Mzee wa Twitter
JF-Expert Member
- Nov 5, 2023
- 1,272
- 2,033
Hakika nichukue nafasi kuipongeza CCM, tume yake ya uchaguzi na vyombo vya ulinzi kwa kusimamia kwa umakini mkubwa uchaguzi mdogo na kupelekea CCM kupata ushindi wa kishindo ukiwa ni ishara ya kuimarika kwa mbinu mpya za uibaji kura.
Kutokana na ushindi huo kupatikana baada ya kura feki kikamatwa za mgombea wa ccm ni wazi uchaguzi wa 2024 na 2025 CCM itashinda kwa asilimia nyingi sana.
Huo ndio uchaguzi wa haki na huru.
Hongera CCM kwa ushindi.
Kutokana na ushindi huo kupatikana baada ya kura feki kikamatwa za mgombea wa ccm ni wazi uchaguzi wa 2024 na 2025 CCM itashinda kwa asilimia nyingi sana.
Huo ndio uchaguzi wa haki na huru.
Hongera CCM kwa ushindi.