Tuache siasa ajali ya ndege ya Precision Air

Dibwi Method

Member
Nov 22, 2021
31
28
Inasikitisha sana kuona wasomi wengi wamejikita kwenye ku-identify watu waliosaidia/waliookoa abiria 24 waliokuwa kwenye ndege ya Precision Air iliyofondoka Ziwa Victoria siku kadhaa zilizopita.

Binafsi naamini kwamba hakuna aliyeokoa abiria hao Kwa ajili ya spotlight, ni tendo la kibinadamu tu ambalo Sidhani kama kuna yeyote humu angeishia kutazama ajali hiyo na yuko kwenye nafasi ya kusaidia.

Hii trend ya kuwa na heroes waliookoa watu ni ka-mchezo tu Serikali inacheza ili kuwatoa watu kwenye reli ili wasijadili mambo ya msingi ambayo kama sauti zingepazwa vyema, vibarua vya baadhi ya viongozi vingeota mbawa.

Binafsi nilitegemea kuona maandiko na mijadala ya kutosha yakimsuta yule Mtu aliyezuia kuvunjwa kwa kioo cha ndege kwani kama ingefanyika hivyo, huenda idadi ya waliookolewa ingezidi 24.

Nilitegemea kuona sauti zikipazwa ili viongozi wanaoguswa moja Kwa moja na uokozi wawajibishwe. Ngege haikuanguka katikati ya Ziwa, pale ilipoanguka sio mbali sana na Bandari, Airport, Makazi ya Mkuu wa Mkoa, n.k. Kushindwa kwao kufika Kwa wakati na kuokoa watu ndo taarifa iliyopaswa kutawala maandiko mengi ili wawajibishwe.

Inaumiza sana kuona Kwa siku chache zilizopita watu wanawekeza nguvu nyingi kuibua watu waliosaidia ili tu wasaidiwe au watambulike..it makes no sense!! They played their part as human beings because they were in a position to. Kindness should neither be for recognition nor for monetary reasons.

Hii ni sinema inayochezwa na baadhi ya wenye mamlaka ili tusijafili adhabu stahiki na CHANZO kilichopelekea vifo vya watu 19 kizembe.

The spotlight game ain't worth playing, let's focus all our efforts on making those responsible, pay for their wrong misdeeds.

Naamini waliopoteza ndugu zao wangependa kuona walioshindwa kufanya kazi zao kwenye usaidizi wakiwajibishwa, TUACHE yada-yada na tushike mambo ya msingi ili haki itedeke!
 
Nilitegemea kuona sauti zikipazwa ili viongozi wanaoguswa moja Kwa moja na uokozi wawajibishwe. Ngege haikuanguka katikati ya Ziwa, pale ilipoanguka sio mbali sana na Bandari, Airport, Makazi ya Mkuu wa Mkoa, n.k. Kushindwa kwao kufika Kwa wakati na kuokoa watu ndo taarifa iliyopaswa kutawala maandiko mengi ili wawajibishwe.
haya ndiyo mambo ya msingi ya kuhoji. majitu na akili yanampeleka kijana bungeni eti shujaa! He was not alone in the whole saga and a sensible man can not trust his story without having some questions! Tusiwe madodoki kumeza maneno ya majaliwa as if hatuna akili za kuhoji. Ni kuacha ujinga wa kumtukuza Majaliwa tuhoji kwanini mamlaka za serikali za uokozi zilizembea.
 
haya ndiyo mambo ya msingi ya kuhoji. majutu na akili yanampeleka kijana bungeni eti shujaa! He was not alone in the whole saga and a sensible man can not trust his story without having some questions! Tusiwe madodoki kumeza maneno ya majaliwa as if hatuna aili za kuhoji. Ni kuacha ujinga wa kumtukuza Majaliwa tuhoji kwanini mamlaka za serikali za uokozi zilizembea.
Dogo anakutesa sana!
 
