Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 6,885
- 9,277
Watu wengi huzungumzia ujamaa na ubepari lakini bado hawaelewi kwa kina.
Katika taifa letu la Tanzania tuna mchanganyiko wa ujamaa na ubepari.
Mfano mdogo uwepo wa sekta binafsi hiyo ni ishara ya kuwepo kwa ubepari. Na nikwambie tu kuna baadhi ya taasisi katika taifa letu zinatumia mfumo wa ujamaa.
Nakuomba sasa andika mawazo yako hapa kwa jinsi wewe.
1. Ujamaa ni nini?
2 . Na ubepari ni nini?
3. Na ni mfumo upi mzuri unapaswa kufuatwa na nchi ili iwe na maendeleo??
Katika taifa letu la Tanzania tuna mchanganyiko wa ujamaa na ubepari.
Mfano mdogo uwepo wa sekta binafsi hiyo ni ishara ya kuwepo kwa ubepari. Na nikwambie tu kuna baadhi ya taasisi katika taifa letu zinatumia mfumo wa ujamaa.
Nakuomba sasa andika mawazo yako hapa kwa jinsi wewe.
1. Ujamaa ni nini?
2 . Na ubepari ni nini?
3. Na ni mfumo upi mzuri unapaswa kufuatwa na nchi ili iwe na maendeleo??