Andika mawazo yako: Ujamaa ni nini? Na ubepari ni nini? Na ni mfumo upi mzuri unapaswa kufuatwa na nchi ili iwe na maendeleo?

Meneja Wa Makampuni

JF-Expert Member
Jul 7, 2020
6,330
8,251
Watu wengi huzungumzia ujamaa na ubepari lakini bado hawaelewi kwa kina.

Katika taifa letu la Tanzania tuna mchanganyiko wa ujamaa na ubepari.
Mfano mdogo uwepo wa sekta binafsi hiyo ni ishara ya kuwepo kwa ubepari. Na nikwambie tu kuna baadhi ya taasisi katika taifa letu zinatumia mfumo wa ujamaa.

Nakuomba sasa andika mawazo yako hapa kwa jinsi wewe.

1. Ujamaa ni nini?
2 . Na ubepari ni nini?
3. Na ni mfumo upi mzuri unapaswa kufuatwa na nchi ili iwe na maendeleo??
 
1. Ujamaa ni mfumo wa kiutawala ambao sekta kuu ya kiuchumi inaongozwa na serikali
2. Ubepari ni mfumo wa kiutawala ambao sekta kuu ya kiuchumi inaongozwa na watu binafsi ila serikali inabaki kusimamia na kuongoza sheria na taratibu
3. Mfumo mzuri unapaswa kufuatwa ni ule chotara yaani unachukua mazuri ya ubepari na ujamaa unapata mfumo chotara.
 
Watu wengi huzungumzia ujamaa na ubepari lakini bado hawaelewi kwa kina.

Katika taifa letu la Tanzania tuna mchanganyiko wa ujamaa na ubepari.
Mfano mdogo uwepo wa sekta binafsi hiyo ni ishara ya kuwepo kwa ubepari. Na nikwambie tu kuna baadhi ya taasisi katika taifa letu zinatumia mfumo wa ujamaa.

Nakuomba sasa andika mawazo yako hapa kwa jinsi wewe.

1. Ujamaa ni nini?
2 . Na ubepari ni nini?
3. Na ni mfumo upi mzuri unapaswa kufuatwa na nchi ili iwe na maendeleo??
Mada ni nzuri sana, nitakuja tujadili.
 
Watu wengi huzungumzia ujamaa na ubepari lakini bado hawaelewi kwa kina.

Katika taifa letu la Tanzania tuna mchanganyiko wa ujamaa na ubepari.
Mfano mdogo uwepo wa sekta binafsi hiyo ni ishara ya kuwepo kwa ubepari. Na nikwambie tu kuna baadhi ya taasisi katika taifa letu zinatumia mfumo wa ujamaa.

Nakuomba sasa andika mawazo yako hapa kwa jinsi wewe.

1. Ujamaa ni nini?
2 . Na ubepari ni nini?
3. Na ni mfumo upi mzuri unapaswa kufuatwa na nchi ili iwe na maendeleo??
Hivi kwanini mnaoendaga kuchosha watu humu JF kwa mambo yenu ya kijinga?
 
Watu wengi huzungumzia ujamaa na ubepari lakini bado hawaelewi kwa kina.

Katika taifa letu la Tanzania tuna mchanganyiko wa ujamaa na ubepari.
Mfano mdogo uwepo wa sekta binafsi hiyo ni ishara ya kuwepo kwa ubepari. Na nikwambie tu kuna baadhi ya taasisi katika taifa letu zinatumia mfumo wa ujamaa.

Nakuomba sasa andika mawazo yako hapa kwa jinsi wewe.

1. Ujamaa ni nini?
2 . Na ubepari ni nini?
3. Na ni mfumo upi mzuri unapaswa kufuatwa na nchi ili iwe na maendeleo??
Maswali yako yanaonyesha na wewe ni kati ya asilimia 95 ya watz wenye akili ndogo.....Siku za nyuma niliwahi fafanuzi kutoka katika akili yangu kuhusu mifumo 4
Nayo ni

1)Serikali ya kijamaa na umma wa kibepari
2)Serikali ya kijamaa na umma wa kijamaa
3)Serikali ya kibepari na umma wa kibepari
4)Serikali ya kibepari na umma wa kijamaa


Tumieni akili hapo juu ni lazima mnapo chambua serikali mchambue hivi nilivyo panga ndiyo mnaweza kugundua nini tatizo..
Mfano hapo nitakuambieni kuwa UJAMAA AU UBEPARI SIYO TATIZO TATIZO NI FORMATION KATI YA HIYO MIFUMO 4 HAPO JUU ....UBEPARI NA UJAMAA VYOTE NI MUHIMU SANA KWENYE TAIFA VYOTE VINATAKIWA KUWEPO KWA PAMOJA ILA KATIKA FORMATION ILIYO SAHIHI ZAIDI KATI YA HIZO FORMATION 4 KUNA MOJA NDIYO SAHIHI ZAIDI YA ZOTE NA KUNA NYINGINE HAPO KATI YA HIZO 4 NI MBAYA SANA ....Sasa kwa kifupi acha ni chambue kuhusu Rais Nyerere ukiniuliza kati ya hizo formations 4 Nyerere kakosea kwa kutumia hipi hapo nitskuambia kuwa Nyerere alijipiga pini na kujikwamisha na kukwamisha taifa kwa kutumia formation NO 2 hapo juu sasa tumieni akili kama Nyerere alitumia formation no 2 taifa likakwama je baada ya Nyerere kuondoka madarakani tulikosea wapi tena kwenye hizo formation 3 zilizo baki .....baada ya Nyerere kuondoka tulifuata formation iliyo mbaya zaidi kuliko ya Nyerere na ndiyo tunayo kwenda nayo hadi sasa japo kipindi cha JPM alichukua formation iliyo sahihi kuliko zote.... RAIS MWINYI alituingiza kwenye formation NO 3 AMBAYO NI MBAYA SANA NA NDIYO TUPONAYO HADI SASA KWA SAMIA FORMATION YENYEWE NI (SERIKALI YA KIBEPARI NA UMMA WA KIBEPARI ) hii formation inafanya serikali kuwa miliki ya kikundi kidogo cha watu kama mali yao binafsi ...na kufanya serikali kuwa kama kampuni la kibepari la watu fulani peke yao wanao jinufaisha wao binafsi na familia zao mfumo huu unaweza kuingiza taifa lolote kwenye machafuko ya wao kwa wao ni mfumo mbaya na muovu sana.
Kati ya hiyo mifumo 4 mfumo ulio sahihi ni mfumo no 1 ambao ni



(SERIKALI YA KIJAMAA NA UMMA WA KIBEPARI)

By GENIUS LWIVA THE GREAT
 
Maswali yako yanaonyesha na wewe ni kati ya asilimia 95 ya watz wenye akili ndogo.....Siku za nyuma niliwahi fafanuzi kutoa katika akili yangu kuhusu mifumo 4
Nayo ni
1)Serikali ya kijamaa na umma wa kibepari
2)Serikali ya kijamaa na umma wa kijamaa
3)Serikali ya kibepari na umma wa kibepari
4)Serikali ya kibepari na umma wa kijamaa


Tumieni akili hapo juu nilazima mnapo chambua serikali mchambue hivi nilivyo panga ndiyo mnaweza kugundua nini tatizo ...mfano hapo nitakuambieni kuwa UJAMAA AU UBEPARI SIYO TATIZO TATIZO NI FORMATION KATI YA HIYO MIFUMO 4 HAPO JUU ....UBEPARI NA UJAMAA VYOTE NI MUHIMU SANA KWENYE TAIFA VYOTE VINATAKIWA KUWEPO KWA PAMOJA ILA KATIKA FORMATION ILIYO SAHIHI ZAIDI KSTI YA HIZO FORMATION 4 KUNA MOJA NDIYO SAHIHI ZAIDI YA ZOTE NA KUNA NYINGINE NI HAPO KATI YA HIZO 4 NI MBAYA SANA ....Sasa kwa kifupi achanichambue kuhusu Rais Nyerere ukiniuliza ksti ya hizo formations 4 Nyerere kosea kwa kutumia hipi hapo nitskuambia kuwa nyerere alijipiga pini ya kujikwamisha na kukwamisha taifa kwa kutumia formation NO 2 hapo juu sasa tumieni akili kama Nyerere alitumia formation no 2 taifa likakwama je baada ya Nyerere kuondoka madarakani tulikosea wapi tena kwenye hizo formation 3 zilizo baki .....baada ya Nyerere kuondoka kulifuata formation iliyo mbaya zaidi kuliko ya nyerere na ndiyo tunayo kwenda nayo hadi sasa japo kipindi cha JPM alichukua formation iliyo sahihi kuliko zote RAIS MWINYI alituingiza kwenye formation NO 3 AMBAYO NI MBAYA SANA NA NDIYO TUPONAYO HADI SASA KWA SAMIA FORMATION YENYEWE NI (SERIKALI YA KIBEPARI NA UMMA WA KIBEPARI ) hii formation inafanya serikali kuwa miliki ya kikundi kidogo cha watu kama mali yao binafsi ...na kufanya serikali kuwa kama kampuni la kibepari la watu fulani pekeyao anao jonufaisha wao binafsi na familia zao mfumo huu unaweza kuingiza taifa lolote kwenye machafuko ya wao kwa wao ni mfumo mbaya na muovu sana.
Kati ya hiyo mifumo 4 mfumo ulio sahihi ni mfumo no 1 ambao ni



(SERIKALI YA KIJAMAA NA UMMA WA KIBEPARI)

By GENIUS LWIVA THE GREAT
Mkuu Asante sana kwa mchango wako mzuri. Tunahitaji michango zaidi katika mjadala huu.
 
Maswali yako yanaonyesha na wewe ni kati ya asilimia 95 ya watz wenye akili ndogo.....Siku za nyuma niliwahi fafanuzi kutoa katika akili yangu kuhusu mifumo 4
Nayo ni
1)Serikali ya kijamaa na umma wa kibepari
2)Serikali ya kijamaa na umma wa kijamaa
3)Serikali ya kibepari na umma wa kibepari
4)Serikali ya kibepari na umma wa kijamaa


Tumieni akili hapo juu nilazima mnapo chambua serikali mchambue hivi nilivyo panga ndiyo mnaweza kugundua nini tatizo ...mfano hapo nitakuambieni kuwa UJAMAA AU UBEPARI SIYO TATIZO TATIZO NI FORMATION KATI YA HIYO MIFUMO 4 HAPO JUU ....UBEPARI NA UJAMAA VYOTE NI MUHIMU SANA KWENYE TAIFA VYOTE VINATAKIWA KUWEPO KWA PAMOJA ILA KATIKA FORMATION ILIYO SAHIHI ZAIDI KATI YA HIZO FORMATION 4 KUNA MOJA NDIYO SAHIHI ZAIDI YA ZOTE NA KUNA NYINGINE HAPO KATI YA HIZO 4 NI MBAYA SANA ....Sasa kwa kifupi achanichambue kuhusu Rais Nyerere ukiniuliza ksti ya hizo formations 4 Nyerere kosea kwa kutumia hipi hapo nitskuambia kuwa nyerere alijipiga pini ya kujikwamisha na kukwamisha taifa kwa kutumia formation NO 2 hapo juu sasa tumieni akili kama Nyerere alitumia formation no 2 taifa likakwama je baada ya Nyerere kuondoka madarakani tulikosea wapi tena kwenye hizo formation 3 zilizo baki .....baada ya Nyerere kuondoka kulifuata formation iliyo mbaya zaidi kuliko ya nyerere na ndiyo tunayo kwenda nayo hadi sasa japo kipindi cha JPM alichukua formation iliyo sahihi kuliko zote RAIS MWINYI alituingiza kwenye formation NO 3 AMBAYO NI MBAYA SANA NA NDIYO TUPONAYO HADI SASA KWA SAMIA FORMATION YENYEWE NI (SERIKALI YA KIBEPARI NA UMMA WA KIBEPARI ) hii formation inafanya serikali kuwa miliki ya kikundi kidogo cha watu kama mali yao binafsi ...na kufanya serikali kuwa kama kampuni la kibepari la watu fulani pekeyao anao jonufaisha wao binafsi na familia zao mfumo huu unaweza kuingiza taifa lolote kwenye machafuko ya wao kwa wao ni mfumo mbaya na muovu sana.
Kati ya hiyo mifumo 4 mfumo ulio sahihi ni mfumo no 1 ambao ni



(SERIKALI YA KIJAMAA NA UMMA WA KIBEPARI)

By GENIUS LWIVA THE GREAT
Mkuu hujazungumza JPM alifuata mfumo upi kati hiyo mifumo minne.
 
Mkuu eleza kama ulivyo ulizwa kwenye swali
20230607_003514.jpg
 
Watu wengi huzungumzia ujamaa na ubepari lakini bado hawaelewi kwa kina.

Katika taifa letu la Tanzania tuna mchanganyiko wa ujamaa na ubepari.
Mfano mdogo uwepo wa sekta binafsi hiyo ni ishara ya kuwepo kwa ubepari. Na nikwambie tu kuna baadhi ya taasisi katika taifa letu zinatumia mfumo wa ujamaa.

Nakuomba sasa andika mawazo yako hapa kwa jinsi wewe.

1. Ujamaa ni nini?
2 . Na ubepari ni nini?
3. Na ni mfumo upi mzuri unapaswa kufuatwa na nchi ili iwe na maendeleo??
Jifanyie maendeleo yako binafsi kwa mfumo wowote ule.
 
Back
Top Bottom