Tumain
JF-Expert Member
- Jun 28, 2009
- 3,154
- 70
Katika uchaguzi wa Rais mwaka 2005 kulikuwa na wagombea wengi wakiwemo JMKkikwete (CCM), IHLipumba (CUF), FMbowe (CHADEMA)..na wengine...
Wakati huo kikundi fulani cha jamii (kinachopenda kupendelewa) kikatamka waziwazi kwamba JMKikwete ni chaguo la Mungu...impliedly wagombea wengine si chaguo la mungu...ila....
Hatimaye wananchi wakapiga kura akashinda wengine yule chaguo la Mungu nafikiri kikundi hicho cha jamii (kimeshapata cake/mgawo wao kwa kuwa kina penda kupendelewa)
Swali je 2010 JMKikwete ni chaguo mungu (2005) itabidi 2010 apande daraja awe / atakuwa "mtoto wa Mungu" ?
Wakati huo kikundi fulani cha jamii (kinachopenda kupendelewa) kikatamka waziwazi kwamba JMKikwete ni chaguo la Mungu...impliedly wagombea wengine si chaguo la mungu...ila....
Hatimaye wananchi wakapiga kura akashinda wengine yule chaguo la Mungu nafikiri kikundi hicho cha jamii (kimeshapata cake/mgawo wao kwa kuwa kina penda kupendelewa)
Swali je 2010 JMKikwete ni chaguo mungu (2005) itabidi 2010 apande daraja awe / atakuwa "mtoto wa Mungu" ?