mnyikungu
JF-Expert Member
- Jul 26, 2009
- 1,960
- 2,464
Jana Mheshimiwa mkuu wa mkoa wa kilimanjaro na mbunge wa Iringa mjini kaweka wazi nia yake ya kutetea jimbo lake, Mama huyu ambaye hakubaliki sana kwenye jimbo lake kiasi cha watu kuamini kuwa hupita kiccm jana ametangaza kuwa anagombea tena.
Akiongea kwa kujisifu eti kuwa ukuu wa mkoa alioupata ndio mafanikio na ni kitu cha kujivunia kwa wananchi wa Iringa kwa kuwa wao kumchagua kwake kumemfanya aonekane na rais na kupewa nafasi hiyo ya ukuu wa mkoa. amerbainisha msimamo wake jana kwenye mkutano ulioandaliwa na taasisi ya ISICO kati yake na wnanchi.
Akiongea kwa kujisifu eti kuwa ukuu wa mkoa alioupata ndio mafanikio na ni kitu cha kujivunia kwa wananchi wa Iringa kwa kuwa wao kumchagua kwake kumemfanya aonekane na rais na kupewa nafasi hiyo ya ukuu wa mkoa. amerbainisha msimamo wake jana kwenye mkutano ulioandaliwa na taasisi ya ISICO kati yake na wnanchi.