Tundapori
JF-Expert Member
- Aug 12, 2007
- 645
- 260
Jamani naomba kueleweshwa hivi kwa nini kusiwepo na kipindi cha ukomo cha ubunge kama ilivyo kwa raisi.
Raisi TZ ana vipindi viwili vya miaka mitano mitano cha kuwa raisi.
Unakuta mbunge huyohuyo anakuwa mbunge zaidi ya miaka 35 yaani sawa na vipindi 7 vya miaka mitano mitano, mpaka huyo mbunge anachoka ile mbaya na inafikia hatua hawezi tena kuleta mabadiliko ya kimaendeleo katika jimbo lake.
Au kukiwepo na ukomo kwa ubunge tatizo tunaweza kujikuta tunapata uhaba wa mawaziri? Maana huwezi kuwa waziri bila kuwa mbunge kwanza.
Labda inawezekana bongo tuna uhaba wa watanzania ambao wanaweza kuwa wabunge.
Raisi TZ ana vipindi viwili vya miaka mitano mitano cha kuwa raisi.
Unakuta mbunge huyohuyo anakuwa mbunge zaidi ya miaka 35 yaani sawa na vipindi 7 vya miaka mitano mitano, mpaka huyo mbunge anachoka ile mbaya na inafikia hatua hawezi tena kuleta mabadiliko ya kimaendeleo katika jimbo lake.
Au kukiwepo na ukomo kwa ubunge tatizo tunaweza kujikuta tunapata uhaba wa mawaziri? Maana huwezi kuwa waziri bila kuwa mbunge kwanza.
Labda inawezekana bongo tuna uhaba wa watanzania ambao wanaweza kuwa wabunge.