Kumekua na tabia ya watu wengi,kuzitofautisha awamu za serikali ya CCM katika awamu ya 1,2,3na ya 4.
hii ilichagizwa sana na mkuu wa sasa [JK], pale alipoiita awamu ya 4 ni ya nguvu mpya kasi...
Mh. Dk. Slaa nadhani ni miezi imepita tangu uutaarifu umma kwamba ulitegeshewa vifaa vya kijasusi vya kurekodi sauti katika chumba chako pale Dodoma.
Swali langu ni kwa nini hujaueleza umma ni...
We have indeed come a long way since the eminent historian John Illife reviewed the question on whether African Capitalism exists or not in his book 'The Emergence of African Capitalism.' It is...
Kongamano la wanataaluma linakutana kutwa nzima ya ijumaa. Je matarajio yako ni nini hasa? Litakuwa kama makongamano mengine yaliyosifiwa kwa kutoa kauli kali na maazimio yenye vipengele hadi vya...
Very simple:
a. Complain about how your thing is bad and doesn't work as it is supposed to.
b. Say your thing can not be restored or rehabilitated; just say it is doomed! "hali yake ni mbaya...
Ningeweza kutumia maneno mengi kuelezea kosa hili ambalo hata hivi sasa bado tunalifanya lakini hatuna budi kujisahihisha kama mabadiliko tunayoyataka yataweza kupata nafasi yoyote. Kosa hilo ni...
Wakuu
Heri ya Xmass na Hongereni kwa mapumziko kwa wale mlioko mapumzikoni,naamini tumepata muda mzuri wa kutafakari kwa kina mafanikio tuliyoyapata mwaka huu yawe ya binafsi ama ya taifa...
Mwandishi Wetu, Morogoro
TATIZO la rushwa katika chaguzi za Chama Cha Mapinduzi (CCM), linaonekana kuzidi kukua baada ya uchaguzi wa viongozi wa chipukizi taifa kukumbwa na matukio ya utoaji...
CCM yazidi kugawanyika
Na George Marato
3rd January 2010
Mgawanyiko mkubwa umekikumba chama cha Mapinduzi CCM wilaya ya Musoma mjini kufuatia viongozi kadhaa kusimamishwa nyadhifa zao kwa...
Kuna taarifa za ndani kuwa kuna zaidi ya magari 200 yameingia jijini Dar es Salaam kupitia bandari hiyohiyo, wasiwasi wangu ni kama yamelipiwa ushuru...
Tetesi nilizo nazo tayari yamezua mzozo...
Kulikuwa na jitahada za kuwepo umoja wa vyama vya upinzani Tanzania, wakati fulani niliona Chadema, CUF, NCCR-mageuzi na TLP wakisema wameunda umoja wa vyama vinne?
Swali umoja huu bado upo? na...
SALAMU ZA MWAKA MPYA ZA RAIS WA JAMHURI YA
MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA JAKAYA
MRISHO KIKWETE, KWA WATANZANIA,
TAREHE 31 DESEMBA, 2009
Utangulizi
Ndugu Wananchi;
Kama ilivyo ada...
Mwandishi Maalum
Septemba 23, 2009
Rais Jakaya Kikwete
KABLA sijazungumzia mada hii, niseme kidogo juu ya mada yangu ya juma lililopita, iliyochambua hatua ya Rais Jakaya Kikwete kuwazuia...
Yes I said it! These three knuckleheads should step down from their positions or get fired by the President!
Infact add the whole BOT management and Board!
Wadau, juzi nikiwa safarini huko kwenye mapori mazito ya Kibondo-Kahama kutoka mwisho wa reli kurudi makazi yangu, nilipokea ujumbe wasimu kutoka kwa rafiki yanku kuwa Mzee Kawawa katutoka. Kwa...
Mwisho wa mwaka ni wakati wa kutafakari tulipotoka, tulipo na tunapotaka kwenda katika mwaka mpya. Kwa taifa ni fursa ya kufanya tafakari hiyo katika muktadha wa hali na mwelekeo wa taifa kisiasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.