Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Awali nilisikia Lot ya Isaka to Tabora, mturuki anaondoka. Leo, nilikua naongea na jamaa yangu ambaye ni Steel fixer, lot ya Makutupora to Dodoma akinigusia kuwa kampuni inasimama kazi; na...
2 Reactions
20 Replies
2K Views
Hivi ndivyo Gazeti la Nipashe lilivyoripoti Toa maoni yako
5 Reactions
42 Replies
5K Views
Watanzania tunaukatili fulani usio semwa. Timu ya Taifa imeshinda mshindi wa pili na kulipwa milioni 180 + lakini TFF baada ya michezo wamepanda mashangingi yao wakarejea DAr es salaam tena...
14 Reactions
39 Replies
4K Views
Rais Samia amesema "Viongozi wa Kisiasa tunadhani tuna Haki ya kuburuza watu tunawageuza watu Makasuku, nenda kamuulize kifungu gani cha Katiba kinakuudhi, hajui sasa Katiba mpya ilete nini...
20 Reactions
474 Replies
25K Views
Sifa zote ni Kwa CCM. CCM ni chama imara. Tanzania ni Urusi ya Africa. Karibuni k vant kutoka leo mpaka 31 December.
2 Reactions
18 Replies
678 Views
Waziri George Simbachawene akitoa ufafanuzi kuhusu kinga kwa maafisa wa Idara ya Usalama wa Taifa kama ilivyoelezwa kwenye Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria ya Idara ya Usalama wa Taifa...
4 Reactions
29 Replies
4K Views
Wanabodi, kama kawaida yangu, kila nipatapo nafasi, huwa nawaletea zile makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa", ambazo huandikwa kwa swali, na kukuachia wewe msomaji uhuru wa kuchangia na kutoa...
10 Reactions
30 Replies
6K Views
Wanabodi, Naendelea na zile makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa", nikiangazia suala zima za utoaji haki nchini, ambapo makala hii ni muendelezo wa ushauri kwa DPP, ulioanza wiki iliyopita...
24 Reactions
79 Replies
8K Views
Sauti ya Mtu aliae nyikani imenijia na kunijulisha kuwa 2025 ni samu ya YEYE Sauti hii inataka kufanana na voice from within ya Pascal Mayalla alisema mapema kuwa 2025 ni zamu ya YEYE, mtu...
1 Reactions
8 Replies
945 Views
Hili ni pigo kwa January na Genge lake, juhudi za kufifisha mradi wa Bwawa la Nyerere zilifeli Hii ndo faida ya makamba kuondolewa Tanesco bila hivyo hilo bwawa lisingekamilika,katoka tu bwawa...
16 Reactions
36 Replies
3K Views
Hatua hiyo imefanywa na Kitengo Maalum cha Kimataifa cha Udhibiti wa Fedha Haramu (FATF) kwa kuziweka Nchi 4 za Afrika Mashariki (Tanzania, Uganda, Sudan Kusini na DR-Congo) ambazo zimeahidi...
2 Reactions
11 Replies
3K Views
Hakika wakati umefika wa kuambiana ukweli Hayati BABA wa TAIFA Mwl. Nyerere ameifanyia Makubwa Nchi hii kiasi cha LEGACY yake kuendelea kusimama kileleni. Mwl. Nyerere ameipigania Nchi hii mpaka...
3 Reactions
6 Replies
457 Views
Heading ya Uzi huu ni majibu ya Waziri Nape akimjibu mjumbe wa kamati kuu ya Chadema Bilionea Sugu aliyemlaumu kwa kutosikiliza ushauri wake Nape amesema Siasa ni Mchezo wa Akili kubwa na tayari...
3 Reactions
57 Replies
4K Views
Wazee wa Mila Wilayani Butiama Mkoani Mara wameiomba Serikali iweze kuwachukulia hatua Wanasiasa ambao wamekuwa wakileta ukabila, ukanda na udini kwenye mambo ya maendeleo hali inayoweza kuleta...
0 Reactions
2 Replies
682 Views
Baada ya CCM kuendelea kushikilia msimamo wao wa kuteua wasimamizi wa uchaguzi nchini; Chadema kipo mbioni kujitoa kwenye uchaguzi hadi pale tutakapokubali kuwa na tume huru. Kwa muundo wa vyama...
4 Reactions
42 Replies
3K Views
Najiuliza tuu, huu ni utaratibu!? Je na vyama vingine vina ruksa ya kufanya haya? Hamuoni mtalela siasa kwenye utendaji? Mimi na chama changu Cha PPT maendeleo tutaruhusiwa?
4 Reactions
22 Replies
2K Views
Hayo yamesemwa na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Alikuwa akizungumza kwenye mahafari ya Chuo Kikuu SAUT. Hongera sana Dr.Biteko Kwa Kauli hii ya kishujaa na ya kuwafunda wahitimu. ---...
2 Reactions
7 Replies
834 Views
Rais Samia wanasiasa wabaya wamekuwekea mtego mwingine hatari sana, wameleta kampuni toka Kenya yenye masilahi na wao inayomilikiwa na Mkenya Andrew Chege kwa kushirikiana na baadhi ya wanasiasa...
12 Reactions
59 Replies
5K Views
Lakini pamoja na majibu haya, Biteko atoke. Biteko hafai. Biteko ni tatizo. === FACTS: Rais Samia amezungumza suala la kuwa ukilaumiwa jua unafanya vizuri Desemba 16, 2023, hata hivyo kauli hiyo...
4 Reactions
28 Replies
2K Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akishiriki Maadhimisho ya Sherehe za Miaka 62 ya Uhuru wa Tanzania Bara na Mkutano wa Kwanza wa Kitaifa wa Dira ya Taifa ya...
1 Reactions
42 Replies
5K Views
Back
Top Bottom