Jamani huyu mwanasiasa ni nani?

MkamaP

JF-Expert Member
Jan 27, 2007
8,142
3,217
[ame]http://www.youtube.com/watch?v=dgqfG-JqF74&feature=related[/ame]

Jamani sikiliza hadi mwisho mniambie huyo mwanasiasa.Mzuri sana
 
Hata Kiingereza hakipandi. Nyerere alaumiwe kwa kila kitu. Hata ukame aliusababisha yeye.
 
Kuna video nyingine ya wachungaji ilionyeshwagwa ya channel hiyo hiyo ya GTV. Inaelekea wapo anit-Nyerere. Simaanishi hawapo entitled to their opinion au kwamba Nyerere hapaswi kusemwa vibaya. Ila kituo cha "Gospel" kikiwa bias kiasi hiki ina sikitisha sana. Kinakua siyo kituo cha dini tena bali cha siasa. It is obvious they are promoting their own political agendas.
 
Kuna video nyingine ya wachungaji ilionyeshwagwa ya channel hiyo hiyo ya GTV. Inaelekea wapo anit-Nyerere. Simaanishi hawapo entitled to their opinion au kwamba Nyerere hapaswi kusemwa vibaya. Ila kituo cha "Gospel" kikiwa bias kiasi hiki ina sikitisha sana. Kinakua siyo kituo cha dini tena bali cha siasa. It is obvious they are promoting their own political agendas.


Mkuu hebu sikiliza hadi mwisho uone jamaa anayeongea huko mwisho,ni nani huyo achana na munishi anayeimba,kuna mwingine atahojiwa nimempenda sana
 
Hata Kiingereza hakipandi. Nyerere alaumiwe kwa kila kitu. Hata ukame aliusababisha yeye.

mkuu lakini kiingereza sio hoja mbona wajerumani hawajui kiingereza lakini ni matajiri kuliko waingereza wanaoongea kiingereza.?

Na hata hivyo kiingereza kinachoongewa na waafrika wengi sio kiingereza ni lugha nyingine inayofanana na kiingereza.
 
MkamaP,

Kilichokuvutia ni nini? Naona jamaa hawezi hata kujenga hoja na hajui kujieleza. Laba mwenzetu umemuelewa, tueleweshe na sisi ili tujue anachotetea na msingi wa hoja zake.
 
Na hata hivyo kiingereza kinachoongewa na waafrika wengi sio kiingereza ni lugha nyingine inayofanana na kiingereza.

Lakini angalau huwa tunaweza kuwaelewa. Binafsi nimejitahidi sana kumwelewa lakini sikuambua kitu.
 
Mkuu kwa kumsikiliza mbona ni kama ana laumu wakoloni na si Nyerere kama title ya thread inavyo sema. Au nime kosea?
 
MkamaP,

Kilichokuvutia ni nini? Naona jamaa hawezi hata kujenga hoja na hajui kujieleza. Laba mwenzetu umemuelewa, tueleweshe na sisi ili tujue anachotetea na msingi wa hoja zake.


nimefurahia anavyojenga hoja kwa nguvu
 
Mkuu kwa kumsikiliza mbona ni kama ana laumu wakoloni na si Nyerere kama title ya thread inavyo sema. Au nime kosea?


Mwimbaji anamulaaumu Nyarere, yeye huyu jamaa anamtetea nyerere mimi ndivyo nilivyomuelewa ,lakini anajenga hoja vizuri.
 
Lakini angalau huwa tunaweza kuwaelewa. Binafsi nimejitahidi sana kumwelewa lakini sikuambua kitu.


mkubwa lugha ni mawasiliano kwa ki engineer wanasema lazima yawe duplex na sio simplex.Maana mwingereza huwa haelewi kiingereza chetu
 
Back
Top Bottom