Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

TARURA ni moja ya taasisi za ujenzi zilizoanzishwa miaka si mingi iliyopita. TARURA imekuwa jibu la wajenzi kwa siku nyingi kuwa na taasisi ya ujenzi chini ya halmashauri nchini. Chini ya...
2 Reactions
14 Replies
2K Views
Pale Mahakama ya Kisutu Kuna kesi nyingi za Uhujumu Uchumi zinazowahusu watendaji mbalimbali wa Serikali huku zikiendelea kutajwa tu huku Upelelezi ukiwa haujakamilika!! Kuna watendaji kadhaa...
1 Reactions
13 Replies
1K Views
Lugha adhimu ya Kiswahili, Rais Samia Suluhu Hassan akielezea tofauti ya Waathirika na Wahanga kwa kilichotokea Wilayani Hanang Mkoani Manyara. Amesema hayo baada ya watu wengi kutumia neno...
3 Reactions
8 Replies
2K Views
Katika masuala ya Uhuru , fedha au uchumi ndio kitakufanya kuwa Huru. Nje na hapo utakuwa mtumwa iwe kwenye ndoa au popote Kama hauna kitu haiwezi kuwa na maamuzi katika maisha yako na hii Ni kwa...
0 Reactions
5 Replies
446 Views
Waziri, Mhe. Dkt. Ndumbaro Awataka Wahitimu Kutumia Elimu Zao Kusaidia Jamii Waziri wa Utamaduni Sanaa na Michezo, Dk Damas Ndumbaro amewataka wahitimu wa mahafali ya 42 ya Chuo Kikuu Huria cha...
0 Reactions
1 Replies
463 Views
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) , chama cha siasa kinachotajwa kuungwa mkono na Idadi kubwa ya wananchi kuliko Chama chochote nchini Tanzania , jumapili 17/12/2023 , kitaongea na...
7 Reactions
42 Replies
5K Views
Great thinkers. Mlio karibu na mama wa kuupiga mwingi, Mwonyeshi SSH haka kavideo jambo aweze kujifuza kitu
0 Reactions
3 Replies
511 Views
Serikali inajitahidi kuanzisha mifumo mbalimbali ili kurahisisha huduma. Tatizo kubwa ni kwamba, inaanzisha mifumo hiyo bila kuwa na miundombinu imara kuweza kukidhi haja. Kwa upande wa watumishi...
-1 Reactions
2 Replies
449 Views
Ndugu zangu Watanzania, Kilichotokea ni mh Daniel Chongolo kwa hiyari yake mwenyewe ,kwa mapenzi mema kwa chama chetu kwa kuilinda hadhi,sifa na taswira njema ya CCM mbele ya watanzania...
7 Reactions
65 Replies
7K Views
Ndugu zangu Watanzania, Kwa hakika Rais samia mama mchapa kazi,mzalendo wa kweli, nuru ya wanyonge, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia,simba wa nyika, komandoo wa vita,nyota ya...
3 Reactions
118 Replies
4K Views
Awali nilisikia Lot ya Isaka to Tabora, mturuki anaondoka. Leo, nilikua naongea na jamaa yangu ambaye ni Steel fixer, lot ya Makutupora to Dodoma akinigusia kuwa kampuni inasimama kazi; na...
2 Reactions
20 Replies
2K Views
Hivi ndivyo Gazeti la Nipashe lilivyoripoti Toa maoni yako
5 Reactions
42 Replies
5K Views
Watanzania tunaukatili fulani usio semwa. Timu ya Taifa imeshinda mshindi wa pili na kulipwa milioni 180 + lakini TFF baada ya michezo wamepanda mashangingi yao wakarejea DAr es salaam tena...
14 Reactions
39 Replies
4K Views
Rais Samia amesema "Viongozi wa Kisiasa tunadhani tuna Haki ya kuburuza watu tunawageuza watu Makasuku, nenda kamuulize kifungu gani cha Katiba kinakuudhi, hajui sasa Katiba mpya ilete nini...
20 Reactions
474 Replies
25K Views
Sifa zote ni Kwa CCM. CCM ni chama imara. Tanzania ni Urusi ya Africa. Karibuni k vant kutoka leo mpaka 31 December.
2 Reactions
18 Replies
678 Views
Waziri George Simbachawene akitoa ufafanuzi kuhusu kinga kwa maafisa wa Idara ya Usalama wa Taifa kama ilivyoelezwa kwenye Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria ya Idara ya Usalama wa Taifa...
4 Reactions
29 Replies
4K Views
Wanabodi, kama kawaida yangu, kila nipatapo nafasi, huwa nawaletea zile makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa", ambazo huandikwa kwa swali, na kukuachia wewe msomaji uhuru wa kuchangia na kutoa...
10 Reactions
30 Replies
6K Views
Wanabodi, Naendelea na zile makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa", nikiangazia suala zima za utoaji haki nchini, ambapo makala hii ni muendelezo wa ushauri kwa DPP, ulioanza wiki iliyopita...
24 Reactions
79 Replies
8K Views
Sauti ya Mtu aliae nyikani imenijia na kunijulisha kuwa 2025 ni samu ya YEYE Sauti hii inataka kufanana na voice from within ya Pascal Mayalla alisema mapema kuwa 2025 ni zamu ya YEYE, mtu...
1 Reactions
8 Replies
945 Views
Hili ni pigo kwa January na Genge lake, juhudi za kufifisha mradi wa Bwawa la Nyerere zilifeli Hii ndo faida ya makamba kuondolewa Tanesco bila hivyo hilo bwawa lisingekamilika,katoka tu bwawa...
16 Reactions
36 Replies
3K Views
Back
Top Bottom