Mzee Kikwete: Rais Samia ametuliza nchi na kuvutia Uwekezaji

Suley2019

JF-Expert Member
Oct 7, 2019
1,817
4,568



Wakati kukiwa na mitazamo mbalimbali juu ya Rais Samia Suluhu Hassan na utendaji wake kazi, Rais mstaafu, Dkt. Jakaya Kikwete anasema imekuwa ni miaka mitatu ya kutengeneza utulivu wa nchi ambao umefanikisha kuvutia wawekezaji katika sekta mbalimbali. Mzee kikwete anasema:

Hata wafanyabiashara sasa hivi wanafanya kazi zao kwa utulivu, mazingira yale yaliyopo ndani ya nchi kuna utulivu hili ni jambo kubwa. Mazingira hayo ndilo jambo linalochochea uchumi kukua.

Mazingira yetu ya leo hapa hayamfanyi mtu kufikiria kuhamisha mtaji wake, kuhamisha shughuli zake kwenda nchi nyingine. Haya ni mambo makubwa yanayopambanua Urais wa Samia Suluhu Hassan.

Huko nje watu wanataka kuwekeza wanaifikiria Tanzania, ameibeba ile shughuli vizuri. Halafu kingine ni mtulivu she is the President that dont panic.
 
My Take
Hakika Mstaafu JK umenena maana kule tulikokuwa tunapelekwa na yule aliyeitwa Chuma kilikuwa siko.

Unaishi kama uko Sudan,Ukraine au Somalia.Maisha gani yale?

Ushauri Aliotoa JK: Don't take it For granted.

Mungu mbariki Samia.
 
Nimegundua Watanzania wengi bado hatujajua haswa nini tunachokihitaji, alafu unafki umekuwa mwingi! Kikwete alimsifia sana Hayati Magufuli lakini Leo Magufuli hayupo anamgeuka na kuanza kumponda. Viongozi wa aina hii ya ni shida sana.

Kule Zanzibar vipi mbona pamemshinda kuhusiana na Serikali ya Umoja wa Kitaifa, haoni Kule jahazi la CCM linazama
 
Nimegundua Watanzania wengi bado hatujajua haswa nini tunachokihitaji, alafu unafki umekuwa mwingi! Kikwete alimsifia sana Hayati Magufuli lakini Leo Magufuli hayupo anamgeuka na kuanza kumponda. Viongozi wa aina hii ya ni shida sana.

Kule Zanzibar vipi mbona pamemshinda kuhusiana na Serikali ya Umoja wa Kitaifa, haoni Kule jahazi la CCM linazama
Kabisa!

They are all shitting on Magufuli!

They didn’t bring the same energy when he was around.
 
Kabisa!

They are all shitting on Magufuli!

They didn’t bring the same energy when he was around.
Mkuu, don't forget that at his time he wanted all the sugar coat to himself alone at any cost! By then, It was the foreside turn of the coin, as of now it is the backside turn!
 
Nimegundua Watanzania wengi bado hatujajua haswa nini tunachokihitaji, alafu unafki umekuwa mwingi! Kikwete alimsifia sana Hayati Magufuli lakini Leo Magufuli hayupo anamgeuka na kuanza kumponda. Viongozi wa aina hii ya ni shida sana.

Kule Zanzibar vipi mbona pamemshinda kuhusiana na Serikali ya Umoja wa Kitaifa, haoni Kule jahazi la CCM linazama
Hapo amemponda wapi Magufuli? au Ukimsifia Samia ni kuwa umemponda Magufuli?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom