Awali nilisikia Lot ya Isaka to Tabora, mturuki anaondoka. Leo, nilikua naongea na jamaa yangu ambaye ni Steel fixer, lot ya Makutupora to Dodoma akinigusia kuwa kampuni inasimama kazi; na...
Watanzania tunaukatili fulani usio semwa. Timu ya Taifa imeshinda mshindi wa pili na kulipwa milioni 180 + lakini TFF baada ya michezo wamepanda mashangingi yao wakarejea DAr es salaam tena...
Rais Samia amesema "Viongozi wa Kisiasa tunadhani tuna Haki ya kuburuza watu tunawageuza watu Makasuku, nenda kamuulize kifungu gani cha Katiba kinakuudhi, hajui sasa Katiba mpya ilete nini...
Waziri George Simbachawene akitoa ufafanuzi kuhusu kinga kwa maafisa wa Idara ya Usalama wa Taifa kama ilivyoelezwa kwenye Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria ya Idara ya Usalama wa Taifa...
Wanabodi, kama kawaida yangu, kila nipatapo nafasi, huwa nawaletea zile makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa", ambazo huandikwa kwa swali, na kukuachia wewe msomaji uhuru wa kuchangia na kutoa...
Wanabodi,
Naendelea na zile makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa", nikiangazia suala zima za utoaji haki nchini, ambapo makala hii ni muendelezo wa ushauri kwa DPP, ulioanza wiki iliyopita...
Sauti ya Mtu aliae nyikani imenijia na kunijulisha kuwa 2025 ni samu ya YEYE
Sauti hii inataka kufanana na voice from within ya
Pascal Mayalla alisema mapema kuwa 2025 ni zamu ya YEYE, mtu...
Hili ni pigo kwa January na Genge lake, juhudi za kufifisha mradi wa Bwawa la Nyerere zilifeli
Hii ndo faida ya makamba kuondolewa Tanesco bila hivyo hilo bwawa lisingekamilika,katoka tu bwawa...
Hatua hiyo imefanywa na Kitengo Maalum cha Kimataifa cha Udhibiti wa Fedha Haramu (FATF) kwa kuziweka Nchi 4 za Afrika Mashariki (Tanzania, Uganda, Sudan Kusini na DR-Congo) ambazo zimeahidi...
Hakika wakati umefika wa kuambiana ukweli Hayati BABA wa TAIFA Mwl. Nyerere ameifanyia Makubwa Nchi hii kiasi cha LEGACY yake kuendelea kusimama kileleni.
Mwl. Nyerere ameipigania Nchi hii mpaka...
Heading ya Uzi huu ni majibu ya Waziri Nape akimjibu mjumbe wa kamati kuu ya Chadema Bilionea Sugu aliyemlaumu kwa kutosikiliza ushauri wake
Nape amesema Siasa ni Mchezo wa Akili kubwa na tayari...
Wazee wa Mila Wilayani Butiama Mkoani Mara wameiomba Serikali iweze kuwachukulia hatua Wanasiasa ambao wamekuwa wakileta ukabila, ukanda na udini kwenye mambo ya maendeleo hali inayoweza kuleta...
Baada ya CCM kuendelea kushikilia msimamo wao wa kuteua wasimamizi wa uchaguzi nchini; Chadema kipo mbioni kujitoa kwenye uchaguzi hadi pale tutakapokubali kuwa na tume huru.
Kwa muundo wa vyama...
Najiuliza tuu, huu ni utaratibu!? Je na vyama vingine vina ruksa ya kufanya haya?
Hamuoni mtalela siasa kwenye utendaji? Mimi na chama changu Cha PPT maendeleo tutaruhusiwa?
Hayo yamesemwa na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Alikuwa akizungumza kwenye mahafari ya Chuo Kikuu SAUT.
Hongera sana Dr.Biteko Kwa Kauli hii ya kishujaa na ya kuwafunda wahitimu.
---...
Rais Samia wanasiasa wabaya wamekuwekea mtego mwingine hatari sana, wameleta kampuni toka Kenya yenye masilahi na wao inayomilikiwa na Mkenya Andrew Chege kwa kushirikiana na baadhi ya wanasiasa...
Lakini pamoja na majibu haya, Biteko atoke.
Biteko hafai.
Biteko ni tatizo.
===
FACTS: Rais Samia amezungumza suala la kuwa ukilaumiwa jua unafanya vizuri Desemba 16, 2023, hata hivyo kauli hiyo...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akishiriki Maadhimisho ya Sherehe za Miaka 62 ya Uhuru wa Tanzania Bara na Mkutano wa Kwanza wa Kitaifa wa Dira ya Taifa ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.