uwe hodari
JF-Expert Member
- Dec 16, 2022
- 3,987
- 8,360
Watanganyika safari hii wamenasa
Kuna kukundi kipo nyuma kimedhamiria kuibadilisha Tanzania iwe ya mrengo fulani (......)
Walianza na ngorongoro
Wakaja na bandari
Wakaja kwenye mabasi ya mwendokasi wanapewa waarabu
Kwenye media ( wameua media za kizalendo wameziinua media zinazomilikiwa na watu wenye asili ya kule
Kwenye usalama walishapewa nafasi
....
Ilibaki kwenye elimu tu
Elimu ndio moyo wa nchi , ukitaka kubadilisha utamaduni wa nchi wewe pasua moyo/elimu
Elimu ya Tanzania ndani ya miaka mitano itabadilishwa kabisa iendane na maudhui ya nchi za kiarabu
Inasemwa nchi za kiarabu zimeahidi kuidhamini serikali iliyopo madarakani kuajiri waalimu wa wa somo la kiislam na kiarabu kila shule Tanzania
Lengo la kudhamini somo la kiislam na kiarabu ni la kimkakati zaidi kwa waarabu na mwaswaiba wao
Waarabu wanaamini Tanzania ndio lango lao la kupita ili kufanikisha lengo lao ktk ukanda wa afrika mashariki na kusini...
...
Unaweza kuamini viongozi wakuu waliokalia viti vya taasisi nyeti za nchi wanakaa ofisini wanapanga mambo ya udini?
Hii sio dalili nzuri tunaelekea shimoni
Nyerere alimzuia mwinyi kuingiza mambo ya dini kuongoza nchi
Lkn kwa sasa Nyerere hayupo
Kuna kukundi kipo nyuma kimedhamiria kuibadilisha Tanzania iwe ya mrengo fulani (......)
Walianza na ngorongoro
Wakaja na bandari
Wakaja kwenye mabasi ya mwendokasi wanapewa waarabu
Kwenye media ( wameua media za kizalendo wameziinua media zinazomilikiwa na watu wenye asili ya kule
Kwenye usalama walishapewa nafasi
....
Ilibaki kwenye elimu tu
Elimu ndio moyo wa nchi , ukitaka kubadilisha utamaduni wa nchi wewe pasua moyo/elimu
Elimu ya Tanzania ndani ya miaka mitano itabadilishwa kabisa iendane na maudhui ya nchi za kiarabu
Inasemwa nchi za kiarabu zimeahidi kuidhamini serikali iliyopo madarakani kuajiri waalimu wa wa somo la kiislam na kiarabu kila shule Tanzania
Lengo la kudhamini somo la kiislam na kiarabu ni la kimkakati zaidi kwa waarabu na mwaswaiba wao
Waarabu wanaamini Tanzania ndio lango lao la kupita ili kufanikisha lengo lao ktk ukanda wa afrika mashariki na kusini...
...
Unaweza kuamini viongozi wakuu waliokalia viti vya taasisi nyeti za nchi wanakaa ofisini wanapanga mambo ya udini?
Hii sio dalili nzuri tunaelekea shimoni
Nyerere alimzuia mwinyi kuingiza mambo ya dini kuongoza nchi
Lkn kwa sasa Nyerere hayupo