Inasikitisha sana kuona wasomi wengi wamejikita kwenye ku-identify watu waliosaidia/waliookoa abiria 24 waliokuwa kwenye ndege ya Precision Air iliyofondoka Ziwa Victoria siku kadhaa zilizopita.

Binafsi naamini kwamba hakuna aliyeokoa abiria hao Kwa ajili ya spotlight, ni tendo la kibinadamu tu ambalo Sidhani kama kuna yeyote humu angeishia kutazama ajali hiyo na yuko kwenye nafasi ya kusaidia.

Hii trend ya kuwa na heroes waliookoa watu ni ka-mchezo tu Serikali inacheza ili kuwatoa watu kwenye reli ili wasijadili mambo ya msingi ambayo kama sauti zingepazwa vyema, vibarua vya baadhi ya viongozi vingeota mbawa.

Binafsi nilitegemea kuona maandiko na mijadala ya kutosha yakimsuta yule Mtu aliyezuia kuvunjwa kwa kioo cha ndege kwani kama ingefanyika hivyo, huenda idadi ya waliookolewa ingezidi 24.

Nilitegemea kuona sauti zikipazwa ili viongozi wanaoguswa moja Kwa moja na uokozi wawajibishwe. Ngege haikuanguka katikati ya Ziwa, pale ilipoanguka sio mbali sana na Bandari, Airport, Makazi ya Mkuu wa Mkoa, n.k. Kushindwa kwao kufika Kwa wakati na kuokoa watu ndo taarifa iliyopaswa kutawala maandiko mengi ili wawajibishwe.

Inaumiza sana kuona Kwa siku chache zilizopita watu wanawekeza nguvu nyingi kuibua watu waliosaidia ili tu wasaidiwe au watambulike..it makes no sense!! They played their part as human beings because they were in a position to. Kindness should neither be for recognition nor for monetary reasons.

Hii ni sinema inayochezwa na baadhi ya wenye mamlaka ili tusijafili adhabu stahiki na CHANZO kilichopelekea vifo vya watu 19 kizembe.

The spotlight game ain't worth playing, let's focus all our efforts on making those responsible, pay for their wrong misdeeds.

Naamini waliopoteza ndugu zao wangependa kuona walioshindwa kufanya kazi zao kwenye usaidizi wakiwajibishwa, TUACHE yada-yada na tushike mambo ya msingi ili haki itedeke!
Umesema kweli tupu! Nchi hii imejaa majinga mengi Sana na maviongozi mengi ni majinga pia.
 
whoever! I am not after zawadi. Sitaki kuwa dodoki na praise and worship team! Ni hilo tu!
sikiliza mwenye akili akihoji:

Amenena vyema sana, badala ya mtu kuusikiliza vyema uchambuzi huu ambao ni Kwa manufaa yake na kizazi chake ili aongezee na reasoning yake, yeye yuko busy kupinga Kila kitu kisa tu hakiemdi sambamba na zidumu fikra za CCM.

#Naililia Tanzania😰
 
Dahhh! Bro umeona mbali sana michezo kama hii inachezwa sana ili kuwahamisha watu kutoka katika point ya msingi na kuufuata porojo hatimaye wazembe wanapata kichaka Cha Kujificha
Kabisa kaka, waliopoteza ndugu zao ndo wanaoumia zaidi Kwa mizaha ya namna hii!

At least wangewajibishwa baadhi ya wazembe ingeleta nafuu kwao.
Ndugu zao ndo hawarudi tena na wanaolipwa ili kuokoa hawakuokoa na bado wapo kazini!

It's so sad
 
Bado mamlaka ya usafiri wa anga haijatoa sababu ya kutokuwepo control tower kiwanja cha bukoba. Rubani anayeondoka au kutua Bukoba anapata idhini mwanza. Hali ya hewa ikiwa mbaya kama ilivokuwa kwa Precision, rubani anabaki na Mungu wake.
Maelezo yanahitajika au tusihoji hadi wamalize uchunguzi?
 
Back
Top Bottom