Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Mbunge adaiwa kununua vitabu kuchoma moto Mwandishi Wetu , Mwanza KITABU cha ‘Mafisadi wa Elimu’ kimezidi kuwa lulu jijini Mwanza baada ya nakala zake 25,000 ambazo zilitarajiwa...
0 Reactions
25 Replies
4K Views
BENKI ya Dunia (WB) imeidhinisha Tanzania kupatiwa mkopo wa dola za Marekani 40 milioni sawa na zaidi ya Sh52 bilioni ili kufanikisha mradi wa ujenzi wa nyumba za kisasa kwa ajili ya Watanzania...
0 Reactions
43 Replies
5K Views
Mwakyembe gives PCCB a piece of his mind THIS DAY Kyela member of parliament Dr Harrison Mwakyembe has hit back at the Prevention and Combating of Corruption Bureau (PCCB) over its reported...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
mengi yamesemwa kuhusu JK kutofaa kwa awamu nyingine, lakni ni kweli hakuna yale mazuri yanayoturuhusu tumpe awamu ya pili?? katika hili naomba tuchambue zile sababu haswa zinazoshawishi JK apate...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Huyu jamaa ni miongoni mwa wachache walitahidi katika suala zima la uongozi na uadilifu
0 Reactions
11 Replies
3K Views
RAIS Jakaya Kikwete ameeleza kutoridhishwa kwake na uendeshaji wa mashirika ya reli kwa njia ya ubia katika Afrika Mashariki na kutaka uangaliwe kwa kina. Akifungua jana kongamano la kujadili...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
BREKING NYUUUUUUZZZZZ:TSN YAPATA MWENYEKITI NA BODI MPYA Bw. Wilson Mukama RAIS JAKAYA KIKWETE AMEMTEUA BW WILSON MUKAMA KUWA MWENYEKITI MPYA WA...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
SPIKA wa Bunge, Samuel Sitta amemuelezea mwenyekiti wa Tanzania Labour Party (TLP), Augustine Mrema kuwa amekwisha kisiasa na kipesa na sasa anahangaika kujinasua kutoka katika hali hiyo. Spika...
0 Reactions
314 Replies
24K Views
Habari zilizothibitishwa na Waziri wa Nishati na Madini Mhe. Ngeleja zinasema kuwa tatizo la umeme lililoikumba nchi muda mfupi uliopita linatokana na matatizo ya kiufndi kwenye gridi ya taifa na...
0 Reactions
63 Replies
50K Views
YADAIWA KUIKWAMISHA TAKUKURU KUSHUGHULIKIA WALA RUSHWA Felix Mwagara RIPOTI ya Baraza la Taifa la Usimamizi wa Mpango wa Kutathmini Utawala Bora nchini Tanzania (APRM), imebainisha kuwa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
KWA mujiibu wa habari nilizozisikia hivi karibuni ni kuwa viongozi wa kijeshi wa Marekani wamesema tayari wameruhusiwa kutumia ndege zao za kijeshi ili kuihuisha serikali iliyopandikizwa huko...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Political notes: Connolly speaks against mauling in East Africa Rep. Gerry Connolly receives a hug from Mariamu Stanford of Tanzania. By JONATHAN HUNLEY Published: March 10, 2010 The...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
MOZAMBIQUE GETS TOUGH ON CORRUPTION: EX-MINISTER GETS 20 YEARS JAIL 27 FEB 2010 BY : DPA In a test case for Mozambique's fight against corruption, a former government minister in the southern...
0 Reactions
27 Replies
3K Views
Matukio yalivyojiri katika picha... Mhe Pius Msekwa akihutubia wageni na wanachama wa CCM Tawi la Uingereza. Wageni waalikwa na wanachama wa CCM wakimkiliza kwa makini mgeni rasmi...
0 Reactions
88 Replies
7K Views
Masihara pembeni, na mimi wazee wamenishauri nigombee ubunge! (Jamani hakuna hata mtu mmoja anayesema 'nimeamua mwenyewe kugombea' kuwa Mbunge?) Lakini mpaka tunaenda mitamboni, sitagombea...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Diplomat's wife killed, houseboy on the run Ambassador Andrew Daraja painfully narrating how he found his wife stabbed to death at their home in Dar es Salaam today. By ROSE ATHUMAN...
0 Reactions
145 Replies
19K Views
Mahakama mkoani Arusha imemfutia mashitaka mbunge wa Simanjiro baada ya kuoana hana kesi ya kujibu. Ole sendeka alishitakiwa na mwenyekiti wa umoja wa vijana wa CCM Bwana James Millya kwa kosa la...
0 Reactions
61 Replies
8K Views
Habari Leo CHAMA cha Wanataaluma Wakristo Tanzania (CPT) kimekiri kutoa waraka ambao wenyewe wameuita ‘tafakari' ukikishambulia Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kukituhumu kuwa ndicho kikwazo...
0 Reactions
56 Replies
6K Views
Tegeni sikio ,kuna msituko utawapata waTanganyika hivi karibuni kwani Karume na Seifu wanakaribia kuanza kuipandisha jeki Zanzibar na kuziba na kurepair viraka vyote vilivyosababishwa na Muungano...
0 Reactions
50 Replies
6K Views
Source.Mwananchi http://www.mwananchi.co.tz/newsrids.asp?id=18438 Swali: Kuna suala hili la ardhi ambapo Watanzania wamekuwa wakipinga wazo la kuwakaribisha wananchi wa nchi za Afrika Mashariki...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Back
Top Bottom