Wanaoangaika na maskini wa nchi ni watoto wa maskini walioajiriwa serikalini. Viongozi wa TANAPA wameliwa vichwa kwa sababu tu wamegusa maslahi ya royal family.
Viongozi wa TANAPA wameona namna...
Katika nafasi ambazo zimepoteza mvuto Serikalini ni Nafasi ya Ukuu wa Wilaya na Ukurugenzi wa Halmashauri, ni Nafasi ambazo Sasa zimeonekana kana kwamba si za kudumu na muda wowote unatolewa, mtu...
Hii ni baada ya kuteuliwa na Waziri Damas Ndumbaro kuwa Mjumbe wa Basata.
---
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo , Dkt. Damas Daniel Ndumbaro amefanya uteuzi wa Wajumbe wa Baraza la Sanaa la...
MAMLAKA ya Mapato Tanzania imekusanya kiasi cha Sh trilioni 24.11 katika kipindi cha Julai 2022 na Juni 2023 ikiwa ni sawa na asilimia 97.4 ya lengo la kukusanya Sh trilioni 24.76.
Hata hivyo...
Naunga mkono hoja, vinakuaje Nchi ndogo kama Rwanda au Kenya zikaruhusu watu binafsi kumiliki Ardhi wakati Tanzania yenye maelfu ya ekari inawanyima watu kumiliki Ardhi.
Hii Nchi ujamaa...
Rais wa JMT mh Dr Samia amemtumia Salamu za Pongezi Mwadhama Protace Kardinali Rugambwa kwa kusimikwa Rasmi na Baba Mtakatifu Francisco kuwa Kardinali
Kauli mbiu ya Utume wako ni " Enendeni...
Ibara ya 47 ya Katiba inasema, kutakuwa na Makamu wa Rais ambaye atafanya kazi zote za Rais kama Rais hayuko kazini au yuko nje ya nchi.
Sasa nashangaa hata barua tu ya uteuzi hadi isainiwe na...
Awamu ya 6 inazidi kuweka rekodi Kimataifa.
Baada ya Beberu USA kuamua kuiweka Tanzania kwenye List ya Nchi zitakozufaika na mabilioni ya Dola na uwekezaji,China nayo kama Kiongozi wa Asia...
Natoa mwongozo kwa wale wasiojua na labda wangependa kujifunza kupitia andiko hili , ni hivi , Ili kuwa kiongozi ndani ya Chadema unapaswa kuonyesha uwezo wako haswa , Viongozi wa Chadema...
Ni kweli imefikia pahala kuona TEUZI ni fursa binafsi kwa mteuliwa badala ya lengo kuu kwa UTUMISHI WA UMMA.
Leo wako wanaomzodoa ndugu DC Simon Mwakilema kuwa "amebanduliwa" kutoka katika...
---
Hivi Ndivyo Kikwete Anavyomfahamu Rais Samia, 'Anaongoza Nchi Vizuri, Ana UtulivuWakati wa kuahirisha kikao cha demokrasia kilichofanyika jijini Arusha, Rais Kikwete ameweza kukumbushia...
Natabiri huenda kutakuwa tena na mabadiliko madogo kwenye wizara nyeti mbili kama sio tatu.
Katika mabadiliko hayo mawaziri wawili watapumzishwa na kuwekwa mawaziri wengine.
Upo uwezekano Mkuu...
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Philip Mpango akipokea ndege ya Abiria, Boeing 737-Max 9, leo Oktoba 3, 2023.
https://www.youtube.com/live/lIJPqsglTiw?si=Vn-aBGEGe5ORDlfh...
Hili ni wazo tatizo letu na hii katiba mbaya tulionayo hakuna ubunifu. Sisi diaspora tutanashida sana ya kupata simu za uhakika za kuweza kuongea na ndugu zetu Tanzania. Kuna App siku hizi ambazo...
Ingetokea nikaulizwa orally, maoni yangu jinsi serikali inavyowakumbuka vijana katika nafasi za kazi na hasa za uteuzi, ningesema bila wasiwasi Wana support yangu asilimia mia.
Binafsi...
Kwanini umoja wa Kisiasa kwa upinzani hauwezi kufanikiwa Tanzania;
1. Vyama vyenye nguvu hutumia nafasi kujiimarisha na vingine kudhohofika rejea umoja wa UKAWA (CHADEMA ilikuwa na NCCR ikafa)...
Siasa hubadilika na siku hazigandi. Siyo siri tulipo leo, tunaweza kuwa tuko pema zaidi kiukombozi kuliko wakati mwingine wowote kabla.
Ishukuriwe historia iliyotufikisha hapa pamoja na machungu...
Pengine Uteuzi wa Jokate kuwa katibu wa UWT umeleta attention kubwa pengine kuliko teuzi zote za mwezi huu.
Teuzi hii naamini sio kwa bahati mbaya, Jokate nakujua uwezo wako toka pale UDSM...
1. Mwabukusi
2. Mdude
3. Anangisye
4. Jwani Mwaikusa
5. Dkt. Ulimboka
6. Mwangosi
Bonus
Wanatuona manyani nae wa huko Mbeya
Mtaji wa kisiasa wanao,
2025 target iwe mikoa ya nyanda za juu kusini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.