TARURA ni moja ya taasisi za ujenzi zilizoanzishwa miaka si mingi iliyopita.
TARURA imekuwa jibu la wajenzi kwa siku nyingi kuwa na taasisi ya ujenzi chini ya halmashauri nchini.
Chini ya...
Pale Mahakama ya Kisutu Kuna kesi nyingi za Uhujumu Uchumi zinazowahusu watendaji mbalimbali wa Serikali huku zikiendelea kutajwa tu huku Upelelezi ukiwa haujakamilika!!
Kuna watendaji kadhaa...
Lugha adhimu ya Kiswahili, Rais Samia Suluhu Hassan akielezea tofauti ya Waathirika na Wahanga kwa kilichotokea Wilayani Hanang Mkoani Manyara.
Amesema hayo baada ya watu wengi kutumia neno...
Katika masuala ya Uhuru , fedha au uchumi ndio kitakufanya kuwa Huru. Nje na hapo utakuwa mtumwa iwe kwenye ndoa au popote Kama hauna kitu haiwezi kuwa na maamuzi katika maisha yako na hii Ni kwa...
Waziri, Mhe. Dkt. Ndumbaro Awataka Wahitimu Kutumia Elimu Zao Kusaidia Jamii
Waziri wa Utamaduni Sanaa na Michezo, Dk Damas Ndumbaro amewataka wahitimu wa mahafali ya 42 ya Chuo Kikuu Huria cha...
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) , chama cha siasa kinachotajwa kuungwa mkono na Idadi kubwa ya wananchi kuliko Chama chochote nchini Tanzania , jumapili 17/12/2023 , kitaongea na...
Serikali inajitahidi kuanzisha mifumo mbalimbali ili kurahisisha huduma.
Tatizo kubwa ni kwamba, inaanzisha mifumo hiyo bila kuwa na miundombinu imara kuweza kukidhi haja. Kwa upande wa watumishi...
Ndugu zangu Watanzania,
Kilichotokea ni mh Daniel Chongolo kwa hiyari yake mwenyewe ,kwa mapenzi mema kwa chama chetu kwa kuilinda hadhi,sifa na taswira njema ya CCM mbele ya watanzania...
Ndugu zangu Watanzania,
Kwa hakika Rais samia mama mchapa kazi,mzalendo wa kweli, nuru ya wanyonge, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia,simba wa nyika, komandoo wa vita,nyota ya...
Awali nilisikia Lot ya Isaka to Tabora, mturuki anaondoka. Leo, nilikua naongea na jamaa yangu ambaye ni Steel fixer, lot ya Makutupora to Dodoma akinigusia kuwa kampuni inasimama kazi; na...
Watanzania tunaukatili fulani usio semwa. Timu ya Taifa imeshinda mshindi wa pili na kulipwa milioni 180 + lakini TFF baada ya michezo wamepanda mashangingi yao wakarejea DAr es salaam tena...
Rais Samia amesema "Viongozi wa Kisiasa tunadhani tuna Haki ya kuburuza watu tunawageuza watu Makasuku, nenda kamuulize kifungu gani cha Katiba kinakuudhi, hajui sasa Katiba mpya ilete nini...
Waziri George Simbachawene akitoa ufafanuzi kuhusu kinga kwa maafisa wa Idara ya Usalama wa Taifa kama ilivyoelezwa kwenye Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria ya Idara ya Usalama wa Taifa...
Wanabodi, kama kawaida yangu, kila nipatapo nafasi, huwa nawaletea zile makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa", ambazo huandikwa kwa swali, na kukuachia wewe msomaji uhuru wa kuchangia na kutoa...
Wanabodi,
Naendelea na zile makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa", nikiangazia suala zima za utoaji haki nchini, ambapo makala hii ni muendelezo wa ushauri kwa DPP, ulioanza wiki iliyopita...
Sauti ya Mtu aliae nyikani imenijia na kunijulisha kuwa 2025 ni samu ya YEYE
Sauti hii inataka kufanana na voice from within ya
Pascal Mayalla alisema mapema kuwa 2025 ni zamu ya YEYE, mtu...
Hili ni pigo kwa January na Genge lake, juhudi za kufifisha mradi wa Bwawa la Nyerere zilifeli
Hii ndo faida ya makamba kuondolewa Tanesco bila hivyo hilo bwawa lisingekamilika,katoka tu bwawa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.