Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Ndivyo alivyosema RC Chalamila. Alikuwa amewapeleka watendaji wake soko la Ndizi la Mabibo halafu wakafukuzwa. Kwa hiyo RC akasema mkome kuwatimua watendaji wangu. Sasa yale maneno yameibua...
4 Reactions
54 Replies
3K Views
Nimekuwa nikifuatilia hotuba, maamuzi, ushauri, ufuatiliaji wa shughuli za Serikali na kufanya kazi kama timu moja napendekeza Mhe. Waziri Mkuu apeperushe bendera ya CCM mwaka 2025 kwa nafasi ya...
0 Reactions
2 Replies
601 Views
Je, sheria ya ardhi kuna Sehemu inamtaka mkuu wa Mkoa au Wilaya na kamati zao za ulinzi na usalama wana mamlaka yakumilikisha watu ardhi? Je, kuna mjumbe wa kamati hizi ambaye ni mtaalam wa...
0 Reactions
2 Replies
875 Views
Mbunge wa Viti Maalum (Anayewakilisha Wafanyakazi Nchini) kutoka Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe. Janejelly James Ntate leo tarehe 04 Oktoba, 2023 ameshiriki katika Mapokezi ya Katibu Mkuu wa Umoja wa...
0 Reactions
2 Replies
947 Views
MKUU wa Wilaya ya Chato, Deusdedith Katwale amesema wanatarajia kufanya tamasha la utalii kwa lengo la kutangaza vivutio na fursa mbalimbali za utalii zilizoko katika ukanda huo. Akizungumza na...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma Joseph Mafuru amekataa kuongea na mwandishi wa ITV ndugu Msilo kwa madai kuwa Leo Serikali haifanyi kazi kwa sababu ni Sikukuu Msilo alikuwa ametoka kusikiliza...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
https://www.youtube.com/watch?v=UkcBZGyKIrw&t=69s Tamko la baraza la maaskofu wa Kanisa Katoliki kupinga uwekezaji wa bandari na kusoma kwake katika makanisa yote ya kanisa katoliki Katiba yetu...
1 Reactions
30 Replies
3K Views
In chess, you never expose your King to an attack. Matter of fact, the King is never used in the battle until the very last stages of the game when almost all the pieces are eliminated. Moral of...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
https://youtu.be/R1zyTINo6kQ Rafiki yetu Lord Denning ameuliza maswali kadhaa kuhusu tamko la TEC kwenye uzi unaopatikana HAPA. Nasi kwa hapa chini tumeamua kumjibu point counter point. 1. Lord...
7 Reactions
43 Replies
4K Views
Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba amesema kitendo cha maofisa wa Mamlaka ya Mapato (TRA), kuwafungia maduka wafanyabishara wadogo ni changamoto inayochochea kuwepo kwa uingizwaji holela wa bidhaa...
3 Reactions
6 Replies
2K Views
Mbunge wa Jimbo la Muhambwe mkoani Kigoma, Dkt. Florence George Samizi akiambatana na mkuu wa wilaya ya Kibondo Agrey John Magwaza, leo tarehe 03/10/2023 amekuwa Mgeni rasmi katika zoezi la...
0 Reactions
21 Replies
1K Views
Polisi Moro wakiwa na vifaa vyao timamu, yakiwamo yale magari pendwa yenye uwezo kamili wa kuzima moto bali yakitumika kama washawasha wamefanya mazoezi ya kufa mtu Moro...
3 Reactions
44 Replies
3K Views
Kikeke kutangaza BBC ni sababu ya uwezo na kipaji sio vyeti. Baada ya vetting CV yake ina ukakasi, huwezi kuzaliwa 1978 ukawa na diploma 1994, age mate wake tunafahamu kuwa enzi zile kuanza...
25 Reactions
159 Replies
15K Views
Jana nilipiga Maeneo ya Lusahunga, Nyakahura na Nyakanazi kwenye kutafuta mkate wa Kila SIKU. Kwa bahati mbaya sana nimekutana na "Ujinga" wa Karne wa CCM kutumia Magari yalitoyotelewa Kwa...
5 Reactions
25 Replies
2K Views
Kwa namna elimu yetu hapa bongo ilivyo na inavyoleta matokeo yasiyo tarajiwa kwa kundi kubwa la wasomi na vijana. Nadiriki kusema kwa asilimia kubwa elimu ya Tanzania ina umuhimu mkubwa kwa shule...
3 Reactions
14 Replies
914 Views
Nilipigwa butwaa, kama si kushangaa, mama Samia akiongea na wateule wa mashirika na nafasi mbali mbali za kiuongozi. Lililonishangaza, eti yule mpendwa wetu Maharage Chande, alipoenguliwa TANESCO...
25 Reactions
68 Replies
6K Views
Ni chaguzi kuu 6 sasa zimefanyika hapa nchini tangu tupate Uhuru. Ahadi kutoka vyama vyote kwenda kwa wananchi ni zilezile maji, barabara, elimu, na afya. Kwa watumishi hawa ninaowafahamu Mimi...
2 Reactions
14 Replies
1K Views
Kwenye Siasa hakunaga adui wala Rafiki wa kudumu Ila kwenye Vicoba kama pale Chadema ndio Uadui unakuwaga wa Milele Mungu wa mbinguni mbariki Dr Slaa 😂😂🌟🔥
1 Reactions
8 Replies
798 Views
Wananchi nawasabahi.Nadhani yaliyotokea 2015 wakati nchi inaelekea kwenye uchaguzi mkuu kila mtu ni shahidi. Dkt. Slaa alikuwa katibu mkuu wa CHADEMA chama kikubwa cha upinzani na mikakati yote...
1 Reactions
17 Replies
2K Views
Misahafu inasema mwana mpotevu aliporudi kwa babaye, mwana mwema aliyekuwa kabakia Kwa babaye alichukia mno. Kwamba kwanini baba yao amfanyie sherehe mwovu huyo hali yeye alikuwa pale siku zote...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Back
Top Bottom