Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

JUST THINKING! Pole pole inaanza kuonekana kuwa Wa-China, wanaweza kuwa ndio jawabu la waa-Afrika katika kupambana na ufisadi wa The West, katika kujikomboa kiuchumi. Biashara kati ya China...
0 Reactions
26 Replies
6K Views
Mkuu huyo wa Mkoa amemwambia Makamu huyo wa Rais kuwa Mara kuna utajiri mkubwa wa madini aina ya dhahabu katika vijiji 19 vya Wilaya ya Musoma Vijijini, vijiji 7 vya Wilaya ya Serengeti na pia...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Kikwete alilitoa alipoingia tu madarakani. Lowassa akalitoa mara kwa mara. Mama Sitta naye alilitoa mara kadhaa. Shein naye amelitoa tena. Lini litatekelezwa kwa ukamilifu wake? Kama vyombo vya...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
WanaJambo wenzangu naomba kuwatumia salaam za mwaka mpya 2008.... Ni matumaini yangu kuwa huu utakuwa mwaka mwingine wa kuelimishana na kushauriana (pia in a way kuwashauri walioshika mpini)...
0 Reactions
15 Replies
4K Views
Naomba Kuuliza Swali. Je Ni Lini Haswa Mtanzania Kama Mtanzania Ataanza Kufaidi Ges Ya Songo Songo Ambayo Wamepewa Na Mungu? Wana Jf Naomba Mnijibu Kama Kuna Mwenye Jibu Maana Mwenzenu Niko Ktk...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Is this Jeetu patel close to our Mshikaji? (president)
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Kuna haja ya kumuuliza JK, huu utamaduni wa mafisadi waliokupua mabilioni ya mapesa ya walipa kodi na hatimaye kuzirudisha pesa hizo huku wakiendelea kuwa huru umetoka wapi!? Kwa nini wasirudishe...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Ndugu zangu, kulingana na HOTUBA YA MHESHIMIWA JAKAYA MRISHO KIKWETE, RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, KWENYE UFUNGUZI WA MKUTANO WA TAKURU, MBEYA, 20 FEBRUARI, 2006 ilikuwa inawapa mwanya...
0 Reactions
18 Replies
4K Views
Ilikuwa ni safari ya kifo cha uhuru wa habari Tanzania lakini sasa uhuru umerejea. Ni ushindi wa wana JF (wasomaji na waliojisajili) wote. Naomba kutoeleza chochote zaidi lakini nipeleke shukrani...
0 Reactions
55 Replies
8K Views
http://www.mtukwao.com/Burudani.html
0 Reactions
0 Replies
2K Views
kimtazamo naona wapinzani waachane na kumaliza nguvu kwenye kiti ch uraisi badala yake waongeze nguvu kwenye Ubunge. Naimani kuwa kama hivi vichwa vyote vya Upinzani CUF, NCCR, CHADEMA n.k...
0 Reactions
24 Replies
4K Views
WAZIRI Mkuu aliyejiuzulu kutokana na kashfa ya mradi wa umeme wa Richmond, Edward Lowassa, sasa anaelezwa kufanya mambo ambayo ni dhahiri yanamchimba Rais wake, Jakaya Mrisho Kikwete, kwa...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Hivi sasa ndiyo kwanza nimemaliza kusikiliza tarifa muhimu kwamba ile Tume ya Rais ya EPA ya kuchunguza ubadhirifu wa fedha za malipo ya akaunti ya madeni ya nje pale BoT imeeleza kuwa imefikia...
0 Reactions
89 Replies
11K Views
Lowassa apokewa kifalme Monduli BAADA YA KUJIUZULU… ::Watu 10,000 na magari 400 wampokea ::Akaribishwa kwa zulia jekundu Monduli ::Askofu Laizer...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
SERIKALI imekiri kupokea barua ya Umoja wa Waislamu wa Arusha (AMU) iliyoandikwa kwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Lawrence Masha, na kuahidi kuwa italijadili kwa kina suala hilo. Umoja huo juzi...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Na hii ndio hospitali yetu ya rufaa! Nilidhani sehemu nyeti kama hiyo umeme ukizimika tu basi majenereta yanaanza kazi mara moja, kumbe sivyo! Wafungue kesi dhidi ya Muhimbili Posted...
0 Reactions
60 Replies
8K Views
Kuna tetesi kuwa JK amemteua Ditopile kuwa Mwenyekiti mpya wa bodi ya korosho.
0 Reactions
24 Replies
5K Views
TAFAKURI JADIDI Kama vile tumelogwa au kulaaniwa Johnson Mbwambo MSHINDI wa Tuzo ya Nobel katika tiba, James Watson, mwishoni mwa mwaka jana alirushiwa makombora ya shutuma...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
GARI la Naibu Waziri wa Usalama wa Raia MOHAMED ABOUD Mohamed, lenye alama, NW-UR,aina ya GX, limeibiwa na dereva wake aitwaye Tumaini Mbaga, ametoweka tokea Jumamosi iliyopita.
0 Reactions
33 Replies
5K Views
Well, well,well sasa twaanza kuona ni jinsi gani misheni zilivyoanza andaliwa na hawa jamaa wawili. NdiyoMorani kaachia ngazi, lakini hilo halitoshi kutamatisha uhujumu uliofanyika. Paper trail...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Back
Top Bottom