johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,104
Najikumbusha Tu viwango vya Wagombea wa Upinzani miaka ile ya Mwanzo kabisa ya Upinzani na sasa
Kwa kifupi Dr Lamwai wa NCCR mageuzi alishinda kile Kiti
Leo CCM inazoa viti vyote 23 kiulaini kabisa
Siku zinavyosonga Upinzani unazidi kudorora
Ramadan Mubarak 😄🔥
Kwa kifupi Dr Lamwai wa NCCR mageuzi alishinda kile Kiti
Leo CCM inazoa viti vyote 23 kiulaini kabisa
Siku zinavyosonga Upinzani unazidi kudorora
Ramadan Mubarak 😄🔥