Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

What Richmond got from the big rip-off THE controversial Richmond Development Company LLC tried to rake in more than $115m (approx. 150bn/-) from the government under dubious circumstances...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nimesikia habari punde kutoka TBC ! kuwa TRA, kupitia majembe Auction Mart, imekamata mitambo ya Dowans kwa madai kuwa haijalipa kodi ya zaidi ya Sh bilioni 9.
0 Reactions
32 Replies
4K Views
Na Salim Said Salim WIMBO maarufu wa dansi wa watoto wa mji kasoro bahari, Morogoro, umetokea kupendwa kwa mantiki yake juu ya hali halisi ya maisha. Kilichopendwa hasa ni ile tahadhari...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Kwenu Watanzania Wote, Ili tuweze kufuta umasikini Tanzania ndani ya siku moja, BUNGE letu lijalo litakaloanza kikao chake siku ya Jumanne ya tarehe 26/01/2010 lipitishe Azimio na Sheria na...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
By The Citizen Reporter Chama Cha Mapinduzi (CCM) leaders, especially those from the Mainland, have been asked to keep off the reconciliation process initiated by Zanzibaris. Civic United...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Zanzibar Na Ally Saleh NILIKUWA sehemu ya historia mwishoni mwa wiki nilipokuwa katika uwanja wa Kibanda Maiti na kushuhudia Chama cha Upinzani CUF kikitangaza kuwa kimemtambua Rais wa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hivi, mbona hatujawahi kusikia tz imefanya uamuzi ambao umepigiwa kelele na mataifa ya nje? Kutopigiwa kelele haimaanishi kuwa sie ni waungwana sana. Pengine wanaomba tuendelee na ububu na upole...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kwa kawaida serikali yoyote ikifanya kitu kinacho gharimu pesa nyingi huwa kuna updates ya pesa zime tumika vipi na maendeleo ya huo mpango upoje. Sasa tokea serikali yetu itoe "stimulus package"...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
KIjana mchapakazi J.Jambele amaetangaza rasmi kuwania kiti cha ubunge jimbo la Ukonga kwa tiketi ya CCM.anamini katika siasa ya Ujamaa na kujitegemea na sio ubinafsi. Kipeekee namfahamu kijana...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Jamani nimesoma gazeti moja jana likilalamika sana utoaji wa vyeo vya polisi/jeshini kutokana na hali ya hewa hivi sasa yawezekana vyeo vinatolewa kwa mtu wa darsa la saba...na wewe umengia na...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Hivi mke wa rais ana majukumu gani ktaifa?Mbona huyu wa sasa anafanya shughuli nyingi za kisiasa na mara nyingi husafiri on her own unlike her predecessors?
0 Reactions
39 Replies
4K Views
Wana JF, Nilipenda kujua ile 2005 pale Chimwaga Dodoma wakati wa wajumbe wa CCM toka mikoa yote ya Tanzania kwenda kumchagua mgombea Urasi mmoja kwa tiketi ya CCM kulitokea nini? Dr. Salim...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
HATUA ya Rais Jakaya Kikwete kukiri kuwa kulikuwapo na udhaifu katika kufanya uchunguzi wa kutosha (due diligence) kuhusu kampuni tata ya kufua umeme ya Richmond, aliyoitoa wakati wa kujibu...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Jamani salaam tena na leo narudi kutaka kujifunza. Nimeona mjadala wa mgombea binafsi unapamba moto na nikaanza kujiuliza kama Mtikila ama Mzee Es anaweza naye kwenda kuomba kufata Wabunge wa...
0 Reactions
58 Replies
9K Views
Kwa mara ya kwanza ni ngependa kutoa ushauri kwa wale washauri wa Rais wetu. Nimetafakari kwa muda mrefu, Kutokana na misukosuko mingi iliyopo ndani ya nchi yetu kwa sasa,tukianzia katika swala...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
It is now obvious that the president wasn't ready for primetime. It is obvious that he is overwhelmed. It is obvious that he is discombobulated and doesn't know what to do. It is obvoius that he...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Na Julius Samwel Magodi INGAWA baadhi ya wanasiasa ndani ya CCM wanasema malumbano makali yanayoendelea katika chama hicho ni ya kukiimarisha; ukweli ni kwamba. sasa kinaelekea kufikia kwenye...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
CCM inahimiza mara kwa mara wapiga kura kuchagua Chama badala ya Mtu! Je, hoja hii wapendwa wanaJF mnaionaje? Japokuwa mtu hafungwi kuchagua chama fulani lakini mimi naona msisitizo huu wa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Imeandikwa na Maulid Ahmed Tarehe: 9th November 2009 NAIBU Waziri wa Fedha na Uchumi, Omar Yussuf Mzee amesema,viongozi serikalini ni wabinafsi, wanajali maslahi yao kuliko ya taifa. Mzee pia...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Back
Top Bottom