Ujio wa DP World: Bandari za Tanga na Mtwara Wanahusikaje? Tuliambiwa ni Dar tu tena gati tatu

Phillemon Mikael

Platinum Member
Nov 5, 2006
10,534
8,619
Kuna sintofahamu inaendelea nchini baada ya Bandari nyingine za Mtwara na Tanga nao wafanyakazi kutangaziwa ujio wa DP World.

Hii ni kinyume kabisa Mbarawa alivyokua anahakikishia watu kuwa maeneo yanayohusika sio Pwani yote bali ni Bandari ya Dar tu tena baadhi ya Gati.

Ieleweke kuwa suala la kutoa Pwani nzima kwa DPW ni suala la usalama wa Taifa na Ulinzi, ni hatari sana ndio maaana kila mtu mwenye uzalendo alikataaa sasa kama walidanganya Taifa wakijua watawapeleka DPW hadi bandari zingine Tanzania basi tunaelekea kwenye mgogoro mkubwa sana.

Kama mpango huo haupo Kuna haja gani ya wafanyakazi walioko vituo vya nje kama Tanga na Mtwara nao kuambiwa wasubiri kuwapokea?!

Kama haya yatadhibitika basi tumekubali kuuza uTaifa na utu wetu .
 
Kuna sintofahamu inaendelea nchini baada ya Bandari nyingine za Mtwara na Tanga nao wafanyakazi kutangaziwa ujio wa DP World

Hii ni kinyume kabisa na mbarawa alivyokua anahakikishia watu kuwa maeneo yanayohusika sio Pwani yote bali ni Bandari ya Dar tu tena baadhi ya Gati

Ieleweke kuwa suala la kutoa Pwani nzima kwa DpW ni suala la usalama wa Taifa na Ulinzi … ni hatari sana ndio maaana kila mtu mwenye uzalendo alikataaa sasa kama walidanganya Taifa wakijua watawapeleka DPW hadi bandari zingine Tanzania basi tunaelekea kwenye mgogoro mkubwa sana

Kama mpango huo haupo Kuna haja gani ya wafanyakazi walioko vituo vya nje kama Tanga na Mtwara nao kuambiwa wasubiri kuwapokea ??!?!

Kama haya yatadhibitika basi tumekubali kuuza uTaifa na utu wetu .


Hii taarifa umetoa wapi ya DP World watapewa Tanga na Mtwara?🤔
 
Kuna sintofahamu inaendelea nchini baada ya Bandari nyingine za Mtwara na Tanga nao wafanyakazi kutangaziwa ujio wa DP World

Hii ni kinyume kabisa na mbarawa alivyokua anahakikishia watu kuwa maeneo yanayohusika sio Pwani yote bali ni Bandari ya Dar tu tena baadhi ya Gati

Ieleweke kuwa suala la kutoa Pwani nzima kwa DpW ni suala la usalama wa Taifa na Ulinzi … ni hatari sana ndio maaana kila mtu mwenye uzalendo alikataaa sasa kama walidanganya Taifa wakijua watawapeleka DPW hadi bandari zingine Tanzania basi tunaelekea kwenye mgogoro mkubwa sana

Kama mpango huo haupo Kuna haja gani ya wafanyakazi walioko vituo vya nje kama Tanga na Mtwara nao kuambiwa wasubiri kuwapokea ??!?!

Kama haya yatadhibitika basi tumekubali kuuza uTaifa na utu wetu .

Kuna siri kubwa kwenye huo mkataba. Ila kwa sababu Tanganyika wajinga ni wengi, tumeshindwa kushikamana dhidi ya umafya uliopangwa kwa umakini mkubwal na Wazanzibari.

Mkakati wa muda mrefu ni kwamba Wazanzibari wanasema pwani yote toka Mtwara hadi Pangani, kilometer 20 toka baharini kwenda bara, pamoja na kisiwa cha Kilwa, ni mali ya Zanzibar, kwa vile eneo hilo kabla ya utawala wa Wajerumani, lilitawaliwa na sultani.

Kwa hiyo kinachofanyika sasa, ni taratibu kulikabidhi eneo hilo kupitia uwekezaji uchwara wa Waarabu, (ndiyo maana IGA inasema kuwa eneo lolote ambalo DPW itataka, serikali itatakiwa kuwalipa fidia wahusika na kuwakabidhi DPW). Mkakati huo wa kuchukua ardhi kupitia IGA utaenda sambamba na ununuzi wa ardhi wa hao wageni kwenye maeneo mengine ya pwani. Hilo likikamilika, Zanzibar itajitenga na Muungano, na kudai eneo lote la pwani. Lakini pia sultani wa Oman alitamka wazi kuwa ndoto yake ni siku moja lazima makao yake yarudi kwenye eneo lake la kale, yaani Zanzibar.
 
Kuna siri kubwa kwenye huo mkataba. Ila kwa sababu Tanganyika wajinga ni wengi, tumeshindwa kushikamana dhidi ya umafya uliopangwa kwa umakini mkubwal na Wazanzibari.

Mkakati wa muda mrefu ni kwamba Wazanzibari wanasema pwani yote toka Mtwara hadi Pangani, kilometer 20 toka baharini kwenda bara, pamoja na kisiwa cha Kilwa, ni mali ya Zanzibar, kwa vile eneo hilo kabla ya utawala wa Wajerumani, lilitawaliwa na sultani.

Kwa hiyo kinachofanyika sasa, ni taratibu kulikabidhi eneo hilo kupitia uwekezaji uchwara wa Waarabu, (ndiyo maana IGA inasema kuwa eneo lolote ambalo DPW itataka, serikali itatakiwa kuwalipa fidia wahusika na kuwakabidhi DPW). Mkakati huo wa kuchukua ardhi kupitia IGA utaenda sambamba na ununuzi wa ardhi wa hao wageni kwenye maeneo mengine ya pwani. Hilo likikamilika, Zanzibar itajitenga na Muungano, na kudai eneo lote la pwani. Lakini pia sultani wa Oman alitamka wazi kuwa ndoto yake ni siku moja lazima makao yake yarudi kwenye eneo lake la kale, yaani Zanzibar.
Tupige namba ngapi kupata vichekesho hivi?!!!🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom