Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Hatimaye nimepata Takwimu mpya za Elimu kwa mwaka 2009. Haijawahi kutokea katika historia ya Tanzania wanafunzi kuingia Sekondari kwa wingi kama wakati wa kipindi cha Edward Lowassa. Historia...
0 Reactions
41 Replies
5K Views
Inasikitisha kwamba chama tawala kimejaa mafisadi....Nakubaliana na hoja zote za makombora waliorushiana wabunge wa CCM kwenye kikao cha mzee mwinyi...nimetafakari sana kuhusu uchafu huu. sasa...
0 Reactions
33 Replies
4K Views
Baada ya kusubiri kwa muda mrefu sana, inaelekea sasa ujenzi wa makao makuu ya EAC utaanza wakati wowote kuanzia sasa. Ile parking ya magari ambayo wafanyakazi walioko kwenye jengo la AICC...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
What we have witnessed in the past few days can be described as extremely shameful, disgraceful, and a clear evidence of a failed leadership. If I were to pin point the exact nature of this...
0 Reactions
99 Replies
12K Views
Habari nilizozipata toka ndani ya Kikao cha Tume ya Mapatano na Maridhiano ya CCM na wabunge wake kilichomalizika jana hapa mjini Dodoma, Mbunge wa Igunga, Rostam Aziz, ametema cheche na kukubali...
0 Reactions
163 Replies
18K Views
"Inawezekana tatizo la paka kwa panya lingekwisha kama paka angefungiwa kengele shingoni: taabu ni kumpata panya wa kuifanya kazi hiyo. Na panya watakuwa wajinga sana wakidhani kuwa paka...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Rafiki yangu ndugu Baha kaniletea hotuba hii ya Katibu Mkuu wa chama cha ANC. Kutokana na yanayoendelea hivi sasa nchini kwetu. Ninaomba mpate muda kusoma hotuba hii ndefu kidogo. Ina mafunzo...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
wakulu Nimepata tetesi kuwa repoti ya richmond kutojadiliwa, kwani mh six yupo bize na mambo ya msiba ivo kurudi dodoma wiki ijayo kwa ajili ya kufunga bunge tu...TiaTia maji Details please
0 Reactions
45 Replies
6K Views
Hiki chama cha Mwalimu Hakina tena nidhamu Tunu iliyo adimu Nani wa kumlaumu? Anayo heri Mwalimu Kwani sasa marehemu Kutoona udhalimu Hakika leo kigumu. Kimepoteza...
0 Reactions
26 Replies
4K Views
Jamani naomba msaada kidogo kwa hili...najua kwenye bunge letu majuzi wameteua mwakilishi wa bunge la sadc baada ya kifo cha ndugu yetu mpendwa rich nyaulawa...naulzia je huyu ndugu akienda...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wakuu nimekuwa najiuliza sana kuhusu hii kamati ya Mwinyi. Was it intelligent to come up with such idea? Hadidu za Rejea ni zipi? Kama moja ya hadidu za rejea ya kutafuta chanzo cha...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Na Mussa Mkama HATIMAYE mtambo mmoja wa kufua megawati 10 za umeme wa kampuni ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL), umewashwa jana na kuingizwa kwenye gridi ya taifa. Mtambo huo ni...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
By KARL LYIMO Nov 2009 From: The East African Magazine Former Speaker of the Tanzania Parliament, Pius Msekwa, may yet emerge as one of the few top leaders in the ruling CCM who see the party as...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Dear All, Ni matumaini yangu kuwa wote mnafahamu kuwa kampuni ya VODACOM ilianza shughuli zake rasmi hapa nchini mwaka 2000. Mpaka sasa ina wateja wasiopungua milioni 6. Kitu cha kushangaza ni...
0 Reactions
40 Replies
7K Views
Ili uwafunge goli wabaya wako. Tuanze upya kwani sasa unajua urais ni zaidi ya ving'ora na saluti.
0 Reactions
64 Replies
10K Views
Bado inaonyesha viongozi wa miaka iliyopita lakini tarehe ni ya leo 07/11/2009. Najua baadhi ya viongozi wapo humu ndani badilisheni kwani mnazo fedha za kutosha kuajiri vijana waliomaliza IT...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
http://www.youtube.com/watch?v=dgqfG-JqF74&feature=related Jamani sikiliza hadi mwisho mniambie huyo mwanasiasa.Mzuri sana
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Huko nyuma nilisema kuwa huyu jamaa kapitwa na wakati...to me ni wazi kuwa bado yuko stuck kwenye enzi za politics of envy. Maana tangu ameingia hivi keshafanya lipi kubwa la kusema kuwa ahh hayo...
0 Reactions
26 Replies
4K Views
Katika uchaguzi wa Rais mwaka 2005 kulikuwa na wagombea wengi wakiwemo JMKkikwete (CCM), IHLipumba (CUF), FMbowe (CHADEMA)..na wengine... Wakati huo kikundi fulani cha jamii (kinachopenda...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
tafadhali jamani wanajamii naomba mwenye wasifu wa huyo mtajwa hapo juu anisaidie.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom