa na Makamu wa Rais ambaye atafanya kazi zote za Rais kama Rais hayuko kazini au yuko nje ya nchi. Sasa nashangaa hata barua tu ya uteuzi hadi isainiwe na...
28 Reactions
108 Replies
7K Views
Awamu ya 6 inazidi kuweka rekodi Kimataifa. Baada ya Beberu USA kuamua kuiweka Tanzania kwenye List ya Nchi zitakozufaika na mabilioni ya Dola na uwekezaji,China nayo kama Kiongozi wa Asia...
0 Reactions
5 Replies
790 Views
Natoa mwongozo kwa wale wasiojua na labda wangependa kujifunza kupitia andiko hili , ni hivi , Ili kuwa kiongozi ndani ya Chadema unapaswa kuonyesha uwezo wako haswa , Viongozi wa Chadema...
6 Reactions
20 Replies
1K Views
Ni kweli imefikia pahala kuona TEUZI ni fursa binafsi kwa mteuliwa badala ya lengo kuu kwa UTUMISHI WA UMMA. Leo wako wanaomzodoa ndugu DC Simon Mwakilema kuwa "amebanduliwa" kutoka katika...
3 Reactions
16 Replies
1K Views
--- Hivi Ndivyo Kikwete Anavyomfahamu Rais Samia, 'Anaongoza Nchi Vizuri, Ana UtulivuWakati wa kuahirisha kikao cha demokrasia kilichofanyika jijini Arusha, Rais Kikwete ameweza kukumbushia...
7 Reactions
49 Replies
5K Views
Natabiri huenda kutakuwa tena na mabadiliko madogo kwenye wizara nyeti mbili kama sio tatu. Katika mabadiliko hayo mawaziri wawili watapumzishwa na kuwekwa mawaziri wengine. Upo uwezekano Mkuu...
13 Reactions
45 Replies
5K Views
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Philip Mpango akipokea ndege ya Abiria, Boeing 737-Max 9, leo Oktoba 3, 2023. https://www.youtube.com/live/lIJPqsglTiw?si=Vn-aBGEGe5ORDlfh...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Hili ni wazo tatizo letu na hii katiba mbaya tulionayo hakuna ubunifu. Sisi diaspora tutanashida sana ya kupata simu za uhakika za kuweza kuongea na ndugu zetu Tanzania. Kuna App siku hizi ambazo...
2 Reactions
16 Replies
1K Views
Ingetokea nikaulizwa orally, maoni yangu jinsi serikali inavyowakumbuka vijana katika nafasi za kazi na hasa za uteuzi, ningesema bila wasiwasi Wana support yangu asilimia mia. Binafsi...
1 Reactions
1 Replies
422 Views
Kwanini umoja wa Kisiasa kwa upinzani hauwezi kufanikiwa Tanzania; 1. Vyama vyenye nguvu hutumia nafasi kujiimarisha na vingine kudhohofika rejea umoja wa UKAWA (CHADEMA ilikuwa na NCCR ikafa)...
0 Reactions
4 Replies
574 Views
Siasa hubadilika na siku hazigandi. Siyo siri tulipo leo, tunaweza kuwa tuko pema zaidi kiukombozi kuliko wakati mwingine wowote kabla. Ishukuriwe historia iliyotufikisha hapa pamoja na machungu...
0 Reactions
0 Replies
458 Views
Pengine Uteuzi wa Jokate kuwa katibu wa UWT umeleta attention kubwa pengine kuliko teuzi zote za mwezi huu. Teuzi hii naamini sio kwa bahati mbaya, Jokate nakujua uwezo wako toka pale UDSM...
0 Reactions
7 Replies
757 Views
1. Mwabukusi 2. Mdude 3. Anangisye 4. Jwani Mwaikusa 5. Dkt. Ulimboka 6. Mwangosi Bonus Wanatuona manyani nae wa huko Mbeya Mtaji wa kisiasa wanao, 2025 target iwe mikoa ya nyanda za juu kusini...
6 Reactions
61 Replies
3K Views
Back
Top Bottom