If u ask most of us who in an intelgent agent he/she will tell u is that person who is after to hear and report something of which may endanger national /local security. As time pased through...
2010 is election year in Tanzania, and an opportunity to influence change in Tanzanian politics.
The last 10 years of CCM have been a revelation:
1) The Radar Scandal (when Mkapa and...
Kwanza tazama hili Tangazo
http://www.youtube.com/watch?v=p2rEb52pp1s
Huyu jamaa yuko pale tangu enzi za Zakia Meghji na so far naona focus imekuwa kutangaza nchi kuwa ina wanyama...
Hivi karibuni tumeshuhudia The elephants wakija kufanya friend matches zao hapa TZ.
Rais wetu amevutiwa sana na hawa players kama drogba na kuacha majukumu makubwa yanayomkabili na kwenda kuandaa...
Rais Kikwete apiga mkwara mabalozi uchaguzi 2010
Raisi Jakaya Kikwete ambaye amewaonya mabalozi kutothubutu kujihusisha na chama chochote cha siasa wakati wa uchaguzi mkuu...
Wadau, Serikali imetangaza rasmi kusimamisha usafiri wa reli ya kati kwa muda wa miezi sita. Kama hiyo haitoshi, nimepata taarifa kuwa hata usafiri wa mabasi kutoka Kigoma kwenda Dar na mikoa...
Rushwa ni fadhila zitolewazao au kupokelewa ili kutokee upendeleo fulani. Zamani sana ningali shule ya msingi nilikuwa nimeakaririshwa ahadi, imani na madhumuni ya TANU; mojawapo ilikuwa inasema...
Wakati watanzania bado tunabishana juu ya vitu vidogo wenzetu wanajiandaa kkwa ujio wa EAC. Cha kushangaza sijasikia hata kiongozi mmoja wa upinzania akizungumzia hili suala , ningependa kujua...
Wakati akiwahutubia wananchi kupitia salamu zake za mwisho wa mwaka, rais Kikwete alitoa hotuba iliyoonyesha kuwa hali mambo si mbaya sana nchini. Hotuba yake ilionyesha ingawa kuna matatizo ya...
Asalaam Aleykum,
Niko ndani ya ukumbi wa Hoteli ya Bwawani hapa Zazibar, nitakuletea yanajiri kwenye hii siku ya kwanza ya Mkutano wa Redet, unaofanyika Zanzibar kwa mara ya kwanza. Unatarajiwa...
Mheshimiwa Rais wangu, lazima nielze wazi kwamba angalau hadi hapa ulipofikia, nimeridhishwa na utendaji wako haidhuru kwamba kuna mapungufu ya hapa na pale! Wapo wanaukupinga, na wapo...
waziri Hamza wa zanzibar leo kwenye Tv anasema zanzibar inastahili ipewe share ya 40% kwa sababu sheria inasema hivyo.
jee huu ni mgogoro mwengine ktk muungano?
jamaa anasema waziri magufuli...
8th January 10
CCBRT: Tumetimiza vigezo vyote vya usajili
Richard Makore
Hospitali ya CCBRT imesema imekidhi masharti yote ya usajili ambayo yanaiwezesha kutoa huduma hiyo kwa jamii.
Kauli...
Mhe Edward Lowasa akiwa katika mikutano ya kuhamasisha maendeleo katika Jimbo lake. Picha hizi ni harakati zake katika Kata ya Lolkisale tarehe 16/12/2009.
Huu ni mkutano uliotia fora wiki hii.
Wakati wananchi wake hapo juu wanahangaika pa kula, kulala na afya zao!...
(Picha zote toka kwa Michuzi)
Hoja imejengwa humu na watetezi wa "majanga ya kitaifa hayazuii Rais kwenda kuburudika"...
Nimesoma habari kuwa Jeetu Patel ameshinda zabuni ya kuleta matrekta yenye thamani ya bilioni 50 toka ambayo ni mkopo wa serikali ya India kwa Tanzania. Mkopo usio na riba. Sikuelewa hapo inamaana...
Nilikuwa najiuliza kuwa huyu jamaa ambaye alikuwa mahiri katika usomaji wa Taarifa ya Habari na Matangazo ya Mpira yu wapi siku hizi na nikadhani kuwa kaenda shule kumbe naye amaejiunga na Redio 5...
Imeandikwa na John Nditi, Morogoro;
Tarehe: 30th December 2009
MKUTANO Mkuu wa Uchaguzi wa Chipukizi taifa umemchagua kwa kishindo mtoto wa Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Jakaya...
CCM yaweweseka kwa Slaa
Na Waandishi wetu
6th January 2010
B-pepe
Chapa
Maoni
Dk. Wilbroad Slaa, Katibu Mkuu wa CHADEMA
Macho ya Watanzania yakiekelezwa kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.