Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

KATIBU Tawala wa Mkoa wa Kilimanjaro, Hilda Gondwe anadaiwa kuomba auziwe kwa Sh6 milioni gari la serikali aina ya Toyota Landcruiser VX maarufu kama shangingi lililonunuliwa miaka mitatu...
0 Reactions
62 Replies
8K Views
Kaka William, kama tulivyoongea kwa simu, nakutumia details za huyo dada aliyepotea utuwekee kwenye blog ya jamii, na pia uitume kwa jamii ya watanzania waliopo Los Angels. Natanguliza shukrani...
0 Reactions
16 Replies
4K Views
Na Waandishi wetu, Mwanahalisi RAIS Jakaya Kikwete yuko hatarini kubebeshwa kashfa mbili kubwa, MwanaHALISI limegundua. Kashfa ya kwanza inahusu chaguo lake la Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Jamani naona aibu, ati Rais anadai alikuwa anacheza kidali po na maaskofu na mashekhe kuhusu Takrima! Ukisikia mtu mzima hovyo, ndiye huyu anayelishikilia kasia la kuiongoza Tanzania. Yaani...
0 Reactions
40 Replies
5K Views
Kila mfanyabiashara atakiwa kutoa Sh. milioni 10 Lowassa aongoza kamati ya kutembeza ?bakuli? CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeendelea "kuwakamua fedha" wafanyabiashara na wanachama wake mkoani...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kule Muheza mmojawapo wa watu wenye kutaka kugombea kule ni Balozi Andrew Daraja na Mbunge wa sasa Herbert Mntangi. Lakini siku chache zilizopita (kuanzia hii tarehe 19 Mei) kuna tetesi kuwa...
0 Reactions
33 Replies
4K Views
WanaJF mna maoni yeyote kuhusu hili? Najaribu kujenga conclusion kuwa CCJ ni mradi wa CCM. Najua kuwa CCM inafanya kila jitihada kuhakikisha haiondoki madarakani. Mojawapo wa mbinu wanazotumia...
0 Reactions
38 Replies
4K Views
Naomba support yenu! Let's be true patriots! Tunajua mengi sana kuhusu nchi hii, tumediscuss topic nyingi sana kuhusiana na maendeleo ya nchi yetu. Wito kwa wanaJF wenzangu: naomba tuanze...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Kama kuna nchi ambayo raia wake hawaoni uhusiano wa uongozi na maisha ya kila siku basi ni TANZANIA.Hebu angalia masual na matukio haya ?SI KIPIMO TOSHA kuwa tunahitaji kiongozi mbadala kama si...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
WAKATI wahisani wakishikilia msimamo wao wa kukataa kutoa kiasi cha dola za Marekani milioni 220 ilichopunguza katika bajeti ya mwaka ujao wa fedha unaoanza Julai, serikali imeanza kutoa kauli za...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema). Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimekishutumu Chama cha Mapinduzi (CCM) kuwa kimeanza mkakati wa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Hii inabidi kusoma na sintaandika zaidi. Zitto Kabwe una kazi huko kwenu Kigoma.
0 Reactions
33 Replies
4K Views
Tume ya Uchaguzi pia yatangaza kata zake Mwenyekiti wa NEC, Jaji Mstaafu Lewis Makame. Hatmaye Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetaja majimbo...
0 Reactions
0 Replies
6K Views
Kwa nini serikali haikuonyesha ghadhabu kali kwenye suala la Richmond? Ziko wapi ghadhabu za serikali kwa waliohusika na rushwa katika ununuzi wa rada? Zipo wapi ghadhabu za serikali kwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wana jamii asubuhi hii wakati napitia magazeti, nimeona kichwa cha habari kikisema "kuelekea kampeni, Ikulu yazui mawaziri kwenda nje ya nchi...... Hii ikanishtua kidogo, nikasema ngoja niiweka...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Mimi nimpenzi wakusikiliza taarifa za habari TBC, ila kila ninapo msikiliza mkuu wa mkoa kauli zake uwa nahisi anafikiri watanzania ni wajinga na wasio na akili. Kwamfano leo ktk taarifa ya habari...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Chanzo: Tanzania Daima na Irene Mark CHAMA Cha Jamii (CCJ), kimejiandaa kujibu kauli ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, John Tendwa, ya kuwa hana pesa za kufanya uhakiki wa majina ya...
0 Reactions
46 Replies
5K Views
Wadau na wapenda mabadiliko....natangaza rasmi nia ya kugombea ubunge jimbo la UKONGA kwa tiketi ya CHADEMA. Michango ya mawazo, ushauri na ki-mikakati inakaribisha! Sihitaji michango ya pesa kwa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Miaka zaidi ya 40 ya uhuru bado wagonjwa na akina mama waliojifungua wanakaa chini kwa ukosefu wa vitanda. CCM mnajivunia nini ktk hali kama hii?? Hamuoni aibu mnapokwenda kutibiwa nchi za watu na...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Ndugu Zanguni nimepata habari na ningependa kuziweka hapa kama Alert, nimeongea na mkuu mmoja wa shule ya Msingi akaniambia kwamba Pesa ya MMEM mpaka mwezi huu wa may ilikuwa bado haijagawiwa kwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…