Masalu Jacob
JF-Expert Member
- Jul 26, 2017
- 948
- 1,092
Habari Tanzania!
Naomba kwa kuwakumbushia kuwa endapo mkifanya mabadiliko ya KATIBA msisahu kuboresha kifungu cha umri wa RAIS kisomeke umri kuanzia miaka 30 na kuendelea.
Kiukweli wananchi wanasisimkwa zaidi wakiongozwa na vijana na sio mafaza au mabraza ambao wamekuwa wanachangamoto nyingi za kiuwezo katika kutuletea maendeleo.
Asante.
Naomba kwa kuwakumbushia kuwa endapo mkifanya mabadiliko ya KATIBA msisahu kuboresha kifungu cha umri wa RAIS kisomeke umri kuanzia miaka 30 na kuendelea.
Kiukweli wananchi wanasisimkwa zaidi wakiongozwa na vijana na sio mafaza au mabraza ambao wamekuwa wanachangamoto nyingi za kiuwezo katika kutuletea maendeleo.
Asante.