Tumtendeje mtu huyu?

WTF..mtanzania marekani yanini sisi sasa? We wameshakupiga 'msimiki mwanule' lmao
 
Kinyambiss, unaongea Kiingereza kigumu! Hilo limao la 'msimiki mwanule' ndio lipi?
 
Kinyambiss, unaongea Kiingereza kigumu! Hilo limao la 'msimiki mwanule' ndio lipi?
This domain is currently listed for sale at Sedo.com

BTW, resize picha mkuu! Inaboa hata kuiangalia!
 
Hueleweki na kama ni tangazo bas lipia. Lakini hiyo bendera na u-tz wapi na wapi? Na title mbona haieleweki?
 
Back
Top Bottom